Azam TV
Magoli | Okello apiga mawili, Yanga ikiichapa 3-1 Namungo FC | NBC Premier League 25/05/2026
- Title
- Magoli | Okello apiga mawili, Yanga ikiichapa 3-1 Namungo FC | NBC Premier League 25/05/2026
- Runtime
- 5:12
- Date posted
- 31 minutes ago
- Description
- Kiungo Allan Okello amefunga magoli mawili katika ushindi wa 3-1, Yanga dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Aliyeitanguliza Yanga kwenye mchezo huu alikuwa ni Duke Abuya, kabla ya Hassan Kabunda kuchomoa kipindi cha kwanza... na Allan Okello akapiga mawili kipindi cha pili.
Haya hapa magoli...
- Title
- Coastal Union 1-0 Mashujaa FC | Highlights | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 8:08
- Date posted
- 3 hours ago
- Description
- Maabad Maulid Maabad amepiga bonge la free-kick na kuipa Coastal Union goli pekee la ushindi, ikiichapa Mashujaa FC bao 1-0 kwenye Dimba la Mkwakwani, Tanga.
Tazama highlights
- Title
- PAMBA JIJI vs TANZANIA PRISONS: Tanzania Prisons kibaruani dhidi ya Pamba Jiji Kesho Mei 26, 2026.
- Runtime
- 1:36
- Date posted
- 5 hours ago
- Description
- PAMBA JIJI vs TANZANIA PRISONS: Kocha wa Tanzania Prisons, Shedrack Nsajigwa amebainisha kikosi chake kufahamu vizuri udhaifu wa Pamba Jiji kuelekea mchezo wao wa kesho Mei 26, 2026.
Nsajigwa amesema kuwa benchi la ufundi limekuwa likizungumza na wachezaji kuhakikisha timu hiyo inaingia uwanjani ikiwa na morali ya ushindi na kuondoka na alama tatu muhimu.
Naye mchezji wa timu hiyo, Wema Sadoki amesema mwalimu amewaandaa kisaikolojia kuhakikisha wanaenda kupambania alama tatu kwa manufaa ya timu na mashabiki.
Mchezo huo utaruka LIVE #AzamSports1HD saa 8:00 mchana.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #PambaJiji #TanzaniaPrisons #PambaJijiTanzaniaPrisons
- Title
- PAMBA JIJI vsTANZANIA PRISONS | Kocha Baraza atamba kuondoka na alama tatu katika uwanja wa nyumbani
- Runtime
- 4:11
- Date posted
- 5 hours ago
- Description
- PAMBA JIJI vs TANZANIA PRISONS: Kocha wa Pamba Jiji, Francis Baraza, amesema mchezo wao wa kesho Mei 26, 2026 dhidi ya Tanzania Prisons utakuwa mgumu kutokana na nafasi waliyopo wapinzani wao, lakini lengo kuu la timu yake ni kupata alama tatu katika mechi hiyo itakayopigwa katika dimba la CCM Kirumba, Mwanza.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo, Yona Amosi amesema wataendelea pale walipoishia kwa kuwa ligi bado inaendelea.
Mchezo huo utaruka LIVE #AzamSports1HD saa 8:00 mchana.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #PambaJiji #TanzaniaPrisons #PambaJijiTanzaniaPrisons
- Title
- Bondia Terence Crawford awafunda vijana wa Kitanzania kuhusu safari ya mafanikio
- Runtime
- 2:33
- Date posted
- 6 hours ago
- Description
- KARIBU MJENGONI TERENCE: “UkKila mtu yupo tofauti”
Bondia Terence Crawford, kutoka Marekani, anasema sio vema kujifananisha mtu mwingine na badala yake uwe wewe kama wewe.
Bondia huyo anasema amekuwa akiwaambia vijana wasijifananishe na yeye, badala yake wawe bora zaidi ya yeye.
Kwa upande wake Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Azam Media, Divisheni ya Maudhui na Utangazaji, Yahya Mohamed, amemuunga mkono bondia huyo kutokana na kauli yake hiyo huku akisema kuwa Mungu amemuumba kila mtu na talanta yake.
Mingoni mwa sifa za bondia huyo ni kwamba alikuwa bingwa wa dunia kwenye madaraja matano tofauti ya uzito.
Lakini pia aliwahi kumiliki mikanda mikubwa minne kwa wakati mmoja (undisputed champion) kwenye madaraja matatu ya uzito tofauti.
Mwaka jana, bondiaTerence Crawford alimpiga Canelo na kufikisha rekodi ya mapambano 42 ya ushindi bila kupoteza.
#Vitasa #Ndondi #TerenceCrawford #Ngumi
- Title
- Goli la Maabad | Coastal Union 1-0 Mashujaa FC | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 1:12
- Date posted
- 21 hours ago
- Description
- Maabad Maulid Maabad amepiga bonge la free-kick na kuipa Coastal Union goli pekee la ushindi, ikiichapa Mashujaa FC bao 1-0 kwenye Dimba la Mkwakwani, Tanga.
Tazama goli lenyewe...
- Title
- Mtibwa Sugar 2-2 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 9:15
- Date posted
- 21 hours ago
- Description
- Ni sare a 2-2 ya pili mfululizo kwa JKT Tanzania, safari hii wakiwa ugenini kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro, dhidi ya Mtibwa Sugar.
Magoli ya JKT Tanzania yamefungwa na Paul Peter wakati Mtibwa Sugar wakifunga kupitia kwa Haroun Lyawatwa na Fredrick Magata kwa penati.
- Title
- Magoli | Sofapaka FC 1-1 Shabana FC | SportPesa League Kenya 24/05/2026
- Runtime
- 1:49
- Date posted
- 23 hours ago
- Description
- #SportPesaLeague Sofapaka na Shabana wamepigana chuma moja moja…. Na haya ndiyo magoli yenyewe…akianza Francis Ghartey na kisha Kevin Omondi akachomoa.
Hii ni Ligi Kuu ya Kenya #SportPesaLeague
FT: Sofapaka 1-1 Shabana FC
- Title
- Simba SC 1-0 Dodoma Jiji | Highlights | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 10:36
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Goli pekee la mchezo limefungwa na Elie Mpanzu, baada ya Clatous Chama kukosa penati, iliyookolewa na golikipa Daniel Mgore.
- Title
- TRA United 1-2 Fountain Gate FC | Highlights | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 8:07
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- TRA United imepoteza mechi kwa mara ya kwanza kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha, ikichapwa 2-1 na Fountain Gate FC.
TRA wametangulia kwa goli la Lazarus John, lakini kijana Isa Juma Abushiri akapiga chuma mbili, na zote zikifungwa na Ismail Aziz Kader.
- Title
- Magoli | APS Bomet 2-1 AFC Leopards | SportPesa League Kenya 24/05/2026
- Runtime
- 3:10
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- #SportPesaLeague Magoli ya mchezo uliowapa ubingwa Gor Mahia…
Waliofungwa hapa ni AFC Leopards, ambao ndiyo waliokuwa wakitishia ubingwa wa Gor Mahia.
- Title
- Goli la Mpanzu | Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 1:59
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Goli pekee la mchezo limefungwa na Elie Mpanzu, baada ya Clatous Chama kukosa penati, iliyookolewa na golikipa Daniel Mgore.
- Title
- Magoli | Mtibwa Sugar 2-2 JKT Tanzania | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 4:15
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Ni sare a 2-2 ya pili mfululizo kwa JKT Tanzania, safari hii wakiwa ugenini kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro, dhidi ya Mtibwa Sugar.
Magoli ya JKT Tanzania yamefungwa na Paul Peter wakati Mtibwa Sugar wakifunga kupitia kwa Haroun Lyawatwa na Fredrick Magata kwa penati.
- Title
- Magoli | TRA United 1-2 Fountain Gate FC | NBC Premier League 24/05/2026
- Runtime
- 3:14
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- TRA United imepoteza mechi kwa mara ya kwanza kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha, ikichapwa 2-1 na Fountain Gate FC.
TRA wametangulia kwa goli la Lazarus John, lakini kijana Isa Juma Abushiri akapiga chuma mbili, na zote zikifungwa na Ismail Aziz Kader.
Haya hapa magoli yote...
- Title
- JKT Queens 1-2 Simba Queens | Highlights | Tanzania Women Premier League 23/05/2026
- Runtime
- 8:21
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- #TWPL Simba Queens imeichapa JKT Queens mabao 2-1 na kuzidi kuukaribia ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Tanzania Bara.
Magoli yote matatu yamepatikana kipindi cha pili, Simba Queens wakifunga magoli Aisha Juma Mnunka na Fasila Adhiambo, huku JKT Queens wakifunga kupitia nyota wa zamani wa Simba Queens, Asha Rashid ‘Mwalala’.
- Title
- VIWANJANI | Mshindi wa tuzo ya BMT, Rehema Said afunguka kuhusu historia yake michezoni
- Runtime
- 16:29
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Mchezaji Rehema Said amezungumza na Timzoo Kalugira akifunguka namna alivyoingia kwenye mchezo wa tenesi wa kiti mwendo kiasi cha kutwaa tuzo za BMT mara mbili.
- Title
- Magoli | JKT Queens 1-2 Simba Queens | Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 23/05/2026
- Runtime
- 3:18
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- #TWPL Simba Queens imeichapa JKT Queens mabao 2-1 na kuzidi kuukaribia ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Tanzania Bara.
Magoli yote matatu yamepatikana kipindi cha pili, Simba Queens wakifunga magoli Aisha Juma Mnunka na Fasila Adhiambo, huku JKT Queens wakifunga kupitia nyota wa zamani wa Simba Queens, Asha Rashid ‘Mwalala’.
- Title
- Azam FC 2-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League 22/05/2026
- Runtime
- 7:45
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Feisal Salum na Idd Seleman 'Nado' wameifungua mabao mawili Azam FC ikipata ushindi wa 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Tazama highligts..
- Title
- YANGA TV: Uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa Yanga SC, namna walivyochukua alama 3 kwa JKT Tanzania
- Runtime
- 23:32
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Yanga SC 3-0 Singida BS | Highlights | NBC Premier League 22/05/2026
- Runtime
- 10:12
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 22/05/2026
- Runtime
- 52:49
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli | Azam FC 2-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League | 22/05/2026
- Runtime
- 2:53
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- #NBCPL: Chuma zote mbili kutoka kwa Matajiri wa Jiji hii , moja likifungwa na Feisal Salum na Iddi Seleman
FT: Azam FC 2-0 Tanzania Prisons
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #Azamfc #TanzaniaPrisons
- Title
- Magoli | Yanga SC 3-0 Singida BS | NBC Premier League 22/05/2026
- Runtime
- 4:28
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Yamefungwa magoli matatu.... chuma mbili zikiwekwa kambani na Allan Okello na goli lingine likifungwa na Mudathir Yahya kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
- Title
- Yanga 3-0 Singida BS | Maxi Nzengeli alikaribia kufunga goli la kali dhidi ya Singida BS
- Runtime
- 0:40
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- NBCPL: Ilibaki ‘kiduchu’ Maxi Nzengeli naye asimamishe mji.
FT: Yanga SC 3-0 Singida BS
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #YangaVsSingidaBS #YangaSC #SingidaBS #YNGSBS
- Title
- Mwamnyeto apigiwa makofi na mashabiki wa Yanga kwenye mechi dhidi ya Singida BS
- Runtime
- 1:06
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama mashabiki wa Yanga walivyompokea nahodha wao Bakari Mwamnyeto kwa kumpigia makofi.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #YangaVsSingidaBS #YangaSC #SingidaBS #YNGSBS
- Title
- Uchambuzi goli la Okelo dhidi ya Metacha Mnata
- Runtime
- 2:23
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- #NBCPL: “Metacha Mnata kilichomsaliti ni hatua yake ya mguu wa kushoto”
Mchambuzi wa soka @abissa_stephen amsifu Allan Okelo kwa kuweza kuuzungusha mpira na kumpoteza Metacha Mnata wakati akipiga mpira wa faulo na kuiandikia goli la kutangulia Yanga SC.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #YangaVsSingidaBS #YangaSC #SingidaBS #YNGSBS
- Title
- Kocha Miguel Gamondi akoshwa na ubora wa Serengeti Boys kwenye AFCON U17
- Runtime
- 14:46
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Tazama mahojiano maalumu ya mwandishi wa AzamTV, Innocent Aloyce na Kocha Miguel Gamondi.
Serengeti Boys ipo Morocco kwenye fainali za AFCON U17
- Title
- Metacha Mnata 'agoma' kutoka mechi dhidi ya Yanga
- Runtime
- 1:53
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- #NBCPL: Dakika 22 tu zikamtosha Metacha Mnata kucheza leo na nafasi yake kuchukuliwa na Amas Obasogie.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #YangaVsSingidaBS #YangaSC #SingidaBS #YNGSBS
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Ronaldo apiga ngoma baada ya kunyakua taji, Ahmed Ally atamba
- Runtime
- 9:46
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- WEDNESDAY NIGHT LIVE 20/05/2026 | Malaika Meena, Mchezaji wa Norwich City ya Uingereza.
- Runtime
- 51:01
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- AzamTv
- Title
- SIMBA SC TV | 22/ 05/ 2026: Mnyama alivyotua Tanga kuikabili Coastal, TRA United yataabika
- Runtime
- 22:02
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Kwenye Simba TV juma hili imeangazia zaidi safari ya Simba SC kwenda jijini Tanga kwenye mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Coastal Union, TRA United yataabika kwenye CRDB Bank Federation, Simba Queens yang'ara mbele ya Yanga Princess.
- Title
- SIMBA SC:Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally akielezea ushindi wa timu hiyo NBC PL.
- Runtime
- 3:53
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- "Kwa sasa bila kuangalia msimamo umekaaje sisi jukumu letu ni kushinda kila mchezo ambao uko mbele yetu..."
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amesema sio jambo rahisi kumshusha mpinzani wao Yanga pale kileleni mwa msimamo japo wanaendelea kupambana ili kushinda mechi zao.
Ahmed aliyasema hayo jana Mei 21, 2026 baada ya kushinda kwa jumla ya magoli 2-1, dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wao wa NBC Premier League.
Kwa sasa Simba SC ipo kileleni mwa msimamo ikiwa na alama 55, huku Yanga SC ikiwa na alama 54 na watashuka dimbani leo saa 10:00 jioni kucheza dhidi ya Singida BS.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi
- Title
- Namungo FC 1-1 Mbeya CIty | Highlights | NBC Premier League 21/05/2026
- Runtime
- 10:50
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Yamefungwa magoli makali tupu.... akitangulia Hassan Kabunda kwa Namungo FC, lakini Eliud Ambokile akachomoa. Mechi ikamalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa, Lindi.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
- Title
- Magoli | Namungo FC 1-1 Mbeya City FC | NBC Premier League 21/05/2026
- Runtime
- 2:22
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Yamefungwa magoli makali tupu.... akitangulia Hassan Kabunda kwa Namungo FC, lakini Eliud Ambokile akachomoa. Mechi ikamalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa, Lindi.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
- Title
- Coastal Union 1-2 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 21/05/2026
- Runtime
- 9:41
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Simba SC imepindua meza na kushinda 2-1 dhidi ya Coastal Union, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Aliyeitanguliza Coastal Costal Union alikuwa ni Maabad Maulid dakika ya 8 lakini Clatous Chama akatengeneza assist mbili, zilizoipa Simba magoli mawili kupitia kwa Libase Gueye na Anicet Oura.
- Title
- Magoli | Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League 21/05/2026
- Runtime
- 3:48
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Simba SC imepindua meza na kushinda 2-1 dhidi ya Coastal Union, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Aliyeitanguliza Coastal Costal Union alikuwa ni Maabad Maulid dakika ya 8 lakini Clatous Chama akatengeneza assist mbili, zilizoipa Simba magoli mawili kupitia kwa Libase Gueye na Anicet Oura.
Tazama magoli...
- Title
- JKT Tanzania 2-2 Fountain Gates | Highlights | NBC Premier League 21/05/2026
- Runtime
- 9:52
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Paul Peter Kasunda amefunga goli la tikitaka JKT Tanzania wakisawazisha magoli mawili baada ya kutanguliwa na Fountain Gate 2-0.
Magoli ya Fountain Gate yamefungwa na Juma Abushiri na Ismail Aziz Kader, huku JKT wakichomoa kupitia kwa Saleh Karabaka na Paul Peter.
- Title
- Magoli | JKT Tanzania 2-2 Fountain Gate | NBC Premier League 21/05/2026
- Runtime
- 4:04
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Paul Peter Kasunda amefunga goli la tikitaka JKT Tanzania wakisawazisha magoli mawili baada ya kutanguliwa na Fountain Gate 2-0.
Magoli ya Fountain Gate yamefungwa na Juma Abushiri na Ismail Aziz Kader, huku JKT wakichomoa kupitia kwa Saleh Karabaka na Paul Peter.
Tazama magoli yote...
- Title
- Kocha Singida BS asema hata Yanga huenda kuchukua wachezaji kwao
- Runtime
- 2:31
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- YANGA vs SINGIDA BS: “Yanga pia wanafahamu Singida tuna ubora kiasi gani”
Kocha wa Singida BS, Muhibu Kanu anasema timu yao ni chuo cha wachezaji na hata Yanga wamekwenda kuchukua wachezaji.
Moris Chukwu anasema Yanga ni timu kubwa sio tu Tanzania, bali Afrika.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #AzamFCTanzaniaPrisons #NBCUpdates #ImenogaZaidi.
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Mashabiki Arsenal wazidi 'kujitutumua' na ubiongwa wa EPL
- Runtime
- 6:14
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Yanga yazitaka alama tatu mbele Singida BS, NBC Premier League
- Runtime
- 2:52
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- YANGA vs SINGIDA BS: “Itakuwa mechi nzuri”
Kocha wa Yanga SC, Abdi Hamid Moallin anasema mechi yao ya kesho ya NBC Premier League dhidi ya Singida BS, itakuwa ngumu na nzuri japo wanaamini wataondoka na alama tatu.
Moallin anasema anaamini wana safu nzuri ya ushambuliaji na hilo linathibitishwa na namna wanavyotengeneza nafasi wawapo uwanjani.
Kwa upande wake beki wa klabu hiyo Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ anasema utofauti wa alama mbili dhidi ya Simba SC unawapa ukumbusho na kutambua ugumu wa mechi yao ya kesho Mei 22, 2026 dhidi ya Singida BS.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #AzamFCTanzaniaPrisons #NBCUpdates #ImenogaZaidi.
- Title
- Prisons yazitaka tatu za Azam FC ili kujiweka pazuri NBC Premier League
- Runtime
- 1:52
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- AZAM FC vs TANZANIA PRISONS: "...Kesho tutakuwa na mechi nzuri lakini ngumu ambayo inatakiwa kusukumwa..."- Kocha wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa amesema mchezo wa kesho Mei 22, 2026 wa NBC Premier League dhidi ya Azam FC ni mgumu kutokana na aina ya mpinzani watakayecheza nae lakini wanahitaji ushindi ili kusogea nafasi ambayo wapo.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo Lolihoshi Heritier amesema benchi la ufundi limeshafanya kazi yake kwa kuwaelekeza cha kufanya ili waweze kupata ushindi na kuondoka na alama tatu muhimu.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #AzamFC #TanzaniaPrisons #AzamFCTanzaniaPrisons #NBCUpdates #ImenogaZaidi.
- Title
- Kocha Ibenge asema wanapaswa kuwa wabunifu zaidi ili kupata ushindi mbele ya Prisons
- Runtime
- 1:14
- Date posted
- 4 days ago
- Description
- AZAM FC vs TANZANIA PRISONS: "Tunahitajika kuwa wajanja zaidi ili tushinde..."-Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge akielezea maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo wa NBC Premier League wa kesho Mei 22, 2026 dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa katika dimba la Azam Complex.
Ibenge amesema mchezo huu ni muhimu kwao kutokana na malengo waliyojiwekea na wanatambua utakuwa ni mgumu.
Kwa upande wake nahodha wa timu hiyo, Lusajo Mwaikenda amesema watatumia vizuri faida ya kuwa katika uwanja wa nyumbani ili waweze kuondoka na alama zote tatu.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi
- Title
- Dodoma Jiji FC 1-1 Mashujaa FC | Highlights | NBC Premier League 20/05/2026
- Runtime
- 9:33
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Dar City yakabidhiwa bendera, yaahidiwa milioni 50 (Tukio zima)
- Runtime
- 9:04
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Timu ya kikapu ya Dar City imeondoka Dar es Salaam leo Mei 20, 2026 kuelekea Kigali, Rwanda kushiriki Ligi ya Kikapu Afrika hatua ya robo fainali (BAL 2026).
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi bendera iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamilia, ameahidi zawadi ya shilingi milioni 50 endapo watapenya kufika nusu fainali.
Safari hii YA Dar City ni baada ya kukamilisha maandalizi yao yaliyojumuisha kambi ya wiki mbili Dubai na wanatarajia kucheza dhidi ya Atletco Petroleos de Angola, Mei 23, 2026 jijini Kigali.
Hii ni mara ya kwanza kihistoria kwa timu kutoka Tanzania kufika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo mikubwa ya BAL barani Afrika na ni baada ya kufanya vizuri kwenye michezo ya ukanda wa Kalhari iliyopigwa nchini Afrika Kusini mapema mwaka huu.
Hivi ndivyo tukio lilivyokuwa leo, akianza kuzungumza kocha wa timu hiyo Mohamed Mbwana, kisha Hasheem Thabit a...
- Title
- Magoli | Dodoma Jiji 1-1 Mashujaa FC | NBC Premier League 20/05/2026
- Runtime
- 2:22
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Ni sare ya bao 1-1 kwenye Dimba la Jamhuri Dodoma , wakitangulia Dodoma Jiji FC kupitia kwa William Edgar , lakini Balama Mapinduzi akachomoa dakika za jioni...
Hii ni Ligi Kuu ya NBC
- Title
- KMC FC 0-1 Pamba Jiji | Highlights | NBC Premier League 20/05/2026
- Runtime
- 6:16
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Goli pekee kutoka kwa Mathew Tegis Momanyi limeipa Pamba Jiji pointi tatu za ugenini kwa kuifunga KMC FC bao 1-0 kwenye Dimba la KMC Complex.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC
- Title
- Goli la pointi tatu | KMC FC 0-1 Pamba jiji | NBC Premier Legue 20/05/2026
- Runtime
- 1:28
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Goli pekee kutoka kwa Mathew Tegis Momanyi limeipa Pamba Jiji pointi tatu za ugenini kwa kuifunga KMC FC bao 1-0 kwenye Dimba la KMC Complex.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC
- Title
- TRA United 2-1 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 20/05/2026
- Runtime
- 8:54
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- TRA United imefanya come back, na kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Mtibwa wametangulia kwa goli la Said Mkopi kabla ya TRA kuchomoa kwa bonge la bao kutoka kwa Christopher Tebandeke na la ushindi likiwa ni la kujifunga kupitia kwa Francis Dickson dakika ya 90 kutoka na header ya Shaban Idd Chilunda.
- Title
- Magoli | TRA United 2-1 Mtibwa Sugar | NBC Premier League 20/05/2026
- Runtime
- 2:29
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- TRA United imefanya come back, na kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Mtibwa wametangulia kwa goli la Said Mkopi kabla ya TRA kuchomoa kwa bonge la bao kutoka kwa Christopher Tebandeke na la ushindi likiwa ni la kujifunga kupitia kwa Francis Dickson dakika ya 90 kutoka na header ya Shaban Idd Chilunda.

