Mwananchi Digital
Historia ya chumba cha Malkia ndani ya jengo la KNCU
- Title
- Historia ya chumba cha Malkia ndani ya jengo la KNCU
- Runtime
- 2:04
- Date posted
- 5 hours ago
- Description
- Moshi. Mwaka 1956, Princess Margaret, mdogo wake wa Malkia Elizabeth II, alifika mjini Moshi kama mwakilishi rasmi wa familia ya kifalme ya Uingereza katika sherehe za kumtawaza Mangi Mkuu wa Wachaga, Thomas Marealle. Ujio wake uliweka historia kubwa katika mji huo uliokuwa chini ya utawala wa kikoloni.
Wakati huo, Moshi ilijaa shamrashamra kubwa za mapokezi ya mgeni huyo wa hadhi ya juu, ambapo wananchi walijitokeza kwa wingi kushuhudia msafara wake ukipita kuelekea maeneo ya shughuli rasmi. Tukio hilo lilionekana kama moja ya matukio makubwa ya kifalme kuwahi kushuhudiwa Kilimanjaro.
Princess Margaret alifikia Hoteli ya KNCU iliyopo ndani ya jengo la Chama Kikuu cha Ushirika wa Wakulima wa Kahawa Kilimanjaro, ambako alilala katika chumba maalumu namba 10 kilichoandaliwa kwa heshima ya mgeni huyo wa kifalme. Hoteli hiyo ilikuwa miongoni mwa majengo ya kisasa zaidi Afrika Mashariki wakati huo.
KNCU ilijengwa kwa nguvu za wakulima wa kahawa walioun...
- Title
- Chalamila atoa kauli mchina aliyeuawa Dar
- Runtime
- 2:50
- Date posted
- 5 hours ago
- Description
- Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amegusia tukio la mauaji raia wa china akisema kama marehemu angekuwa mwanasiasa anayejulikana waziwazi kwa chama fulani, kuna uwezekano watu wangeanza kutoa tafsiri za kisiasa mapema.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mei 25,2026 Chalamila amesema raia huyo wa China angekuwa anafahamika ni mwanachama wa chama fulani, watu wangesema ameuliwa kwa sababu ya itikadi yake lakini kwa kuwa hilo halipo, uchunguzi wake unaendelea katika mazingira ya kawaida.
Amewataka wananchi kuendelea kuwa na imani na vyombo vya usalama huku akisisitiza kuwa hali ya usalama katika Mkoa wa Dar es Salaam ipo shwari.
“Kwanza nitoe wasiwasi kwa wananchi wote kwamba hali ya usalama katika Mkoa wa Dar es Salaam ni nzuri sana. Pia niwasihi wawekezaji na wananchi wanaomiliki maeneo makubwa ya biashara hakikisheni mnatumia walinzi kutoka kampuni rasmi zilizosajiliwa na Serikali badala ya kuajiri watu binafsi,” amesema.
- Title
- SHAMBULIZI LA KIKATILI LAWAACHIA PAKISTAN SIMANZI KUBWA
- Runtime
- 2:51
- Date posted
- 6 hours ago
- Description
- Pakistan. Takribani watu 20 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa, baada ya mlipuko mkubwa kulenga treni iliyokuwa ikisafirisha wanajeshi na familia zao nchini Pakistan, tukio hilo lilitokea katika kituo cha reli cha Chaman Phatak mjini Quetta, mji mkuu wa jimbo la Balochistan magharibi, mwa nchi hiyo.
Maofisa wa reli wameeleza kuwa, mabehewa matatu pamoja na injini ya treni yalitoka kwenye reli, huku mabehewa mawili yakipinduka kufuatia mlipuko huo mkubwa, treni hiyo ilikuwa ikisafirisha askari pamoja na familia zao waliokuwa wakirejea nyumbani kwa ajili ya sikukuu, ya Eid.
Serikali ya jimbo la Balochistan imesema kundi la waasi la Balochistan Liberation Army, ndilo lililohusika na shambulizi hilo likidaiwa kutekelezwa kwa njia ya kujitoa mhanga, kundi hilo lilidai kuhusika na tukio hilo muda mfupi baada ya mlipuko, kutokea.
Picha kutoka eneo la tukio zinaonesha mabehewa ya treni yaliyoteketea kwa moto, magari yaliyoharibika vibaya p...
- Title
- Polisi wawashikilia Wachina wanne kwa utekaji
- Runtime
- 7:47
- Date posted
- 6 hours ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Alichokisema Kihenzile mbele ya Waziri Mkuu
- Runtime
- 9:04
- Date posted
- 6 hours ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA THELATHINI NA SITA MEI 25, 2026
- Runtime
- 5:13:34
- Date posted
- 8 hours ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA THELATHINI NA SITA MEI 25, 2026
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA THELATHINI NA SITA MEI 25, 2026
- Runtime
- 0:00
- Date posted
- 8 hours ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA THELATHINI NA SITA MEI 25, 2026
- Title
- VITA UKRAINE YACHUKUA SURA MPYA, RUSSIA YATUMIA KOMBORA LA KASI KUBWA
- Runtime
- 3:12
- Date posted
- 8 hours ago
- Description
- Russia imefanya mashambulizi makubwa dhidi ya Ukraine usiku, kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drones) pamoja na makombora kadhaa, hali iliyosababisha vifo vya watu wanne na kujeruhiwa kwa zaidi ya watu 100, katika maeneo mbalimbali nchini humo, huku Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema mji mkuu Kyiv ulikuwa shabaha kuu, ya mashambulizi hayo.
Milipuko mikubwa ilisikika usiku kucha katika jiji la Kyiv, huku majengo mengi ya makazi, shule, ukumbi wa opera na makumbusho yakiharibiwa vibaya, miongoni mwa maeneo yaliyoathirika ni Makumbusho ya Chornobyl ambayo maaofisa wa Ukraine wamesema, yameharibiwa kwa kiwango kikubwa baada ya kushambuliwa.
Wizara ya Ulinzi wa Russia imedai kutumia kombora la kisasa la kasi kubwa, aina ya Oreshnik katika mashambulizi hayo, ikisema hatua hiyo ilikuwa ni jibu kwa kile ilichodai kuwa, mashambulizi ya Ukraine dhidi ya miundombinu ya kiraia ya Russia, hata hivyo jeshi la Ukraine limekanusha kuwahi kulenga raia.
- Title
- LISSU AFIKISHWA MAHAKAMA KUU, KESI YA MGAWANYO WA MALI.
- Runtime
- 0:56
- Date posted
- 11 hours ago
- Description
- Mwenyekiti wa Chama Cha Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Tundu Lissu, amefikishwa katika Mahakama kuu Masjala Ndogo ya Dar es salaam, Leo jumatatu Mei 25, 2026 kwa ajili ya kusikiliza maombi yake ya kuunganishwa katika kesi inayohusu mali za chama hicho.
Kesi hiyo itasikilizwa mbele ya Jaji Ngunyale ambapo Lissu atahudhuria akiwa katika nafasi yake ya uongozi ndani ya chama
Usikilizwaji wa kesi hiyo unatarajiwa kuanza saa 2:45 asubuhi huku .
- Title
- ALLAN OKELLO AFUNGUKIA BATO LAKE NA CHAMA, AMTAJA MESSI
- Runtime
- 10:30
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Kule Simba kuna moto unaowashwa na kiungo wao Clatous Chama ambao mashabiki wa timu zingine hawaufurahii lakini Yanga nako kuna mtu mwingine ana balaa, huyu ni Allan Okello, vilevile wengine wanachukia kiwango chake. Sasa raia huyo wa Uganda ameamua kufunguka kuhusu Chama.
Chama tangu amerejea Simba kuanzia dirisha dogo la Januari 2026, namba zake zimeanza kushtua akifunga jumla ya mabao manane kati ya hayo, sita ameyafunga akiwa na Wekundu hao wa Msimbazi wakati mawili aliyafunga alipokuwa Singida Black Stars.
Kiungo huyo pia amefanikiwa kutengeneza asisti sita ambazo zote amezipika akiwa hapo Simba na kumfanya kuhusika kwenye jumla ya mabao 14, lakini moto wake zaidi ni kwamba amebeba tuzo tano za mchezaji bora wa mechi katika michezo mitano mfululizo.
Okello naye ana balaa lake, akianzia dirisha dogo la Januari 2026 kama ilivyo kwa Chama, akifanikiwa kufunga mabao tisa akimfikia Prince Dube anayecheza naye pale Yanga ambaye yeye ameanza mwanzo ...
- Title
- DK MWIGULU: DINI HAZISIMAMISHI VIONGOZI NCHINI
- Runtime
- 3:42
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema vyama vya siasa vilivyosajiliwa kikatiba ndivyo vyenye dhamana ya kisheria ya kupendekeza na kusimamisha wagombea katika nyadhifa mbalimbali za kuwakilisha wananchi, na siyo madhehebu ya dini.
Dk Mwigulu ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 23, 2026 wakati akihutubia mkutano wa hadhara na wananchi wa Mkoa wa Iringa.
Amesema mfumo wa uongozi nchini unazingatia Katiba kupitia vyama vya siasa pekee, vinavyotekeleza taratibu za kupata viongozi wa nchi kwa mujibu wa sheria.
“Nchi yetu hii, utaratibu wa kupata viongozi wakuu wa nchi ni kupitia vyama vya siasa. Hatujawahi kusimamisha wagombea wa madhehebu, tunatumia vyama vya siasa ndivyo Katiba inavyosema,” amesema Dk Mwigulu.
Aidha, ameonya vibaraka wenye nia ovu ya kuhatarisha na kuharibu amani nchini kwa kueneza habari potofu na zinazopotosha wananchi, akisisitiza kuwa hawatofanikiwa katika malengo yao.
- Title
- NI HUZUNI MWILI WA MCHINA ALIYEUAWA KIKATILI UKIAGWA MABIBO
- Runtime
- 3:06
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- MATUKIO YA UTEKAJI YAMUIBUA WAZIRI MKUU, ATOA MAAGIZO HAYA
- Runtime
- 4:56
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- DCEA YATEKETEZA KILO 504 ZA HEROINI MTWARA
- Runtime
- 3:58
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, imeteketeza kilo 504.36 za heroini zilizokamatwa kutoka kwa raia saba wa Iran katika Bahari ya Hindi ndani ya eneo tengefu la kiuchumi wilayani Kilwa, Mkoa wa Lindi.
Uteketezaji huo umefanyika leo Mei 23, 2026 kufuatia amri ya Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara iliyotaka vielelezo hivyo vilivyokamatwa kati ya Aprili 22 na 24, 2021 viharibiwe rasmi.
Akizungumza wakati wa shughuli hiyo, Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo amesema hatua hiyo ni sehemu ya juhudi za Serikali kupambana na biashara ya dawa za kulevya inayotishia usalama wa Taifa na afya ya jamii.
Amesema awali mamlaka hiyo pia iliteketeza kilo 355 za methamphetamine kutokana na dawa hizo kuwa katika mfumo unaoyeyuka haraka zinapopata joto.
- Title
- MWAMNYETO ATOA KAULI ILE ISHU YA KUJIFUNGA DHIDI YA DODOMA JIJI, YANGA IKIFA BAO 3-2
- Runtime
- 4:32
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Beki wa Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto, amesema kila mchezaji huweza kufanya makosa uwanjani, lakini athari na namna ya kupokewa kwake hutofautiana kulingana na mazingira.
Ameeleza makosa aliyoyafanya katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji iliyopigwa Mei 13, 2026, ambapo Yanga ilipoteza kwa mabao 3-2, tayari ameyaweka nyuma na hana muda wa kuyawaza tena.
Kwa sasa, anajielekeza kikamilifu katika mechi sita zijazo za Ligi Kuu Bara, akilenga kusaidia Yanga kupambana na kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara.
Hadi sasa Yanga inaongoza msimamo wa ligi ikiwa na pointi 57 ikifuatiwa na Simba katika nafasi ya pili na pointi 55.
...
- Title
- 'DRESS CODE' YA ALI KAMWE LEO NI SH7 MILIONI, AFUNGUKIA MECHI ZA SIMBA, MAPENZI
- Runtime
- 7:54
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 35 | MEI 22, 2026
- Runtime
- 3:48:36
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KOCHA KANU AFAFANUA SABABU ZA KUMTOA KIPA METACHA
- Runtime
- 3:33
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KOCHA MOALIN: HAIKUWA RAISI KUIFUNGA SINGIDA
- Runtime
- 3:09
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- ALI KAMWE: KILA MTU ASHINDE ZAKE
- Runtime
- 6:38
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- SALIBOKO MKALI WA BUTTERFLY ALIYEANZIA BAHARINI: BABA MZAZI AFUNGUKA
- Runtime
- 24:01
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 33 | MEI 21, 2026
- Runtime
- 3:57:28
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- MAAJABU YA CHAMA YAIBEBA SIMBA YAWAPONZA WENYEJI, YANGA vs SINGIDA PRESHA YAPANDA UCHAMBUZI WA NKINI
- Runtime
- 10:44
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 33 | MEI 21, 2026
- Runtime
- 2:50:06
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- ALICHOKISEMA MSAIDIZI WA TUNDU LISSU.....
- Runtime
- 6:35
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- FERDINAND BALOZI MPYA WA UTALII TANZANIA
- Runtime
- 3:44
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amemtambulisha nyota wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand kuwa Balozi wa hiari wa Utalii wa Tanzania.
Dk. Kijaji ameyasema hayo leo Alhamisi, Mei 21, 2026 wakati akimkabidhi rasmi Rio Ferdinand, cheti maalum cha kumtambua kama balozi wa hiari wa utalii.
Kwa upande wake Rio Ferdinand ametoa shukrani kwa kupewa fursa hiyo na kuahidi kushirikiana na Tanzania.
- Title
- SPIKA ZUNGU ALIVYOMBANA NAPE AMSHUKURU RAIS SAMIA
- Runtime
- 5:30
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- MBONI AHIMIZA WANANCHI KUTUMIA FURSA YA HUDUMA ZA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA
- Runtime
- 1:39
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Wananchi wa Manispaa ya Shinyanga wamepata nafasi zaidi ya kunufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Awamu ya Pili baada ya kampeni hiyo kuongezewa siku mbili hadi Mei 22, 2026 kutokana na mwitikio mkubwa wa wananchi wanaojitokeza kupata huduma mbalimbali za kisheria.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita ametembelea mabanda ya huduma katika viwanja vya Zimamoto Nguzonane, Manispaa ya Shinyanga, ambako kampeni hiyo inaendelea kutolewa kwa wananchi.
- Title
- ZUCHU: KIZAZI KIJACHO KIPEWE ELIMU KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI KWA MANUFAA YA TAIFA
- Runtime
- 4:59
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Mauaji ya mmiliki wa kiwanda yasitisha kwa muda ajira na uzalishaji
- Runtime
- 18:05
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Dar es Salaam.Mamia ya wafanyakazi wa kiwanda cha XIL LI kilichopo Mabibo Sokoni, jijini Dar es Salaam wameingia katika sintofahamu kufuatia kusimama kwa shughuli zote za uzalishaji baada ya kuuawa kwa mmiliki wa kiwanda hicho, Bhaozang Ge (50), raia wa China.
Bhaozang Ge ambaye alikuwa akiishi ndani ya kiwanda hicho, anadaiwa kuuawa usiku wa kuamkia Mei 16, 2026 baada ya kushambuliwa na walinzi binafsi wa kiwanda chake na mwili wake kutupwa ndani ya mtaro wa kiwandani huku msiba ukiendelea ndani ya eneo la kiwanda hicho.
Pia, walinzi hao walionekana wameondoka na begi la pesa ambalo linasadikiwa kuwa na kiasi cha Sh 10 milioni kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi pamoja na wauzaji makopo wanaopeleka bidhaa hiyo katika kiwanda hicho.
Hata hivyo, kifo hicho kilithibitishwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Mei 19,2026 na lilisema Upelelezi wa tukio hilo unaendelea ili watuhumiwa wachukuliwe hatua zaidi kali za kisheria
Hadi sasa shughuli z...
- Title
- HAYA HAPA MAPOKEZI YA RIO FERDINAND ARUSHA
- Runtime
- 1:59
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Hali ilivyo katika uwanja wa ndege wa Arusha katika mapokezo ya nyota wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand leo Mei 21 ,2026 ambapo amepokelewa na viongozi wa kimila pamoja na wananchi mbalimbali.
Akiwa Arusha atatembelea uwanja wa AFCON pamoja na hifadhi za utalii.
Nje ya uwanja huo mamia ya mashabiki wamejitokeza kumpokea gwiji huyo wa soka , wakiimba nyimbo mbalimbali pamoja na ngoma za asili.
Ferdinand ametuaTanzania kwa mwaliko wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda.
- Title
- CHOBWEDO AIBUKIA AIRPORT ARUSHA KUMPOKEA RIO FERDINAND STAA MANCHESTER UNITED
- Runtime
- 1:27
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Nyota wa TRA United, Ramadhan Salum ‘Chobwedo’ ameonekana katika Uwanja wa Ndege wa Arusha kwenye mapokezi ya Beki wa zamani wa England na Manchester United, Rio Ferdinand.
Chobwedo yupo uwanjani hapa na kikosi cha TRA United ambacho nacho kimefika hapa kwa mapokezi ya Rio ambaye leo atafanya ziara katika Uwanja wa AFCON Arusha.
Ukiondoa TRA United, kuna mamia ya watu wamejitokeza katika mapokezi hayo wakiwa katika makundi tofauti.
- Title
- CHADEMA: MSAIDIZI WA LISSU APATIKANA AKIWA NA PINGU MKONONI
- Runtime
- 1:59
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA 33 MEI 20, 2026
- Runtime
- 2:50:37
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Mmoja afariki, saba wajeruhiwa ajalini, dereva asakwa
- Runtime
- 2:57
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Shinyanga. Mtu mmoja anayejulikana kama Boaz Martine aliyekuwa mpiga picha wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa amefariki dunia, na wengine saba kujeruhiwa ambao ni mwandishi mmoja, afisa habari wa mkoa pamoja na askari polisi watano katika ajali ya gari Toyota Harrier yenye namba za usajili T 210 EDB na Toyota Land Cruiser Hardtop lenye, namba za usajili DFPA 8920 iliyotokea kata ta Samuye wilaya ya Shinyanga mkoani, Shinyanga.
Akizungumza leo Mei 20, 2026 na vyombo vya habari Kamanda wa Jeshi la polisi mkoani Shinyanga Janeth Magomi ameeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa Toyota Harrier kupita gari lililokuwa mbele yake bila kuchukua tahadhari na kugonga gari lilolokuwa limebeba waandishi, na kupelekea kifo cha mtu mmoja,
“Mtu mmoja anayejulikana Boaz Martine aliyekuwa mpiga picha wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa amefariki dunia baada ya dereva wa Toyota Harrier yenye namba za usajili T 210 EDB ambaye anasakwa, alipita gari lililokuwa mbele bila kuchukua tahadhari na...
- Title
- TAZAMA NAMNA RIO FERDINAND ALIVYOINGIA BUNGENI
- Runtime
- 1:08
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA 33 MEI 20, 2026
- Runtime
- 4:30:08
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- LIVE: RAIS SAMIA AKISHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI KUHUSU UVUMBUZI WA NYUKLIA, AFRIKA
- Runtime
- 30:46
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA THELATHINI NA MBILI MEI 19, 2026
- Runtime
- 3:45:14
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Serikali yaaswa kuandaa mafunzo kwa wafugaji kukabiliana na soko la nje
- Runtime
- 12:00
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- DC MPOGOLO: MWAFUNZI ANAHITAJI SERIKALI, MZAZI NA JITIHADA ZAKE KUFAULU KATIKA MAISHA YAKE
- Runtime
- 5:08
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- OPERESHENI YAFICHUA MTANDAO WA KUWARUBUNI VIJANA, KAHAMA
- Runtime
- 3:32
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Kahama. Katika oparesheni maalumu iliyotekelezwa baada ya kupata taarifa kuwa shughuli isiyohalali inayoendela, Mkuu wa Wilaya ya Kahama Frank Nkinda iliyofanikiwa kuwamata baadhi ya viongozi wa kutoka kampuni ya Qnet Eagles United ambayo imedaiwa kujihusisha na biashara ya mtandaoni bila kibali na kuwarubuni wanafunzi 50 kutoka vyuo mbalimbali nchini Tanzania.
Wakizungumza leo Mei 18, 2026 na waandishi wa habari baadhi ya wanafunzi hao kutoka vyuo mbalimbali wameeleza namna walivyodanganywa kwa kuhaidiwa kupata ajira na kupelekea kujiingiza katika kutapeliwa na wengine kusitisha masomo yao, pamoja na changamoto walizopitia katika jumba hilo.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 31, MEI 18, 2026
- Runtime
- 3:15:51
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 31, MEI 18, 2026
- Runtime
- 4:23:50
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- STEVE NYERERE AFICHUA KITAKACHOFANYIKA ‘ALBAMU’ MPYA TWANGA PEPETA
- Runtime
- 10:42
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Mratibu uzinduzi wa albamu ya 16 ya bendi ya Twanga Pepeta, Steve Nyerere, amefunguka ukweli kuhusu maslahi ya wasanii wa muziki huo nchini. Steve ameeleza kuwa muziki huo haulipi, na msanii wa dansi akifanikiwa hata kujenga nyumba, basi amejikwamua kwa akili na nguvu zake mwenyewe.
Pamoja na changamoto hizo, Steve ameahidi historia mpya kuandikwa Agosti 7, 2026 katika ukumbi wa uzinduzi, ambapo amesisitiza kuwa ‘hapatoshi’ kutokana na mchango mkubwa wa Twanga Pepeta katika kuhamasisha muziki huo nchini.
- Title
- DAWASA MTAA KWA MTAA KUZIBA MABOMBA YALIYOPASUKA, KUPUNGUZA UPOTEVU WA MAJI
- Runtime
- 5:14
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imeanza kuziba mabomba, kukarabati na kubadilisha miundombinu chakavu, ili kupunguza upotevu wa maji katika eneo inayotoa huduma.
Hatua hiyo ni utekelezaji wa mkakati wake wa miaka mitano iliyouanzisha ili kushughulikia changamoto hiyo kubwa ya upotevu ambao kwa sasa maji yanapotea kwa asilimia karibu 35 nchini kote kiujumla.
Akizungumza leo alipokuwa kituo cha Dawasa kilichopo Tegeta, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka hiyo, Mhandisi Mkama Bwire amesema upotevu wa maji unatokana na shughuli mbalimbali kama upasukaji wa mabomba au maji kumwagika kutoka miundombinu ya Dawasa.
- Title
- MAREKANI, IRAN HATARI VITA NYINGINE, MAZUNGUMZO YASUASUA
- Runtime
- 3:29
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Washington. Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Iran kuwa muda wa kufikia makubaliano ya amani unaendelea kuyoyoma, huku mazungumzo ya kusitisha vita yakionekana kukwama, Trump amesema Tehran inapaswa kuchukua hatua haraka kabla hali haijawa, mbaya zaidi.
Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mtandao wake wa Truth Social, Trump alisema Iran wanapaswa kuharakisha vinginevyo hakutakuwa na chochote kitakachobaki kwao, akisisitiza kuwa muda ni muhimu katika kufikia suluhu ya mgogoro huo unaohusisha, Marekani, Israel na Iran.
Onyo hilo limekuja wakati Trump alipofanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, kuhusu maendeleo ya juhudi za amani huku taarifa kutoka Israel, zikieleza kuwa viongozi hao walijadili hali ya usalama Mashariki ya Kati, na mustakabali wa mazungumzo na Iran.
Wakati huo huo, vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa Marekani imeshindwa kutoa mapendekezo, yenye maridhiano ya kutosha katika majibu yake kwa masharti ya...
- Title
- MZEE KADEGE ATAMANI KUKUTANA NA SIMBA FAINALI
- Runtime
- 4:29
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KISUGU AWAPONGEZA WACHEZAJI WA SIMBA
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- SIKIA UTANI WA WASEMAJI: MMEFUNGWA NA MTOTO WA MIAKA TISA
- Runtime
- 1:12
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

