Mwananchi Digital
SHABIBY AWAKA; “NIPO TAYARI KUPELEKWA KAMATI YA MAADILI, NITAWATAJA MAJINA YAO”
- Title
- SHABIBY AWAKA; “NIPO TAYARI KUPELEKWA KAMATI YA MAADILI, NITAWATAJA MAJINA YAO”
- Runtime
- 5:42
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA ISHIRINI NA SABA
- Runtime
- 3:50:15
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA ISHIRINI NA SABA
- Title
- SIRI YA UPASUAJI USIOACHA KOVU KUBWA
- Runtime
- 34:00
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA
- Runtime
- 1:50:42
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA
- Runtime
- 2:09:25
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA
- Title
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA
- Runtime
- 1:32:00
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA
- Title
- Hiki hapa kiini cha makali gharama za IVF Muhimbili
- Runtime
- 13:28
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Wakati huduma ya uzazi pandikizi (IVF) ikiendelea kuwa tegemeo kwa wanandoa wengi wanaokabiliwa na changamoto ya kupata mtoto, mjadala umeendelea kuibuka kuhusu gharama za huduma hiyo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambako mzunguko mmoja wa matibabu hugharimu kati ya Sh14 milioni na Sh18 milioni.
- Title
- HUDUMA YA UZAZI PANDIKIZI (IVF) MUHIMBILI
- Runtime
- 2:15
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- KAMATI YATAKA MABASI 150 YA MWENDOKASI YATOE HUDUMA DAR
- Runtime
- 3:55
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- UWAKTA: TUTAENDELEA KULINDA AMANI NA KUDUMISHA MSHIKAMANO NCHINI
- Runtime
- 4:06
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Umoja wa Wahadhiri wa Kiislamu Tanzania umesema utaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa amani ili kudumisha mshikamano ulioasisiwa na viongozi wa taifa na kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa nchi yenye utulivu.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mkutano mkuu wa mwaka wa UWAKTA, msemaji wa umoja huo, Sheikh Said Kinyogol amesema amani ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa kwani huunganisha wananchi na kuwezesha shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi kufanyika kwa utulivu.
Kwa upande wake, Sheikh Othman Mazinge amesema kulinda amani ni jukumu la kila Mtanzania na si la mtu mmoja pekee, huku akiwataka wananchi kuendelea kuimarisha mshikamano na kuzuia vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa nchi.
Nao Ustiniia Zlatoverkhovnikova pamoja na Gipson Gerald wamesema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano barani Afrika, hali inayopaswa kulindwa ili mataifa mengine yaweze kujifunza kupitia misingi iliyoachwa na waas...
- Title
- WAKULIMA MOMBA WARIDHIA KUUZA UFUTA KWA SH2,714.90
- Runtime
- 10:25
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Songwe. Tabasamu na matumaini vimeanza kuonekana kwa wakulima wa zao la ufuta katika Wilaya ya Momba, mkoani Songwe, kufuatia kufanyika kwa mafanikio mnada wa kwanza wa zao hilo kupitia mfumo wa soko la kidijitali.
Kwenye mnada huo wa kwanza katika Wilaya ya Momba ambao umefanyika Mei 9, 2026, jumla ya tani 928 za ufuta zimefikishwa sokoni na kuuzwa zote.
Bei iliyopatikana pia imepokewa vyema na wakulima, bei ya juu ikiwa Sh2,740 na ya chini Sh2,655 na hivyo kupata wastani wa Sh2714.90 kwa kilo moja.
Kwa upande wa wakulima, mnada huo umeonekana kuwa mwanzo wa mabadiliko makubwa katika biashara ya ufuta.
Jumapili Daud, mkulima wa zao hilo katika Wilaya ya Momba, amesema wameridhishwa na bei zilizopatikana kulingana na mwenendo wa hali ya soko ilivyo hivi sasa.
Ofisa Mwandamizi wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Justa Martini amesema zaidi ya kampuni 10 zimeshiriki katika mnada huo na kuonyesha ushindani mkubwa wa ununuzi wa...
- Title
- RAIS SAMIA KUHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU NA UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/2026
- Runtime
- 2:15:52
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Rais Samia Suluhu Hassan, akihitimisha Mafunzo ya Uongozi Ngazi ya Juu Kozi Namba 28 na Uongozi Daraja la Pili Kozi Namba 48 kwa Mwaka 2025/2026 katika Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, Mei 9, 2026
- Title
- RAIS SAMIA KUHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU NA UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/2026
- Runtime
- 34:16
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Rais Samia Suluhu Hassan, akihitimisha Mafunzo ya Uongozi Ngazi ya Juu Kozi Namba 28 na Uongozi Daraja la Pili Kozi Namba 48 kwa Mwaka 2025/2026 katika Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, Mei 9, 2026
- Title
- Dk Bashiru akerwa na uvamizi wa mashamba ya mifugo
- Runtime
- 3:49
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Bashiru Ally amewataka watendaji wakuu wa wizara hiyo kudhibiti uvamizi wa mashamba ya mifugo na maeneo ya uzalishaji wa mifugo na uvuvi ili yaendelee kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa.
Akizungumza leoJumamosi, Mei 9, 2026 jijini Dodoma katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo, Dk Bashiru amesema haridhishwi na tabia ya baadhi ya maeneo ya mifugo kuvamiwa na kugawiwa kwa matumizi mengine kinyume cha sheria.
“Siridhishwi na uvamizi wa mashamba ya mifugo na umegaji wa maeneo hayo ambayo yalipangwa kwa ajili ya shughuli za uzalishaji,” amesema Dk Bashiru.
Aidha, amewataka watendaji kuhakikisha sekta za mifugo na uvuvi zinaendeshwa kisayansi ili kuongeza tija na kuchochea maendeleo ya sekta hizo muhimu kwa uchumi wa taifa.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Agnes Meena amesema mwaka 2025/26 wizara iliidhinishiwa kutumia Sh476 bilioni, ambapo Sh375 bilioni zilitengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya sekta za ...
- Title
- MFUNGWA ALIVYOJIPAMBANIA MBELE YA RAIS SAMIA
- Runtime
- 4:30
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- DUNIA YAELEKEZA MACHO MOSCOW, MAKUBALIANO YA KUSITISHA VITA
- Runtime
- 3:23
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Moscow. Rais wa Marekani Donald Trump, ametangaza makubaliano ya kusitisha mapigano kwa siku tatu kati ya Russia na Ukraine, huku pande zote mbili zikituhumiana kuvunja makubaliano ya awali ya usitishaji vita, yaliyokuwa yamewekwa wakati wa maadhimisho ya ushindi wa Umoja wa Kisovieti, dhidi ya Ujerumani ya Nazi katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia, katika hatua hiyo Trump amesema makubaliano hayo pia yatahusisha kubadilishana wafungwa 1,000 kutoka, kila upande.
Baada ya tangazo hilo, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alithibitisha nchi yake imekubali kushiriki katika usitishaji huo wa mapigano, huku vyombo vya habari vya serikali ya Russia vikisema Moscow nayo imekubali pendekezo hilo, Trump aliomba binafsi makubaliano hayo na kuwashukuru Zelensky pamoja na Rais wa Russia Vladimir Putin, kwa kuyakubali.
Hata hivyo kabla ya makubaliano hayo kuanza kutekelezwa kikamilifu, pande zote mbili zilianza kutuhumiana kuendelea kufanya mashambulizi, huku Meya wa Moscow Ser...
- Title
- WAKULIMA WA UFUTA WILAYA YA SONGWE WAINGIZA SH3 BILIONI MNADA WA KWANZA
- Runtime
- 9:46
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Wakulima wa ufuta katika wilaya ya Songwe wameingiza zaidi ya Sh3 bilioni kwenye mnada wa kwanza wa ufuta wa msimu wa biashara wa 2026/27 uliofanyika Ijumaa, Mei 8, 2026.
Mnada huo uliofanyika kupitia mfumo wa kidijitali uliuza tani 1,923 za ufuta ndani ya saa chache, huku zaidi ya kampuni 10 zikishiriki kununua.
Akizungumza wakati wa mnada huo, Ofisa Mwandamizi wa Uendeshaji wa Biashara wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Justa Martini, amesema mwitikio wa soko ulikuwa mzuri na ushindani kati ya wanunuzi ulisaidia kupandisha bei.
“Leo tumefanya mnada wa kwanza wa ufuta kwa Mkoa wa Songwe. Tulileta tani 1,923 sokoni na mnada ulienda vizuri, huku zaidi ya kampuni 10 zikishiriki,” amesema.
Kwa upande wake mkulima wa ufuta kutoka Songwe wamesema mnada umeenda vizuri na umeridhisha. Mbali na mkulima huyo Pelagia Joseph mkulima wa ufuta ameshukuru kwa mnada ulivyoendeshwa.
Mnada unaofuata wa ufuta unatarajiwa kufanyika Kamsa...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 25, MEI 8, 2026
- Runtime
- 3:54:55
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- IRAN YAWEKA MASHARTI MAPYA HORMUZ, HOFU YA MASHAMBULIZI YAONGEZEKA.
- Runtime
- 2:52
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Iran imeanzisha utaratibu mpya kwa meli zote zinazotaka kupita katika Mlango wa Hormuz, hatua inayotafsiriwa kama juhudi za Tehran kuimarisha udhibiti wake, katika njia hiyo muhimu ya kimataifa ya usafirishaji wa mafuta, na gesi.
Kwa mujibu wa taarifa ya CNN, Iran imeunda chombo kipya kinachoitwa Mamlaka ya Mlango wa Ghuba ya Uajemi (PGSA), ambacho sasa kinahitaji kila meli kujaza fomu maalumu kabla ya kuruhusiwa kupita katika, mlango huo.
Fomu hiyo yenye jina la “Tamko la Taarifa za Meli” inawataka wamiliki wa meli kutoa taarifa mbalimbali ikiwemo jina la meli, namba ya utambulisho, nchi inakotoka na inakoelekea pamoja na taarifa za wafanyakazi na mzigo, uliobebwa.
Kabla ya kuanza kwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran mwishoni mwa Februari, meli kutoka mataifa mbalimbali zilikuwa zikipita kwa uhuru, katika Mlango wa Hormuz bila masharti yoyote, hata hivyo tangu kuanza kwa vita Iran imekuwa ikitishia kushambulia meli zitakazopit...
- Title
- Watu 5 wamefariki na 28 kujeruhiwa baada ya basi la shabiby kugogana na lori la vinywaji.
- Runtime
- 0:50
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Title
- Rais Samia asisitiza tena yaliyotokea Oktoba 29 yamelitia doa Taifa
- Runtime
- 7:14
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Rais Samia Suluhu Hassan amesema matukio yaliyotokea Oktoba 29 mwaka jana yamelitia doa taifa na hayapaswi kujirudia tena nchini.
Samia amesema hayo leo Ijumaa, Mei 8, 2026 wakati akizungumza na vijana waliokuwa wamekusanyika katika eneo la Chako ni Chako jijini Dodoma akiwa njiani kuelekea Dar es Salaam, ambapo baadhi yao walivaa fulana zilizoandikwa maneno “Never Again”.
“Nimepokea ujumbe wenu, lakini niwaombe sana vijana mlindane wenyewe kwa wenyewe na msikubali kutiwa maneno ya kuharibu usalama wa nchi yetu. Lililotokea nyuma halikuwa jema kwa yeyote,” amesema Samia.
Rais Samia amesema matukio hayo yaliwaathiri vijana wengi, wakiwemo waliojiingiza bila kufahamu madhara yake kutokana na mkumbo. “Kumbukeni yale yaliyotokea yaliwakumba vijana wengi. Wapo walioingia kwa kutokujua, lakini walipokamatwa nikasema waachieni, watajifunza baada ya kuona yaliyotokea,” amesema.
Aidha, amesisitiza kuwa Tanzania imejengwa katika misingi ya amani ...
- Title
- IRAN YAWEKA MASHARTI MAPYA HORMUZ, HOFU YA MASHAMBULIZI YAONGEZEKA
- Runtime
- 2:52
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Iran. Iran imeanzisha utaratibu mpya kwa meli zote zinazotaka kupita katika Mlango wa Hormuz, hatua inayotafsiriwa kama juhudi za Tehran kuimarisha udhibiti wake, katika njia hiyo muhimu ya kimataifa ya usafirishaji wa mafuta, na gesi.
Kwa mujibu wa taarifa ya CNN, Iran imeunda chombo kipya kinachoitwa Mamlaka ya Mlango wa Ghuba ya Uajemi (PGSA), ambacho sasa kinahitaji kila meli kujaza fomu maalumu kabla ya kuruhusiwa kupita katika, mlango huo.
Fomu hiyo yenye jina la “Tamko la Taarifa za Meli” inawataka wamiliki wa meli kutoa taarifa mbalimbali ikiwemo jina la meli, namba ya utambulisho, nchi inakotoka na inakoelekea pamoja na taarifa za wafanyakazi na mzigo, uliobebwa.
Kabla ya kuanza kwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran mwishoni mwa Februari, meli kutoka mataifa mbalimbali zilikuwa zikipita kwa uhuru, katika Mlango wa Hormuz bila masharti yoyote, hata hivyo tangu kuanza kwa vita Iran imekuwa ikitishia kushambulia meli zitak...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 24, MEI 7, 2026
- Runtime
- 1:43:20
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Polisi Wafafanua utata Kifo cha Mbowe, Kijana aliyedaiwa "Kutupwa" na Ambulance Moshi
- Runtime
- 2:38
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai gari la wagonjwa (ambulance) lilimtupa mtu mmoja akiwa amefariki katika eneo la Mbwaruki, wilayani Moshi mkoaani Kilimanjaro.
Ufafanuzi huo unafuatia taharuki iliyoibuka Mei 6, 2026, baada ya mashuhuda kudai kuona gari hilo likimtupa kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 na kutokomea, hali iliyozua sintofahamu kuhusu tukio hilo.
Akifafanua tukio hilo kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa leo Alhamisi, Mei 7, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,Simon Maigwa amesema tukio hilo llilitoke usiku wa Mei 6,2026 kupitia ajali ya barabarani iliyomhusisha Ismail Amani Mbowe (33), mkazi wa Machame, aliyekuwa akiendesha pikipiki yenye namba za usajili MC 336FHV aina ya Sinoray.
Amesema ajali hiyo ilitokea majira ya saa moja usiku katika eneo la Uchira Karamsingi, ambapo mwendesha pikipiki huyo aliyekuwa akitokea Himo kue...
- Title
- Mwanafunzi IFM azikwa bila kichwa kijiji kwao, mama mzazi atoa ujumbe
- Runtime
- 2:54
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Mwombolezaji afariki akiwa kwenye mkesha wa msiba wa mwanafunzi wa IFM, Kilimanjaro
- Runtime
- 4:06
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Moshi.Katika hali ya kushangaza mwanamke mwombolezaji anayejulika kwa jina la Leah Ngowi anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60, mkazi wa kiboriloni, Wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia wakati akiwa kwenye mkesha wa msiba wa aliyekuwa mwanafunzi wa chuo cha Usimamizi wa Fedha(IFM), James Temba(29).
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Mei 7,2026 wakati baadhi ya waombolezaji wakiwa katika mkesha wa msiba wa mwanafunzi huyo, katika Kijiji cha Mande, kata ya Old Moshi Magharibi, Mkoani hapa.
Akizungumzia tukio hilo, shangazi wa marehemu, Ruth Fabian amesema wakiwa wamepumzika usiku huo wakiwa msibani hapo, alikuja mtu mmoja kuwaamsha ili wanywe chai na alipoamka aliamshwa mama huyo ambaye hakuamka.
Akizungumza binti wa marehemu, Laitenes Ngowi, alisema kuwa wakati mama yake anaondoka nyumbani kwenda msibani alikuwa na afya njema na hakuwa na tatizo lolote.
- Title
- Temba wa IFM azikwa Moshi, Kilimanjaro.
- Runtime
- 0:47
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- WANANCHI WAFUNGUKA KUPAA KWA BEI YA MAFUTA NCHINI
- Runtime
- 9:42
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- ISRAEL YASHAMBULIA MJI MKUU WA LEBANON, SHAMBULIO LA KUSHTUKIZA
- Runtime
- 3:02
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Beirut. Israel imefanya shambulio la anga katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, kwa mara ya kwanza tangu kufikiwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano, kati ya kundi la Hezbollah mwezi Aprili mwaka huu, shambulio hilo limeongeza hofu kuhusu kudorora kwa makubaliano hayo, ambayo yameshindwa kumaliza mapigano kati ya pande, hizo mbili.
Mashambulizi hayo yalilenga eneo la kusini mwa Beirut linalojulikana kama Dahieh, ambalo linatajwa kuwa ngome kuu ya Hezbollah, huku iicha zilizosambazwa mtandaoni zikionyesha moto mkubwa ukiteketeza majengo huku jengo moja likiharibiwa vibaya kutokana, na mlipuko huo.
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema yeye binafsi aliridhia shambulio hilo ambalo lilimlenga, kamanda wa kikosi maalumu cha Radwan Force kinachohusishwa na Hezbollah, huku vyombo vya habari vya Lebanon vikiripoti kuwa wanachama wa kikosi hicho walikuwa kwenye mkutano, wakati shambulio hilo lilipotokea majira ya saa mbili usiku kwa saa, za huko.
- Title
- MAKUBALIANO YA SIRI MAREKANI, IRAN YAZUA GUMZO KIMATAIFA
- Runtime
- 3:14
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Iran. Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaamini vita vinavyoihusisha Iran vitaisha haraka, akisisitiza kuwa wengi wanaelewa dhamira yake ya kuhakikisha Tehran haimiliki silaha za nyuklia, kauli hiyo imekuja wakati Iran ikisema bado inachunguza pendekezo la Marekani kuhusu namna ya kumaliza, mzozo huo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari vya Marekani, Ikulu ya White House inaamini ipo karibu kufikia makubaliano ya awali ya vipengele 14 na Iran, yatakayoweka msingi wa mazungumzo mapana zaidi kuhusu mpango wa nyuklia, wa taifa hilo.
Mapendekezo hayo yanadaiwa kujumuisha kusitishwa kwa shughuli za Iran, za kuongeza kiwango cha urutubishaji wa nyuklia, kuondolewa kwa baadhi ya vikwazo vya kiuchumi pamoja na kufunguliwa tena kwa njia ya usafiri wa majini katika Mlango, wa Hormuz.
Hata hivyo, msemaji wa tume ya usalama wa taifa katika Bunge la Iran Ebrahim Rezaei, amepuuza taarifa hizo akizitaja kuwa ni orodha ya matamanio ya M...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 24, MEI 7, 2026
- Runtime
- 4:35:33
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 23, MEI 6, 2026
- Runtime
- 2:45:11
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 23, MEI 6, 2026
- Runtime
- 2:23:04
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- ASILIMIA 50 KUFIKIWA SAMIA LEGAL AID AWAMU YA PILI, SHINYANGA
- Runtime
- 7:19
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Shinyanga. Msaada wa kisheria kwa haki, usawa , amani na maendeleo kwa kuzingatia dira ya taifa ya mwaka 2050 kwa makundi ya watu muhimu kama wanawake, wazee, watoto na watu wenye ulemavu unatarajiwa kuzinduliwa rasmi kwa awamu ya pili Mei 6 hadi 20, 2026 kwa mkoa wa Shinyanga, ukiambatana na utoaji wa elimu kwa wananchi.
Akizungumza leo Mei 5, 2026 Mkurugenzi msaidizi wa uzingatiwaji wa msaada wa huduma za kisheria kutoka wizara ya katiba na sheria Osborn Paissi amesema kuwa katika kampeni hii ya awamu ya pili inatarajia kuwafikia asilimia 50 ya wananchi wa Shinyanga kwa kutoa huduma mbalimbali,
“Tuna matarajio ya kuwafikia asilimia 50 ya wananchi wa Shinyanga kwa huduma za utoaji elimu ya kisheria, uandaaji wa masuala ya kisheria, kutoa uwakilishi wa mahakamani katika mabaraza, usajili wav yeti vya kuzaliwa na vifo sambamba na utoaji hati ya umiliki wa ardhi kwa muda mfupi” amesema Paissi.
Pia ameongeza kuwa, “Katika awamu ya kwanza yam wa...
- Title
- Polisi wanasa mtuhumiwa mauaji ya mama lishe Kilimanjaro
- Runtime
- 2:09
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mfanyabiashara wa chakula (mama lishe), Restituta Moshiro (40), mkazi wa mtaa wa Mnazi, kata ya Ng’ambo wilayani Moshi.
Mwanamke huyo maarufu kama Mama Baraka aliuawa usiku wa kuamkia Aprili 17, 2026, akiwa njiani kurejea nyumbani baada ya kumaliza shughuli zake za kuuza chakula katika eneo la Shar Tours.
Mwili wa marehemu, aliyepumzishwa Aprili 23, mwaka huu, ulikutwa umetupwa katika shamba la mahindi ukiwa na majeraha yanayoashiria aliburuzwa kabla ya kuuawa, huku damu ikionekana puani na nguo yake ya ndani ikiwa imevuliwa na kutupwa pembeni.
Katika eneo la tukio, pia kulikutwa unga wa lishe na maziwa aliyokuwa akimpelekea mtoto wake wa miezi saba vikiwa vimetapakaa karibu na mwili wake, hali iliyozua maswali miongoni mwa wakazi wa eneo hilo.
Akizungumza na Mwananchi leo Mei 6, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro (RPC), S...
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 23, MEI 6, 2026
- Runtime
- 1:11:41
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU CHAMWINO, DODOMA MEI 6, 2026
- Runtime
- 12:50
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, katika hafla inayofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, Mei 6, 2026, Ikulu Chamwino, Dodoma
- Title
- #live: HOTUBA YA RAIS WA KENYA WILLIAM RUTO AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
- Runtime
- 1:47:50
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 22, TAREHE 05 MEI, 2026
- Runtime
- 1:59:11
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- RAIS SAMIA AKIMPOKEA MWENYEJI WAKE WILLIAM RUTO WA KENYA, IKULU DAR ES SALAAM MEI 4, 2026
- Runtime
- 2:45:58
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- RAIS SAMIA AKIMPOKEA MWENYEJI WAKE WILLIAM RUTO WA KENYA, IKULU DAR ES SALAAM MEI 4, 2026
- Runtime
- 2:34:25
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 21, MEI 4, 2026
- Runtime
- 48:26
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Aliyekuwa mume wa shilole Rommy3D aukubali mziki wa Libasse Gueye simba, amnyooshea mikono pacome
- Runtime
- 3:33
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- Daktari bingwa afunguka ukweli nyuma ya uchunguzi wa maiti
- Runtime
- 9:27
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- #live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 21, MEI 4, 2026
- Runtime
- 2:52:02
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- INJINIA MWANAISHA ULENGE AIBANA SERIKALI KUPUNGUA KWA KINA BANDARI YA TANGA
- Runtime
- 4:25
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Title
- VITA YA IRAN YAGEUKA FAIDA KWA UKRAINE, SHINIKIZO KWA RUSSIA LAONGEZEKA
- Runtime
- 2:51
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Ukraine. Vita inayoendelea kati ya Iran na washirika wa Marekani, imeonekana kuipa Ukraine nafasi mpya ya kujiimarisha kisiasa na kijeshi, licha ya changamoto za awali zilizotishia kuisukuma pembeni katika ajenda ya kimataifa, hali hii imeibua swali kubwa: je, makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Ukraine na Russia yako karibu zaidi kuliko ilivyotarajiwa?
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametumia fursa hiyo kujionyesha kimataifa kwa kuimarisha ushirikiano na mataifa ya Ghuba, akitangaza mafanikio ya teknolojia ya droni zilizotumika vitani, ziara yake nchini Saudi Arabia ililenga kuonyesha uwezo wa kijeshi wa Ukraine na kuvutia ushirikiano wa kiulinzi, na mataifa tajiri.
Ukraine tayari imeingia makubaliano na Saudi Arabia, Falme za Kiarabu (UAE) na Qatar, ili kushirikiana teknolojia ya droni, huku mataifa hayo ambayo yameathiriwa na mashambulizi ya Iran, yanaona manufaa ya kujifunza kutoka uzoefu wa Ukraine katika vita, vya kisasa.
Awali, v...
- Title
- VITA YA DRONI YAZIDI KUSHIKA KASI, HASARA YAZIDI KUONGEZEKA
- Runtime
- 2:45
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Ukraine. Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drone) na makombora kutoka Russia nchini Ukraine, yamesababisha vifo vya watu 10 na kujeruhi angalau 76 ndani ya saa 24 zilizopita, kwa mujibu wa maofisa, wa Ukraine.
Maofisa kutoka maeneo matano tofauti nchini humo, waliripoti vifo hivyo huku Russia ikiendelea kulenga miji na vijiji kwa mashambulizi ya mara kwa mara, ya anga.
Wakati huo huo Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, amesema kuwa meli tatu za mafuta za Russia manowari yenye uwezo wa kubeba makombora ya cruise, pamoja na boti ya doria zilishambuliwa katika mashambulizi tofauti, kwenye bandari mbili, za Russia.
Hakuna taarifa za kina kuhusu kiwango cha uharibifu wa meli hizo, lakini Zelensky alisema meli hizo zilikuwa sehemu ya kikosi kivuli kinachotumiwa na Russia, kukwepa vikwazo vya nchi za Magharibi vilivyowekwa tangu uvamizi kamili wa mwaka, 2022.
Jeshi la anga la Ukraine limesema Russia ilirusha droni 269 usiku mmoja, amba...
- Title
- DIDIER DROBGA ALIVYOTAMBULISHWA BUNGENI
- Runtime
- 1:16
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
- Title
- AFISA MTENDAJI MKUU WA BENKI YA COOP AFUNGUKA WANAVYOLITEKA SOKO
- Runtime
- 26:33
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Katika mahojiano haya bosi huyu anaeleza mipango ya kuifanya kuwa benki namba moja ifikapo mwaka 2030.

