Azam TV
Ghana vs Panama | Half-Time Analysis | FIFA World Cup 2026
- Title
- Ghana vs Panama | Half-Time Analysis | FIFA World Cup 2026
- Runtime
- 6:43
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Rhino Rangers 2-2 Bandari FC (Pen: 4-2) | Fainali First League 17/06/2026
- Runtime
- 13:04
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Rhino Rangers kutoka Tabora ndiyo mabingwa wa First League (zamani Ligi Daraja la Pili), baada ya ushindi wa penati 4-2 kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Bandari FC, ya Mtwara.
Fainali imepigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Mabingwa wa First League 2025/26, Rhino Rangers wakikabidhiwa kombe lao
- Runtime
- 2:58
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Rhino Rangers kutoka Tabora ndiyo mabingwa wa First League (zamani Ligi Daraja la Pili), baada ya ushindi wa penati 4-2 kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Bandari FC, ya Mtwara.
Fainali imepigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Mikwaju ya Penati | Rhino Rangers 2-2 Bandari FC (Pen: 4-2) | Fainali First League 17/06/2026
- Runtime
- 4:46
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Rhino Rangers kutoka Tabora ndiyo mabingwa wa First League (zamani Ligi Daraja la Pili), baada ya ushindi wa penati 4-2 kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Bandari FC, ya Mtwara.
Fainali imepigwa Azam Complex, Chamazi.
Hizi hapa penati zilizowapa ubingwa...
- Title
- Magoli | Rhino Rangers 2-2 Bandari FC (Pen: 4-2) | Fainali First League 17/06/2026
- Runtime
- 4:28
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- Rhino Rangers kutoka Tabora ndiyo mabingwa wa First League (zamani Ligi Daraja la Pili), baada ya ushindi wa penati 4-2 kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Bandari FC, ya Mtwara.
Fainali imepigwa Azam Complex, Chamazi.
Hizi hapa penati zilizowapa ubingwa...
- Title
- Singida BS 5-0 Dodoma Jiji | Highlights| NBC Premier League - 17/06/2026
- Runtime
- 11:56
- Date posted
- 23 days ago
- Description
- #NBCPL: Hat-trick ya kwanza kupitia kwa Mossi Ndumumwe...!Tazama magoli yote yalivyofungwa
FT: Singida BS 5-0 Dodoma Jiji
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #SingidaBSvsDodomaJiji #SingidaBS #DodomaJiji #SingidaDodoma
- Title
- Timu ya Netiboli ya Jeshi la Polisi yapokewa kishujaa Arusha
- Runtime
- 3:11
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Timu ya Netiboli ya Jeshi la Polisi imepokelewa kishujaa Jijini Arusha na Maafisa, Wakaguzi, Askari na wananchi wakati ikiwasili kutokea Mkoani Dodoma mara baada ya kuibuka mabigwa wa mashindano ligi daraja la kwanza ya Netiboli Taifa.
Akizungumza wakati wa mapokezi hayo leo Juni 17, 2026 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Justine Masejo ameipongeza timu hiyo kwa ushindi walioupata kwani umeliletea sifa nzuri Jeshi la Polisi.
Kamanda Masejo amesema kuwa Jeshi la Polisi kupitia falsafa ya Polisi jamii, litaendelea kushiriki katika michezo mbalimbali kwani michezo inatumika katika kudumisha uzalendo, umoja na mshikamano baina ya wananchi na Jeshi hilo katika kuzuia uhalifu.
Aidha, SACP Masejo ametoa wito kwa wananchi na wadau mbalimbali kufadhili timu hiyo, hatimaye iweze kutumika katika kutangaza fursa mbalimbali za utalii zilizopo mkoani Arusha katika kukuza uchumi wa Mkoa huo na Taifa kwa ujumla.
...
- Title
- Singida BS 5-0 Dodoma Jiji | Magoli | NBC Premier League - 17/06/2026
- Runtime
- 5:16
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- #NBCPL: Hat-trick ya kwanza kupitia kwa Mossi Ndumumwe...!Tazama magoli yote yalivyofungwa
FT: Singida BS 5-0 Dodoma Jiji
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #SingidaBSvsDodomaJiji #SingidaBS #DodomaJiji #SingidaDodoma
- Title
- Mbeya City 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 17/06/2026
- Runtime
- 8:42
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Simba SC dhidi ya Mbeya City ambapo Elie Mpanzu ndio amepeleka alama tatu unyamani.
Simba imeshinda kwa goli 1-0 ndani ya dimba la Sokoine jijini Mbeya
- Title
- Mbeya City 0-1 Simba SC | Goli | NBC Premier League - 17/06/2026
- Runtime
- 1:13
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Tazama goli la Simba SC dhidi ya Mbeya City ambapo Elie Mpanzu ndio amepeleka alama tatu unyamani.
Simba imeshinda kwa goli 1-0 ndani ya dimba la Sokoine jijini Mbeya.
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Hasheem Ibwe akilifungau dawati la uchambuzi kuelekea Argentina vs Algeria
- Runtime
- 4:42
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Hasheem Ibwe anakurabisha kwa style ya aina yake kuelekea mchezo unaofuata…
Ni Argentina vs Algeria, saa 10:00 alfajiri.
Sahau kuhusu kitanda…
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #IraqNorway
- Title
- Pamba Jiji yatamba nyumbani, Kocha Francis Baraza amesema timu ipo tayari kuikabili Mtibwa Sugar.
- Runtime
- 5:44
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- PAMBA JIJI vs MTIBWA SUGAR: Kocha wa Pamba Jiji, Francis Baraza amesema kikosi chake kipo tayari kuutumia vyema uwanja wa nyumbani katika mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Mtibwa Sugar FC utakaopigwa kesho Juni 18, 2026.
Baraza ameeleza kuwa malengo ya timu hiyo yanaendelea kutimia hatua kwa hatua, huku akiwapongeza wachezaji wake kwa kujituma, nidhamu na licha ya kutokuwa na matokeo bora kwenye mechi za karibuni.
Kwa upande wake mchezaji wa timu hiyo, Michael Samamba amesema timu imejifunza kutokana na makosa ya mechi zilizopita na kuyafanyia kazi katika uwanja wa mazoezi.
- Title
- Mtibwa Sugar waelekea Mwanza kivingine, Kocha Yusuf Chipo asema alama tatu ni za muhimu zaidi.
- Runtime
- 4:13
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- PAMBA JIJI vs MTIBWA SUGAR: “Sisi tunahitaji hizi pointi zaidi yao…”
Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema kikosi chake kinaelekea kwenye mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Pamba Jiji utakaochezwa kesho Juni 18, 2026 kikiwa na dhamira ya kuhakikisha kinapata alama tatu muhimu.
Chipo amesema anatambua kuwa Pamba Jiji watautumia vyema uwanja wa nyumbani kutafuta ushindi, lakini kwa upande wa Mtibwa Sugar umuhimu wa pointi hizo ni mkubwa.
Kwa upande wake mchezaji wa Mtibwa Sugar, Haroun Lyawatwa amesema wachezaji wote wanafahamu umuhimu wa mchezo huo, akisisitiza kuwa wataingia uwanjani kwa ari ya kupambania alama zote tatu.
- Title
- Kocha wa Yanga azipania alama tatu za Fountain Gate
- Runtime
- 2:58
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- FOUNTAIN GATE vs YANGA: “Tumekuja kuchukua alama tatu”
Kocha wa Yanga SC, Abdihamid Moallin anasema wapinzani wao Fountain Gate FC, ni timu iliyokamilika na kesho Juni 18, 2026, wanapaswa kutulia ili kupata ushindi.
Kwa upande wake beki Frank Asinki anasema mechi ya kesho haitokuwa rahisi.
Ni mechi ya NBC Premier League na itapigwa saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- Kocha Minziro kuifuata Yanga kwa tahadhari
- Runtime
- 1:21
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- FOUNTAIN GATE vs YANGA: “Tunakutana na timu kubwa”
Kocha wa Fountain Gate FC, Fred Felix ‘Minziro’ anasema vijana wake wamekuwa wakiimarika kadri siku zinavyosonga mbele na ana matumaini kwamba kesho Juni 18, 2026, mechi yao itakuwa bora.
Kwa upande wake mchezaji wa Chukwunonye MacDonald Obasi anasema wamejiandaa vema na wanaomba kesho hali ya hewa iwe nzuri.
Ni mechi ya NBC Premier League dhidi ya Yanga SC na itapigwa saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Chiko Lawi awafananisha wachambuzi wake na wanafunzi kuelekea Argentina vs Algeria
- Runtime
- 4:00
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 “…welcome to Azam TV High School”
Ndivyo alivyoifungua ngwe ya saa 9 usiku, Chiko Lawi, akilifananisha jopo lake la uchambuzi na wanafunzi wa sekondari.
Kwa mtoko huu, hata ungekuwa wewe, ungedhani kuwa hawa ni ‘madenti’, si ndiyo..!!?
50: Argentina 1-0 Algeria.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #ArgentinaAlgeria
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Shaffih Dauda anaripoti moja kwa moja kutoka Marekani Ufaransa Vs Senegal
- Runtime
- 3:30
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: “Wafaransa wameanza kupanic”
Moja kwa moja kutoka kwa @shaffihdauda_ akiwa nje ya dimba New Jersey Marekani, akiripoti wakati wa mapumziko.
Tayari Ufaransa wanaongoza
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #FranceVsSenegal #FranceSenegal
- Title
- Azam FC 2-0 Mashujaa | Highlights | NBC Premier League - 16/06/2026
- Runtime
- 6:58
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Tazama matukio yote muhimu kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Azam FC dhidi ya Mashujaa
Magoli yamefungwa na Sadio Kanoute na James Akaminko katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Zima zote, mtazame Said Msumi akiwakaribisha wachambuzi wake
- Runtime
- 4:48
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Kuna Kaka Said wa Ismailia, kuna Kaka Said wa Hispania na kuna huyu Said Msumi wa Kombe la Dunia.
Tazama alivyoifungua show leo akiwa na wageni wake Edo Kumwembe Abissay Stephen na nyota wa Taifa Stars Saimon Msuva
Ni uchambuzi wa mechi kati ya Ufaransa dhidi ya Senegal.
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #IranNewZealand
- Title
- Azam FC 2-0 Mashujaa | Magoli | NBC Premier League - 16/06/2026
- Runtime
- 2:07
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- Tazama magoli yote mawili ya Azam FC kwenye mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Mashujaa FC.
Magoli yamefungwa na Sadio Kanoute na James Akaminko katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Huu ufunguzi wa kipindi uliofanywa na Peter Otai, ni zaidi ya hatari
- Runtime
- 5:30
- Date posted
- 24 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Peter Otai atishwa na ‘kinyago’ alichokutananacho ndani ya studio.
Ni show za Mzee wa byutibyuty akiwakaribisha wachambuzi wake kuichambua mechi kati ya Ufaransa dhidi ya Senegal.
Uhondo wote upo LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #IranNewZealand
- Title
- Namungo FC 0-0 TRA United | Highlights | NBC Premier League - 16/06/2026
- Runtime
- 5:19
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Namungo FC dhidi ya TRA United.
Mechi imemalizika kwa suluhu (0-0)
Mtanange umepigwa katika dimba la Majaliwa Ruangwa Lindi
- Title
- Kocha Simba SC, azitaka alama tatu za Mbeya City
- Runtime
- 4:45
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- MBEYA CITY vs SIMBA SC: “Hatuwadharau wapinzani wetu”
Kocha wa Simba SC, Steve Barker anasema kwenye mechi yao dhidi ya Mbeya City, kila timu ina malengo yake na kucheza dhidi ya timu inayopambania kusalia Ligi Kuu, mechi inakuwa ngumu.
Kwa upande wake beki David Kameta ‘Duchu’ anasema kila mchezaji wa Simba anajua kipi anatakiwa kufanya kwa sasa.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Maajabu ya golikipa wa Cape Verde yawashtua watu duniani
- Runtime
- 12:57
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Golikipa wa Cape Verde Vozinha ilikuwa kikwazo kwa Hispania kwenye mchezo wa Kombe la Dunia na kusababisha mechi hiyo kuisha kwa suluhu.
- Title
- Saudi Arabia 1-1 Uruguay | Uchambuzi baada ya mechi (English) | Kombe la Dunia 2026
- Runtime
- 4:18
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Uchambuzi kwa ufupi baada ya game… Je, nini kimewanyima ushindi Uruguay??
Huyu hapa Peter Otai akiwa na wachambuzi Bernard Otieno na Felix Sapau.
FT: Saudi Arabia 1-1 Uruguay
Inafuata Iran vs New Zealand saa 10:00 alfajiri LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi mfupi kuhusu Belgium vs Egypt (1-1) - English
- Runtime
- 4:45
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Na sasa ni wakati wa Peter Otai akiwa na wachambuzi wake Bernard Otieno na Felix Sapau.
Kwanza wanatoa uchambuzi mfupi kuhusu yaliyojiri kwenye game iliyomalizika kwa sare kati ya Ubeligiji vs Misri.
Kuhusu game hiyo, Bernard anapongeza ingizo la Lukaku huku kichambua kiwango cha Mohamred Salah wakati Sapau anaitabiria Misri kufika mbali huku akimchambua Kelvin De Bryne wa leo.
Je, wewe una maoni gani kuhusu game hiyo..
FT: Ubeligiji 1-1 Misri
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Dawati la uchambuzi lilivyofunguliwa kuelekea Saudi Arabia vs Uruguay
- Runtime
- 6:20
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Hivi ndivyo Kennedy Moses alivyolifungua dawati la uchambuzi upande wa Kiswahili, huku akisisitiza uhatari wa Saudi Arabia, kwa kukumbushia kile ilichokifanya kwenye fainali za mwaka 2022.
Wachambuzi wake ni Athuman Bemelengo na Abissay Stephen ambaye alishindwa kabisa kutoa utabiri wake kuelekea mchezo huoo…
- Title
- KMC 1-3 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League - 15/06/2026
- Runtime
- 6:29
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier kati ya KMC dhidi ya Coastal Union
Wafungaji kwa upande wa Coastal Union ni Robert Pius, Greyson Gwalala na Thomas Ulimwengu
Goli la KMC limefungwa na Mudathir Nassor
FT: KMC 1-3 Coastal Union
#NBCPL #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #KMCvsCoastalUnion #KMC #CoastalUnion
- Title
- KMC 1-3 Coastal Union | Magoli | NBC Premier League - 15/06/2026
- Runtime
- 3:12
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama chum azote nne zilizofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya KMC dhidi ya Coastal Union.
Wafungaji kwa upande wa Coastal Union ni Robert Pius, Greyson Gwalala na Thomas Ulimwengu
Goli la KMC limefungwa na Mudathir Nassor
FT: KMC 1-3 Coastal Union
#NBCPL #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #KMCvsCoastalUnion #KMC #CoastalUnion
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Shaffih Dauda akiripoti kutoka LIVE Marekani kuelekea Hispania vs Cape Verde
- Runtime
- 6:24
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Kutoka Atlanta Marekani, huyu hapa ni @shaffihdauda_tz na taarifa za motoooooo kutoka eneo la tukio.
Ni kuelekea mechi ya Hispania vs Cape Verde, saa 1:00 usiku.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Dawati la uchambuzi lilivyofunguliwa kuelekea Hispania vs Cape Verde
- Runtime
- 4:12
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- “Magoli 38 yameshafungwa katika mechi 12 ambazo zimeshacheza hadi sasa…..”
Hivi ndivyo Fatma Chikawe anavyotufungulia uchambuzi kuelekea mechi ya kwanza kwa leo, kati ya Hispania vs Cape Verde....
Upande huu wa Kiswahili wachambuzi ni James Samwel na Godlisten Muro ambaye anasema “..huenda rekodi ya mabao kwenye fainali za Qatar, ikavunjwa mwaka huu”
Je, wewe unaonaje???
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- MZUKA WC2026 | Kumbe Sinza nako kuna Lamine Yamal
- Runtime
- 2:15
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | Ebana kuna Yamal ambaye anaishi Sinza Dar es Salaam, japo huyu jina lake sahihi ni Yanini Jamani.
Meena Ally amempigia simu na kutoa maoni yake kuhusu mechi ya leo kati ya Hispania dhidi ya Cape Verde.
Ni #Mzuka ya #KombeLaDunia ambapo wachambuzi ni @justinekessytz na Zuberi Mkalaboko
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Chiko Lawi alivyofungua uchambuzi kuelekea Hispania vs Cape Verde (English)
- Runtime
- 4:45
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Ni matangazo kwa lugha ya Kiingereza, dawati la uchambuzi likifunguliwa na Chiko Lawi LIVE kutoka studiao za Azam TV, Tabata, Dar es Salaam.
- Title
- MZUKA WA KOMBE LA DUNIA | Mkalaboko anasema ashawahi kusingiziwa wizi
- Runtime
- 1:54
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | “Nishasingiziwa wizi”
Ebana kumbe ndugu yetu Zuberi Mkalaboko alishawahi kusingizia kuwa yeye Mbeya.
‘Mwanetu’ Justine Kessy anasema yeye hajawahi kukutana na majanga ya kusingiziwa.
Ni kipindi cha #Mzuka ambacho kipo hewani muda huu #AzamSports2HD
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- MZUKA WC2026 | Karibu kwenye dunia ya Meena Ally
- Runtime
- 1:22
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | It is Meena Ally kwenye show ya kibabe ya #Mzuka.
Tazama alivyoifungua show leo akiwa na wachambuzi wake Justine Kessy na Zuberi Mkalaboko
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Kocha Julio Kihwelo aweka wazi malengo ya mchezo wao dhidi ya Azam FC.
- Runtime
- 1:56
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- AZAM FC vs MASHUJAA: “Tanahitaji kupata pointi ili tukae vizuri kwenye msimamo wa ligi”.
Kocha wa Mashujaa FC, Jamhuri Kihwelo amesema kikosi chake kimejiandaa vema kuelekea mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Azam FC utakaochezwa kesho Juni 16, 2026.
Kihwelo amesema anatambua ubora na ugumu wa mpinzani wao, lakini lengo kuu la timu ni kupata alama zote tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.
Kwa upande wake mchezaji wa Mashujaa, Kabasele Hamad amesema safari ndefu waliyoifanya kutoka Kigoma inawapa hamasa ya kupambana na kuhakikisha wanapata ushindi katika mchezo huo.
Mechi ni saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD
- Title
- Azam FC hawatanii, kocha msaidizi Kassim Liogope aupa hadhi ya fainali mchezo dhidi ya Mashijaa FC.
- Runtime
- 1:56
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- AZAM FC vs MASHUJAA: Kocha msaidizi wa Azam FC, Kassim Liogope amesema mchezo dhidi ya Mashujaa FC ni kama fainali kwao kutokana na umuhimu wa kupata matokeo chanya.
Liogope amewahimiza mashabiki kujitokeza kwa wingi kuipa timu hiyo hamasa huku akiwaahidi ushindi.
Kwa upande wa mchezaji, Aimar Hafidh ameeleza kuwa maandalizi yamekamilika na lengo ni kuchukua alama zote tatu.
Mechi ni saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Mzaliwa wa Kigoma atikisa Kombe la Dunia
- Runtime
- 23:36
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Taarifa za Nestory Irankunda anayechezea taifa la Australia, zimegonga vichwa vya habari kimataifa ikiwa ni mzaliwa wa kambi ya wakimbizi Kigoma Tanzania.
- Title
- Yanga yamjibu kwa vitendo Kocha Julio wa Mashujaa, yasema mdomo uliponza kichwa
- Runtime
- 2:39
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- VIWANJANI: Yanga yamjibu Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wa Mashujaa, kwa vitendo….wenyewe wasema mdomo uliponza kichwa.
Ni baada ya kuifunga Mashujaa FC magoli 2-0, kwenye mchezo wa NBC Premier League uliopigwa Juni 13, 2026 ndani ya dimba la Lake Tanganyika.
Ni #Zilizobamba mitandaoni ya #Viwanjani
#Viwanjani
- Title
- Ushindi wa Simba SC, Singida BS na Tanzania Prisons umetikisa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC.
- Runtime
- 43:51
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- VIWANJANI | Wachambuzi wa soka, Andrew Kingamkono na Iddy Nonga wanajadili kwa undani matukio yote muhimu yaliyojitokeza katika mechi za NBC premier League.
- Title
- Mchambuzi Kingamko asifu ufundi wa goli la Mpanzu dhidi ya Pamba Jiji
- Runtime
- 1:22
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- VIWANJANI: “Goli la kwanza ni la uzembe katika kujipanga”
Mchambuzi wa soka @kingamkono anasema Pamba Jiji wanastahili pongezi kwenye mchezo wao wa jana dhidi ya Simba SC baada ya kuonesha kiwango kizuri hata baada ya kutanguliwa na kuweza kusawazisha goli.
Katika mchezo huo uliopigwa jana Juni 14, 2026, mnyama alishinda kwa jumla ya magoli 2-1.
#Viwanjani
- Title
- Umwamba wa AzamTV wawatisha watu mtaani
- Runtime
- 3:54
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- VIWANJANI: Maajabu ya #AzamTV yawashangaza watazamaji…matukio tofauti yanaendelea kwa wakati mmoja kwenye studio tofautitofauti na hakuna chochote kinachoathirika.
Unapata uchambuzi wa Kombe la Dunia kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili kwa wakati mmoja, kwenye studio mbili tofauti.
Unapata taarifa ya habari kutoka studio nyingine na hata uchambuzi wa NBC Premier League kutoka studio nyingine.
#Viwanjani
- Title
- Uchambuzi: Tunisia imepokea kichapo cha mabao 5-1 kutoka kwa Sweden
- Runtime
- 7:31
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Takwimu za mchezo wa Seden vs Tunisia hizi hapa...
Mchambuzi wa soka, Ramadhan Mbwaduke amesema kwa namna ambavyo Sweden walikuwa na kiwango bora wangestahili kushinda zaidi ya magoli matano (5), hasa katika kipindi cha pili.
Amesema ikiwa Tunisia wakiendelea na kiwango hiki kwa mechi zijazo wataendelea kujiweka kwenye hatari zaidi.
FT: Sweden 5-1 Tunisia
Ilikuwa LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Ivory Coast walivyobeba alama tatu mbele ya Ecuador, Msikilize Mbwaduke
- Runtime
- 2:13
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Takwimu za mchezo kati ya Ivory Coast vs Ecuador hizi hapa..
Mchambuzi Ramadhan Mbwaduke anasema takwimu zinaonesha karibu kulingana kutokana na mashambulizi mengi kwa timu zote mbili.
Amesema ilikuwa mechi kubwa yenye hadhi ya Kombe la Dunia, ingawa Ivory Coast wamefanikiwa kubeba alama tatu ikiwa ni mwanzo mzuri kwa timu za Afrika.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Kikosi Uholanzi kinachoanza kuwavaa Japan leo
- Runtime
- 2:23
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Hiki ndicho kikosi cha Uholanzi kinachoanza mchezo wa leo dhidi ya Japan
Mchambuzi wa soka, Ally Mayai anasema kikosi hicho kinaonesha kitashambulia zaidi emeo la kati na ikiwa watakwenda na kasi hiyo huenda wakawapa wakati mgumu Japan.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Kikosi cha Japan kinachoanza leo dhidi ya Uholanzi hiki hapa
- Runtime
- 2:17
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Hiki ndicho kikosi cha Japan kinachoanza mchezo wa leo dhidi ya Uholanzi.
Mchambuzi wa soka, Athuman Bemelengo amesema kikosi hicho kinaonesha namna kilivyojiandaa kumiliki mpira zaidi kuliko wapinzani wao.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Ally Mayai akieleza tathimini ya Uholanzi kuelekea mchezo dhidi ya Japan
- Runtime
- 1:41
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | ''kwa takwimu Uholanzi huwezi kuwalinganisha na Japan'', Mchambuzi wa soka Ally Mayai akizungumzia ubora wa Uholanzi kuelekea mchezo wao dhidi ya Japan utakaoanza saa5:00 usiku.
Amesema timu kushiriki mara nyingi kwenye michuano hii inaonesha uimara na ubora wa timu kwenye mchezo.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Lugha ya Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Lugha ya Kiingereza
Mhariri | @rajjmsangi
#FIFAWorldCup2026 #WorldCup2026 #WeAre26 #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Prisons 3-1 Dodoma Jiji | Highlights | NBC Premier League - 14/06/2026
- Runtime
- 8:05
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Dodoma Jiji.
Magoli ya Prisons yamefungwa na Lulihoshi Heritier, Oscar Mwajanga na Jeremiah Juma huku goli la Dodoma Jiji likifungwa na Waziri Junior
FT: Tanzania Prisons 3-1 Dodoma Jiji
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #PrisonsVsDodomaJiji
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Mtangazaji Chico Lawi anaishi kwenye dunia yake
- Runtime
- 2:13
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026: Mabibi na mabwana…karibuni kwenye show za Chico Lawi na jopo lake la wachambuzi ambao ni Brian Tuka na Clive Kyazze kwa upande wa lugha ya Kiingereza.
Mzuka wa Kombe la Dunia unaendelea #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Moto wa Patrick Nyembera na jopo lake la wachambuzi
- Runtime
- 2:41
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026: Mtangazaji @patrick_nyembera anasema leo ni vita ya Daudi na Goliathi akiilenga mechi ya tunayokwenda kuanzanayo ya Ujerumani dhidi ya Curacao.
Nyembera yupo hewani muda huu pamoja na wachambuzi wake Athuman Bemelengo na Ally Mayay
Mzuka wa Kombe la Dunia unaendelea #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV

