Azam TV
Prisons 3-1 Dodoma Jiji | Magoli | NBC Premier League - 14/06/2026
- Title
- Prisons 3-1 Dodoma Jiji | Magoli | NBC Premier League - 14/06/2026
- Runtime
- 3:43
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama chum azote nne zilizofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Prisons dhidi ya Dodoma Jiji.
Magoli ya Prisons yamefungwa na Lulihoshi Heritier, Oscar Mwajanga na Jeremiah Juma huku goli la Dodoma Jiji likifungwa na Waziri Junior
FT: Tanzania Prisons 3-1 Dodoma Jiji
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #PrisonsVsDodomaJiji
- Title
- Simba SC 2-1 Pamba Jiji | Highlights | NBC Premier League - 14/06/2026
- Runtime
- 10:54
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Pamba Jiji
FT: Simba SC 2-1 Pamba Jiji
Magoli ya Simba yamefungwa na Elie Mpanzu na Libasse Gueye huku goli la Pamba Jiji likifungwa na Mathew Momanyi.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #SimbaVsPambaJiji #SimbaSC #PambaJiji #SimbaPamba
- Title
- MZUKA WC2026 | Mchambuzi Justine Kessy afunguka kinachoweza kumtiririsha jasho
- Runtime
- 2:01
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | Kumbe mchambuzi wa ‘boli’ @justinekessytz akipata simu ya kushtua, huwa ni mwendo wa kutiririsha jasho kama ilivyowahi kumkuta Kocha José Antonio Camacho mwaka 2002 wakati akiinoa Hispania
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Simba 2-1 Pamba Jiji | Magoli | NBC Premier League - 14/06/2026
- Runtime
- 3:37
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba dhidi ya Pamba Jiji
FT: Simba SC 2-1 Pamba Jiji
Magoli ya Simba yamefungwa na Elie Mpanzu na Libasse Gueye huku goli la Pamba Jiji likifungwa na Mathew Momanyi.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #SimbaVsPambaJiji #SimbaSC #PambaJiji #SimbaPamba
- Title
- Uhuru Selemani Mwambungu anataka kuwaonesha jambo Coastal Union
- Runtime
- 1:30
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KMC vs COASTAL UNION: “Upinzani utakuwa umeongezeka”
Kocha wa KMC, Uhuru Selemani Mwambungu anasema maisha yake ya soka yameanzia Coastal Union na kesho anataka kuwaonesha kwamba kijana wao sasa amekua.
Ni mtanange wa NBC Premier League kati ya KMC dhidi ya Coastal Union.
Mechi ni kesho Juni 15, 2026 saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- Kocha Coastal Union asema mechi yao dhidi ya KMC, itakuwa ngumu
- Runtime
- 3:14
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KMC vs COASTAL UNION: “Tunategemea ushindani uko palepale”
Kocha wa Coastal Union Fikiri Elias anasema wanategemea ushindani kutoka kwa wapinzani wao KMC na hasa hamasa kutoka kwa mchezaji mmojammoja.
Kocha Elias anasema kuwaza kupata matokeo kiurahisi, sio fikra za soka.
Kwa upane wake mchezaji Luician Kilua anasema alama tatu za kesho ni muhimu kwao kuliko kitu chochote.
Mechi ni kesho Juni 15, 2026 saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- Hiki ndicho kilichowaponza Uturuki, Sikiliza uchambuzi huu.
- Runtime
- 5:03
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | '' kulikuwa na ubora wa golikipa wa Australi'', Mchambuzi wa soka, Godilisten Muro akieleza tathmini ya dakika zote tisini kwa timu zote mbili Australia na Uturuki kwenye mchezo uliomalizika kwa magoli 2-0.
Amesema goli kipa wa Australia alionesha ubora wake tangu dakika 45 za kwanza hali ambayo imewafanya kuwa salama zaidi.
Tulikuwa LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Mchambuzi Muro akieleza tathmini yake kuhusu Haiti na Scotland
- Runtime
- 3:11
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Peter Otai alivyofungua dimba Uchambuzi wa Haiti vs Scotland
- Runtime
- 3:24
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Upande wa Kiingereza yupo hapa @peterotaiofficial akiwa na jopo lake la wachambuzi linaloundwa na Bernad Otieno akiwa na Felix Sapao
Ni Haiti vs Scotland kuanzia saa 10:00 alfajiri.
Itakuwa LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Ni Haiti dhidi ya Scotland, hivi ndivyo jopo la wachambuzi lilivyoanza
- Runtime
- 2:58
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Wakati huu ni zamu ya @van_msumi akiwa na jopo lake la wachambuzi linaloundwa na @godlisten_muro7 na @abissay_stephen
Ni Haiti vs Scotland kuanzia saa 10:00 alfajiri.
Itakuwa LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Hivi ndivyo Morocco wanavyoingia kuvaana na Brazil
- Runtime
- 3:03
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026: Kikosi kinachoanza kwa Morocco hiki hapa....!
Mechi ni saa 7:00 usiku na itakuwa LIVE #AzamSports4HD kwa lugha ya Kiingereza na #AzamSports2HD kwa lugha ya Kiswahili.
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26
- Title
- Namna Kikosi cha Brazil kinavyoanza kuwavaa Morocco
- Runtime
- 3:40
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026: Kikosi kinachoanza kwa Brazil hiki hapa....!
Mechi ni saa 7:00 usiku na itakuwa LIVE #AzamSports4HD kwa lugha ya Kiingereza na #AzamSports2HD kwa lugha ya Kiswahili.
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26
- Title
- RUGBY | Tanga Taitus na Hurricane zafanya kweli Leopards and Roadgrip Touch
- Runtime
- 3:02
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Michuano ya Dar Leopards and Roadgrip Touch Rugby imemalizika leo Juni 13 huku timu ya Tanga Taitus wakiibuka mabingwa wa ‘Ngao’ na timu ya Hurricane wakiibuka na ubingwa wa ‘Ndovu’.
Michuano hiyo imefanyika kwenye viwanja vya Ufundi vilivyopo Lugalo Dar es Salaam, malengo yakiwa ni kukuza mchezo huo wa Rugby pamoja na kuwaleta pamoja familia za wanamichezo.
Sikia walichozungumza Kocha wa Tanga Taitus, Abdul Amir, Mratibu wa Mashindano, Charles Vanhuysse, Mdhamini wa Mashindano Charles Kinunda na Mchezaji wa timu ya Hurricane Martin Shirima
- Title
- ''Brazil wanajiita ni baba na mama wa mpira'', Mchambuzi James Samwel
- Runtime
- 1:37
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | "...Brazil wanajiita wao ndio baba na mama wa mpira", Mchambuzi @james_samwel31 akizungumzia mtazamo wa Brazil kwenye soka kuelekea mchezo wao dhidi ya Morocco utakaopigwa kuanzia saa 7:00 usiku.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- MZUKA WC2026 | Kishindo cha DR Congo wakiwasili Marekani na vazi la ngozi ya chui
- Runtime
- 11:15
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Ni kipindi cha burudani za Kombe la Dunia 2026, ndani ya studio wakiwepo Justine Kessy na Zuberi George Mkalaboko.
Hapa inachambuliwa timu ya taifa ya Congo DR jinsi ilivyoingia na vazi lenye ujumbe mzito la ngozi ya chui.
Host ni Jackine Mgina
- Title
- MZUKA WC2026 | Kisa cha Romania kubadili mtindo wa nywele (bleech) kwenye Kombe la Dunia 1998
- Runtime
- 9:01
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Zuberi Mkalaboko na Justine Kessy na kumbukumbu za ndani kuhusu suala la mirtindo ya nywele kwenye Kombela Dunia, hasa kisa cha Romania mwaka 1998.
- Title
- MZUKA WC2026 | Undani wa England kuibiwa vifaa vya mazoezi kwenye Kombe la Dunia 2026
- Runtime
- 6:36
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Huko Marekani kuna timu imeibiwa vifaa vyao vya mazoezi
“…Simba waliibiwa jezi zote”
Zuberi Mkalaboko anakumbushia tukio la Simba kuimbiwa jezi, akizungumzia tukio la timu ya England kuibiwa vifaa vya mazoezi huko nchini Marekani.
Jackline anahoji "..Je, Marekani nako kuna njaa?"
Je, ulitarajia kusikia tukio la wizi kwenye michuano hii?
Iko hapa taarifa kamili…
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
- Title
- JKT Tanzania 1-2 Singida BS | Highlights | NBC Premier League 13/06/2026
- Runtime
- 8:43
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Singida BS imepata ushindi wa mabao 2-1 ugenini kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo dhidi ya JKT Tanzania, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
Magoli ya Singida yametoka kwa Horso Muaku na Emmanuel Keyekeh, huku la JKT likitoka kwa Valentino Mashaka.
- Title
- Magoli | JKT Tanzania 1-2 Singida BS | NBC Premier League 13/06/2026
- Runtime
- 3:38
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Singida BS imepata ushindi wa mabao 2-1 ugenini kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo dhidi ya JKT Tanzania, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
Magoli ya Singida yametoka kwa Horso Muaku na Emmanuel Keyekeh, huku la JKT likitoka kwa Valentino Mashaka.
- Title
- Mashujaa 0-2 Yanga | Highlights | NBC Premier League - 13/06/2026
- Runtime
- 9:02
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC ikiwa ugenini dhidi ya Mashujaa FC.
Mechi imepigwa katika dimba la Lake Tanganyika Kigoma.
Magoli yamefungwa na Mudathir Yahya na Bakari Mwamnyeto
FT: Mashujaa 0-2 Yanga
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG
- Title
- Mashujaa 0-2 Yanga | Magoli | NBC Premier League - 13/06/2026
- Runtime
- 2:05
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote mawili ya Yanga SC ikiifunga Mashujaa FC, kwenye NBC Premier League.
Magoli yamefungwa na Mudathir Yahya na Bakari Mwamnyeto
FT: Mashujaa 0-2 Yanga
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG
- Title
- Mbeya City 1-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League - 13/06/2026
- Runtime
- 4:46
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Mbeya City dhidi ya Mtibwa Sugar.
FT: Mbeya City 1-0 Mtibwa Sugar
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MbeyaCityVsMtibwaSugar #MbeyaCity #MtibwaSugar #MCCMTB
- Title
- Mbeya City 1-0 Mtibwa Sugar | Goli | NBC Premier League - 13/06/2026
- Runtime
- 1:26
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #NBCPL: Huu hapa mkwaju wa penati uliopigwa na Adilly Buha na kuipatia alama tatu Mbeya City.
FT: Mbeya City 1-0 Mtibwa Sugar
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MbeyaCityVsMtibwaSugar #MbeyaCity #MtibwaSugar #MCCMTB
- Title
- Kocha Pamba Jiji asema hana uoga kuikabili Simba kwenye NBC Premier League
- Runtime
- 5:36
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- SIMBA vs PAMBA JIJI: “Watu waje uwanjani kuweza kuona kuwa timu imebadilika”
Kocha wa Pamba Jiji, Francis Baraza anasema kwa namna alivyowaelekeza vijana wake na kama watafuata maelekezo, basi hana wasiwasi wa kupata matokeo kwenye mechi dhidi ya Simba SC, kesho Juni 14, 2026.
Kocha huyo anasema kesho yeye atashambulia ili kuwarudisha nyuma wapinzani wao na hana uoga wowote.
Kwa upande wake golikipa Yona Amos anasema kwa sasa wao wanaangalia kuhusu mechi ya kesho na sio kufikiria mechi iliyopita.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- Simba Queens 1-1 Alliance Girls | Highlights | Tanzania Women Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 9:02
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara 2025/26 Simba Queens wamehitimisha msimu kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Alliance Girls, mchezo ukipigwa KMC Complex, Dar es salaam.
Aliyetangulia kutikisa nyavu alikuwa ni Fatma Issa Maonyo na aliyechomoa bao alikuwa ni Moga Patrick.
Na haya ni matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo huo.
- Title
- Kocha wa Simba asema watakutana na mechi ngumu dhidi ya Pamba Jijij
- Runtime
- 3:06
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- SIMBA vs PAMBA JIJI: Kocha wa Simba SC, Steve Barker, anasema hakuna kingine wanachotegemea kutoka kwa wapinzani wao Pamba Jiji, zaidi ya kukutana na mechi ngumu kwenye mchezo wao wa kesho Juni 14, 2026, wa NBC Premier League.
Barker anasema baada ya mapumziko ya kupisha kalenda ya FIFA, wachezaji sasa wana njaa ya kuihitaji mechi na ushindi.
Kwa upande wake mchezaji Vedastus Masinde anasema wanaamini wao ni bora kuliko Pamba Jiji na kesho watapambana kwa ajili ya kupata ushindi.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- Michuano ya Kombe la Dunia 2026 na idadi ya magoli yanayofungwa
- Runtime
- 1:56
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026: ''inawezekana rekodi iliyowekwa michuano iliyopita ikawekwa mara hii kwa magoli mengi'' Mchambuzi Godlisten Muro kaielezea namna michuano hii ya Kombe la Dunia akilinganisha na ile iliyopita kwa kiwango cha magoli yaliyokuwa yakifungwa.
Tuko LIVE kupitia #AzamSports2HD
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26
- Title
- Hivi ndivyo Peter Otai alivyowakaribisha wachambuzi wake
- Runtime
- 1:32
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Huku kwenye Kiingereza ni yule yule Peter Otai akiwa na wachambuzi wake wawili Benard Otieno na Felix.
Tuko LIVE #AzamSports4HD kwa Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Alichokisema Mchambuzi Bemelengo kuhusu Marekani kabla ya mchezo
- Runtime
- 3:04
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026: '' hali ya kisoka Marekani tangu walipoandaa mara ya kwanza michuano hii na sasa ni tofuati'', Mchambuzi Athuman Bemelengo akiuzungumzia mchezo unaofuata kati ya USA Vs Paraguay kuanzia saa 10:00 alfajiri.
Amesema mechi hii huenda ikawa na ushindani mkubwa kati ya miamba yote miwili kuhakikisha inatoka na ushindi.
Tuko LIVE kupitia #AzamSports2HD
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26
- Title
- KMC FC 0-1 TRA United | Highlights | NBC Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 5:17
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Chuma hya header kutoka kwa beki Chamou Karaboue limetosha kurasmisha KMC FC kushuka daraja wakikubali kichapo cha bao 1-0 kwenye Dimba lao la nyumba, KMC Complex...
Kupoteza kwa mchezo huu kumewafanya KMC FC kubaki na alama zao 9 mkiani, huku wakiwa na mechi nne mkononi, ambazo hata wakishinda zote, hawawezi kutoka nafasi mbili za chini.
Juu ya KMC yupo Tanzania Prisons mwenye alama 20 na Mbeya City mwenye alama 22.
- Title
- Goli la TRA United lililowashusha rasmi daraja KMC FC (0-1) | NBC Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 1:20
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Chuma hya header kutoka kwa beki Chamou Karaboue limetosha kurasmisha KMC FC kushuka daraja wakikubali kichapo cha bao 1-0 kwenye Dimba lao la nyumba, KMC Complex...
Kupoteza kwa mchezo huu kumewafanya KMC FC kubaki na alama zao 9 mkiani, huku wakiwa na mechi nne mkononi, ambazo hata wakishinda zote, hawawezi kutoka nafasi mbili za chini.
Juu ya KMC yupo Tanzania Prisons mwenye alama 20 na Mbeya City mwenye alama 22.
- Title
- Coastal Union 1-1 Namungo FC | Highlights | NBC Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 6:56
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Coastal Union wamebanwa mbavu na kulazishwa sare ya bao 1-1 na Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Mkwakwani Tanga.
Coastal wametangulia kupata bao dakika ya 37 kupitia kwa Robert Savilla, lakini Namungo wakachomoa dakika ya 72 kupitia kwa Geofrey Luzendaze.
- Title
- Magoli | Coastal Union 1-1 Namungo FC | NBC Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 2:41
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Coastal Union wamebanwa mbavu na kulazishwa sare ya bao 1-1 na Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Mkwakwani Tanga.
Coastal wametangulia kupata bao dakika ya 37 kupitia kwa Robert Savilla, lakini Namungo wakachomoa dakika ya 72 kupitia kwa Geofrey Luzendaze.
haya hapa magoli...
- Title
- Fountain Gate FC 0-2 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 8:21
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Jean Jaques Ngita na Jephte Kitambala Bola wameipa Azam FC magoli mawili muhimu ugenini wakiondoka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha dhidi ya Fountain Gate FC.
Haya hapa magoli yote mawili...
- Title
- MABINGWA: Simba Queens walivyokabidhiwa kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Wanawake 2025/26
- Runtime
- 3:50
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Hatimaye mabingwa Simba Queens wamebeba ndoo yao ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (Tanzania Women Premier League) 2025/26 .
Makabidhiano hayo yamefanyika baada ya mchezo dhidi ya Alliance Girls uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Magoli | Fountain Gate 0-2 Azam FC | NBC Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 2:12
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Jean Jaques Ngita na Jephte Kitambala Bola wameipa Azam FC magoli mawili muhimu ugenini wakiondoka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha dhidi ya Fountain Gate FC.
Haya hapa magoli yote mawili...
- Title
- Magoli | Simba Queens 1-1 Alliance Girls | Tanzania Women Premier League 12/06/2026
- Runtime
- 2:10
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara 2025/26 Simba Queens wamehitimisha msimu kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Alliance Girls, mchezo ukipigwa KMC Complex, Dar es salaam.
Aliyetangulia kutikisa nyavu alikuwa ni Fatma Issa Maonyo na aliyechomoa bao alikuwa ni Moga Patrick.
- Title
- Singida BS yawinda ushindi muhimu, kuitafuta nafasi ya nne kwenye msimamo.
- Runtime
- 2:35
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- JKTTANZANIA vs SINGIDABS: Kocha wa Singida BS, Muhibu Kanu amesema timu yake imejiandaa kiufundi kuelekea mchezo wa Juni 13, 2026 dhidi ya JKT Tanzania, lengo likiwa ni kutumia madhaifu ya wapinzani wao kuzitafuta alama tatu muhimu.
Kwa upande wake mchezaji wa timu hiyo, Metacha Mnata amesema wachezaji na benchi la ufundi wanatambua ugumu wa mchezo huo lakini wanaamini ushindi utakuwa upande wao.
Mechi itapigwa saa 10:00 jioni, na itakuwa LIVE #AzamSports1HD
- Title
- Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally awatuliza presha wachezaji kuelekea mchezo dhidi ya Singida BS.
- Runtime
- 3:30
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- JKT TANZANIA vs SINGIDA BS: Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida BS utakaochezwa Juni 13, 2026 yameenda vema.
Kocha Ahmad amesema kila timu ina malengo yake hivyo kikosi chake kimejipanga kuhakikisha kinamaliza mechi zilizosalia kwa ubora ili wasalie nafasi nne za juu.
Kwa upande wake mchezaji wa timu hiyo, Ally Msengi amesema mchezo huo utakuwa mgumu kutokana na timu zote mbili kuhitaji alama tatu zitakazowaweka kwenye nafasi nzuri katika msimamo wa Ligi.
Mechi itapigwa saa 10:00 jioni, na itakuwa LIVE #AzamSports1HD
- Title
- Mtibwa Sugar watamba kuondoka na alama tatu za ugenini.
- Runtime
- 2:24
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- MBEYA CITY vs MTIBWA SUGAR: Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema timu yake imetumia vyema kipindi cha mapumziko kujiandaa kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaochezwa kesho Juni 13, 2026.
Chipo amesema kikosi chake kimejiandaa kuhakikisha kinaepuka makosa ambayo yamekuwa yakiwagharimu na kuwanyima alama tatu muhimu katika mechi zilizopita.
Kwa upande wake, mchezaji wa timu hiyo, Harun Lyawatwa amesema wanafahamu mchezo huo utakuwa mgumu kutokana na kila timu kuhitaji matokeo ya ushindi, lakini wamejipanga kufanya vema na kupambana kwa nguvu zote.
Mechi itapigwa saa 8:00 mchana, na itakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD
- Title
- Kocha wa Mbeya City, Salum Mayanga amewasisitiza wachezaji wake kuepuka makosa.
- Runtime
- 2:27
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- MBEYA CITY vs MTIBWA SUGAR:Kocha wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema wachezaji wote wapo katika hali nzuri kiafya kuelekea mchezo wa Juni 13, 2026 wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar, akisisitiza umuhimu wa kikosi chake kupunguza makosa ndani ya uwanja ili kupata ushindi wa alama tatu.
Kwa upande wake mchezaji wa timu hiyo, Eliud Ambukile amesema mchezo huo unatarajiwa kuwa mgumu, lakini kutokana na maandalizi na hamasa waliyojengeana ndani ya kikosi, wana imani ya kufanya vema.
Mechi itapigwa saa 8:00 mchana, na Kuruka LIVE #AzamSports1HD
- Title
- VIWANJANI | 12/06/2026 | Uchambuzi, Steve Barker, Allan Okelo na matukio yaliyotikisa Soka Tanzania.
- Runtime
- 56:08
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- FIFA WORLD CUP 2026 | Uchambuzi wa makundi yote 12 kwa lugha ya Kiingereza (English)
- Runtime
- 1:28:20
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi wa makundi yote 12 (Kiswahili)
- Runtime
- 1:04:25
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Dr. Leakey, Edo Kumwembe na Julieth Singano... Host ni Fatma Abdallah Chikawe.
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi mabingwa wa kihistoria na miji itakayotumika WC 2026
- Runtime
- 5:43
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Wafahamu mabingwa wa kihisitoria wa Kombe la Dunia…
Kinara ni Brazil akifuatiwa na Ujerumani, Italia, Argentina, Ufaransa, Uruguay, Engalnd, na Spain.
Je, nani atajiongezea taji?
Sikiliza maoni ya wachambuzi Dkt. Leakey Abdallah na Edo Kumwembe.
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Fatma Chikawe alivyoufungua uchambuzi upande wa Kiswahili
- Runtime
- 3:26
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- “…Azam TV tunaye na tunatamba naye”
Upande wa Kiswahili, Fatma Chikawe ametufungulia wasaa wa uchambuzi namna hii… na kisha kuwatambulisha wachambuzi wake, akiwemo mwana dada Julieth Singano, mchezaji, mtanzania anayekiwasha nchini Mexico.
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Chiko Lawi alivyofungua uchambuzi upande wa Kiingereza (English)
- Runtime
- 4:21
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- Upande wa Kiingereza, hivi ndivyo matangazo yalivyofunguliwa, na wachambuzi kutambulishwa.
Host ni Chiko Lawi ambaye ameanza na mbwembwe za kuyatambulisha mataifa matatu wenyeji wa michuano hii huku akikupa mambo usiyoyajua kuhusu mataifa hayo.
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Azam TV ilivyojipanga kwa mechi ya ufunguzi
- Runtime
- 4:31
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | Uhondo unatokea hapa…
Ziara fupi ndani ya chumba cha habari, vyumba maalum vya kurushia matangazo hadi studio kuhakikisha unapata burudani.
Wahusika wote wanasema wako tayari kwa mechi zote 104 mbashara.
Ungana na Fatma Chikawe akiwa na Chiko Lawi.
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Chiko Lawi LIVE kutoka Tanzanite Bridge
- Runtime
- 2:23
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA | Chiko Lawi moja kw amoja kutoka Daraja la Tanzanite, Dar es Salaam alipokuwa akitukaribisha namna hii kwenye uchambuzi ambao tayari umeshaanza..
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
- Title
- VIWANJANI | 11/06/2026 |
- Runtime
- 1:38:17
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- Azam TV

