CLOUDSMEDIA
LIVE:JAHAZI-HD | AFRIKA DAY | Arusha Daladala watia mgono | Malkia wa Nguvu Arusha. | 25.05.2026
- Title
- LIVE:JAHAZI-HD | AFRIKA DAY | Arusha Daladala watia mgono | Malkia wa Nguvu Arusha. | 25.05.2026
- Runtime
- 2:01:18
- Date posted
- 2 hours ago
- Description
- JahaziHD live and directg from mikocheni, ndani ya jahazi utafikisdhwa salama na kutia nanga inapofika saa tatu za usiku
, na marubari wako ni wajomba watatu Adam Mchovu, Bdozen, G Bantu pamoja na malkia waq nguvu Veronica Frank
- Title
- LIVE:LARGE ROOM YA DOUBLE XL MJENGONI CLOUDS FM | 25.05.2026
- Runtime
- 26:02
- Date posted
- 6 hours ago
- Description
- Chama la wana, chama la wajanja Double XL la Meena Ally, Kenedy The Remedy, John Jackson, Soudy Brown na James Tupatupa liko pamoja nawe kuhakikisha unashiba infortainment zote za duniani ikiwa ni pamoja na interviews kali katika Large Room #XXL #XXLCloudsFM #Nyooshaaaa.
- Title
- LIVE:HAPPY BIRTHDAY LAST BORN (AFRICA DAY) JE LAST BORN AKIAMKA DUNIA ITABAKI VILEVILE? I 25.05.2026
- Runtime
- 3:13:56
- Date posted
- 12 hours ago
- Description
- Ianze siku yako kwa kutufuatilia kupitia kipindi cha Clouds 360 ya Clouds Tv ujionee habari mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania, mastori ya town na kunani Tanzania na Dkt. Sam Sasali, Sophia Kessy, Paul James (PJ) na James Tupatupa #Clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE:HAPPY BIRTHDAY LAST BORN (AFRICA DAY) JE LAST BORN AKIAMKA DUNIA ITABAKI VILEVILE? I 25.05.2026
- Runtime
- 3:47:13
- Date posted
- 12 hours ago
- Description
- Ianze siku yako kwa taarifa zilizosheheni uchambuzi pia mahojiano mbalimbali yakiletwa na team yako Mbarouk Khan, Farhan Kihamu, Tei,Najma na Sam Sasali mpaka saa nne asubuhi #PowerBreakfast #PBCloudsFM #Nyooshaaa.
- Title
- Kilichojiri Ziara ya Trump China | Multipolar Vision Ep 24
- Runtime
- 50:46
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Rais Trump amekamilisha ziara yake nchini China. Ziara hiyo ilijumuisha mazunguzo ya kihistoria na mwenyeji wake Rais Xi Jinpingyaliyofanyika jana mjini Beijing. Katika siku ya mwisho, Rais Xi alimkaribisha Trump kwenye makaazi yake rasmi kwa chai na chakula cha mchana na wote wawili wamesifu mfululizo wa mikutano yao iliyogusia masuala ya biashara, vita vya Iran na hadhi ya kisiwa cha Taiwan.
Multipolar Vision inaichambua kiundani maana ya ziara hii kwa jumuiya ya kimataifa #MultipolarVision #AllyKashmiry
- Title
- BONIDA HATARI TERENCE AWASILI TANZANIA NA MAPOKEZI MAZITO KWA BODI YA UTALII NA WIZARA YA MICHEZO
- Runtime
- 2:18
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Title
- Live:Pokea na Sikiliza Neno La Mungu Ndani ya Gospel Traxx 24 / 05 / 2026
- Runtime
- 2:14:28
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Karibu upokee na usikie neno kutoka kwa @pastor_panta Jumapili hii kwenye #GospelTraxx ya Clouds Fm.
Ungana nasi kuanzia saa 6:00 Asubuhi mpaka saa 9:00 am Asubuhi hapa Clouds Fm @cloudsfmtz
Cc @hurumacharles @favvie_tz @pastordolaa @yuda_jay @djsamgram @bishop_jilangila
#GospelTraxx
- Title
- MKUU WA WILAYA TEMEKE AGAWA TAULO ZA KIKE NA PEMPAS HOSPITALI YA TEMEKE/ WATOTO WACHANGA WAFIKIWA
- Runtime
- 4:38
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh Sixtus Mapunda leo mei 23 2026 ametembelea Hospitali ya Rufaa ya Temeke hususani kwenye wodi ya wazazi na kugawa baadhi ya vifaa vya Wamama na watoto wachanga vikimo Diapers na Pempas ikiwa ni sehemu zawadi kwao
- Title
- DC Mpogolo na Mkurugenzi Mabelya waongoza zoezi la kuiweka safi mitaa ya Jiji la Dar Es Salaam
- Runtime
- 4:51
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Ndug. Elihuruma Mabelya wameongoza zoezi la usafi katika maeneo baadhi ya Jiji, wakijikita zaidi katika kutoa michanga katika barabara muhimu za Jiji, michanga ambayo ililetwa na mvua zilizonyesha mfululizo siku chache zilizopita.
- Title
- FAMILIA YA KIKWETE YAMGHARAMIA MATIBABU MTOTO ALLY MOI
- Runtime
- 4:37
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Baada ya CLOUDS TV na Mitandao yake ya Kijamii kurusha taarifa iliyoonesha mtoto Ally Suleiman Sichivula mwenye umri wa miaka sita akiwa na changamoto kiafya, huku familia yake ikihitaji msaada wa matibabu kutokana na ugumu wa maisha na kuchangia pakubwa ukosefu wa gharama hizo, Wacloudsania walionesha moyo wa mawingu kwa kuwagusa pale ambapo waliweza na kubakia alama ya upendo kwa familia ya Mtoto Ally.
Familia ya Taasisi ya Kikwete @kikwete_foundation ni miongoni mwa walioguswa na simulizi nzito yenye kusisimua kwa maumivu ya Mama huyu kupitia afya ya mtoto wake na kugharamia matibabu yote ya mtoto katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili MOI @taasisiyamifupa_moi.
@officialaniciatz ameendelea kunyoosha vyema katika jamii akiibua na kusogeza karibu na Wacloudsania, ndiye aliyeanza safari ya mtoto huyu ya kuhitaji matibabu hadi leo kulipiwa gharama zote za matibabu.
- Title
- LIVE : SPORTS XTRA YA CLOUDS FM | 22.05.2026
- Runtime
- 1:58:36
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Title
- LIVE : JAHAZI-HD WITH GRACE MATATA | MALKIA WA NGUVU WAMETIA KAMBI ARUSHA I CLOUDS FM | 22.05.2026
- Runtime
- 2:15:27
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Adam Mchomvu,Veronica frank,BDozen na George Bantu ni manahodha wako katika jahazi lenye kila aina ya taarifa na burudani toka ndani na nje ya nchi bila kusahau michezo mpaka tatu usiku #JahziHD #JahaziHDCloudsFM #Clouds26nyoosha.
- Title
- Meena Ally Full Interview with Rio Ferdinand,Goli la chama,ubingwa wa Arsenal na lengo la ujio wake.
- Runtime
- 11:25
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Haya ni mahojiano ya Moja kwa moja kati ya Mtangazaji wa XXL @MeenaAlly pamoja na legend wa mpira wa soka Rio Ferdnand aliyekuwa mchezaji na captain wa klabu ya Manchester United na Timu ya taifa England. #nyoosha #lainiyawana #clouds360 #leotena
- Title
- LIVE : IBRAAH & MEX CORTEZ KWENYE LARGE ROOM YA XXL MJENGONI CLOUDS FM | 22.05.2026
- Runtime
- 49:48
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Chama la wana, chama la wajanja Double XL la Meena Ally, Kenedy The Remedy, John Jackson, Soudy Brown na James Tupatupa liko pamoja nawe kuhakikisha unashiba infortainment zote za duniani ikiwa ni pamoja na interviews kali katika Large Room #XXL #XXLCloudsFM #Nyooshaaaa.
- Title
- LIVE: ALASIRI YA CLOUDS TV
- Runtime
- 51:16
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Title
- LIVE : Zilizokiki Mitandaoni I Kuteta I Hekaheka I Chachandu la Leo Zinasikiki Kwenye Leo Tena
- Runtime
- 43:45
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- #leotena #Nyooshaaa.
- Title
- LIVE: CLOUDS 360 NA KUNANI TZ I KUMEKUCHA UCHAMBUZI WA MAGAZETI I 22.05.2026.
- Runtime
- 2:59:39
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Ianze siku yako kwa kutufuatilia kupitia kipindi cha Clouds 360 ya Clouds Tv ujionee habari mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania, mastori ya town na kunani Tanzania na Dkt. Sam Sasali, Sophia Kessy, Paul James (PJ) na James Tupatupa #Clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha #MalkiawaNguvu.
- Title
- LIVE : POWER BREAKFAST NA SHAFII BRAND I RIPOTI YA BONGE I KUDONOA MAGAZETINI I 22.05.2026.
- Runtime
- 3:50:43
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Ianze siku yako kwa taarifa zilizosheheni uchambuzi pia mahojiano mbalimbali yakiletwa na team yako Mbarouk Khan, Farhan Kihamu, Tei,Najma na Sam Sasali mpaka saa nne asubuhi #PowerBreakfast #PBCloudsFM #Nyooshaaa.
- Title
- LIVE : SPORTS XTRA YA MJENGONI CLOUDS FM I 21.05.2026.
- Runtime
- 1:44:59
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- .Stori tano za michezo ndani na nje ya nchi ziko hapa zikipewa muendelezo mkali na team yako ya wataalam wa michezo mpaka usiku #SportsXtra #Nyooshaaaa.
- Title
- LIVE : SPORTS XTRA YA MJENGONI CLOUDS FM I 21.05.2026.
- Runtime
- 59:40
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- .Stori tano za michezo ndani na nje ya nchi ziko hapa zikipewa muendelezo mkali na team yako ya wataalam wa michezo mpaka usiku #SportsXtra #Nyooshaaaa.
- Title
- NO FILTA—CHIKU VOLUME 09
- Runtime
- 28:12
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Title
- LIVE : XXL UNPLUGGED YA JOH MAKINI MWAMBA WA KASKAZINI I 21.05.2026.
- Runtime
- 1:49:17
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Chama la wana, chama la wajanja Double XL la Meena Ally, Kenedy The Remedy, John Jackson, Soudy Brown na James Tupatupa liko pamoja nawe kuhakikisha unashiba infortainment zote za duniani ikiwa ni pamoja na interviews kali katika Large Room #XXL #XXLCloudsFM #Nyooshaaaa.
- Title
- SERIKALI KUFANYIA KAZI KERO ZA STAKABADHI GHALANI.
- Runtime
- 1:13
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- #NYOOSHAA #nyooshaaa.
- Title
- LIVE : LEO TENA DAWATINI I ZILIZOKIKI I CHACHANDU I 21.05.2026.
- Runtime
- 1:56:46
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Dahuu, Geah Habibu wanakuvusha toka asubuhi kwenda mchana kwa stori zote kali za mjini daw#LeoTena #LeoTenaCloudsFM #Nyoooshaaa.atini, zilizokiki , kuteta, chachandu la leo na hekaheka #LeoTena #LeoTenaCloudsFM #Nyoooshaaa.
- Title
- LIVE: Tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360 - Mgahawa wa Taifa I 21.05.2026.
- Runtime
- 1:59:40
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360
#lainiyawana #clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE: Tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360 - Mgahawa wa Taifa I 21.05.2026.
- Runtime
- 1:19:17
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360
#lainiyawana #clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE: Tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360 - Mgahawa wa Taifa I 21.05.2026.
- Runtime
- 8:24
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360
#lainiyawana #clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE: LETS TALK LOVE KWENYE ALA ZA ROHO YA CLOUDS FMI 20.05.2026.
- Runtime
- 1:30:05
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Title
- LIVE :MABINGWA ARSENAL NDANI YA SPORTS EXTRA CLOUDS FM I 20.05.2026.
- Runtime
- 1:39:13
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Adam Mchomvu,Veronica frank,BDozen na George Bantu ni manahodha wako katika jahazi lenye kila aina ya taarifa na burudani toka ndani na nje ya nchi bila kusHHahau michezo mpaka tatu usiku #JahziHD #JahaziHDCloudsFM #Clouds26nyoosha.
- Title
- TAZAMA MADEE ALIVYOINGIA NA KOMBE LA ARSENAL MJENGONI/ AWAPIGA MASHABIKI WA MAN UNITED
- Runtime
- 4:06
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Title
- MAFUNDI WASIOKUWA NA VYETI WAFIKIWA NA VETA/ GERAGE ZAPEWA JICHO LA THAMANI
- Runtime
- 2:35
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- VETA WAWAFUATA MAFUNDI WASIOPITIA MAFUNZO RASMI KUWAPA VYETI
- Title
- LIVE : NO FILTA YA JAHAZI HD NA VERONICA FRANK I 20.05.2026.
- Runtime
- 1:58:46
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Adam Mchomvu,Veronica frank,BDozen na George Bantu ni manahodha wako katika jahazi lenye kila aina ya taarifa na burudani toka ndani na nje ya nchi bila kusahau michezo mpaka tatu usiku #JahziHD #JahaziHDCloudsFM #Clouds26nyoosha.
- Title
- LIVE : NO FILTA YA JAHAZI HD NA VERONICA FRANK I 20.05.2026.
- Runtime
- 52:07
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Adam Mchomvu,Veronica frank,BDozen na George Bantu ni manahodha wako katika jahazi lenye kila aina ya taarifa na burudani toka ndani na nje ya nchi bila kusahau michezo mpaka tatu usiku #JahziHD #JahaziHDCloudsFM #Clouds26nyoosha.
- Title
- LIVE : CHINA NA URUSI KWENYE MAZUNGUMZO | MAHAKAMANI KWA KUTOLIPA KODI PANGO LA ARDHI | 20.05.2026.
- Runtime
- 44:38
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Siku ya Jumatano ni Siku ya Kutathmini,
Ni siku nzuri ya kuangalia: nimetekeleza malengo gani wiki hii? Ukiona umerudi nyuma, bado una Alhamisi na Ijumaa kupiga comeback.
Tukiachana na hilo hapa ALASIRI ya CLOUDS TV tunayo mengi ambayo tumekuandalia ikiwemo kuangazia mkutano mkubwa ambao unafanyika Leo Nchini China ambao unawakutanisha Rais wa China Xi Jinping na Rais wa Urusi Vladimir Putin ambao umejikita kwenye masuala ya pande mbili na mustakabali wa Kimataifa.
Lakini tukiangazia hapa kwetu Tanzania kwenye Jicho la Habari huko mkoani Tanga Jumla ya wananchi 125 wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa kushindwa kulipa kodi ya pango la ardhi.
Haupati tu taarifa bali pia unapewa na elimu nzuri kupitia "Chumba Cha Daktari" Leo tunaangazia ugonjwa wa Hantavirus, ufafanuzi wa daktari ni upi juu ya ugonjwa huo!
Saa 9:00 Alasiri ungana na @officialaniciatz ndiye mwenye dhamana ya kukusogezea kila jambo
- Title
- LIVE : LEO TENA DAWATINI I ZILIZOKIKI MITANDAONI I CHACHANDU I 20.05.2026.
- Runtime
- 1:58:38
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Dahuu, Geah Habibu wanakuvusha toka asubuhi kwenda mchana kwa stori zote kali za mjini daw#LeoTena #LeoTenaCloudsFM #Nyoooshaaa.atini, zilizokiki , kuteta, chachandu la leo na hekaheka #LeoTena #LeoTenaCloudsFM #Nyoooshaaa.
- Title
- LIVE : POWER BREAKFAST YA ASEMBO YA MSOSI MASHULENI I RIPOTI YA BONGE I MAGAZETINI I 20.05.2026.
- Runtime
- 3:53:25
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Ianze siku yako kwa taarifa zilizosheheni uchambuzi pia mahojiano mbalimbali yakiletwa na team yako Mbarouk Khan, Farhan Kihamu, Tei,Najma na Sam Sasali mpaka saa nne asubuhi #PowerBreakfast #PBCloudsFM #Nyooshaaa.
- Title
- LIVE: CLOUDS 360 NA M/KITI KAMATI YA KUSUKUMA MARIDHIANO KITAIFA, ODERO CHARLES ODERO I 20.05.2026.
- Runtime
- 1:44:37
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Ianze siku yako kwa kutufuatilia kupitia kipindi cha Clouds 360 ya Clouds Tv ujionee habari mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania, mastori ya town na kunani Tanzania na Dkt. Sam Sasali, Sophia Kessy, Paul James (PJ) na James Tupatupa #Clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE: CLOUDS 360 NA M/KITI KAMATI YA KUSUKUMA MARIDHIANO KITAIFA, ODERO CHARLES ODERO I 20.05.2026.
- Runtime
- 34:01
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Ianze siku yako kwa kutufuatilia kupitia kipindi cha Clouds 360 ya Clouds Tv ujionee habari mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania, mastori ya town na kunani Tanzania na Dkt. Sam Sasali, Sophia Kessy, Paul James (PJ) na James Tupatupa #Clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE :SPORTS XTRA YA CLOUDS FM I19.05.2026.
- Runtime
- 1:54:46
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Title
- LIVE : NO FILTA YA JAHAZI HD NA VERONICA FRANK I19.05.2026.
- Runtime
- 2:08:18
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Adam Mchomvu,Veronica frank,BDozen na George Bantu ni manahodha wako katika jahazi lenye kila aina ya taarifa na burudani toka ndani na nje ya nchi bila kusahau michezo mpaka tatu usiku #JahziHD #JahaziHDCloudsFM #Clouds26nyoosha.
- Title
- TAZAMA RIO FERDINAND ALIVYOPOKELEWA AIRPORT TZ/ AITABIRIA MAKUBWA TANZANIA KWENYE SOKA
- Runtime
- 1:58
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Mapokezi ya Mlinnzi wa zamani wa Manchester United na timu ya yaifa ya Englanda atua Tanzania kwa mualiko maalum wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda
- Title
- LIVE : MAKOSA YA VIPIMO VYA MAABARA MASHARIKI MWA DRC | 19.05.2026.
- Runtime
- 25:04
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Ni Jumanne nyingine tena ya Mei 19 , 2026 ambapo Minyoosho ya kihabari inaendelea kuwepo katika kurasa tofauti za Clouds tv ikiwemo ALASRI.
Undani leo, Makosa ya vipimo vya maabara, ucheleweshaji wa mwitikio na mila za mazishi ziliruhusu Ebola kusambaa bila kutambuliwa mashariki mwa DR Kongo huku Shirika la Afya Duniani WHO likionya kuwa kuchelewa huko kunaweza kuongeza maambukizi zaidi.
Katika Jicho la Habari , Mwanamke mmoja aitwaye Salu Gambishi Mange (48) Mkazi wa Kitongoji cha Nyuma ya Mlima Kijiji cha Nyamikoma kata ya Sapiwi wilayani Bariadi Mkoani Simiyu amefariki dunia baada ya kushambuliwa na tembo wakati akiwafukuza shambani kwake ili wasiharibu mazao.
Kwenye PLAYMAKER, Kubwa zaidi leo ni ujio wa Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Uingereza RIO FERDINAND aliyewasili nchini Tanzania.
Tutapita kwenye kurasa tofauti za mitandao ya kijamii ambapo kupitia SCREENSHOOT , utapata nafasi ya kujua yale ambayo yameendelea kuzua g...
- Title
- LIVE : LEO TENA TUNALIFUNGUA DAWATINI I ZILIZOKIKI I CHACHANDU I19.05.2026.
- Runtime
- 1:43:49
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Dahuu, Geah Habibu wanakuvusha toka asubuhi kwenda mchana kwa stori zote kali za mjini daw#LeoTena #LeoTenaCloudsFM #Nyoooshaaa.atini, zilizokiki , kuteta, chachandu la leo na hekaheka #LeoTena #LeoTenaCloudsFM #Nyoooshaaa.
- Title
- LIVE : Power Breakfast ya Uwekezaji Live Kutoka Hyatt Hotel I 19.05.2026.
- Runtime
- 2:58:34
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Hamasa ya uwekezaji inazidi kuota mizizi hivi karibuni, je nini kifanyike zaidi kukuza utamaduni wa uwekezaji ndani ya 255.
Vipi kuhusu usalama wa Maokoto ya wawekezaji ni wa kiwango gani kwenye Taasisi za kifedha….
Shauku yako ya kujua mengi, Solution ni kuiweka karibu Redio ya Watu….
- Title
- LIVE : CLOUDS 360 NA KUNANI TZ I MASTORI YA TOWN I UCHAMBUZI WA MAGAZETI I 19.05.2026.
- Runtime
- 1:26:38
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Ianze siku yako kwa kutufuatilia kupitia kipindi cha Clouds 360 ya Clouds Tv ujionee habari mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania, mastori ya town na kunani Tanzania na Dkt. Sam Sasali, Sophia Kessy, Paul James (PJ) na James Tupatupa #Clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE : CLOUDS 360 NA KUNANI TZ I MASTORI YA TOWN I UCHAMBUZI WA MAGAZETI I 19.05.2026.
- Runtime
- 18:28
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Ianze siku yako kwa kutufuatilia kupitia kipindi cha Clouds 360 ya Clouds Tv ujionee habari mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania, mastori ya town na kunani Tanzania na Dkt. Sam Sasali, Sophia Kessy, Paul James (PJ) na James Tupatupa #Clouds360 kuanzia 12:30 live on @Cloudstv #LainiYaWana #Nyoosha
- Title
- LIVE : Power Breakfast ya Uwekezaji Live Kutoka Hyatt Hotel I 19.05.2026.
- Runtime
- 37:13
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Hamasa ya uwekezaji inazidi kuota mizizi hivi karibuni, je nini kifanyike zaidi kukuza utamaduni wa uwekezaji ndani ya 255.
Vipi kuhusu usalama wa Maokoto ya wawekezaji ni wa kiwango gani kwenye Taasisi za kifedha….
Shauku yako ya kujua mengi, Solution ni kuiweka karibu Redio ya Watu….
- Title
- LIVE : SPORTS XTRA I 18.05.2026.
- Runtime
- 1:50:09
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Title
- NO FILTA—CHIKU VOLUME 06
- Runtime
- 32:16
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Title
- LIVE : NO FILTA YA JAHAZI HD NA VERONICA FRANK I 18.05.2026.
- Runtime
- 2:05:23
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Adam Mchomvu,Veronica frank,BDozen na George Bantu ni manahodha wako katika jahazi lenye kila aina ya taarifa na burudani toka ndani na nje ya nchi bila kusahau michezo mpaka tatu usiku #JahziHD #JahaziHDCloudsFM #Clouds26nyoosha.

