Azam TV
England 2-1 Congo DR | Kinachozisibu timu za Afrika | Kombe la Dunia 2026 (English)
- Title
- England 2-1 Congo DR | Kinachozisibu timu za Afrika | Kombe la Dunia 2026 (English)
- Runtime
- 6:29
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Je, nini kinazisibu timu za Afrika?
Ndani ya studio, ‘moto umewaka’, wachambuzi Brian Tuka na Anthony Kimani wameshindwa kuelewana na wamemshinda tabia Chiko Lawi ambaye ameamua kuwaacha...
Tuka anazitetea timu za Afrika akisema zinastahili pongezi, lakini Kimani anawaza tofauti kabisa…
Hii ni sehemu ya mjadala wao baada ya mechi.
Je, unaungana na yupi?
FT: England 2-1 Congo DR
Inafuata Ubelgiji vs Senegal saa 5:00 usiku LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #EnglandCongoDR @chikolawi
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Mchambuzi Edo Kumwembe ajikuta amevua kiatu bila kujijua akiichambua Senegal
- Runtime
- 2:06
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Edo Kumwembe ajikuta amevua kiatu bila kujijua
HT : Ubelgiji 0-2 Senegal
Tuko LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #BelgiumSenegal
- Title
- Kombe kwa mabingwa wapya, Azam FC | NBC U20 Premier League 01/07/2026
- Runtime
- 3:09
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Tuzo na medali kwa washindi wa pili na wa tatu - NBC U20 Premier League 01/07/2026
- Runtime
- 3:25
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli | Yanga SC 1-2 Azam FC | Fainali | NBC U20 Premier League 01/07/2026
- Runtime
- 2:53
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA u20: Azam FC U20 imetwaa ubingwa wa Ligi ya Vijana U20, kwa kuichapa Yanga SC U20 mabao 2-1, katika mchezo wa fainali uliopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam FC yametoka kwa Juma Mbwana na Adnan Rashid, huku moja la Azam FC U20 likifungwa na Saleh Mahsen
Tazama magoli...
- Title
- Highlights | Yanga SC 1-2 Azam FC | Fainali | NBC U20 Premier League 01/08/2026
- Runtime
- 6:33
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA u20: Azam FC U20 imetwaa ubingwa wa Ligi ya Vijana U20, kwa kuichapa Yanga SC U20 mabao 2-1, katika mchezo wa fainali uliopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam FC yametoka kwa Juma Mbwana na Adnan Rashid, huku moja la Azam FC U20 likifungwa na Saleh Mahsen
- Title
- JKT Tanzania 2-2 Mbeya City (Pen: 2-4) | Mshindi wa Tatu | NBC U20 PL 01/07/2026
- Runtime
- 8:42
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA | Mbeya City U20 wamefanikiwa kushika nafasi ya tatu katika michuano ya Ligi ya Vijuana U20, iliyohitimishwa leo kwa Azam FC kuibuka mabingwa.
Mbeya City wamewafunga JKT Tanzania U20 kwa penati 4-2 baada ya sare ya 2-2 katika dakika 90.
Uwanja uliotumika ni Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Mikwaju ya penati | JKT TZ 2-2 Mbeya City (Pen: 2-4) | Mshindi wa Tatu | NBC U20 PL 01/07/2026
- Runtime
- 3:52
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #NBCU20PL Mikwaju ya penati… mechi ya kusaka mshindi wa tatu. Washindi ni Mbeya City, wakifunga penati zote nne walizopiga.
FT: JKT Tanzania 2-2 Mbeya City (Pen: 2-4)
- Title
- Magoli | JKT Tanzania 2-2 Mbeya City (Pen: 2-4) | Mshindi wa tatu | NBC U20 PL 01/07/2026
- Runtime
- 3:55
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #NBCU20PL Magoli yote manne, jinsi JKT walivyotumia dakika za nyongeza kuchomoa chum azote mbili…
FT: JKT Tanzania 2-2 Mbeya City (Pen: 2-4)
- Title
- FULL PRESS | Ally Kamwe aunguruma kuhusu mipango ya Parade la ubingwa Yanga SC NBC PL 2025/26
- Runtime
- 45:49
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Paredi la ubingwa wa Yanga lahamishiwa Dar, kisa Msimbazi; Ally Kamwe afafanua
- Runtime
- 3:45
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- PAREDI LA YANGA | “…waende Pemba wakutane na Kitambala au wabaki Dar watukute wanaume tukiwa Msimbazi pale”
Je, unajua ni kwanini Yanga ‘imechenji gia angani’ kuhusu mahali pa kufanyia paredi lao?
Meneja Habari na Mawasiliano wa timu hiyo, Ally Kamwe anafafanua akitaja ‘Msimbazi’ kuwa sababu kubwa na kuhamishia Dar es Salaam paredi lao la ubingwa wa NBC Premier League kutoka Mwanza.
Kamwe ametaja ruti akisema … “tunaanzia TFF Karume… tunataka tulipie masaa matano, ule mtaa tuufunge”
- Title
- Mohamed Hussein 'Zimbwe' ndiye atakayeongoza juu pale.
- Runtime
- 1:35
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Ally Kamwe, Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, akizungumzia ujio wa 'Paredi'' litakalofanyika Jumamosi ya Julai 4, 2026.
- Title
- Yanga SC bingwa wa NBC Premier League 2025/2026 .
- Runtime
- 54:21
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Uchambuzi wa kina kutoka kwa Deotraphe Kiungai na Frank domayo kuhusu kutamatika kwa Ligi Kuu ya NBC.
Deotraphe amesema mafanikio ya Yanga SC kutwaa ubingwa wa NBC Premier League msimu wa 2025/2026 yamejengwa na mshikamano pamoja na utulivu wa uongozi na maamuzi yenye mwelekeo mmoja jambo ambalo limeiwezesha klabu hiyo kuwa na mwendelezo wa ushindani na mafanikio ndani na nje ya uwanja.
- Title
- Yanga SC yaja na Kampeni ya 'Mwakani Tena''
- Runtime
- 2:51
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- YANGA SC: ''Mwakani tena'', Ally Kamwe, Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, amesema leo wamezindua rasmi kampeni mpya inayoitwa 'Mwakani Tena'.
Anasema leo Julai Mosi, ndio mwanzo wa mwaka wa fedha wa Yanga SC, ambapo unaenda sambamba na wanachama waliolipa ada ya mwaka mmoja kukabidhiwa jitihada zao za kuchangia klabu hiyo.
Iko LIVE: #AzamSports1HD
Imeandaliwa na Yustina Kibutwa
Mhariri | @rajjmsangi
#YangaSC
- Title
- PRESS: Ally Kamwe aweka wazi hali ya Pacome baada ya kupata jeraha
- Runtime
- 4:09
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- YANGA SC: '' upasuaji ulikamilika kwa mafanikio ya asilimia 100'', Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akizungumzia hali ya mchezaji wa klabu hiyo, Pacôme Zouzoua baada ya kupata jeraha jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania.
Amesema kwa mujibu wa madaktari, mchezaji huyo atakuwa na wiki sita kwa ajili ya uangalizi baada ya operesheni aliyofanyiwa kutokana na majeraha aliyoyapata.
Iko LIVE: #AzamSports1HD
Imeandaliwa na Yustina Kibutwa
Mhariri | @rajjmsangi
#YangaSC
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Mvua yachelewesha mechi ya Mexico dhidi ya Ecuador, Shaffih Dauda afunguka
- Runtime
- 8:13
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Mwandishi wa habari ambaye pia ni mchambuzi wa soka @shaffihdauda anaripoti moja kwa moja kutoka katika dimba la Mexico City akielezea namna mvua ilivyotatiza mechi kati ya Mexico dhidi ya Ecuador.
Shaffih anasema wajasiriamali wanauza majaketi kama njugu.
Mexico Vs Ecuador
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #MexicoVsEcuador #MexicoEcuador
- Title
- Ivory Coast 1-2 Norway | Uchambuzi wa takwimu za mechi | Kombe la Dunia 2026
- Runtime
- 6:18
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Sehemu ya uchambuzi wa takwimu za mchezo kwa kimombo.…
Upande huu walikuwepo Anthony KImani na Brian Tuka chini ya usimamizi wa Chiko Lawi.
FT: Ivory Coast 1-2 Norway
Inafuata Ufaransa vs Sweden saa 6:00 usiku LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #IvoryCoastNorway
- Title
- Dima Maghreb... Meena Ally afungua show kwa Kiarabu - MZUKA WC2026
- Runtime
- 1:43
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | Leo tuko Maghreb…. Ni mwendo wa kiarabu tu…, Sijui umeelewa???
Hebu tuambie, neno gani umeambulia hapa…!!!
Hii ilikuwa ni #MzukaWaKombeLaDunia2026 kuelekea mechi za leo tukianza na Ivory Coast vs Norway saa 2:00 usiku…
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Namungo FC 2-1 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 7:18
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Mtibwa Sugar wameshuka rasmi daraja kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Namungo FC.
Waliotangulia kufunga walikuwa ni wao kupitia kwa Evans Fabian, lakini Namungo waliamka na kupiga mbili kupitia kwa Godfrey Luzendaze na Jacob Masawe.
Tazama magoli yote matatu
FT: Namungo FC 2-1 Mtibwa Sugar.
Mechi imepigwa Majaliwa Stadium, Ruangwa, Lindi.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #NamungoFC #MtibwaSugar #NamungoMtibwaSugar
- Title
- Mbeya City 0-0 TRA United | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 6:45
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Mbeya City wakiwa dimba la nyumbani, Sokoine Stadium wameshindwa kufurukuta mbele ya TRA United, wakilazimishwa suluhu.
Hii ni mechi ya raundi ya 30 kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu ya MBC 2025/26
- Title
- Penati ya jioni | Mashujaa FC 0-1 Tanzania Prisons | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 1:40
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Kimoko cha Wajelajela kimepatikana dakika za jioooooooni kwa penati iliyopigwa na Lulihoshi Heritier.
FT: Mashujaa FC 0-1 Tz Prisons.
Mechi imepigwa Lake Tanganyika Kigoma, ikiwa ni Raundi ya 30, kuhitimisha msimu wa 2025/26
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaFC #TanzaniaPrisons #MashujaaPrisons
- Title
- Magoli | Coastal Union 2-1 Pamba Jiji FC | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 3:28
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Chuma zote tatu, Wagosi wa Kaya wakijipigia mtu kwenye Dimba la Mkwakwani, Tanga.
Maabad Maulid Maabad ametia Kamba mbili na kuondoka na tuzo ya nyota wa mchezo, huku Pamba wakipata bao lao kupitia kwa Shassir Nahimana.
Hii ilikuwa ni mechi ya Raundi ya 30, kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2025/26
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #CoastalUnion #PambaJijiFC #CoastalUnionPambaJiji
- Title
- JKT Tanzania 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 10:52
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Yanga SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuuya NBC 2025/26 kwa kishindo, ikiichapa JKT Tanzania mabao 3-0 kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kutwaa ubingwa wa tano mfululizo.
Magoli yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Laurindo Dilson Maria Depu.
- Title
- Azam FC 2-0 Dodoma Jiji | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 6:46
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Jean Jaques Ngota an Nathaniel Chilambo wamefunga magoli mawili, katika ushind wa 2-0 Azam FC ikiichapa Dodoma Jiji FC.
Hii ni mechi ya raundi ya 30 kuhitimisha msimu wa 2025/26, ikipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Simba SC 1-0 KMC FC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 6:29
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Simba SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2025/26 kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC FC, katika mchezo uliopigwa KMC Complex.
Goli pekee la Simba limefungwa na Inno Loemba kwa mkwaju wa penati.
- Title
- MABINGWA | Yanga walivyokabidhiwa kombe la NBC Premier League 2025/26
- Runtime
- 7:49
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL MABINGWA NA KOMBE LAO…
Hivi ndivyo mabingwa, Yanga SC walivyokabidhiwa taji lao la NBC Premier League msimu wa 2025/26: Hii ni kwa mara ya tano mfululizo.
Anayekabidhi ni Rais wa TFF, Wallace karia, na anayekabidhiwa ni Capten wa Makombe, muite, Bakari Nondo Mwamnyeto..
Hivi unahesabu lakini?? Unajua hili ni taji la ngapi kwa Mwanyeto kukabidhiwa katika mashindano yote??
FT: JKT Tanzania 0-3 Yanga SC
Burudani ya Kombela Dunia inaendelea LIVE ##AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #JKTTanzania #YangaSC #JKTYanga
- Title
- Chopa ikishusha Kombe la NBC PL kwenye Dimba la Mej. Jen. Isamuhyo - 30/06/2026
- Runtime
- 1:59
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Baada ya Yanga kutangaza bingwa, hivi ndivyo chopa yenye kombe la NBC Premier League, ilivyotua katikati ya Dimba la meja Jenerali Isamuhyo.
FT: JKT Tanzania 0-3 Yanga SC
FT: Simba SC 1-0 KMC FC
Burudani zinaendelea LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #JKTTanzania #YangaSC #JKTYanga
- Title
- Chopa yenye kombe la NBC PL ikizunguka angani kusubiri bingwa mpya kati ya Simba na Yanga
- Runtime
- 2:08
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Chopa yenye kombe la NBC Premier League bado iko angani inatafuta ni dimba gani bingwa atapatikana kati ya Meja Jenerali Isamuhyo na KMC Complex.
Je, unaishauri itue wapi?
52’: JKT Tanzania 0-2 Yanga SC
55’: Simba SC 1-0 KMC FC
LIVE #AzamSports1HD na #AzamSports2HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #JKTTanzania #YangaSC #JKTYanga
- Title
- Magoli | Namungo 2-1 Mtibwa Sugar | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 3:51
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Mtibwa Sugar wameshuka rasmi daraja kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Namungo FC.
Waliotangulia kufunga walikuwa ni wao kupitia kwa Evans Fabian, lakini Namungo waliamka na kupiga mbili kupitia kwa Godfrey Luzendaze na Jacob Masawe.
Tazama magoli yote matatu
FT: Namungo FC 2-1 Mtibwa Sugar.
Mechi imepigwa Majaliwa Stadium, Ruangwa, Lindi.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #NamungoFC #MtibwaSugar #NamungoMtibwaSugar
- Title
- Hat-Trick ya pili kwa Mossi Nduwumwe kwenye NBC Premier League 2025/26
- Runtime
- 3:05
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NaNBCPL Hii ndiyo #hattrick ya Mossi Nduwumwe licha ya timu yake Singida BS kupoteza mbele Fountain Gate, kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
.Hii ni hattrick yake ya pili kwenye msimu huu, na amemaliza msimu akiwa na mabao 17, akiibuka mfungaji bora.
FT: Fountain Gate 4-3 Singida BS. n
Hii ilikuwa ni mechi ya raundi ay 30, kuhitimisha msimu wa 2025/26
- Title
- Magoli | Fountain Gate FC 4-3 Singida BS | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 7:06
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Haya hapa magoli yote saba…. Singida BS akichezea kichapo, huku Mossi akipiga hattrick.
Magoli ya Fountain yamefungwa na Henry David, Obasi MacDonald na Hasheem Kindemile aliyefunga mawili.
Ni mech ya raundi ya 30 kuhitimisha msimu wa NBC Premier league 2025/26, kama ilivyopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Mambo yalikuwa hivi…
FT: Fountain Gate 4-3 Singida BS.
Ilikuwa LIVE #AzamTWO
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #FountainGateFC #SingidaBS #FountainGateSingidaBS
- Title
- Magoli | Azam FC 2-0 Dodoma Jiji | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 1:48
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Jean Jaques Ngota an Nathaniel Chilambo wamefunga magoli mawili, katika ushind wa 2-0 Azam FC ikiichapa Dodoma Jiji FC.
Hii ni mechi ya raundi ya 30 kuhitimisha msimu wa 2025/26, ikipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Haya hapa magoli...
- Title
- Penati ya Inno Loemba | Simba SC 1-0 KMC FC | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 1:33
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Simba SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2025/26 kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC FC, katika mchezo uliopigwa KMC Complex.
Goli pekee la Simba limefungwa na Inno Loemba kwa mkwaju wa penati.
- Title
- Magoli | JKT Tanzania 0-3 Yanga SC | NBC Premier League 30/06/2026
- Runtime
- 4:23
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Yanga SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuuya NBC 2025/26 kwa kishindo, ikiichapa JKT Tanzania mabao 3-0 kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kutwaa ubingwa wa tano mfululizo.
Magoli yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Laurindo Dilson Maria Depu.
Haya hapa magoli..
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Siri za wachezaji wa Morocco
- Runtime
- 1:39
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: @zakazakazi na @ramadhan_mbwaduke wanafichua siri ya mafanikio kwa taifa la Morocco hasa katika soka.
Wataalamu hao wa soka na historia, wanawagusa wachezaji wa Morocco ambao wamezaliwa nje ya taifa lao.
Uholanzi 0-0 Morocco
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UholanziVsMorocco #UholanziMorocco
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Peter Otai anasema anayebeza Kombe la Dunia anapaswa kukamatwa
- Runtime
- 2:14
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Mtangazaji @peterotaiofficial anasema kama kuna mtu alisema Kombe la Dunia la mwaka huu halina mvuto, basi mtu huyo anapaswa ‘kuswekwa’ ndani.
Mezani ni uchambuzi wa mechi kati ya Uholanzi dhidi ya Morocco.
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UholanziVsMorocco
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Kenedy Moses akimtambulisha Zakazakazi
- Runtime
- 3:06
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Sasa ni zamu ya @kenedymosestz akilikamata dimba pamoja na wachambuzi wake @zakazakazi @georgejob_gj pamoja na @ramashan_mbwaduke
Mezani ni uchambuzi wa mechi kati ya Uholanzi dhidi ya Morocco.
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UholanziVsMorocco
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi wa Edo Kumwembe baada ya Ujerumani kutupwa nje
- Runtime
- 3:11
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Fatma Chikawe anataka kumjua aliyesema Paraguay haiwezi kumfunga Ujerumani.
AET: Ujerumani 1-1 Paraguay (Penati: 3-4)
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UjerumaniParaguay #GermanyParaguay
- Title
- Highlights | Azam FC 2-0 Mbeya City | NBC U20 PL | 29/06/2026
- Runtime
- 4:41
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli | Azam FC 2-0 Mbeya City | NBC U20 PL 2906/2026
- Runtime
- 2:20
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20
- Title
- Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC U20 PL 29/06/2026
- Runtime
- 9:25
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Mashabiki wa Paraguay ni full mizuka
- Runtime
- 3:48
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Tazama ‘mizuka’ ya mashabiki wa Paraguay wakati walipokuwa wakiingia katika dimba la Boston kuitazama mechi yao dhidi ya Ujerumani.
Kipaza sauti cha #AzamTV kimeshikwa na Clive Kyazze
HT: Ujerumani 0-1 Paraguay
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UjerumaniParaguay #GermanyParaguay
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Shabiki wa Brazil kutoka Mexico City aitaja Tanzania na Ngorongoro
- Runtime
- 0:36
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Zanzibara na Tanzania kwa ujumla pamoja na Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, ni miongoni mwa maeneo yanayotajwa na shabiki huyu wa Brazil akitamba baada ya timu yake kuichapa Japan kwenye mchezo wa hatua ya 32, bora,
Jamaa anasema ni muda wa kufurahi baada ya ushindi.
FT: Brazil 2-1 Japan
Hewani ni Ujerumani vs Paraguay LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #BrazilJapan
- Title
- Magoli | Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | NBC U20 PL 29/06/2026
- Runtime
- 2:40
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Brazil vs Japan | Walichokosea Brazil kipindi cha kwanza | Half-Time Analysis (English)
- Runtime
- 3:49
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2926 | Je, Brazil wamekosea wapi hadi kutanguliwa goli na Japan!?
Chiko Lawi akiwa na Anthony Kimani na Brian Tuka wanazichambua dakika 45 za kwanza..
FT: Brazil 2-1 Japan
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Ripoti kutoka Uganda, yanayojiri kuelekea mechi ya Brazil vs Japan
- Runtime
- 5:38
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Kutoka Kampala Uganda huyu ni Gystin Angarukiremu, akitupa updates kuhusu yanayojir nchini humo kuelekea mechi za leo na hisia za mashabiki baada ya Afrika Kusini kutupwa nje ya mashindano.
Ni kuelekea Brazil vs Japan LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26
- Title
- Dawati la Uchambuzi (English) lafunguliwa kwa kujadili kilichoikuta Afrika Kusini - Kombe la Dunia
- Runtime
- 12:36
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Karibu kwenye uchambuzi kwa lugha ya Kiingereza kuelekea mchezo wa Brazil vs Japan, na huyu hapa ni Chiko Lawi akiwa na wachambuzi wake…
Kwanza wananza na kile kilichompata Afrika Kusini aliyefungashiwa virago kwa kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Canada.
Je, wewe unadhani nini kiliiponza Afrika Kusini hadi kutupwa nje ya mashindano?
- Title
- Meena Ally alivyoianza Mzuka kwa michano ya hiphop - MZUKA WC2026 (29/06/2026)
- Runtime
- 2:08
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | Leo @meena_ally ameingia na mzuka wa hiphop, akichana mistari ya Mwana FA, Stamina na Fid Q…!!
Je, we unaonaje, tumuhamishie kwenye hiphop, au abaki huku huku kwenye utangazaji?
Hii ni #MzukaWaKombeLaDunia2026 kuelekea mechi za leo…
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup
- Title
- Kesho ni vita ya kiufundi viwanjani tofauti Simba SC au Yanga SC kupambania ubingwa NBC PL
- Runtime
- 57:13
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Makocha NBC Premier League wameeleza kuwa timu zao zitaingia uwanjani kesho Juni 30, 2026 zikitumia mbinu na ufundi kuibuka na alama tatu.
- Title
- Dakika 90 za maamuzi, Bingwa wa NBC Premier League kati ya Simba SC na Yanga SC kujulikana kesho.
- Runtime
- 44:59
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Uchambuzi wa kina kutoka kwa Andrew Kingamkono na Iddy Nonga wakitoa mitazamo yao ligi ikielekea ukingoni.
Iddy Nonga amezitaja timu tano anazoamini zipo kwenye hatari ya kucheza hatua ya Play-Off, akieleza kuwa mwenendo wao wa msimu na matokeo ya hivi karibuni ndiyo yaliyowafanya kujikuta katika mazingira hayo kuelekea mwisho wa ligi.

