Mwananchi Digital
RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS KAGAME WA RWANDA, IKULU DAR ES SALAAM | 03 MEI, 2026
- Title
- RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS KAGAME WA RWANDA, IKULU DAR ES SALAAM | 03 MEI, 2026
- Runtime
- 2:35
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS KAGAME WA RWANDA, IKULU DAR ES SALAAM | 03 MEI, 2026
- Title
- "SIMBA ILIKUWA INASUBIRI KUFUNGWA TU NA YANGA" GOD YANGA AHOJI UBORA WA PEDRO YALIYOTOKEA ISAMUHYO!
- Runtime
- 4:57
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- GAMONDI APAGAWA NA BALAA LA MCHEZAJI HUYU DABI YA KARIAKOO IKIMALIZIKA BAO 2-2 UWANJA WA ISAMUHYO
- Runtime
- 3:09
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- DAH! DAKIKA 10 ZA AHMED ALLY SIMBA IKIAMBULIA SARE YA MAUMIVU DHIDI YA YANGA BAO 2-2 UWANJA ISAMUHYO
- Runtime
- 10:04
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- JONAS MKUDE ALIVYOSEPA BAADA YA SIMBA KUKUMBWA NA MAAJABU YA YANGA ISAMUHYO
- Runtime
- 0:41
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- AZIM DEWJI AANZA KUONA MAMBO MAGUMU SIMBA, AFAFANUA KILICHOIPONZA KWA YANGA SARE YA BAO 2-2 ISAMUHYO
- Runtime
- 2:13
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Mfadhili wa zamani wa Simba, Azim Dewji, amesema ni vigumu kwa timu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, akieleza wanalazimika kutegemea Yanga kuteleza ili kupata nafasi hiyo.
Amesema katika mechi ya leo Mei 3, 2026, Simba ilikuwa na nafasi nzuri ya kuibuka na ushindi baada ya kupata mabao mawili mapema, lakini hatimaye ikaambulia sare ya 2-2 dhidi ya wapinzani wao hao.
Azim ameongeza uchovu wa wachezaji uliotokana na kucheza fainali ya Kombe la Muungano 2026 siku chache zilizopita umeathiri kiwango chao katika mechi ya leo.
Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga inaongoza ikiwa na pointi 48, huku Simba ikifuatia katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 43, zote zikicheza mechi 20 na kubaki 10.
✍️ @solojr
🎥 @nyembe_b46
...
- Title
- KIGOGO YANGA AFUNGUKA SARE BAO 2-2 DHIDI YA SIMBA, AUTAJA UWANJA WA ISAMUHYO
- Runtime
- 0:34
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Yanga, Alex Ngai, amesema wameridhishwa na matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba, akibainisha kuwa sasa wanaelekeza nguvu zao katika maandalizi ya mechi zijazo.
Ngai ameongeza kuwa, wana imani kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026.
Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga inaongoza ikiwa na pointi 48, huku Simba ikifuatia katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 43.
✍️ @solojr
🎥 @nyembe_b46
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #...
- Title
- "HUWEZI UKAWASHA TAA HALAFU UKAIFUNIKA" MANGUNGU ASIKITISHWA BAADA YA SIMBA KUBANWA MBAVU NA YANGA !
- Runtime
- 1:59
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, amesema makosa madogo ya kimpira yamepelekea timu hiyo kuambulia sare ya mabao 2-2 dhidi ya Yanga, lakini walitengemea kuwafunga katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo Mei 3, 2026, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.
Mangungu ametamba kwa kusema huwezi ukawasha taa halafu ukaifunika akisisitiza kwa sasa wanaelekeza nguvu zao katika kujiandaa vyema kwa mechi zijazo za mashindano mbalimbali wanayoshiriki.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafcham...
- Title
- Mashabiki Simba, Yanga wavimbiana Meja Jenerali Isamuhyo
- Runtime
- 6:26
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Title
- Walimu wanaostaafu Moshi vijijini, waaswa kuepuka matapeli wa mafao
- Runtime
- 4:43
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Moshi. Walimu wanaotarajia kustaafu mwaka huu katika Halmashauri ya Moshi Vijijini, Mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kujiepusha na mitego ya matapeli, huku wakisisitizwa kuwa makini na kutojihusisha na taasisi za kifedha ambazo hazijasajiliwa au kutambulika kisheria, ili kulinda mafao yao ya kustaafu.
Tahadhari hiyo imetolewa leo Mosi 2, 2026 kupitia mafunzo maalumu yaliyoandaliwa na chama cha ushirika wa akiba na mikopo cha walimu Moshi Vijijini (MOSHI RURAL TEACHERS SACCOS) kwa lengo lakuwajengea uelewa kuhusu namna ya kusimamia fedha zao, kutambua mbinu zinazotumiwa na matapeli hao pamoja na kuchukua tahadhari stahiki wanapopokea mafao yao ya kustaafu.
Akizungumza Meneja wa MRT SACCOS , Bosco Simba amesema walimu hao wakipewa mafunzo ya mara kwa mara itasaidia kuwaondoa katika wimbi la kutapeliwa ambalo limeongezeka siku za hivi karibuni.
Aidha, amesema kuwa kwasasa chama hicho, kinampango wa kujenga kitega uchumi kitakachojumuisha ...
- Title
- #live: KINACHOENDELEA MUDA HUU UWANJA WA ISAMUHYO DABI YA KARIAKOO 🔥 MECHI YA KUONYESHANA UBABE
- Runtime
- 2:10
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele ...
- Title
- #live: KINACHOENDELEA MUDA HUU UWANJA WA ISAMUHYO DABI YA KARIAKOO 🔥 MECHI YA KUONYESHANA UBABE
- Runtime
- 1:00
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele ...
- Title
- RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS KAGAME WA RWANDA, IKULU DAR ES SALAAM | 03 MEI, 2026
- Runtime
- 13:47
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS KAGAME WA RWANDA, IKULU DAR ES SALAAM | 03 MEI, 2026
- Title
- RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS KAGAME WA RWANDA, IKULU DAR ES SALAAM | 03 MEI, 2026
- Runtime
- 12:43
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS KAGAME WA RWANDA, IKULU DAR ES SALAAM | 03 MEI, 2026
- Title
- KIMEUMANA ISAMUHYO USIKU HUU! SIMBA, YANGA WAKIPISHANA KUFANYA MAZOEZI YA MWISHO DABI IKIPIGWA KESHO
- Runtime
- 1:16
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Kikosi cha Yanga kikiwa kinajiandaa kutoka kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Mej. Jen Isamuhyo kikosi cha Simba nacho kilifika kwaajili ya kufanya mazoezi kwenye uwanja huo.
Mej Jen Isamuhyo utatumika kwenye mchezo wa dabi ya Kariakoo kesho utakaoigwa kuanzia saa 12:00 Jioni waamuzi wa mchezo huo wakitokea Morocco.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderati...
- Title
- INJINIA HERSI, MZIZE WATINGA MAZOEZINI YANGA IKIJIANDAA KUIVAA SIMBA KESHO ISAMUHYO
- Runtime
- 3:07
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Kikosi cha Yanga kimekamilisha mazoezi yake ya mwisho ya kujiandaa kwa mechi dhidi ya Simba itakayopigwa kesho, Mei 3, 2026, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, ikiwa ni muendelezo wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025/26.
Mazoezi hayo yamehudhuriwa na mshambuliaji Clement Mzize, ambaye kwa sasa ni majeruhi, pamoja na Rais wa klabu hiyo, Injinia Hersi Said.
Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga inaongoza ikiwa na pointi 47, huku Simba ikifuatia katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 42.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabi...
- Title
- DABI IMEANZA KUWA NA KIPENGELE, VIONGOZI YANGA WAUKATAA UWANJA WA ISAMUHYO WAKIIVAA SIMBA KESHO!
- Runtime
- 3:33
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Meneja wa Yanga, Walter Harson, amelalamikia hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, akidai kuwa haukidhi vigezo vinavyohitajika kwa ajili ya kuchezwa kwa Dabi ya Kariakoo inayotarajiwa kufanyika kesho, Mei 3, 2026.
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, uwanja huo umeathirika na kusababisha mpira kushindwa kutembea vizuri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya mazoezi yake ya mwisho ikijiandaa kuivaa Simba.
Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga inaongoza ikiwa na pointi 47, huku Simba ikifuatia katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 42.
- Title
- PEDRO: FAINALI YA MUUNGANO HAINA UHUSIANO NA DABI YA KESHO, AJIFUKIZA KUIUA SIMBA, TSHABALALA ASEMA!
- Runtime
- 4:28
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Kocha wa Yanga, Pedro Goncalves akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa Kariakoo Dadi kesho utakaopigwa kwenye uwanja wa Mej. Jen Isamuhyo kuanzia saa 12:00 Jioni.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #mago...
- Title
- KOCHA SIMBA AIMWAGIA SIFA YANGA, ASISITIZA POINTI TATU ISAMUHYO, RUSHINE AWATOA HOFU ...
- Runtime
- 4:17
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- WAFAHAMU KWA KINA WAAMUZI KUTOKA MOROCCO WATAKAOAMUA DABI YA KARIAKOO UWANJA MEJA JENERALI ISAMUHYO!
- Runtime
- 3:42
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Waamuzi kutoka nchini Morocco wanatajiwa kuchezesha mchezo wa Kariakoo Dabi baina ya Simba na Yanga utakaochezwa kesho Jumapili Mei 3, 2026 kuanzia saa 12:00 jioni katika uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo.
Mwamuzi wa kati atakuwa Hamza El Fareq kutoka Morocco, akisaidiwa na washika vibendera Lahsen Agaou na Hamza Massiri, pia kutoka nchini humo. Mwamuzi wa akiba ni Mustapha Kechaf, naye akitoka Morocco.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music ...
- Title
- RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, MEI MOSI MKOANI NJOMBE
- Runtime
- 3:26:37
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, MEI MOSI MKOANI NJOMBE
- Title
- KOCHA JULIO ATANGAZA KUACHANA NA MPIRA, ATAJA SABABU
- Runtime
- 1:15
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Kocha wa Mashujaa FC, Jamhuri Kihwelo 'Julio', ametoa kauli ya kishindo akidai kuwa timu yake haitashuka daraja msimu huu, na ikiwa hilo litatokea, basi atatangaza rasmi kustaafu masuala ya soka moja kwa moja.
Julio, ambaye tangu akabidhiwe timu hiyo miezi miwili iliyopita hajapoteza mchezo (akishinda miwili na sare nne), amesema ana uhakika na ubora wa kikosi chake licha ya changamoto ya ukame wa mabao inayowakabili kwa sasa.
Akizungumza baada ya matokeo ya suluhi dhidi ya Mbeya City, Julio amebainisha kuwa tatizo kubwa linalowaumiza ni kukosekana kwa utulivu kwa wachezaji wake wanapopata nafasi za kufunga.
Kwa upande mwingine, straika wa timu hiyo, Chrispin Ngushi, amekiri kuwa sare mfululizo zimewavuruga wachezaji lakini akiahidi kuwa wanajipanga kurekebisha makosa yao.
- Title
- ISRAEL YASISITIZA MASHAMBULIZI LEBANON, YALIA UKIUKWAJI WA MAKUBALIANO
- Runtime
- 2:26
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- ISRAEL YASISITIZA MASHAMBULIZI LEBANON, YALIA UKIUKWAJI WA MAKUBALIANO
Lebanon. Mapigano yameendelea kusini mwa Lebanon huku mashambulizi ya anga ya Israel yakisababisha vifo vya watu 17, wakiwemo watoto wawili, licha ya kuwepo kwa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoanza kutekelezwa wiki mbili, zilizopita.
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Lebanon, mashambulizi hayo yamejeruhi watu 35, wakiwemo watoto tisa na wanawake nane, huku Israel ikidai kulenga miundombinu ya kundi la Hezbollah katika, operesheni hizo.
Wakati huo huo, kundi la Hezbollah lilitangaza limefanya mashambulizi dhidi ya majeshi ya Israel kusini mwa nchi hiyo, ikiwemo shambulio la ndege isiyo na rubani (drone) lililolenga wanajeshi katika wilaya, ya Bint Jbeil.
Ghasia hizi zinakuja wakati Israel ikiendelea na operesheni zake za kijeshi nchini Lebanon, licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotangazwa Aprili 16, kufuatia mazungumzo ya moja kwa moja kati ya mab...
- Title
- Nurdin Babu aonya mmomonyoko wa maadili, ataja ulevi kichocheo
- Runtime
- 3:32
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Nurdin Babu aonya mmomonyoko wa maadili, ataja ulevi kichocheo
Moshi. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, ameeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa matukio ya mmomonyoko wa maadili katika jamii, akihusisha hali hiyo na vitendo vya ukatili vinavyoendelea kuripotiwa mkoani humo.
Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Babu amesema jamii imeshuhudia kuibuka kwa matukio makubwa ya ukatili, yakiwemo ubakaji, ulawiti pamoja na mienendo mingine inayokiuka maadili, hali inayohitaji ushirikiano wa wadau mbalimbali ili kudhibiti.
Amesema walimu wana nafasi muhimu katika kupambana na changamoto hiyo kutokana na muda mwingi wanaoutumia na watoto shuleni, akiwataka kutumia nafasi hiyo kuwalea wanafunzi katika misingi bora ya maadili na uzalendo.
Aidha, mkuu huyo wa mkoa amegusia suala la ulevi uliokithiri katika baadhi ya maeneo, akibainisha kuwa licha ya kutokataza wananchi kunywa pombe, matumizi kupita ...
- Title
- MAJERAHA YAWASHTUA SIMBA! OURA, KAGOMA NA KIBABAGE NJE, WATARUDI DABI YA KARIAKOO?
- Runtime
- 3:08
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Baada ya nyota watatu wa Klabu ya Simba, winga Anicet Oura aliyelazimika kutolewa dakika ya 20, kiungo mkabaji Yusuph Kagoma pamoja na beki Nickson Kibabage kupata majeraha katika fainali ya Kombe la Muungano 2026, licha ya Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga na kutwaa ubingwa huo, wachezaji hao walishindwa kumaliza mechi.
Akizungumzia hali zao kiafya, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Ahmed Ally, amesema wanaendelea vizuri na kuimarika, akieleza wana nafasi kubwa ya kurejea uwanjani katika Dabi ya Kariakoo itakayochezwa Mei 3, 2026, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.
- Title
- AHMED ALLY: TUMEDHALILIKA KWA MUDA MREFU, TULIKUWA TUNAJITUTUMUA KWA YANGA
- Runtime
- 4:51
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, amesema timu hiyo ipo tayari kwa Dabi ya Kariakoo itakayochezwa Mei 3, 2026, akisisitiza wanaingia uwanjani kuipigania nembo ya klabu.
Amesema wamedhalilika kwa muda mrefu, wamekuwa wakipitia kipindi kigumu, wakionekana wanyonge na kimya, lakini anaamini Jumapili hiyo ni fursa ya kubadili taswira na kukamilisha ratiba kwa ushindi, akieleza wazi wana uwezo wa kushinda mechi hiyo dhidi ya Yanga.
Takwimu zinaonesha katika mechi sita za mwisho za Ligi Kuu Bara Dabi ya Kariakoo, Simba ilishinda mara ya mwisho Aprili 16, 2023 kwa mabao 2-0, huku ikipoteza mechi nne na kutoka suluhu mechi moja.
🎥 @nyembe_b46
- Title
- "VISHOKA WENGI WATAIBUKA, USIVUKE TABATA" SIMBA YATOA TAMKO DABI YA KARIAKOO KIMA CHA CHINI SH15,000
- Runtime
- 8:20
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Uongozi wa Simba umetangaza rasmi vingilio vya mechi hiyo huku ukichukua hatua za kudhibiti ulanguzi wa tiketi.
Viingilio vimetengwa vya aina tatu ambapo mzunguko ni Sh15,000, VIP B Sh30,000 na VIP A Sh50,000.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mei 1, 2026, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema tiketi zimeanza kuuzwa rasmi, akiwahimiza mashabiki kununua mapema kuelekea dabi hiyo kubwa ya watani wa jadi itakayopigwa Mei 3, 2026 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.
🎥 @nyembe_b46
...
- Title
- MBUNGE AISHAURI SERIKALI KUKOMESHA WIMBI LA HABARI FAKE MTANDAONI
- Runtime
- 8:22
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Mbunge wa Viti Maalum, Mhandisi Mwanaisha Ulenge, ameishauri Serikali kuongeza nguvu katika kudhibiti habari potofu na upotoshaji unaosambazwa kupitia mitandao ya kijamii, akisema zimekuwa zikisababisha madhara makubwa kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari bungeni jijini Dodoma Aprili 30, 2026, Mhandisi Ulenge amesema kasi ya ukuaji wa matumizi ya majukwaa ya kidijitali imeongeza changamoto ya kusambaa kwa taarifa zisizo sahihi, hali inayohitaji hatua madhubuti za udhibiti na ufuatiliaji.
Amesema ni muhimu kwa Serikali kuendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maudhui ya mtandaoni pamoja na kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya mitandao ili kulinda maadili, amani na usalama wa taifa.
- Title
- Vilio, simanzi vyatawala miili mitatu ya familia moja ikiagwa
- Runtime
- 3:52
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Arusha.Ni simanzi,vilio na majonzi.Ndivyo ilivyoonekana kwa waombolezaji na wanafamilia wa ndugu watatu wa familia moja waliofariki kwa ajali ya moto baada ya mabaki ya miili yao kuwasili nyumbani kwao kwa ajili ya kuagwa kabla ya kwenda kuzikwa mkoani Kilimanjaro.
Ndugu wa familia moja ambao ni bibi,Mkunde Ephata (85) na wajukuu zake wawili Jackson Geofrey (26) na Lerato Shabani (11),walifariki dunia alfajiri ya Aprili 28,2026 baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto.
Leo Ijumaa Mei Mosi,2026 mabaki ya miili hiyo imeagwa katika Kijiji cha Mjimwema, Kata ya Usa River, wilayani Arumeru ambapo walikuwa wakiishi.
Maziko ya wanafamilia hao yanatarajiwa kufanyika leo katika Kijiji cha Msangeni,Ugweno wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Tofauti na ilivyozoeleka katika misiba mingine,kutokana na nyumba hiyo kuungua na kuisha yote,wanafamilia wa bibi na wajukuu hao walilazimika kufunga hema kubwa mbili nje ya nyumba hiyo na li...
- Title
- LAINI ZA SIMU ZAONGEZEKA KWA ASILIMIA 23.8 TANZANIA
- Runtime
- 2:31
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Tanzania imeendelea kuonesha kasi ya ukuaji huku takwimu mpya zikibainisha ongezeko kubwa la watumiaji wa huduma mbalimbali za mawasiliano ndani ya mwaka mmoja.
Akiwasilisha bajeti ya wizara yake ya mawasiliano na teknoloaji ya habari, bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi Aprili 30, 2026 Waziri Angellah Kairuki amesema idadi ya laini za simu zilizosajiliwa imeongezeka kutoka milioni 90.4 Machi 2025 hadi kufikia milioni 111.9 Machi 2026, sawa na ongezeko la asilimia 23.8.
Ongezeko hilo linakwenda sambamba na kuimarika kwa matumizi ya intaneti, ambapo watumiaji wameongezeka kutoka milioni 49.3 hadi milioni 58.9 katika kipindi hicho, sawa na ukuaji wa asilimia 19.5.
Katika huduma za fedha kwa njia ya simu, maarufu kama ‘mobile money’, amesema watumiaji wameongezeka kutoka milioni 66.5 hadi milioni 81.0, hatua inayotafsiriwa kuwa ongezeko la asilimia 21.8 na kuonesha namna huduma hizo zinavyoendelea kuwa ...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 20, APRILI 30, 2026
- Runtime
- 3:53:32
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- MASHABIKI SIMBA WALIVYOLIAMSHA BANDARINI, AHMED ALLY 'AKOLEZA' SHANGWE
- Runtime
- 3:05
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- AZIM DEWJI: FURAHA YETU NI KUMALIZA UTEJA KWA YANGA
- Runtime
- 2:04
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Mjumbe wa Bodi ya washauri ya Simba na mfadhili wa zamani wa klabu hiyo, Azzim Dewji, ameweka wazi kuwa, wakati mashabiki wakishangilia ubingwa wa Kombe la Muungano, lengo kuu kwa sasa ni kuhakikisha klabu hiyo ya Msimbaizi inarudi kwenye makali yake ya zamani na kuuvunja utawala wa Yanga.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga ...
- Title
- WAZIRI MKUU AIPONGEZA SIMBA KUIPOKONYA YANGA UBINGWA MUUNGANO CUP
- Runtime
- 0:44
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba ameipongeza klabu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga, katika mechi iliyopigwa Aprili 29, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Kwa ushindi huo, Simba imefikisha mataji saba ya Kombe la Muungano, ikilingana na rekodi ya Yanga tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo mwaka 1982.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yan...
- Title
- MOSCOW YATIKISWA NA HOFU MASHAMBULIZI YA UKRAINE
- Runtime
- 2:21
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Serikali ya Russia imetangaza kupunguza ukubwa wa gwaride la Siku ya Ushindi, litakalofanyika tarehe 9 Mei katika mji wa Moscow, ikieleza kuwa hatua hiyo inalenga kukabiliana na kile ilichokiita tishio la kigaidi, kutoka Ukraine.
Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov, amesema hatua zote muhimu zinachukuliwa ili kupunguza hatari, huku akisisitiza kuwa maadhimisho hayo bado yatafanyika kama ilivyopangwa katika Uwanja, wa Red Square.
Jeshi la Russia limeeleza, gwaride la mwaka huu halitahusisha magari ya kivita wala wanafunzi wa vyuo vya kijeshi, kutokana na hali ya kiutendaji iliyopo, kwa sasa.
- Title
- MASHAMBULIZI YA ANGA YAZIDI KUTIKISA LEBANON, WAOKOAJI WAPOTEZA MAISHA
- Runtime
- 2:23
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Watu tisa wameuawa wakiwemo waokoaji watatu wa dharura, kufuatia mashambulizi mawili ya anga yaliyofanywa na Israel kusini mwa Lebanon, hii ni kwa mujibu wa maofisa wa nchi hiyo, huku Waziri Mkuu wa Lebanon akilitaja tukio hilo kuwa uhalifu, wa kivita.
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Lebanon, waokoaji hao watatu kutoka Kikosi cha Uokoaji cha serikali walitumwa kuwasaidia majeruhi, baada ya shambulio la kwanza katika mji wa Majdal Zoun, hata hivyo walinaswa chini ya vifusi kufuatia shambulio la pili lililofuata, na baadaye kuthibitishwa, kufariki dunia.
Wizara hiyo haikutoa majina ya watu wengine sita waliopoteza maisha katika tukio hilo, aidha wanajeshi wawili wa Jeshi la Lebanon walijeruhiwa katika, mashambulizi hayo.
- Title
- KIGOGO SIMBA AKOSHWA NA UBINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO BAADA YA KUIKANDA YANGA, AONA ISHARA YA UBORA!
- Runtime
- 1:34
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- BARAKA YANGA AFUNGUKA KILICHOWAPONZA KIPIGO CHA SIMBA, UBINGWA MUUNGANO CUP, ITAKAVYOKUWA ISAMUHYO !
- Runtime
- 1:08
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Shabiki wa Yanga, Baraka Yanga amesema amekubali matokeo ya kupoteza ubingwa wa Muungano Cup wakifungwa na Simba bao 1-0, na sasa wanaangalia Dabi ya pili kwenye Ligi timu hizo zitakapokutana Mei 3, 2026.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #mago...
- Title
- AJALI YA GHAFLA YAUA WAWILI, WENGINE WAJERUHIWA
- Runtime
- 5:12
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Watu wawili wamefariki dunia baada ya ndege ndogo kuanguka na kugonga jengo la kuhifadhi ndege (hangar), katika uwanja wa ndege wa Parafield, uliopo Adelaide, Australia Kusini.
Ajali hiyo ilitokea leo Jumatano mchana kwa saa za huko, ambapo ndege hiyo ililipuka na kushika moto mara baada ya kuanguka katika eneo la uwanja huo.
Waziri Mkuu wa jimbo la Australia Kusini, Peter Malinauskas, amesema kupitia mitandao ya kijamii kuwa, kuna idadi ya watu wengine waliojeruhiwa katika tukio hilo.
- Title
- KAULI ZA TRUMP ZAZUA UTATA, UKWELI WA SHAMBULIO LA SHULE
- Runtime
- 2:32
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Maofisa watano wa zamani wa Marekani, akiwemo mwanasheria mkuu wa kijeshi aliyewahi kuhudumu, wameikosoa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kwa kushindwa kukiri uwezekano wa kuhusika kwa Marekani, katika shambulio lililosababisha vifo vingi kwenye shule nchini Iran mapema, mwaka huu.
Walisema ni jambo lisilo la kawaida kwa Pentagon kutotoa hata taarifa za msingi kuhusu tukio hilo, baada ya kupita muda mrefu kiasi hicho, hali inayozua maswali kuhusu uwazi, na uwajibikaji.
Shambulio hilo lilitokea Februari 28 katika mji wa Minab, ambapo kombora lilipiga shule ya msingi na kuua watu 168, wakiwemo takriban watoto 110, hii ni kwa mujibu wa maofisa wa Iran, tukio hilo lilitokea mwanzoni mwa vita kati ya Marekani na Israel dhidi, ya Iran.
- Title
- #LIVE: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA KUMI NA TISA
- Runtime
- 3:58:37
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA KUMI NA TISA
- Title
- #LIVE: MKUTANO WA TUME YA UCHUNGUZI VURUGU ZA OKTOBA 2025 NA WAANDISHI WA HABARI
- Runtime
- 1:59:38
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Title
- LIVE: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA KUMI NA NANE,
- Runtime
- 1:48:48
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- LIVE: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA KUMI NA NANE, TAREHE 28 APRILI, 2026
- Title
- Simba yakamilisha maandalizi Zanzibar, yaisubiri Yanga , chama , mpanzu washindana 'maujuzi'
- Runtime
- 2:22
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Yanga yapiga tizi la mwisho kabla ya fainali , Tazama balaa la Depu,Dube
- Runtime
- 2:54
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- SAFARI YA MWISHO YA MWASISI WA CHADEMA
- Runtime
- 3:18
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Jeneza lililobeba mwili wa miongoni mwa waasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Medard Mutungi, likitolewa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maximilian Maria Kolbe, Mwenge, Dar es Salaam, kuelekea makaburini.
Mwili wa Dk Mutungi, unazikwa leo Jumanne, Aprili 28, 2026 katika Makaburi ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Dk Mutungi, aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara kuanzia mwaka 1998 hadi 2004, alifariki dunia, Jumapili Aprili 26, 2026.
- Title
- Pedro Goncalves: Tuko tayari kwa fainali, maandalizi yamekamilika
- Runtime
- 2:14
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- WASIKIE SIMBA KUELEKEA DABI YA KESHO ZANZIBAR
- Runtime
- 2:07
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Msanii Spack kuzikwa kesho mkoani Tanga
- Runtime
- 1:06
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #LIVE: MKUTANO WA TUME YA UCHUNGUZI VURUGU ZA OKTOBA 2025 NA WAANDISHI WA HABARI
- Runtime
- 11:26
- Date posted
- 27 days ago
- Description

