Azam TV
VITA YA KISASI Raundi ya saba imetosha kwa, Richard Mtangi kumchapa Mnigeria, Michael Ikechukwu TKO.
- Title
- VITA YA KISASI Raundi ya saba imetosha kwa, Richard Mtangi kumchapa Mnigeria, Michael Ikechukwu TKO.
- Runtime
- 32:07
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Raundi ya saba imetosha kwa Mtanzania, Richard Mtangi kumchapa Mnigeria, Michael Ikechukwu kwa TKO.
Imefanyika katika ukumbi wa EACLC, Ubungo Dar es Salaam.
#VitaYaKisasi #KnockOutYaMama #HiiNiPersonal #UsikuWaVitasa #Vitasa #Kisasi
- Title
- VITA YA KISASI | “Ni ukweli usiopingika Azam imeibeba sekta ya Michezo Tanzania"
- Runtime
- 20:14
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema ni ukweli usiopingika kuwa AzamTV imeibeba sekta ya michezo nchini Tanzania, huku akiipongeza Azam Media kwa juhudi zake za kuendeleza tasnia hiyo.
Waziri huyo alitoa kauli hiyo jana, Aprili 24, katika Ukumbi wa EACLC, Ubungo jijini Dar es Salaam, alipokuwa akishuhudia mapambano ya Vitasa ‘Knockout ya Mama Season 8’.
Makonda amesema Azam haibebi michezo pekee bali pia inatoa fursa za ajira kwa vijana, hivyo kuitaka iendelee na jitihada hizo ambazo zina mchango mkubwa kwa maendeleo ya taifa.
Aidha, ameahidi kuwa Azam itapewa kipaumbele katika kuonesha mashindano ya mpira wa kikapu nchini mara ligi hiyo itakapoanza.
- Title
- KURASA ZA MWISHO | Uchambuzi nusu fainali za Muungano Cup Vita ya kisasi na Kariakoo Derby.
- Runtime
- 57:35
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Waandishi wa habari za michezo ambao pia ni wachambuzi wa soka, Philip Nkini na Jabir Seleman wamechambua mchezo wa leo, nusu fainali ya kwanza Muungano Cup kati ya Yanga SC dhidi ya Azam FC.
Lakini pia kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC NBCPremierLeague.
- Title
- VITA YA KISASI | Frank Shagembe vs Aboubakar
- Runtime
- 5:45
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Huyu ndiye Frank Shagembe ambaye amemkalisha mapema Farouk Abubakar kutoka Nigeria.
Raundi ya kwanza na ni dakika ya kwanza tu…Mnigeria hajarusha hata ngumi.
Uhondo wote upo LIVE #AzamSports3HD
- Title
- VITA YA KISASI | Francis Miyeyusho vs Oscar Richard
- Runtime
- 28:15
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Hakuna mbabe kati ya Francis Miyeyusho dhidi ya Oscar Richard.
Ni ngoma droo….!!!
- Title
- VITA YA KISASI | Amiri Matumla vs Muzafakar Khan
- Runtime
- 9:06
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Raundi tatu zimetosha kwa Amir Matumla kumchapa kwa TKO Muzafar Khan.
Uhondo wote upo LIVE #AzamSports3HD
- Title
- VITA YA KISASI | Tano Juma vs Yeerjialahesi
- Runtime
- 32:38
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Mtanzania, Tano Juma ameshinda kwa pointi dhidi ya Yeerjiahesi Laayibieke kutoka China.
Iko LIVE #AzamSports3HD
- Title
- VITA YA KISASI | Salim Hussein vs Daniel Mukhaya
- Runtime
- 2:36
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- VITA YA KISASI: Hata raundi ya kwanza haijaisha, tayari bondia Salim Hussein amemkalisha Daniel Mukhaya kwa TKO kwenye pambano la pili.
- Title
- VITA YA KISASI | Kalolo Amiri vs Chrstian Legane
- Runtime
- 2:58
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Mtanzania, Kalolo Amir amemkalisha Christian Legane kutoka Philippines.
Ni TKO ya raundi ya kwanza tu.
Uhondo wote upo LIVE #AzamSports3HD
- Title
- VITASA | Said Hakimu vs Gabriel Ochieng | Knockout ya Mama 2026 24/04/2026
- Runtime
- 4:48
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- VITA YA KISASI: Mapema tu Mtanzania, Said Hakimu amemtwanga kwa TKO Mkenya Gabriel Ochieng.
Iko LIVE #AzamSports3HD
#VitaYaKisasi #KnockOutYaMama #HiiNiPersonal #UsikuWaVitasa #Vitasa #Kisasi
- Title
- MAKALA | Jabir Azizi'Stima' alieyevunja rekodi ya timu ya taifa ya Brazili 2010.
- Runtime
- 26:20
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa 'Taifa Stars' Jabiri Azizi anaeleza historia yake ya soka mpaka kuja kuvunja rekodi ya timu ya taifa ya Brazili.
Azizi amesema safari yake ya soka ilianzia Ashanti
- Title
- MUUNGANO CUP | YANGA SC vs AZAM FC: ''Tunatarajia kuwa na mchezo wa ushindani mkubwa'
- Runtime
- 2:20
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Kocha wa Yanga SC, Petro Gonçalves, akieleza namna Azam FC ilivyo na wachezaji bora, na kwmaba wanatarajia mchezo mgumu na wa ushindani mkubwa katika nusu fainali ya Kombe la Muungano itakayochezwa kesho. Gonçalves ameeleza kuwa licha ya ubora wa wapinzani wao, Yanga imejiandaa vyema kuhakikisha inatoa ushindani wa hali ya juu na kutimiza malengo yao kwenye mchezo huo muhimu.
Ameongeza kuwa maandalizi yao yamekuwa yakifanyika kwa umakini mkubwa, ingawa wanakabiliwa na ratiba ngumu kufuatia nusu fainali ya michuano hiyo, sambamba na mechi nyingine za ligi zinazoendelea.
Mechi hii itachezwa kesho Aprili 25, kuanzia saa 2:15 usiku na kuruka mubashara kupitia AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.
#MuunganoCup #Azamtvsports
- Title
- MUUNGANO CUP | YANGA SC vs AZAM FC: “Kesho mchezo ni mkubwa na wa kusisimua…"
- Runtime
- 1:13
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Kocha wa Azam Fc, Florent Ibenge akieleza namna kikosi chake kilivyojiandaa kucheza mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Muungano dhidi ya Yanga SC.
Ibenge amewapongeza wachezaji wake kwa ushindi wa mchezo uliopita na kwamba mchezo wa kesho utakuwa wa ushindani na wa kusisimua zaidi.
Kwa upande wa golikipa wa timu hiyo, Zuberi Foba amesema walikuja kushindana na wanalihitaji kombe hili ili kuweka mzani sawa.
Mechi hii itachezwa kesho Aprili 25, kuanzia saa 2:15 usiku na kuruka mubashara kupitia AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu
- Title
- Mafunzo SC vs Simba SC | Highlights | Muungano Cup
- Runtime
- 8:17
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa Muungano Cup kati ya Mafunzo SC dhidi ya Simba SC
Ni Seleman Mwalim ndiye ameifungia Simba SC goli pekee na la ushindi
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha #MafunzoSimba.
- Title
- Mlandege 2-1 Singida BS | Magoli | Muungano Cup 2026 - 23/04/2026
- Runtime
- 3:04
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup Chuma zote tatu hizi hapa, ushindi ukienda kwa Mlandege
FT: Mlandege 2-1 Singida BS (Samatta 28', Mbappe 45'+1 / Mishamo 9')
Saa 2:15 usiku ni Mafunzo SC vs Simba SC LIVE #AzamSports1HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
- Title
- #MUUNGANO CUP | Mlandege FC vs Singida BS
- Runtime
- 4:35
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Vikosi vyote vilivyowasili katika dimba la New Amaan, Zanzibar.
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
- Title
- VIWANJANI | Uchambuzi kuhusu mchezo wa KVZ FC dhidi ya Azam FC, Falsafa ya Ibenge kwa vijana
- Runtime
- 18:16
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Lilian Mukulu na Michael Hyera wakichambua mchezo wa jana Aprili 22, Azam FC ikisonga hatua ya nusu fainali mashindano ya muungano baada ya kushinda mchezo huo kwa jumla ya magoli 2-0.
Lilian Mukulu amesema kocha wa Azam FC, Florent Ibenge ni aina ya makocha ambao wanaamini katika vijana hasa kwenye mashindano kama haya ya muungano.
- Title
- VIWANJANI | Mafunzo SC wataweza kuwasimamisha Simba SC kuendelea hatua inayofuata Muungano Cup???
- Runtime
- 21:00
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Wachambuzi Michael Hyera na Lilian Mukulu wakieleza kwa kina maoni yao kuelekea mchezo wa robo fainali kati ya Mafunzo SC dhidi ya Simba SC.
Hyera amesema Mafunzo SC watakuwa wamefanya maandalizi amabayo yatakuwa yamelenga zaidi kwenye namna ya kuwazuia wapinzani wasifunge idadi kubwa ya magoli, hivyo eneo la ulinzi linapaswa kuwa na wachezaji wenye weledi imara wa kuzuia kutokana na ubora wa kikosi cha Simba SC kwa sasa.
#Viwanjani ni kila siku Jumatatu - Ijumaa kuanzia saa 3:00 Asubuhi mpaka 12:00mchana. LIVE #azamsports1HD
- Title
- SIMBA TV | Simba SC yavutia kasi Mashindano ya Muungano Cup.
- Runtime
- 20:13
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TVTazama kipindi cha Simba TV kikizungumzia ushindi wa Simba SC mbele ya Namungo FC na mipango ya kucheza mashindano ya Muungano Cup.
Kipindi cha Simba TV huruka kila Jumatano saa 3:30 usiku kupitia #AzamSports1HD
- Title
- KVZ FC 0-2 Azam FC | Highlights | Muungano Cup 2026 - 22/04/2026
- Runtime
- 7:26
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa Muungano Cup kati ya KVZ dhidi ya Azam FC
Ni Jean Kamanga Ngita ndiye ameifungia Azam FC goli la kwanza na la pili.
75’: KVZ FC 0-2 Azam FC
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha #KVZAZM
- Title
- KVZ 0-2 Azam FC | Magoli | Muungano Cup 2026 - 22/04/2026
- Runtime
- 2:16
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup: Ni Jean Kamanga Ngita ndiye ameifungia Azam FC goli la kwanza na la pili.
75’: KVZ FC 0-2 Azam FC
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha #KVZAZM
- Title
- Simba Queens 2-0 Fountain Gate Princess | Magoli | Ligi Kuu ya Wanawake - 22/04/2026
- Runtime
- 7:25
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #TWPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Simba Queens dhidi ya Fountain Gate Princess.
Wakati mechi ikielekea mwisho, mpira wa kona uliopigwa na Jentrix Shikangwa ukaunganishwa kwa kichwa na mchezaji wa Fountain Gate Princess akiitanguliza Simba Queens kwa goli la kujifunga.
Dakika za nyongeza, Asha Juma Mnunka, naye akaiandikia Simba Queens goli la pili akiunganisha mpira wa kona.
FT: Simba Queens 2-0 Fountain Gate Princess
#TWPL #WPL #TanzaniaWomenPremierLeague #LigiKuuWanawake #LigiYaWanawake #WomenFootball #WomenPremierLeague #SimbaQueensVsFountainGatePrincess #SimbaQueens #FountainGatePrincess
- Title
- Simba Queens 2-0 Fountain Gate Princess | Magoli | Ligi Kuu ya Wanawake - 22/04/2026
- Runtime
- 2:22
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #TWPL: Wakati mechi ikielekea mwisho, mpira wa kona uliopigwa na Jentrix Shikangwa ukaunganishwa kwa kichwa na mchezaji wa Fountain Gate Princess akiitanguliza Simba Queens kwa goli la kujifunga.
Dakika za nyongeza, Asha Juma Mnunka, naye akaiandikia Simba Queens goli la pili akiunganisha mpira wa kona.
FT: Simba Queens 2-0 Fountain Gate Princess
#TWPL #WPL #TanzaniaWomenPremierLeague #LigiKuuWanawake #LigiYaWanawake #WomenFootball #WomenPremierLeague #SimbaQueensVsFountainGatePrincess #SimbaQueens #FountainGatePrincess
- Title
- Yanga SC 4-0 Muembe Makumbi | Highlights | Muungano Cup 2026 - 21/04/2026
- Runtime
- 8:22
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya kati ya Yanga SC dhidi ya Muembe Makumbi.
magoli mawili ya Prince Dube, goli la Shekhan Ibarahim na moja la kujifunga la Muembe Makumbi.
FT: Yanga SC 4-0 Muembe Makumbi
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha #YangaMuembeMakumbi #Yanga #MuembeMakumbi
- Title
- VIWANJANI | Maoni ya wachambuzi wa soka kuhusu mechi ya leo Azam FC ikimenyana na KVZ FC.
- Runtime
- 6:16
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Wachambuzi Andrew Kingamkono na Michael Hyera wakitoa maoni yao kuhusu mchezo wa Muungano Cup kati ya KVZ FC dhidi ya Azam FC.
Kingamkono amesema anaiona KVZ ikitoa upinzani kwa vijana wa Florent Ibenge kitu ambacho Azam walihitaji ili kujiimarisha zaidi kwa michezo ijayo.
Mchezo huo utapigwa saa 1:15 na utakuwa LIVE
#AzamSports1HD
- Title
- VIWANJANI | Uchambuzi kuhusu Yanga SC ikishusha kipigo cha magoli 4-0 Muembe Makumbi FC Muungano Cup
- Runtime
- 23:16
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Andrew Kingamkono na Michael Hyera wakichanganua mchezo wa jana Aprili 21, kati ya Yanga SC dhidi ya Muembe Makumbi kwenye Muungano Cup 2026.
Hyera amesema inahitaji kuwa na uharaka kwenye matukio ya ushambuliaji hasa timu inapopokonya mpinzani mpira kitu ambacho Yanga SC ilifanikiwa na kutumia kuwaadhibu wapinzani wao.
- Title
- Yanga SC 4-0 Muembe Makumbi | Magoli | Muungano Cup 2026 - 21/04/2026
- Runtime
- 4:36
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup: Magoli mawili ya Dube Prince, Sheikhan Ibrahim na moja la kujifunga la Muembe Makumbi, yaipeleka Yanga nusu fainali Muungano Cup 2026.
FT: Yanga SC 4-0 Muembe Makumbi
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha #YangaMuembeMakumbi #Yanga #MuembeMakumbi
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Bodi ya Ligi yajibiwa kuhusu swali la wachezaji wa Yanga, Simba
- Runtime
- 15:00
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Swali la Bodi ya Ligi Kuu lajibiwa na wachambuzi wa Michael Hyera na Philip Nkini.
Ni kuhusu wachezaji ambao watang’ara zaidi kwenye #KariakooDerby itakayopigwa Mei 3, 2026.
Kwa upande wako unafikiri ni mchezaji gani atatisha siku hiyo?
#Viwanjani #Zilizobamba
- Title
- Data za soka nchini Tanzaania sasa kulindwa na kampuni ya Betatq
- Runtime
- 2:32
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- DATA ZA SOKA NCHINI SASA KULINDWA: “Soka la kisasa linategemea data na uchambuzi wa kina”
Makamu wa Kwanza wa Rais wa TFF, Athuman Nyamlani anasema data ni mali na sasa wameamua kuidhibi kwa kukabidhi haki zote za data kwa kampuni ya Betatq.
Nyamlani amesema hatua hiyo ni uwekezaji wa kimkakati katika kutengeza mustakabali mzuri wa soka la Tanzania.
Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa Betatq, Neithan Hamis Hamis Swed ametaja sababu za wao kuingia mkataba na TFF.
#DataZaSoka
- Title
- Wachambuzi wasema Fei Toto ndiye Mchezaji ligi ya Bora Tanzania
- Runtime
- 9:38
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- VIWANJANI: “Kwa misimu mitatu mfululizo Feisal ndiye mchezaji bora zaidi kuliko mchezaji yeyote”
Mchambuzi wa soka na mwandishi wa habari mkongwe Philip Nkini anasema kiungo wa Azam FC, Feisal Salum, ndiye mchezaji anayefanya vizuri zaidi katika ligi ya Tanzania kuliko wachezaji wote wa ndani na hata wageni wanaokuja kucheza nchini.
Nkini anasema Feisal ndiye mchezaji ambaye anamsikiliza zaidi kocha na anafanya yale ambayo anaagizwa kuyafanya uwanjani.
Kwa sasa Fei Toto ndiye mchezaji anayeongoza kwa kuhusika kwenye magoli mengi zaidi akiwa na magoli saba na “assist” saba.
Kwa upande wake mchambuzi Michael Hyera anasema kumzungumzia Feisal, utasaidiwa na takwimu zake ambazo amekuwa akiziweka.
#Viwanjani #FeisalSalum #FeiToto
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAMTV 20/04/2026.
- Runtime
- 51:14
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TV
- Title
- MUUNGANO CUP 2026| Kocha Ibenge asifu michuano ya Muungano Cup
- Runtime
- 5:09
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup2026: “Ni mashindano muhimu”
Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema umuhimu wa mashindano ya #MuunganoCup2026 unatokana na ukweli kwamba unahusisha timu bora za Tanzania.
Ibenge anasema michuano hiyo yaweza kuwa fursa kwake kuwapa nafasi wachezaji waliokuwa majeruhi na sasa wamerejea uwanjani.
Nahodha wa klabu hiyo Lusajo Mwaikenda na Afisa Habari wake Hasheem Ibwe nao watoa neno kuhusu mashindano hayo.
Azam FC imetua Zanzibar na Jumatano ya Aprili 22, 2026 watamenyana na KVZ FC saa 1:15 usiku.
#MuunganoCup2026
- Title
- Muungano Cup 2026 | Yanga yatua Zanzibar kibabe, yalitaka kombe
- Runtime
- 4:29
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #MuunganoCup2026: “Zanzibar tunajisikia nyumbani”
Kocha wa Yanga SC, Pedro Goncalves anasema matamanio yao ni kushinda mechi zote kwenye michuano ya #MuunganoCup2026 na hii fursa kwa baadhi ya wachezaji ambao hawapati nafasi mara kwa mara kwenye mashindano mengine.
Kwa upande wake beki Mohamed Hussein Zimbwe, anasema jambo la kwanza kwao ni kuhakikisha wanautetea ubingwa.
Yanga itashuka dimbani kesho Jumanne Aprili 21. 2026, dhidi ya Muembe Makumbi na mechi itapigwa saa 1:15 usiku.
#MuunganoCup2026
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Rais wa Yanga atuma ujumbe kwa watangazaji wa mpira Azam FC
- Runtime
- 13:19
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Ujumbe wa Rais wa Yanga SC, Hersi Said umefika kwa mtangazaji kinara @hassanahmedy_
Ni kuhusu matumizi ya neno la Kiswahili la “vikure” ambalo ni tafsiri ya Video Assistant Referee (VAR).
Ni #Zilizobamba mitandaoni ya #Viwanjani
#Viwanjani #Zilizobamba
- Title
- VIWANJANI | Magoli 2-1 yameisogeza Fountain Gate nafasi juu.
- Runtime
- 12:21
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Michael Hyera na Andrew Kingamkono wakieleza kwa kina mabadiliko ya kiufundi kwenye kikosi cha Fountain Gate, hasa kwenye mchezo wake dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya ujio wa kocha Fred Felix 'Minziro'.
#Viwanjani ni kila Jumatatu mpaka Ijumaa #AzamSports 1 HD
- Title
- VIWANJANI | Uchambuzi Simba SC akinyakuwa alama zote tatu mbele ya Namungo FC.
- Runtime
- 25:15
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Michael Hyera na Andrew Kingamkono wakikuletea uhondo wote kuhusu mchezo wa NBC Premier League uliochezwa jana kati ya Namungo FC dhidi ya Simba SC.
Hyera anasema Namungo walikosa nidhamu katika eneo la ulinzi hivyo kuruhusu magoli 3-1.
- Title
- Simba SC 3-1 Namungo FC | Highlights | NBC Premier League - 19/04/2026
- Runtime
- 8:13
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Namungo FC.
Simba imeshinda kwa jumla ya magoli 3-1.
Magoli ya Simba yamefungwa na Libasse Gueye, Anicet Oura na Elie Mpanzu.
Goli la Namungo mfungaji ni Heritier Makambo
- Title
- Namungo 1-3 Simba | Kocha Juma Mgunda asema walicheza na timu yenye wachezaji wenye uchu
- Runtime
- 5:17
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #NBCPL: Kocha wa Simba SC, Steve Barker anasema Namungo walipata nguvu baada ya kufunga goli na hapo wao pia walipswa kutafuta goli la tatu ili kujihakikishia ushindi kwenye mchezo wa NBC Premier League.
Kocha wa Namungo FC, Juma Mgunda anasema ilikuwa mechi ngumu na wamecheza na timu yenye wachezaji wenye kiu ya matokeo.
Oura awashukuru mashabiki baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mechi ya leo.
FT: Namungo FC 1-3 Simba SC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #NamungoVsSimba #NamungoFC #SimbaSC
- Title
- Simba SC 3-1 Namungo FC | Magoli | NBC Premier League - 19/04/2026
- Runtime
- 4:35
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Tazama magoli yote manne yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Namungo FC.
Simba imeshinda kwa jumla ya magoli 3-1.
Magoli ya Simba yamefungwa na Libasse Gueye, Anicet Oura na Elie Mpanzu.
Goli la Namungo mfungaji ni Heritier Makambo
- Title
- MUUNGANO CUP 2026 | Mshindi wa kwanza kunyakua milioni 150, mshindi wa pili milioni 100
- Runtime
- 2:54
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- MUUNGANO CUP 2026 | “Mshindi wa kwanza atapata shilingi milioni 150”
Waziri wa Nchi Ofis ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar, Hamza Hassan Juma ametaja zawadi zitakazotolewa kwenye shindano la #MuunganoCup2026, ambapo mshindi wa kwanza ataondoka na kitita cha shilingi milioni 150, huku mshindi wa pili akinyakua shilingi milioni 100.
ROBO FAINALI:
Aprili 21; Saa 1:15 usiku.
Yanga SC vs Muembe Makumbi City.
Aprili 22; Saa 1:15 usiku.
KVZ FC vs Azam FC.
Aprili 23; Saa 10:15 Jioni.
Mlandege FC vs Singida BS
Aprili 23; Saa 2:15 usiku.
Simba SC vs Mafunzo SC
NUSU FAINALI
Aprili 25; Saa 2:15 usiku
KVZ /Azam vs Yanga/Muembe Makumbi
Aprili 26; Saa 2:15 usiku
Mlandege/Singida BS vs Simba/Mafunzo.
FAINALI: Aprili 29; Saa 2:15 usiku.
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano
- Title
- MUUNGANO CUP 2026 | Mashindano ya Muungano Cup msimu huu ni mtoano
- Runtime
- 3:11
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- MUUNGANO CUP 2026 | “Tumeamua kuifanya ligi hii kuwa ni ya mtoano”
Katibu wa Kamati wa michuano ya Kombe la #Mapinduzi2026, Kassim Mohamed Abdallah, anasema kutokana na timu shiriki kuwa na ratiba inayobana, wameamua kuyafanya mashindano hayo kuwa ni mtoano.
ROBO FAINALI:
Aprili 21; Saa 1:15 usiku.
Yanga SC vs Muembe Makumbi City.
Aprili 22; Saa 1:15 usiku.
KVZ FC vs Azam FC.
Aprili 23; Saa 10:15 Jioni.
Mlandege FC vs Singida BS
Aprili 23; Saa 2:15 usiku.
Simba SC vs Mafunzo SC
NUSU FAINALI
Aprili 25; Saa 2:15 usiku
KVZ /Azam vs Yanga/Muembe Makumbi
Aprili 26; Saa 2:15 usiku
Mlandege/Singida BS vs Simba/Mafunzo.
FAINALI: Aprili 29; Saa 2:15 usiku.
Balaa linaanza Aprili 21, 2026 na mechi zote utazipata LIVE #AzamSportsHD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano
- Title
- Fountain Gate 2-1 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League - 18/04/2026
- Runtime
- 6:45
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Fountain Gate dhidi ya Mtibwa Sugar.
Magoli ya Fountain Gate yamefungwa na Henry David na Obina Awara.
Goli la Mtibwa Sugar limefungwa na Nassor Kiziwa
FT: Fountain Gate FC 2-1 Mtibwa Sugar
Kesho Jumapili ni Namungo FC dhidi ya Simba SC, saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #FountainVsMtibwaSugar #FountainGateMtibwaSugar
- Title
- AFC Leopards 0-3 Kenya Police | Sportspesa League - 18/04/2026
- Runtime
- 4:20
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #SportPesaLeague: AFC Leopards wamefungwa magoli 3-0 dhidi ya Kenya Police.
Wafungaji ni Yves Koutiama, Erick Zakayo na Charles Ouma
AFC Leopards 0-3 Kenya Police
Ilikuwa LIVE #AzamSpors3HD
#LigiKuuKenya #SportPesaLeague #ShabanaVsKakamegaHomeboyz
- Title
- Fountain Gate 2-1 Mtibwa Sugar | Magoli | NBC Premier League - 18/04/2026
- Runtime
- 2:49
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote matatu yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Fountain Gate dhidi ya Mtibwa Sugar.
Magoli ya Fountain Gate yamefungwa na Henry David na Obina Awara.
Goli la Mtibwa Sugar limefungwa na Nassor Kiziwa
FT: Fountain Gate FC 2-1 Mtibwa Sugar
Kesho Jumapili ni Namungo FC dhidi ya Simba SC, saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #FountainVsMtibwaSugar #FountainGateMtibwaSugar
- Title
- KURASA ZA MWISHO | Mashabiki wamtaja Chobwedo Simba dhidi ya TRA United
- Runtime
- 9:59
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Mashabiki wa soka wa Simba na Yanga kutoka Mabibo Mwisho Dar es Salaam, wametambiana kuhusu timu zao huku wakimtaja mchezaji wa TRA United, Ramadhan Salum 'Chobwedo'.
Ni kuelekea mechi za CRDB Bank Federation na NBC Premier League
- Title
- Shabana 1-0 Kakamega Homeboyz | Goli | Sportspesa League - 18/04/2026
- Runtime
- 1:45
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #SportPesaLeague: Ni Mambote Batshi Assis ndiye aliyezipeleka alama tatu kwa Shabana.
Tazama alivyoutuliza mpira na kuukwamisha nyavuni.
Shabana 1-0 Kakamega Homeboyz
Ilikuwa LIVE #AzamSpors3HD
#LigiKuuKenya #SportPesaLeague #ShabanaVsKakamegaHomeboyz
- Title
- VITASA | Mkurugenzi Mafia Boxing afunguka asili ya jina lao, asema Aprili 24 itakuwa burudani
- Runtime
- 51:12
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Mkurugenzi Mtendaji wa Mafia Boxing Promotion, Ally Zayumba amemtaja mtu ambaye alikuja na wazo la kuwa na vijana watakaoshiriki kwenye ngumi na mtu huyo alikuwa na jina la utani la Mzee wa Mafia.
- Title
- Azam FC 3-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League - 17/04/2026
- Runtime
- 8:14
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Azam FC dhidi ya JKT Tanzania.
Azam FC imeshinda kwa jumla ya magoli 3-0.
Magoli yamefungwa na Jephte Kitambala na Iddy Nado ambaye amefunga magoli mawili.
- Title
- Azam FC 3-0 JKT Tanzania | Neno la makocha baada ya mechi - 17/04/2026
- Runtime
- 4:46
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- #NBCPL: Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema aliwaambia wachezaji wake kuongeza jitihada ili waweze kufunga magoli.
Hii ni baada ya kutoka bila goli kwenye dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Kwa upande wake Kocha Ahmad Ally anasema kipindi cha pili hakikuwa kizuri kwao huku akiongeza kuwa hawakuwa vema kwenye kuzuia mipira ya kutenga.
FT: Azam FC 3-0 JKT Tanzania
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #AzamFCVsJKTTanzania #AzamFC #JKTTanzania #AZMJKT
- Title
- Azam FC 3-0 JKT Tanzania | Magoli | NBC Premier League - 17/04/2026
- Runtime
- 3:24
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Tazama magoli yote matatu ya Azam FC kwenye mchezo wa NBC Premier League dhidi ya JKT Tanzania.
Azam FC imeshinda kwa jumla ya magoli 3-0.
Magoli yamefungwa na Jephte Kitambala na Iddy Nado ambaye amefunga magoli mawili.

