Mwananchi Digital
MAREKANI, IRAN HATARI VITA NYINGINE, MAZUNGUMZO YASUASUA
- Title
- MAREKANI, IRAN HATARI VITA NYINGINE, MAZUNGUMZO YASUASUA
- Runtime
- 3:29
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Washington. Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Iran kuwa muda wa kufikia makubaliano ya amani unaendelea kuyoyoma, huku mazungumzo ya kusitisha vita yakionekana kukwama, Trump amesema Tehran inapaswa kuchukua hatua haraka kabla hali haijawa, mbaya zaidi.
Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mtandao wake wa Truth Social, Trump alisema Iran wanapaswa kuharakisha vinginevyo hakutakuwa na chochote kitakachobaki kwao, akisisitiza kuwa muda ni muhimu katika kufikia suluhu ya mgogoro huo unaohusisha, Marekani, Israel na Iran.
Onyo hilo limekuja wakati Trump alipofanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, kuhusu maendeleo ya juhudi za amani huku taarifa kutoka Israel, zikieleza kuwa viongozi hao walijadili hali ya usalama Mashariki ya Kati, na mustakabali wa mazungumzo na Iran.
Wakati huo huo, vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa Marekani imeshindwa kutoa mapendekezo, yenye maridhiano ya kutosha katika majibu yake kwa masharti ya...
- Title
- MZEE KADEGE ATAMANI KUKUTANA NA SIMBA FAINALI
- Runtime
- 4:29
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KISUGU AWAPONGEZA WACHEZAJI WA SIMBA
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- SIKIA UTANI WA WASEMAJI: MMEFUNGWA NA MTOTO WA MIAKA TISA
- Runtime
- 1:12
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- AHMED ALLY: MALENGO YETU NI KUTWAA UBINGWA
- Runtime
- 4:03
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KOCHA ETIENNE AIPONGEZA SIMBA BAADA YA MCHEZO
- Runtime
- 1:49
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- MSIKIE KOCHA STEVE BARKER BAADA YA KUICHAPA TRA UNITED
- Runtime
- 3:03
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- WASIRA: WALIOSABABISHA VURUGU OKTOBA 29 WAPATIKANE, NDIPO TUINGIE MARIDHIANO
- Runtime
- 2:33
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kabla ya kuanza kwa mchakato wa maridhiano ya kisiasa, ni vyema kuwabaini na kuwachukulia hatua za kisheria kupitia vyombo vya haki watu waliohusika na vurugu zilizosababisha madhara vikiwamo vifo.
Amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuunda Tume ya Kuchunguza Vurugu za Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kujua kiini cha tatizo hilo. Wasira ameeleza hayo Mei 16, 2026 alipohutubia mkutano wa hadhara Kigoma Mjini akiwa katika ziara ya kichama mkoani humo.
"Mimi sijasema jina la mtu, lakini wenye kujua hayo mambo wanajijua, waache jinai ichunguzwe kama walihusika waende kwenye vyombo vya haki na sio wengi, wanaobaki watu wema tukae tufanye nao maridhiano," alisema.
"Tume inasema wao hawakuwa polisi wa kuwakamata, lakini wanasema tuchunguze wale walioonekana ili tusiwe tunafuga nyoka ndani ya nyumba," alisema.
Alisema haku...
- Title
- DC MTATIRO ‘KUANDIKA WOSIA SIO KUJITABIRIA KIFO’
- Runtime
- 6:12
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Shinyanga. Ikiwa ni siku ya 11 tangu kuanza kwa huduma ya msaada wa kisheria kwa awamu ya pili mkoani Shinyanga iliyoanza Mei 6 hadi 20, 2026 Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro amewataka wananchi kuandika wosia mapema ili kuepusha migogoro ya kifamilia hasa katika suala la mirathi.
Akizungumza leo Mei 17, 2026 katika ziara ya kutembelea zoezi hilo la utoaji wa huduma ya msaada wa kisheria kwa wananchi wa Manispaa ya Shinyanga, lililofanyiaka katika kituo cha Nguzonane ameeleza migogoro hii inaendelea kwa sababu wananchi bado wanauhitaji mkubwa wa elimu katika kuipunguza, pia wazazi andikeni wosia mapema,
“Kuandika wosia sio kujitabilia kifo bali ni maandalizi mazuri kwa ajili ya kuweka familia katika amani hata kipindi ambacho unakuwa haupo, pia wale wanaosubili siku za mwishoni wajitokeze kupata huduma ya kisheria kwani siku zimeisha, zimebaki siku tatu tu” amesema Mtatiro.
Kwa upande wake Mratibu wa Kampeni ya msaada wa kisheria Laur...
- Title
- MWIGULU: NITAWASHIKISHA ADABU WOTE WASIOKUWA NA ADABU, RAIS AMESHAELEKEZA SHERIA KUTAIFISHA MALI ...
- Runtime
- 9:48
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameweka bayana sheria ya kutaifisha mali inakwenda kufutwa kwa kuwa imeshaanza kutumiwa kama kichaka.
Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Mei 17, 2026 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, eneo la Kambi ya Nyasa ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi.
Msingi wa kuyasema hayo unatokana na kitendo cha kukamata na kutaifishwa kwa mali na vitendea kazi vya wananchi hali inayokwamisha uzalishaji na utendaji kazi kwa watu waliojiajiri.
“Niwape taarifa njema, Rais ameshaelekeza hiyo sheria ya kutaifisha mali tunakwenda kuifuta, imeshaanza kuwa kichaka na ameshatoa barua nimeipokea inayoelekeza hiyo sheria kufutwa.”
Mwigulu amefafanua hilo huku akiwa ameshika nakala za kero za watu zinazolalamikia migogoro ya ardhi, watu kunyang’anywa mashamba na mali zao huku akiendelea kusikiliza migogoro hiyo kutoka kwa wananchi moja kwa moja.
Dk Mwigulu am...
- Title
- ADAM KIBARO NA MAAJABU YA FIKIRA KATIKA TAMTHILIA YA NOMA
- Runtime
- 49:38
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kwa sasa tasnia ya Bongo Movie imeendelea kutawaliwa kwa kiasi kikubwa na tamthilia, huku kila siku zikiibuka kazi mpya zinazovutia mashabiki na kuteka hisia za watazamaji wengi. Ufuatiliaji mkubwa wa tamthilia hizo umeongeza ushindani, jambo linalowafanya watayarishaji kuendelea kubuni mbinu mpya za kuhakikisha wanatoa burudani yenye ubora na inayokidhi matarajio ya mashabiki.
Miongoni mwa tamthilia inazofanya vizuri kwa sasa ni ‘Noma’, iliyoandaliwa na Adam Kibaro, ambaye pia ni mtayarishaji wa tamthilia ya ‘Koneksheni’ iliyowahi kupata mafanikio makubwa na kukubalika kwa kiwango kikubwa.
Mbali na kazi zake za sanaa, Kibaro pia amewahi kusimamia matukio mbalimbali makubwa nje ya tasnia hiyo, ikiwamo sekta ya michezo, huku uwezo wake wa kusimulia hadithi ukitajwa kugusa hisia za watu wengi.
Kupitia fikra zake za kibiashara, ubunifu na ujasiri wa kuwekeza kwenye ubora wa kazi, Kibaro ameendelea kudhihirisha kuwa maono makubwa yanapoambatana na uv...
- Title
- MAMA ASIMULIA ALIVYOUZA MASHAMBA, AKATOA FIGO KUOKOA BINTIYE
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Dar es Salaam. Katika kijiji cha Nyarikungu, kitongoji cha Nyagunge wilayani Magu mkoani Mwanza, maisha ya Rosemary Mtiro (63) yalikuwa ya kawaida ya mwanamke anayejitafutia riziki kupitia kilimo.
Lakini ndani ya miaka michache, maisha yake yalibadilika kabisa baada ya mwanawe, Olivia Fabian Rweganwa(26) kuanza kuugua ghafla akiwa chuoni.
Rosemary anasema mwaka 2022 alipokea simu ambayo hakuwahi kutarajia kutoka kwa Olivia aliyekuwa akisoma kozi ya uhazili ngazi ya cheti mkoani Tabora.
“Alinipigia simu akaniambia anakojoa damu. Nilimwambia aende hospitali, wakaambiwa ana UTI sugu. Akapewa dawa, akameza dozi na akaendelea na masomo,” anasimulia Rosemary kwa sauti ya utulivu iliyobeba uchungu wa miaka mingi.
Baada ya kumaliza mwaka wake wa masomo, Olivia aliondoka Tabora na kwenda kwa dada yake Karagwe. Hata hivyo, hali yake iliendelea kudhorota.
“Kila alipokwenda hospitali aliambiwa ni UTI. Lakini mwili ukaanza kuvim...
- Title
- MCHEZAJI YANGA ACHAMBUA UDHAIFU SAFU YA USHAMBULIAJI UNAVYOIANGUSHA YANGA LICHA YA KUIBAJUA JKT 2-0!
- Runtime
- 4:27
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Staa wa zamani wa Yanga, Makumbi Juma, ameipongeza timu hiyo kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku akiwakosoa washambuliaji kwa kukosa utulivu wa kutumia nafasi zinazotengezwa licha ya kuifunga JKT Tanzania mabao 2-0.
Mechi hiyo ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, imepigwa leo Mei 16, 2026 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simba...
- Title
- SHABIKI YANGA ATAMBA ALIVYOKESHA USIKU MNENE KULINDA UWANJA WA ISAMUHYO ILI YANGA IPATE USHINDI ...!
- Runtime
- 6:12
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- KOCHA JKT TANZANIA AFUNGUKA KILICHOMPONZA KICHAPO CHA YANGA WAKIFA KIUME BAO 2-0 UWANJA WA ISAMUHYO
- Runtime
- 1:32
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- MASAU BWIRE APAGAWA NA BALAA LA YANGA KIPIGO CHA BAO 2-0, ISHU YA DRESSING ROOM UWANJA WA ISAMUHYO!
- Runtime
- 6:08
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- ALI KAMWE AFAFANUA HATMA YA MWAMNYETO YANGA, ASHTUKIA JAMBO ISAMUHYO BAADA YA KUIKANDA JKT BAO 2-0
- Runtime
- 6:46
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- MSANDO APIGA MARUFUKU MIKATABA YA KINYONYAJI BODABODA
- Runtime
- 4:51
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amesema amepiga marufuku mikataba ya kinyonyaji wanayopewa madereva bodaboda, kiasi cha kuwaathiri kiuchumi.
Ametaka makundi hayo ya vijana kuhakikisha wanarasimishwa kwa kupewa vyeti vya kuzaliwa, ili viwawezeshe kupata namba za utambulisho wa uraia na vigezo vingine vya kukopesheka.
Msando amesema hayo jijini Dar es Salaam leo, Jumamosi, Mei 16, 2026, alipozungumza wakati wa kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu lililokuwa na kaulimbiu ya 'Never Again'.
Amerejea muundo wa mikataba ya madereva wa bodaboda, akisema inawalazimu kurejesha Sh6 milioni katika pikipiki inayonunuliwa kwa Sh3 milioni.
Msando amesema ukubwa huo wa marejesho na unyonyaji wa mikataba ndiyo unaowafanya madereva bodaboda kuendesha mwendokasi ili wawahi kuwasilisha marejesho ya Sh13,000 kwa siku kwa mabosi wao.
- Title
- WENJE: HATUTATATUA MIKWAMO YA KISIASA BILA KUZUNGUMZA
- Runtime
- 0:54
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, ambaye sasa ni kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ezekiah Wenje, amesema mazungumzo ndiyo njia itakayoliwezesha Taifa kutoka kwenye mikwamo ya kisiasa iliyopo.
Amesema kiongozi yeyote wa kisiasa anayekataa maridhiano hana mapenzi na Taifa.
Wenje amesema hayo leo, Mei 16, 2026, alipozungumza katika moja ya majopo wakati wa Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu lililokuwa na kaulimbiu ya “Never Again”.
Amesema ni vigumu kupata suluhu ya mikwamo yote ya kisiasa bila watu kukaa meza moja kuzungumza.
“Kiongozi anayekataa maridhiano ni kiongozi asiyelipenda taifa letu kwa kiwango kikubwa,” amesema.
- Title
- RC CHALAMILA: VIJANA WASIHARIBU MAISHA KWA PROPAGANDA ZA SIASA
- Runtime
- 5:54
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka vijana wasiharibu maisha yao kwa siasa na propaganda za chuki, badala yake wajikite katika jitihada, kwa kuwa ndiyo siri pekee ya mafanikio katika maisha yao.
Amesisitiza kuwa maisha si mepesi kama wengi wanavyodhani, ni magumu na hayako kwenye propaganda za vinywa na maneno mengi, bali lazima upitie magumu ili ufanikiwe.
Chalamila ameeleza hayo leo, Jumamosi, Mei 16, 2026, alipozungumza katika Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu lililobeba ujumbe wa Never Again.
“Pamoja na kupata elimu mnayoipata leo, mchawi wa kweli ni kujimudu kimaisha, na namna pekee ya kujimudu kimaisha ni kuyatafsiri maisha kwa namna ya kipekee,” amesema.
- Title
- PROFESA KABUDI: YALIYOTOKEA SI YA KAWAIDA, HAYAFANANI NA NCHI YETU
- Runtime
- 6:12
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema yaliyotokea Oktoba 29, 2025 hayakuwa mambo ya kawaida na hayafanani na Taifa la Tanzania.
Kwa sababu ya uhalisia huo, Profesa Kabudi amesema ni vema kama Taifa kukubaliana kwamba yasitokee tena, “Never Again”, kauli ambayo imetumika na mataifa mbalimbali yalipokumbwa na mambo yasiyo ya kawaida.
Profesa Kabudi ameeleza hayo jijini Dar es Salaam leo, Mei 16, 2026, alipozungumza katika moja ya majopo wakati wa Kongamano la Vijana lililobeba ujumbe wa “Never Again”, inayomaanisha yasitokee tena.
“Zipo nchi zilizokumbwa na misukosuko, tufani, na baadaye zikasema never again what happened yesterday. Mmechukua kaulimbiu inayoashiria kwamba kuna lililotokea si la kawaida, halifanani na nchi yetu na limetutikisa,” amesema.
Aidha, Profesa Kabudi amesema chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndipo mipango mingi...
- Title
- RC MHITA: WAZAZI TUWE NA UCHUNGU NA VITU VYETU
- Runtime
- 5:18
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Shinyanga. Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amewataka wazazi kushirikiana na walimu katika kulinda na kutunza miundombinu ya shule ili kuweka mazingira rafiki ya wanafunzi kujifunzia, kwa sababu kumekuwa na mchezo wa wananchi kuharibu miundombinu ya shule kwa kuiba milango na madirisha, ambapo hii inaonesha usalama si mzuri.
Akizungumza Mei 15, 2026 katika uzinduzi wa shule mpya ya awali na msingi Tinde ‘B’ uliofanyika katika shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyambui kata ya Tinde, Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga mkoani pia ameeleza kuwa anafanya taratibu za upanuzi wa eneo la shule hiyo ili kupata eneo la michezo, ili kukuza vipaji vya wanafunzi,
“Wazazi tuwe na uchungu na vitu vyetu kwa sababu kuna wengine wanajua kabisa mtoto au kijana wa mtu fulani ameshiriki kuiba miundombinu ya shule lakini wanakaa kimya hawasemi, hujui kwamba unaharibu mazingira ya huyu mwanafunzi anayesoma hapo, mnatakiwa kushirikiana na uongozi kwa kutoa taarifa za uharibifu...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 30, Mei 15, 2026
- Runtime
- 35:45
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- SIMBA BAADA YA KUIKANDA YANGA
- Runtime
- 0:38
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Kocha Simba Queens aipongeza Yanga Princess
- Runtime
- 3:04
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Msemaji wa Mchongo: Natamani niwe msemaji wa Simba Queens
- Runtime
- 5:04
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Shikangwa: Naamini mechi zote zilizobaki nitashinda
- Runtime
- 2:04
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- RC CHALAMILA: KABLA HUJASEMA KOCHA AONDOLEWE, JITAFAKARI MWENYEWE
- Runtime
- 7:12
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema katika kipindi hiki klabu za soka haziwezi kuendeshwa kwa maneno pekee, bali zinahitaji kuwa imara kiuchumi ili kuwapa wachezaji mazingira na morali nzuri ya kufanya kazi.
Chalamila amesema si sahihi kuendelea kutegemea wafadhili muda wote, kwani hata wao hutamani kuona wanachama na wadau wakitoa mchango wao kwa maendeleo ya klabu husika.
Aidha, amesema kabla ya mtu kumtaka kocha aondoke, ni muhimu kwanza akatafakari mchango wake binafsi katika kuijenga klabu hiyo.
RC Chalamila ameyasema hayo leo Mei 15, 2026 akiwa mgeni rasmi katika hafla ya utiaji saini wa mradi wa uwanja wa klabu hiyo iliyofanyika eneo la Jangwani, Dar es Salaam.
...
- Title
- MIEZI 24 TU, UWANJA WA YANGA FRESHI
- Runtime
- 5:58
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Uwanja mpya wa Yanga unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi 18 hadi 24, baada ya kutangazwa rasmi kwa kuanza kwa mradi huo katika eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam.
Akizungumza leo Ijumaa, Mei 15, 2026 katika hafla ya utiaji saini wa mradi huo, Rais wa Yanga, Hersi Said, amesema ujenzi wa uwanja huo utaongeza hadhi ya klabu hiyo na kuwa alama mpya ya maendeleo ya michezo nchini.
“Ndugu Wanayanga, hivi karibuni klabu yenu itakuwa na uwanja hapa katika eneo hili (Jangwani). Mungu akijaalia ‘maximum’ miezi 18 mpaka 24 tutasimama hapa kuzindua uwanja huu wa kisasa,” amesema Hersi.
Hersi amesema mradi wa ujenzi wa uwanja huo utawafanya kumiliki asilimia 50 huku mwekezaji akimiliki kiasi hicho pia.
...
- Title
- KAMANDA MULIRO AKUMBUSHIA TUKIO LA SIMBA KUNG’OA VITI KWENYE TUKIO LA YANGA
- Runtime
- 1:42
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- "Ujumbe wenu kwangu ni kuwapongeza kwa mradi huu kwa sababu mmetumia akili nyingi na kama kutakuwa na viashiria vyovyote vya wizi tutazunguka zunguka maeneo ya mradi kuhakikisha hakuna kinachoibiwa pale.
”Mmefanya kazi kubwa katika michezo na tunawaomba viongozi muendelee na hali ya namna hiyo na msiwe kama wale wengine ambao waliwahi kung'oa viti kwa sababu kitendo kile sijakisahau,” amesema Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam, Jumanne Muliro katika hafla ya utiaji saini wa mradi wa Uwanja wa klabu hiyo uliofanyika Leo Mei 15, 2026 Jangwani.
...
- Title
- GSM AFUNGUKA HAYA BAADA YA KUTIA SAINI UJENZI UWANJA MPYA YANGA, ALI KAMWE ARUSHA JIWE GIZANI!
- Runtime
- 2:59
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Ofisa Habari wa Yanga amesema mfadhili wa klabu hiyo Ghalib Said Mohammed 'GSM' hana tamaa katika uwekezaji wa uwanja wa klabu hiyo. Kamwe amesema kama GSM angekuwa na tamaa kwenye umiliki wa uwanja huo angeweza kuhitaji asilimia 80 kwake na 20 kwa klabu hiyo.
Kamwe amesema GSM amekuwa hana maneno mengi ambapo sasa baada ya maneno yake ya Yanga bingwa watamuongezea maneno mengine hana tamaa.
"Unajua Kuna wakati unaweza kuwa na tamaa lakini GSM ni tofauti sana hebu angalia anataka asilimia 50 tu lakini ingekuwa mwingine angehitaji hata asilimia 80 ziwe kwake na klabu tubaki na 20,"amesema Kamwe huku akishangiliwa na wanachama na mashabiki wa klabu hiyo.
Yanga imesaini makubaliano na kampuni hiyo kwenye ujenzi wa uwanja huo mpya ambao utajengwa eneo la jangwani. Makubaliano hayo yamesainiwa leo Mei 15, 2026 Makao makuu ya klabu hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali.
...
- Title
- DC MPOGOLO: KUMLEA MTOTO NI SAWA NA MBIO ZA VIJITI, TUSIWAACHIE WALIMU
- Runtime
- 4:10
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Edward Mpogolo, amewasihi wazazi wilayani humo kuhakikisha kuwa wanashirikiana na walimu katika malezi ya watoto na si kuacha mzigo huo kwa walimu pekee.
DC Mpogolo ameyasema hayo jana wakati akizungumza katika kikao cha wazazi ambao watoto wao wanasoma Shule ya Msingi Tabata jijini Dar es Salaam katika mwendelezo wa kusikiliza kero.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 30, Mei 15, 2026
- Runtime
- 3:32:33
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 29, Mei 14, 2026
- Runtime
- 3:19:37
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- UCHAMBUZI: YANGA HAWAKUWA BORA KATIKA IDARA YA ULINZI
- Runtime
- 9:55
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- UCHAMBUZI: SIMBA WAWE MAKINI WASISHANGILIE MATOKEO YA YANGA WANA MCHEZO MGUMU DHIDI YA MASHUJAA
- Runtime
- 2:03
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- TAZAMA KILICHOMKUTA ALI KAMWE BAADA YA KUTUA DAR, AFUNGUKA SAKATA LA MWAMNYETO VS DIARRA KIPIGO 3-2!
- Runtime
- 1:30
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #mana...
- Title
- DK MWIGULU AGUSIA KIPIGO CHA YANGA BUNGENI, IKIMABIZWA NA DODOMA JIJI BAO 3-2
- Runtime
- 0:36
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema unaweza kuwa na mitambo mizuri, lakini mambo yasikuendee kama ulivyopanga, akifananisha hali hiyo na kilichowakuta Yanga jana Mei 13, 2026 baada ya kufungwa mabao 3-2 na Dodoma Jiji.
Mwigulu ameyasema hayo alipokuwa akimpa pole Spika wa Bunge, Mussa Zungu katika Ukumbi wa Pius Msekwa wakati bunge likiendelea.
Kabla ya kichapo cha jana Yanga ilikuwa imecheza mechi 42 za ligi bila kupoteza.
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA ISHIRINI NA NANE, MEI 13, 2026
- Runtime
- 2:52:55
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA ISHIRINI NA NANE, MEI 13, 2026
- Title
- How Coop Bank positions itself at the heart of inclusive finance drive
- Runtime
- 36:56
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- In this exclusive interview, we sit down with the Managing Director and CEO of Coop Bank Tanzania, Godfrey Ng'urah, who shares with us the bank's stellar performance after one year of operations.
- Title
- Mwongozo wa kitaalamu watajwa silaha dhidi ya upofu
- Runtime
- 15:39
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Dar es Salaam. Wataalamu wa afya ya macho wameeleza kuwa kuimarishwa kwas proghramu za mwongozo wa kitaaluma kwa madaktari wanaosomea udaktari bingwa wa macho ni moja ya suluhisho muhimu la kupunguza ongezeko la wagonjwa wa mtoto wa jicho la upofu nchini.
Tatizo kubwa la macho nchini kwa sasa nio mtoto wa jicho, huku wakieleza kuwa tofauti na zamani ambapo ugonjwa ulikuwa ukiwaathiri Zaidi wazee, sasa unaanza kuonekana hata kwa watu wenye umri wa miaka 4.
Hayo yameelezwa katika mafunzo maalumu ya mweongozo wa kitaaluma kwa madaktari wanaosomea udaktari bingwa wa macho yaliyoratibiwa na taasisi ya Eye Corps (IOP), yakihusisha wataalamu wa ndani na nje ya Tanzania kwa lengo la kuongeza ujuzi wa vitendo kwa madaktari hao.
Mkurugenzi Mtendaji wa Eye Corps, Dk Susan Macdonald asm,baye pia ni daktari bingwas wa up[asuaji wa macho, amesema Tanzania imeonyesha hatua kubwa kwa kuongeza idadi ya wanafunzi wa udaktari bingwa wa macho, lakini changamoto il...
- Title
- MCL YAZINDUA MWONGOZO WA MATUMIZI YA AI KATIKA UHARIRI, UANDISHI WA HABARI
- Runtime
- 5:29
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imezindua mwongozo wa matumizi ya Akili Unde (AI) katika shughuli zake za uhariri na uendeshaji wa majukwaa yake mbalimbali.
Mwongozo huo unaweka misingi, kanuni na viwango vya usimamizi vitakavyoongoza matumizi yenye uwajibikaji ya AI katika uandishi wa habari, ushirikishwaji wa hadhira, uzalishaji wa maudhui na mifumo ya kazi ndani ya chumba cha habari.
Akizungumza leo Mei 13,2026 wakati wa uzinduzi huo, Mhariri Mtendaji wa MCL, Mpoki Thomson amesema sekta ya habari ipo katika kipindi cha mabadiliko ya kiteknolojia, jambo linalofanya taasisi za habari kuwa na wajibu wa kukumbatia ubunifu huku zikilinda misingi ya uhariri na imani ya umma.
“Akili Unde tayari inabadilisha namna habari zinavyopatikana, kuzalishwa, kusambazwa na kutumiwa duniani. MCL tunaiona AI kama nyenzo ya kuimarisha uandishi wetu wa habari, kuongeza ufanisi wa chumba cha habari na kusaidia ubunifu huku uamuzi wa kibinadamu, uh...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 28, Mei 13, 2026
- Runtime
- 3:25:01
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- 269 WAPOTEZA MAISHA, SHAMBULIO YA HOSPITALI YA WARAIBU
- Runtime
- 3:28
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Afghanistan. Familia za mamia ya Waafghanistan waliouawa katika shambulio la anga, lililofanywa na Pakistan dhidi ya kituo cha tiba ya waraibu wa dawa za kulevya mjini Kabul, zimeendelea kudai majibu kuhusu sababu ya kushambuliwa kwa raia waliokuwa wakipatiwa matibabu, huku Umoja wa Mataifa umethibitisha watu wasiopungua 269 waliuawa katika tukio hilo lililotokea Machi 16, 2026.
Miongoni mwa wanaotafuta haki ni Masooda mwenye umri wa miaka 27, ambaye alipoteza mdogo wake Mirwais aliyekuwa akitibiwa katika hospitali ya Omid Drug Rehabilitation, akidai mwili wa ndugu yake ulikutwa ukiwa umeharibika vibaya, kiasi cha kutambulika kwa alama ya kuzaliwa pekee, nao wahanga wengi waliteketea na kusambaratishwa na milipuko kiasi cha kushindwa, kutambulika.
Shambulio hilo linatajwa kuwa moja ya mashambulizi mabaya zaidi kuwahi kutokea Afghanistan, katika miaka ya hivi karibuni huku Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeeleza kuwa, idadi halisi ya waliokufa inaweza kuwa kubwa za...
- Title
- ISRAEL, HEZBOLLAH YAPAMBA MOTO LICHA YA MAKUBALIANO KUSITISHA MAPIGANO
- Runtime
- 2:57
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Lebanon. Watu wasiopungua 13 wameuawa kusini mwa Lebanon kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel, huku miongoni mwa waliopoteza maisha wakiwa wahudumu wawili wa huduma za dharura, mashambulizi hayo yameripotiwa kutokea licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la Hezbollah, kuendelea kuwepo.
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Taifa la Lebanon (NNA), watu sita waliuawa na wengine saba kujeruhiwa usiku baada ya nyumba moja katika eneo la Kfar Dounine kushambuliwa kwa bomu, mashambulizi hayo yameongeza hofu ya kurejea kwa mapigano makali kusini, mwa nchi hiyo.
Wizara ya Afya ya Lebanon ilisema wahudumu wawili wa kikosi cha uokoaji cha Civil Defense, waliuawa Jumanne mchana mjini Nabatieh walipokuwa wakitekeleza operesheni ya uokoaji, kufuatia shambulio jingine lililokuwa tayari limeua mtu mmoja, na mhudumu wa tatu alijeruhiwa katika, tukio hilo.
Rais wa Lebanon Joseph Aoun, alieleza masikitiko yake kuhusu kuuawa ...
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA 27, MEI 12
- Runtime
- 2:11:38
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA ISHIRINI NA SABA
- Title
- WANANCHI KILWA WAPITISHA ADHIMIO KUHUSU BANDARI YA UVUVI YA KILWA MASOKO
- Runtime
- 2:24
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kilwa. Wananchi wa Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Region wamefanya kongamano la kujadili fursa zitakazotokana na Bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko, huku wakipitisha adhimio la kuwataka wanasiasa kuepuka kutumia mradi huo kupotosha umma kwa maslahi ya kisiasa.
Akizungumza leo Jumanne Mei 12, 2026, Mratibu wa kongamano hilo, Hamidu Bobali, amesema wanasiasa waache kutumia mradi wa Bandari ya Kilwa kupotosha wananchi, badala yake wawe mstari wa mbele kuhamasisha wananchi wa Mkoa wa Lindi kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji.
“Niwaombe wanasiasa kuacha kupotosha umma kwa maslahi ya kisiasa kupitia mradi wa bandari ya uvuvi. Badala yake wanatakiwa kuhamasisha wananchi kutumia fursa za kiuchumi ikiwemo biashara na uwekezaji,” amesema Bobali.
Naye Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo amesema ujenzi wa bandari hiyo umefikia asilimia 98, huku kilichobaki kikiwa ni kuwasili kwa mitambo pamoja na magari ya kubeba mizigo.
- Title
- Waogeleaji 300 ndani ya Swahili Talent kushindania Medali za kuogelea Gymkhana.
- Runtime
- 8:31
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Title
- BIMA YA AFYA IUNGANISHWE NA AMBULANCE, TUNAOPATA SHIDA NI SISI MAJIMBONI-BABA LEVO
- Runtime
- 3:26
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KUMEKUCHA UWANJA WA YANGA, GSM ATEMBELEA ENEO LA UJENZI
- Runtime
- 2:28
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

