Mwananchi Digital
MFUMO WA KIDIGITALI KUENDESHA LIGI KUU MSIMU UJAO
- Title
- MFUMO WA KIDIGITALI KUENDESHA LIGI KUU MSIMU UJAO
- Runtime
- 5:22
- Date posted
- 8 hours ago
- Description
- Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TTF), Wallace Karia, amesema wamezindua mfumo mpya wa usimamizi wa ligi utakaotumika kupanga ratiba, kufuatilia takwimu na kuratibu waamuzi kwa lengo la kuongeza ufanisi na kupunguza malalamiko yaliyokuwa yakijitokeza katika uendeshaji wa mashindano.
Amesema mfumo huo utakuwa ukifanyiwa maboresho mara kwa mara ili kuendana na mahitaji ya ligi na wadau wa soka nchini.
Karia amesema mfumo huo utasaidia kufuatilia mwenendo wa waamuzi na kuondoa malalamiko ya mara kwa mara kuhusu waamuzi kufuatana na timu fulani, huku akiwataka viongozi na makocha kuacha hoja za uchovu wa wachezaji kutokana na kuruhusiwa kusajili hadi wachezaji 40.
Amesema ratiba rasmi ya Ligi Kuu itatangazwa kabla ya Julai 20 baada ya kukamilika kwa maboresho ya mwisho ya mfumo huo. Kwa mujibu wa Karia, mchezo wa Ngao ya Jamii utachezwa Agosti 12, 2026, huku Ligi Kuu ikitarajiwa kuanza Agosti 14, 2026 na kumalizika Mei 16, 2027 ili kuto...
- Title
- Mwili wa Bosco Chuwa watoka mochwari, wazungushwa mjini Moshi kabla ya kuagwa
- Runtime
- 5:07
- Date posted
- 8 hours ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- HILI HAPA TAMKO LA PAMOJA LA MARIDHIANO KATI YA CCM NA ACT WAZALENDO ZANZIBAR
- Runtime
- 11:19
- Date posted
- 13 hours ago
- Description
- Chombo maalumu kitakachoratibu na kusimamia utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa baina ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT- Wazalendo, kitaundwa chini ya sheria ili kufanikisha jambo hilo.
Hayo yamebainishwa leo Julai 9, 2026 mjini Unguja, Zanzibar wakati wa hafla ya utiaji saini wa tamko la pamoja baina ya vyama hivyo baada ya mazungumzo yaliyodumu kwa takribani miezi minane, chini ya uongozi wa marais wastaafu, Amani Abeid Karume na Dk Ali Mohamed Shein.
Akiwasilisha tamko hilo, Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ambaye pia ni katibu wa kamati ya mazungumzo hayo, Mansura Mossi Kassim amesema hatua ya mwanzo ya mazungumzo hayo imekamilika na itafuatiwa na hatua nyingine.
“Baada ya kukamilika kwa hatua ya mwanzo, inafuatiwa na hatua hii ya kutolewa kwa tamko hili na kufuatiwa na hatua nyingine kadhaa ikiwamo mazungumzo kama ilivyopangwa katika ratiba iliyokubaliwa na pande zote mbili.
Amesema tukio hilo lina...
- Title
- OTHMAN MASOUD: TUWAKATAE WANAOBEZA HAYA MARIDHIANO YA CCM NA ACT WAZALENDO
- Runtime
- 15:47
- Date posted
- 13 hours ago
- Description
- Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema hatua zinazokusudiwa zitakuwa na masilahi mapana kwa Zanzibar ikiwamo ile ndoto ya visiwa hivyo ya kuwa kituo cha biashara na huduma za usafirishaji.
Othman ameyasema hayo leo Julai 9, 2026 mjini Unguja, Zanzibar baada ya kushuhudia utiaji saini wa tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa baina ya chama chake na Chama cha Mapinduzi (CCM), yaliyoanza Novemba 9, 2025.
Amesema Zanzibar ni nchi ya uchumi wa biashara, na imekuwa na ndoto ya siku nyingi ya kuwa kituo cha biashara na huduma za usafirishaji.
Othman amesema ili kufikia ndoto hiyo, inahitaji mfumo imara wa kitaasisi (corporate economy), soko huria, soko la mitaji, taasisi imara za kuchunga uchumi na taaluma na mfumo wa ufanisi wa utatuzi wa migogoro na utoaji wa haki.
“Hivyo, ni wazi kuwa hatua zinazokusudiwa kuchukuliwa, siyo tu za manufaa ya kisiasa, bali masilahi mapana ya kijamii, kiuchumi na kiutawala. Ni juhudi ...
- Title
- RAIS MWINYI AAHIDI KUUSIMAMIA MCHAKATO WA MARIDHIANO BAINA YA CCM NA ACT WAZALENDO
- Runtime
- 4:10
- Date posted
- 14 hours ago
- Description
- Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametoa wito kwa wananchi wote wa Zanzibar kuunga mkono dhamira njema ya maridhiano baina ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT –Wazalendo, huku akiahidi kuusimamia mchakato huo kwa masilahi ya Zanzibar.
Dk Mwinyi ameyasema hayo leo Julai 9, 2026 mjini Unguja, Zanzibar wakati akishuhudia utiaji saini wa tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa baina ya vyama hivyo, yaliyoanza Novemba 9, 2025.
Amesema hatua ya utiaji saini wa tamko hilo ni hatua muhimu katika kufungua njia kufikia utekelezaji wa matakwa ya kikatiba ya kuwezesha uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwa mujibu wa kifungu cha 9(3) na 39 vya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
“Natoa wito kwa viongozi wote wa vyama vya siasa na wananchi wote wa Zanzibar kuunga mkono dhamira hii njema ya kuleta maelewano na maridhiano, ili kuchochea maelewano na mustakabali mwema wa nchi yetu.
“Kwa upande wetu viongozi, nawahakikishia wananchi ...
- Title
- SELEMAN MWALIMU AMWAGA MACHOZI UWANJANI AKISIMULIA SAFARI YA MAISHA YAKE
- Runtime
- 5:47
- Date posted
- 14 hours ago
- Description
- Moshi. Mshambuliaji wa Simba SC na Taifa Stars, Selemani Mwalimu, ameshindwa kuzuia hisia zake na kuangua kilio wakati wa hafla ya ufunguzi wa Uwanja wa Mandela uliopo kata ya Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, iliyoandaliwa kuelekea kuanza kwa michuano ya Zuberi Cup 2026.
Mwalimu amelia alipokuwa akisimulia maisha magumu aliyopitia kabla ya kufanikiwa katika soka, akisema uwanja huo una kumbukumbu nyingi za safari yake ya kutafuta mafanikio.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Moshi, Mwalimu amesema akiwa pamoja na rafiki yake, Maulid, walikuwa wakifika uwanjani hapo usiku wa manane kufanya mazoezi licha ya kukosa vifaa muhimu, wakiamini siku moja ndoto zao zingetimia.
"Huu uwanja una historia kubwa sana kwenye maisha yangu. Mimi na mshikaji wangu Maulid tuliteseka sana hapa. Kuna kipindi tulikuwa tunakuja kufanya mazoezi usiku wa manane tukiwa hatuna hata viatu, tukiamini ipo siku tutatoboa. Kurudi hapa leo nikiwa hivi, siamini macho yan...
- Title
- RAIS SAMIA: HATUTASITA KUTUMIA NGUVU YA DOLA KUILINDA HESHIMA YA TANZANIA
- Runtime
- 2:59
- Date posted
- 15 hours ago
- Description
- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inasimama imara katika ulinzi wa watu na mali zao hivyo raia nao wanapaswa kuungana na Serikali katika kujilinda huku akisema vitendo vya kigaidi havikubaliki.
“Niwaonye wanaojishughulisha na vitendo vya kigaidi, Taifa lolote duniani hutumia nguvu ya dola kuhami raia wake na kulinda heshima yake, nasi Tanzania hatutasita kufanya hivyo,” amesema.
Kauli hiyo inafuatia onyo alilolitoa kwa wanaharakati aliosema wana nia ya kutambulika duniani akisema kiuhalisia matendo yao ni ya kigaidi.
Rais Samia ameyasema hayo leo Alhamisi, Julai 9, 2026 baada ya kushuhudia utiaji saini wa Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa baina ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha ACT-Wazalendo hafla iliyofanyika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
- Title
- #live: TAMKO LA PAMOJA CCM, ACT-WAZALENDO ZANZIBAR, SAMIA AKISHUHUDIA
- Runtime
- 1:31:30
- Date posted
- 15 hours ago
- Description
- #live LIVE: TAMKO LA PAMOJA CCM, ACT-WAZALENDO ZANZIBAR, SAMIA AKISHUHUDIA
- Title
- RAIS SAMIA AONYA WANAHARAKATI WENYE MIOYO YA UGAIDI
- Runtime
- 3:21
- Date posted
- 15 hours ago
- Description
- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaharakati wenye mioyo ya ugaidi akisema Serikali haitasita kuchukua hatua dhidi yao ili kuhakikisha nchi inaendelea kuwa salama.
Rais Samia ametoa onyo hilo leo Alhamisi, Julai 9, 2026, Ikulu ya Zanzibar wakati akihutubia hafla ya tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa Zanzibar baina ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo.
- Title
- CCM, ACT WATIA SAINI TAMKO LA KISIASA LA MARIDHIANO ZANZIBAR
- Runtime
- 4:17
- Date posted
- 15 hours ago
- Description
- Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT -Wazalendo vimetilia saini tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa baina yao visiwani Zanzibar ikiwa ni hatua ya mwanzo katika mazungumzo yaliyofanyika kwa takribani miezi minane.
Waliotia saini tamko hilo kwa upande wa CCM ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Mohamed Said Dimwa na kwa upande wa ACT- Wazalendo ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Omar Ali Sheikh.
Utiaji saini huo umeshuhudiwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi pamoja na Mwenyekiti wa ACT -Wazalendo, Othman Masoud Othman.
Pia, umeshuhudiwa na marais wastaafu, Amani Abeid Karume na Dk Ali Mohamed Shein ambao waliongoza mazungumzo baina ya vyama hivyo tangu yalipoanza.
Miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira na Kiongozi wa ACT -Wazalendo, Dorothy Semu.
- Title
- Bosco Chuwa kuzikwa ijumaa,familia yatangaza "Bosco Night" kumuenzi
- Runtime
- 3:53
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Wananchi wajitokeza Sabasaba, ulinzi waimarishwa
- Runtime
- 1:36
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Wananchi na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam leo Jumanne Julai 7, 2026 wamejitokeza kushiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba).
Mwananchi imefika katika Viwanja vya Sabasaba saa 3:20 asubuhi na kushuhudia wananchi wakiendelea kuingia viwanjani kushiriki maonesho hayo.
Mwitikio unaonekana kuwa wa wastani, huku hali hiyo ikijiri wakati kukiwa na taarifa zilizosambazwa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu maandamano yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam.
Hata hivyo, Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi imewataka wananchi kuendelea na shughuli zao za kila siku, ikisisitiza kuwa ulinzi na usalama umeimarishwa.
- Title
- Ulinzi waimarishwa maeneo mbalimbali jijini Dar
- Runtime
- 0:27
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Wakati wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakiendelea na pilikapilika zao za kila siku, huku baadhi ya maeneo yakionekana kuwa tulivu na hali ya ulinzi na usalama imeimarishwa. Askari wa Jeshi la Polisi wameonekana wakifanya doria na kuweka ulinzi katika vituo na makutano muhimu ya barabara.
Hatua hiyo inakuja wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wito wa maandamano yaliyopangwa kufanyika leo, Julai 7, 2026, huku vyombo vya ulinzi vikiongeza tahadhari katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu.
Hata hivyo, Juni 26, 2026, Serikali ilisitisha mikutano ya hadhara ya vyama vyote vya siasa nchini kutokana na kile ilichoeleza kuwa ni viashiria vya uvunjifu wa amani kuelekea maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam..
- Title
- Utulivu watawala Kariakoo Maduka yafungwa
- Runtime
- 1:07
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Hali ya utulivu imeshuhudiwa katika maeneo ya Kariakoo huku maduka mengi yakiwa yamefungwa, leo Julai 7, 2026, muda wa saa 5 :32 asubuhi, huku magari yakiwa machache na watembea kwa miguu wakionekana kuwa kwa uchache kuliko ilivyo kawaida katika maeneo hayo.
Mwananchi imeshuhudia maeneo hayo shughuli za kawaida zilikuwa zikiendelea kwa tahadhari, lakini hakukuwa na msongamano wa watu wala magari kama siku nyingine.
Hali hiyo imetokana na kuwepo taarifa zilizosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zikieleza uwepo wa maandamano yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika katika baadhi ya maeneo ya jiji.
Hata hivyo, Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi imewataka wananchi kuendelea na shughuli zao za kila siku, ikisisitiza kuwa ulinzi na usalama umeimarishwa.
- Title
- BAADHI YA BARABARA DAR ZILIVYOKUWA ASUBUHI YA JULAI 7
- Runtime
- 6:17
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Hivi ndivyo hali ya barabara ilivyokuwa katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam kuanzia saa 2:00 hadi saa 5:00 asubuhi leo, Julai 7, 2026.
Mwananchi Digital imeshuhudia uwepo mkubwa wa askari wa Jeshi la Polisi wakiendelea kuimarisha ulinzi na usalama, huku shughuli za usafiri na nyingine za kila siku zikiendelea, ingawa si kwa kiwango kilichozoeleka.
Mwitikio wa usafiri umeonekana kuwa wa wastani, hali inayojitokeza kufuatia taarifa zilizosambazwa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu maandamano yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika leo.
Hata hivyo, Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, imewataka wananchi kuendelea na shughuli zao za kila siku kwa utulivu, ikisisitiza kuwa ulinzi na usalama umeimarishwa.
- Title
- Familia yaeleza mfanyabiashara Bosco Chuwa alivyofariki ghafla
- Runtime
- 3:24
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- RUSSIA YAITIKISA KYIV, SHAMBULIO LA PILI NDANI YA WIKI MOJA
- Runtime
- 2:47
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- yiv, Ukraine. Takribani watu 10 wamefariki dunia na wengine 46 kujeruhiwa, wakiwemo watoto watano, kufuatia mashambulizi mapya ya makombora ya masafa marefu na ndege zisizo na rubani, yaliyofanywa na Russia dhidi ya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv alfajiri ya Jumatatu, haya ni mashambulizi ya pili makubwa kulenga mji huo ndani ya kipindi, cha wiki moja.
Mkuu wa utawala wa kijeshi wa Kyiv, Timur Tkachenko, amesema vikosi vya uokoaji vinaendelea kutafuta manusura katika zaidi ya maeneo 20 yaliyoharibiwa. huku majengo ya makazi ya ghorofa nyingi katika wilaya mbili za jiji hilo, yalipigwa na makombora na juhudi za kuwaokoa waliokwama chini ya vifusi zikiendelea.
Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko, amesema makombora ya balistiki yaligonga majengo kadhaa na kusababisha moto mkubwa katika baadhi ya majengo ya makazi, pia maghala na karakana za magari ziliharibiwa, huku picha kutoka eneo la tukio zikionyesha magari yaliyoteketea na vifusi, vilivyotapakaa katika sehemu mbalimba...
- Title
- KAPOMBE ATOA YA MOYONI BAADA YA KUMALIZA PAREDI LA UBINGWA SIMBA COCO BEACH
- Runtime
- 2:18
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Nahodha wa Simba, Shomary Kapombe, amewashukuru mashabiki wa klabu hiyo kwa kujitokeza kwa wingi leo Jumapili katika paredi ya ubingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, huku akisema sapoti hiyo ikiendelea, msimu ujao watafanya vizuri zaidi.
Kapombe amesema kwa niaba ya kikosi kizima cha Simba, wachezaji wanathamini mapokezi makubwa waliyopewa tangu walipowasili Dar es Salaam hadi kufikia hitimisho la paredi hiyo Coco Beach.
"Kwa niaba ya wachezaji, kwanza napenda kuwashukuru mashabiki na wanachama wote ambao mmejitokeza kwa wingi. Hatukutarajia kuona umati mkubwa kama huu.
"Tunaomba jambo moja, kama mlivyokuwa nasi leo, msimu ujao muendelee kutusapoti kwa nguvu hizi hizi. Tukipata sapoti kama hii tunaamini tutafanya makubwa zaidi kuliko tuliyofanya msimu huu," amesema mkongwe huyo ambaye yupo klabuni hapo tangu 2017.
- Title
- PAREDI LA SIMBA LAFANYA KUFURU MAKAO MAKUU MSIMBAZI
- Runtime
- 1:30
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- AJALI KILIMANJARO! FUSO LAFELI BREKI, LAUA NA KUJERUHI 12
- Runtime
- 2:12
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Moshi. Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine 12 kujeruhiwa, baada ya gari aina ya Fuso lililobeba kokoto kufeli breki na kulilalia gari la abiria (Hiace) katika eneo la Daraja la Kikafu, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani humo, Jeremiah Mkomagi, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyotokea Julai 4, 2026, saa 2:35 usiku ikihusisha jumla ya magari manne yaliyopata uharibifu mkubwa.
Kamanda Mkomagi amesema Fuso hilo lilishindwa kudhibitiwa baada ya kufeli breki na kuigonga Hiace hiyo ambayo nayo iliyagonga magari mengine mawili aina ya Noah na Voxy, kisha Fuso kuilalia pembezoni mwa barabara.
Kufuatia tukio hilo, askari wa Zimamoto kwa kushirikiana na wananchi walifanikiwa kuwaokoa majeruhi 12 waliokuwa wameingia ndani ya Hiace na kuwakimbiza katika Hospitali ya Wilaya ya Hai kwa ajili ya matibabu.
Miili ya marehemu hao, ambao wote ni wanawake na bado hawajatambuliwa, im...
- Title
- Raia wa Uingereza kujaribu kuweka rekodi ya kupanda na kushuka Kilimanjaro ndani ya saa 16
- Runtime
- 3:19
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Moshi. Raia wa Uingereza, John Rees-Evans, anatarajia kufanya jaribio la kuweka rekodi ya kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro ndani ya saa 16 Julai 7, 2026.
Rees-Evans amesema safari yake itaanza katika Kijiji cha Mabungo, ambako ataendesha baiskeli hadi Marangu Mtoni kabla ya kuanza kupanda Mlima Kilimanjaro kwa kukimbia kupitia njia ya Marangu kuelekea Kilele cha kilimanjaro.
Baada ya kufika kileleni, atashuka kupitia Kijiji cha Maua na kurejea Mabungo, ambako atahitimisha safari yake.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Rees-Evans amesema watu wengi waliowahi kuweka rekodi za kupanda na kushuka mlima huo wamekuwa wakianzia safari zao katika lango la Marangu au Umbwe.
Hata hivyo, amesema baada ya kufanya utafiti alibaini historia na jiografia ya eneo hilo linaonyesha Mlima Kilimanjaro unaanzia Mabungo, hivyo ameamua kuanzia safari yake hapo ili kuweka rekodi mpya.
Mwakilishi wa kampuni ya utalii ya Team Kilimanjaro, Jos...
- Title
- PAREDI LA SIMBA LATINGA JANGWANI, TAMBO ZATAWALA
- Runtime
- 2:43
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- #live: KINACHOENDELEA YANGA MUDA HUU, SIMBA WAKISUBIRI PAREDI
- Runtime
- 3:03
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- MASHABIKI SIMBA WALIVYOWAPOKEA MABINGWA WAO DAR
- Runtime
- 2:10
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- SHAMRASHAMRA ZA MASHABIKI SIMBA 'AIRPORT' WA WAKIUPOKEA UBINGWA
- Runtime
- 1:12
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- PAREDI LA UBINGWA YANGA 2025/26 | KARUME - MSIMBAZI - JANGWANI
- Runtime
- 2:16:10
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- PAREDI LA UBINGWA YANGA 2025/26 | KARUME - MSIMBAZI - JANGWANI
- Title
- MMILIKI AZAM FC: NIMECHOKA KUONEWA, NIPO TAYARI KUJIUNGA LIGI YA ZANZIBAR
- Runtime
- 4:03
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- MWANZO MWISHO PAREDI LA UBINGWA YANGA KUTOKA KARUME - MSIMBA HADI JANGWANI | MASIMANGO, TAMBO🔥
- Runtime
- 20:02
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- Maxi: Mashabiki mpambane na mambo yaliyo nje ya uwanja Yanga ifanye vizuri
- Runtime
- 1:56
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Winga wa Yanga, Maxi Nzengeli amesema wataendelea kujituma na kuipigania timu kwa nguvu zote msimu ujao ili ifanye vizuri katika mashindano yote itakayoshiriki.
Pia amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutimiza wajibu kwa kushughulikia masuala yaliyo nje ya uwanja, akisisitiza ushirikiano kati ya wachezaji na mashabiki ni muhimu katika kuiwezesha Yanga kuendelea kupata mafanikio.
Maxi ametoa kauli hiyo leo, Jumamosi, Julai 4, 2026, katika makao makuu ya klabu hiyo, Jangwani, Dar es Salaam wakati wa sherehe za ubingwa wa Ligi Kuu Bara, ambao Yanga imeuchukua kwa msimu wa tano mfululizo.
...
- Title
- INJINIA HERSI: WATU WANAAMINI UJENZI UWANJA WA YANGA NI HADITHI
- Runtime
- 2:24
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- MASIMANGO MSIMBAZI! SIMBA YAKATAA UNYONGE YATUNISHIANA MISURI NA YANGA PAREDI LA UBINGWA, TSHABALALA
- Runtime
- 3:34
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- Mapinduzi matumizi nishati ya umeme na gesi kwa bodaboda, bajaji yashika kasi nchini, watu waeleza
- Runtime
- 4:28
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- ULINZI WAIMARISHWA PAREDI LA YANGA
- Runtime
- 3:36
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- ULINZI WAIMARISHWA PAREDI LA YANGA
- Title
- HUYU HAPA MWANAUME MWENYE GUBU BABA ATU, AIBU UTAONA WEWE
- Runtime
- 40:21
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KINACHOENDELEA KARUME MUDA HUU PARADE LA MABINGWA YANGA
- Runtime
- 2:55
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- KINACHOENDELEA KARUME MUDA HUU PARADE LA MABINGWA YANGA
- Title
- Moto wateketeza maduka Mwanza
- Runtime
- 3:22
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Moto ambao chanzo chake bado hakijajulikana, umeteketeza baadhi ya maduka yaliyopo Mtaa wa Lumumba jijini Mwanza.
Moto huo ulianza jioni ya leo Ijumaa Julai 3 na hadi saa nne usiku juhudi za kuuzima zilikuwa zikiendelea.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema jitihada za kuzima moto huo uliowaka na kuunguza baadhi ya maduka yaliyopo jengo la Sluvian Plaza zinaendelea chini ya uratibu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Endelea kufuatilia Mwananchi
- Title
- RAIS SAMIA NA RAIS CHAPO WAKIFUNGUA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABA SABA JULAI 3, 2026
- Runtime
- 54:16
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- RAIS SAMIA NA RAIS CHAPO WAKIFUNGUA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABA SABA JULAI 3, 2026
- Title
- YANGA YAKAMULIWA MAMILIONI NA BODI YA LIGI KUU
- Runtime
- 1:06
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- KLABU ya Yanga imekutana na adhabu kali ya kutoa Sh.100 milioni kwa kosa la kutotumia chumba chakubadilishia nguo,wakati wa mechi yao dhidi ya JKT Tanzania,iliyopigawa Juni 30, 2025/26 Uwanja wa Major General Isamuhyo.
Akizungumza na Wanahabari jijini Dar es Salaam, Mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) Cornel Barnabas amesema Yanga haikutumia chumba cha kuvalia nguo, badala yake ya wachezaji, maofisa wa benchi la ufundi walikwenda upande wa pili wa barabara kinyume na matakwa ya kanuni ya 17:20 ya ligi kuhusu taratibu za mchezo.
"Hatua nyingine kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imewapeleka kwenye,
kamati ya Maadili ya TFF, Rais wa Yanga Hersi Said na Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Andre Mtine ili kutoa maelezo ya msingi kutokana na makosa ya kujirudia, awali klabu hiyo ilitenda kosa kama hilo Mei ilipocheza dhidi ya Simba ambapo ilitozwa Sh. 30 milioni." amesema.
- Title
- MAHAKAMA YA RUFANI YAKAMILISHA USIKILIZAJI MAOMBI YA MAPITIO KESI YA LISSU
- Runtime
- 1:39
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Mahakama ya Rufani imekamilisha usikilizwaji wa shauri la maombi ya mapitio lililofunguliwa na Jamhuri dhidi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu.
Jamhuri ilifungua shauri hilo la maombi ya mapitio Februari 24, 2026, ikipinga uamuzi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, kuikatalia maombi yake ya kutaka iruhusiwe kuwasilisha ushahidi wa nyongeza katika kesi ya uhaini inayomkabili mwanasiasa huyo.
Shauri hilo la mapitio namba 7203216/2026 limesikilizwa leo, Ijumaa, Julai 3, 2026, na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani walioketi Dar es Salaam, likiongozwa na Jaji Augustine Mwarija, Majaji wengine ni Zainabu Muruke na Amour Khamis.
- Title
- #live :RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU DAR ES SALAAM JULAI 1, 2026
- Runtime
- 2:20
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- #live :RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU DAR ES SALAAM JULAI 1, 2026
- Title
- LISSU ALIVYOPANDISHWA KIZIMBANI MAHAKAMANI DAR LEO
- Runtime
- 0:43
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Lissu afikishwa Mahakama Kuu Dar kesi ya uhaini inayomkabili
- Runtime
- 1:20
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Hatimaye Moshi yapata mwarobaini upungufu wa maji
- Runtime
- 5:28
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Moshi.Utekelezaji wa mradi wa upanuzi na uboreshaji wa chanzo cha majisafi cha Coffee Curing unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji katika Manispaa ya Moshi kutoka mita za ujazo 750 hadi 3,840 kwa siku, hatua inayolenga kupunguza upungufu wa maji na kuboresha huduma kwa maelfu ya wakazi.
Mradi huo unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (Muwsa) kwa gharama ya zaidi ya Sh646 milioni, unalenga kuhudumia wakazi wapatao 12,283 wa kata za Kaloleni, Njoro na Miembeni, ambazo zimekuwa zikikabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama.
Akizungumza leo Julai 2,2026 wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la mradi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Muwsa, Muhandisi Kija Limbe, amesema Manispaa ya Moshi inahitaji mita za ujazo 73,246 za maji kwa siku, lakini kwa sasa ina upungufu wa mita za ujazo 17,593.
Amesema kutokana na changamoto hiyo, Muwsa iliamua kutumia wataalamu wake wa ndani kutekeleza mradi huo ulioanza Mei 25, 2026 ...
- Title
- CHALAMILA; MSIHOFU SABASABA ATAHADHARISHA WATAKAO VUNJA SHERIA
- Runtime
- 2:00
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Katambi aeleza sababu kupiga 'STOP' mikutano ya hadhara, atoa utaratibu wa kisheria
- Runtime
- 6:27
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- MAMA AFUNGUKA MAZITO: NILIACHWA NA MUME KISA CHANGAMOTO ZA MTOTO WANGU
- Runtime
- 4:55
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- HII NDIO HALI YA AFYA YA PACOME, MAKAMU WA RAIS YANGA ATINGA HOSPITALI
- Runtime
- 1:44
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Makamu wa Rais wa Yanga Arafat Haji akiwa hospitali ya Aga Khan kumjulia hali kiungo wa timu hiyo Pacome Zouzoua baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na kuumia kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania.
- Title
- #live :RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU DAR ES SALAAM JULAI 1, 2026
- Runtime
- 7:43
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #live :RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU DAR ES SALAAM JULAI 1, 2026
- Title
- #live : RAIS SAMIA AKIPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA, IKULU DAR
- Runtime
- 1:27:28
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- RAIS DKT. SAMIA AKIPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA, IKULU DAR ES SALAAM
- Title
- MAX AFUNGUKA ALICHOKIONA KWA PACOME UWANJANI
- Runtime
- 5:57
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

