Azam TV
Kocha wa Coastal Union aipania Simba kwenye mechi yao ya NBC
- Title
- Kocha wa Coastal Union aipania Simba kwenye mechi yao ya NBC
- Runtime
- 11:32
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- COASTAL UNION vs SIMBA: “Kesho ndio siku ya kuthibitisha kwamba Coastal Union inataka kuendeleza makali yake”
Kocha wa Coastal Union, Fikiri Elias anasema wamemsoma mpinzani wao Simba SC, namna anaziendea mechi zake na wao wamekuja na mpango wao.
Kwa upande wake nahodha wa timu hiyo Geofrey Manyasi anasema mechi ya kesho inakwenda kuwa nzuri kwao.
“Sio rahisi kucheza dhidi ya Coastal Union hasa ikiwa nyumbani kwake”
Kocha wa Simba SC, Steve Barker anasema ndani ya kikosi chake kuna hali ya kuutaka ushindi kwenye mechi yao dhidi ya Coastal Union.
Kwa upande wake beki David Kameta ‘Duchu’ anasema kila mchezaji yupo sawa kwa ajili ya mchezo huo.
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi
- Title
- Yanga Princess 1-0 Ceasiaa Queens | Highlights | TWPL 20/05/2025
- Runtime
- 9:34
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Aregash Kalsa amefunga goli pekee na la ushindi, Yanga Princess ikiitandika Ceasiaa Queens bao 1-0 katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Wanawake #TWPL
Mchezo umepigwa Azam Complex, Chamazi....
- Title
- RIO FERDINAND: Nguli wa zamani wa timu ya Taifa ya England na Klabu ya Manchester United.
- Runtime
- 8:59
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Nguli wa zamani wa timu ya Taifa ya England na Klabu ya Manchester United Rio Ferdnand amewasili katika Stesheni ya Samia Suluhu Hassan, Dodoma akiwa ameambatana na mwenyeji wake, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa.
Safari hiyo ni kuelekea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Title
- JKT TANZANIA vs FOUNTAIN GATE FC: “Utakuwa mchezo wenye ushindani kesho…”.
- Runtime
- 1:53
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kocha wa Fountain Gate, Fred Felix ‘Minziro’ akizungumzia maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania ambao utapigwa kesho Mei 21, 2026.
Minziro amesema mpinzani wao hana presha kubwa kutokana na nafasi aliyopo kwa sasa katika msimamo wa Ligi, hivyo mchezo utakuwa mgumu na wa ushindani zaidi.
Kwa upande wa mchezaji, Sadiki Hamis amesema mchezo wa kesho ni wa muhimu kwa timu hiyo na wachezaji watajitoa kuhakikisha wanapata alama tatu
- Title
- JKT TANZANIA FC vs FOUNTAIN GATE FC: Ni timu ipi kuibuka mbabe kesho Mei 21, 2026??
- Runtime
- 1:33
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Kocha msaidizi wa JKT Tanzania, Raymond Dotto amesema malengo ya timu hiyo ni kumaliza Ligi salama, kwa kucheza kila mchezo uliobaki vizuri na kuondoka na alama tatu muhimu.
Kocha huyo amesema wanatambua ugumu wa mpinzani wao, lakini hilo haliwazuii kutimiza malengo yao.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo, Mohamed Bakar amesema wachezaji wamejiwekea malengo ya kumaliza msimu wakiwa katika nafasi nne za juu kwenye msimamo.
- Title
- AZAM FC TV 19/ 05/2026 | Matukio muhimu baada ya ushindi CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Mashujaa
- Runtime
- 24:20
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Azam FC TV wiki hii imeangazia namna kikosi hicho kilivyojipanga mpaka kusonga mbele hatua ya robo fainali mashindano ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank
Kubwa lingine wiki hii ni mashabiki kindakindaki wa timu hiyo, kule mkoani Kigoma walivoishangilia timu yao mpaka kuibuka na ushindi mbele ya Mashujaa FC.
- Title
- VIWANJANI: Uchambuzi mbio za ubingwa wa NBC PL, Yanga SC na Simba SC hatua moja mbele.
- Runtime
- 38:24
- Date posted
- 5 days ago
- Description
- Wachambuzi wa soka, Michael Hyera na Andrew Kingamkono wakifafunua maoni yao kuhusu mbio za ubingwa wa NBC Premier League.
Hyera anasema mpaka sasa Yanga SC na Simba SC zinaonesha ukali kwenye mbio za ubingwa kutokana na alama ambazo wameshajinyakulia mpaka sasa kwenye msimamo.
- Title
- Goli | Yanga Princess 1-0 Ceasiaa Queens | Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 19/05/2026
- Runtime
- 1:13
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Goli pekee kutoka kwa Aragesh Kalsa raia wa Ethiopia limetosha kuipa Yanga Princess alama tatu dhidi ya Ceasiaa Queens, mchezo wa Ligi Kuu Wanawake uliopigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 18/05/2026
- Runtime
- 50:37
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli | Murang'a Seal 1-3 Gor Mahia FC | SportPesa League Kenya 17/05/2026
- Runtime
- 5:12
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- Gor Mahia FC imeichakaza Murang'a Seal mabao 3-1 katika muendelezo wa Ligi Kuuya Kenya, #SportPesaLeague , mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Nyayo, Nairobi.
Magoli ya Gor Mahia yamefungwa na Samuel Kapeni, Sharif Musa na Ebenezer Assifuah huku goli la kufutia machozi kwa Murang'a likifungwa na Joseph Irungu.
- Title
- Julio aipongeza Dodoma Jiji kwa kuifunga Yanga
- Runtime
- 4:12
- Date posted
- 6 days ago
- Description
- DODOMA JIJI vs MASHUJAA: “Dodoma Jiji hapa ilipofika kuna nguvu yangu”
Kocha wa Mashujaa FC, Jamhuri Kihwelo amempongeza Kocha wa Dodoma Jiji, Aman Josiah kwa kupata ushindi dhidi ya Yanga SC, kwenye mchezo uliopigwa Mei 13, 2026.
Julio anasema Dodoma Jiji ndio walitia ugumu kwenye mechi yao dhidi ya Simba SC ambapo walipoteza kwa jumla ya magoli 3-0.
Kwa upande wake mchezaji Seif Karihe amesema wamejiandaa vema kwa ajili ya kuipambania nembo ya timu yao.
Mechi itapigwa kesho Mei 20, 2026, saa 3:00 usiku LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #DodomaJijiVsMashujaa #DodomaJiji #Mashujaa
- Title
- Murang'a Seal 1-3 Gor Mahia | Highlights | SportPesa League Kenya 17/05/2026
- Runtime
- 13:04
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Gor Mahia FC imeichakaza Murang'a Seal mabao 3-1 katika muendelezo wa Ligi Kuuya Kenya, #SportPesaLeague , mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Nyayo, Nairobi.
Magoli ya Gor Mahia yamefungwa na Samuel Kapeni, Sharif Musa na Ebenezer Assifuah huku goli la kufutia machozi kwa Murang'a likifungwa na Joseph Irungu.
Tazama highlights...
- Title
- MAHOJIANO MAALUMU | Popat asema Azam FC haina konakona kwenye mambo yao
- Runtime
- 22:44
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Chopa ya AzamTV 'yateka' mji, Simba raha
- Runtime
- 11:26
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- AZAMTV YATAJWA BUNGENI: “Kazi yenu watu wa utalii mpeleke matangazo pale”
- Runtime
- 0:38
- Date posted
- 7 days ago
- Description
- Mbunge wa Bunda, Boniface Mwita Getere ameipongeza #AzamTV kwa kupata haki ya kurusha matangazo ya mechi zote 104, za Kombe la Dunia mwaka huu 2026.
Akizungumza bungeni leo Mei 18, 2026, Mbunge huyo amesema jambo hilo limeipatia sifa Tanzania na kuwaomba watu wa utalii kuunga mkono.
#Bungeni #AzamTV
- Title
- CRDB Bank Federation Cup | Neno kutoka kwa kocha wa Simba, TRA United baada ya mechi
- Runtime
- 4:14
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #CRDBBankFederationCup: Kocha wa TRA United, Etienne Ndayiragije ameipongeza Simba kwa kucheza vema na kupata matokeo kwenye mchezo wa robo fainali ya CRDB Bank Federation Cup.
Kwa upande wake Kocha Steve Barker amefurahishwa na kiwango cha kijana Bashiri Kibaila ambaye amefunga goli la nne kwenye mchezo wa leo.
FT: Simba SC 4-0 TRA United
#KombeLaShirikishoLaCRDBBank #CRDBCup #FACup #SimbaSCVsTRAUnited #SimbaSC #TRAUnited #SimbaTRAUnited
- Title
- Simba SC 4-0 TRA United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup - 17/05/2026
- Runtime
- 9:31
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #CRDBBankFederationCup: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Simba dhidi ya TRA United kwenye mchezo wa robo fainali ya CRDB Bank Federation Cup.
Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama, Anicet Oura, Selemani Mwalimu na Bashiri Kibaila.
Mchezo wa nusu fainali ni Coastal Union dhidi ya Simba SC.
FT: Simba SC 4-0 TRA United
#KombeLaShirikishoLaCRDBBank #CRDBCup #FACup #SimbaSCVsTRAUnited #SimbaSC #TRAUnited #SimbaTRAUnited
- Title
- Simba SC 4-0 TRA United | CRDB Bank Federation Cup - 17/05/2026
- Runtime
- 5:04
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #CRDBBankFederationCup: Tazama magoli yote manne ya Simba ikiifunga TRA United kwenye mchezo wa robo fainali ya CRDB Bank Federation Cup.
Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama, Anicet Oura, Selemani Mwalimu na Bashiri Kibaila.
Mchezo wa nusu fainali ni Coastal Union dhidi ya Simba SC.
FT: Simba SC 4-0 TRA United
#KombeLaShirikishoLaCRDBBank #CRDBCup #FACup #SimbaSCVsTRAUnited #SimbaSC #TRAUnited #SimbaTRAUnited
- Title
- Mashujaa FC 0-1 Azam FC | Highlights | CRDB Bank Federation Cup - 17/05/2026
- Runtime
- 6:46
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #CRDBBankFederationCup: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa robo fainali kati ya Mashujaa dhidi ya Azam FC.
Goli limefungwa na Idd Nado kwa mpira wa kutenga
Azam FC kumenyana na Yanga kwenye nusu fainali
FT: Mashujaa FC 0-1 Azam FC
#KombeLaShirikishoLaCRDBBank #CRDBCup #FACup #MashujaaFC #AzamFC #MashujaaAzam
- Title
- Mashujaa FC 0-1 Azam FC | Goli | CRDB Bank Federation Cup - 17/05/2026
- Runtime
- 1:42
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #CRDBBankFederationCup: Tazama goli la Azam FC ikiichapa Mashujaa FC.
Goli limefungwa na Idd Nado kwa mpira wa kutenga
Azam FC kumenyana na Yanga kwenye nusu fainali
FT: Mashujaa FC 0-1 Azam FC
#KombeLaShirikishoLaCRDBBank #CRDBCup #FACup #MashujaaFC #AzamFC #MashujaaAzam
- Title
- Bidco United 0-1 Shabana FC | SportPesa League Kenya 17/05/2026
- Runtime
- 2:07
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #SportPesaLeague Shabana wanaendelea kukusanya alama
FT: Bidco United 0-1 Shabana FC
#SportPesaLeague #FKFPremierLeague #LigiKuuKenya #BidcoUnitedFC #ShabanaFC#BidcoShabana
- Title
- SPORTS AM: Mohamed Hussein 'Mmachinga' aeleza siri ya rekodi zisizofikiwa
- Runtime
- 43:47
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- SPORTS AM: “…Siri ya mpira ni kuwa na ushirikiano wa wachezaji…” –Mchezaji wa zamani wa Yanga SC, Mohamed Hussein ‘Mmachinga’ anaamini moja ya sababu za yeye kuweka historia ya kuwa mfungaji wa magoli mengi kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara ni jitihada pamoja na ushirikiano kwa wachezaji wanapokuwa uwanjani.
Mmachinga amesema wachezaji wanapokuwa uwanjani kuna wakati mbinu za kocha zinakataa kutoa matokeo yaliyokusudiwa, hivyo wachezaji lazima washirikiane na kujitoa zaidi ili kufikia lengo.
Mchaezaji huyo wa zamani anashika rekodi ya mfungaji wa magoli mengi kwa jumla ya magoli 26 ambayo alifunga 1997.
Mwandishi Katherini Shirima
Mhariri | @rajjmsangi
- Title
- JKT Tanzania 0-2 Yanga SC | Highlights | CRDB Bank Fed. Cup 16/05/2026
- Runtime
- 8:06
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Yanga SC wametinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuitandika JKT Tanzania magoli 2-0, katika mchezo wa robo fainali uliopigwa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Hassan Wahabi aliyejifunga dakika ya 33, na Mudathir Yahya dakika ya 40.
- Title
- Mtibwa Sugar 4-3 KMC FC | Highlights | NBC Premier League 14/05/2026
- Runtime
- 11:24
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- KMC FC imekula kichapo cha mabao 4-3 kutoka kwa Mtibwa Sugar kwenye Dimba la Jamhuri Morogoro ambalo leo limetumika kwa mara ya kwanza msimu huu...
Magoli ya Mtibwa yamefungwa na Fredrick Magata, Oscar Masai, Said Mkopi na Kassim Shaibu wakati KMC wakipata magoli yao kutoka kwa Daruesh Saliboko, Rashid Chambo, na Adam Uledi.
Tazama ..
- Title
- Magoli | JKT Tanzania 0-2 Yanga SC | CRDB Bank Fed. Cup 16/05/2026
- Runtime
- 2:23
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Yanga SC wametinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuitandika JKT Tanzania magoli 2-0, katika mchezo wa robo fainali uliopigwa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Hassan Wahabi aliyejifunga dakika ya 33, na Mudathir Yahya dakika ya 40.
Tazama magoli ya Mwananchi.
- Title
- Coastal Union 0-0 Singida BS (Pen: 4-2) | Highlights | CRDB Bank Fed. Cup 16/05/2026
- Runtime
- 9:45
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Coastal Union imetinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank baada ya kuifunga Singida BS kwa penati 4-2 kufuatia sare ya bila kufungana katika dakika 90 za game.
Mechi imepigwa kwenye Dimba la Mkwakwani Tanga.
Tazama highlights..
- Title
- Chopa yazunguka jiji la Dar es Salaam na ujumbe wa Kombe la Dunia; "Mechi zote 104 LIVE Azam TV"
- Runtime
- 3:09
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Mgeni amefika… !!!
Chopa iliyobeba ujumbe maalum kuhusu matangazo ya fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026 inazidi kupasua anga la Dar es Salaam.
Michuano ya #FIFAWorldCup2026 itaanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 na kuruka kupitia chaneli za #AzamSports
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Mikwaju ya Penati | Coastal Union 0-0 Singida BS (Pen: 4-2) | CRDB Bank Fed. Cup 16/05/2026
- Runtime
- 5:37
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Coastal Union imetinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank baada ya kuifunga Singida BS kwa penati 4-2 kufuatia sare ya bila kufungana katika dakika 90 za game.
Mechi imepigwa kwenye Dimba la Mkwakwani Tanga.
Hizi hapa penati zote ikiwemo penati kali ya ushindi kutoka kwa Bakari Msimu.
- Title
- Vita ya maneno, Ahmed Ally vs Christina Mwagala kuelekea Simba vs TRA United; CRDB Bank Fed, Cup
- Runtime
- 20:17
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Sikia Tambo za wasemaji wa timu zote mbili, Simba SC, Ahmed Ally na Christina Mwagala wa TRA United kuelekea mchezo wao wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank.
Ni katika mkutano na wanahabari uliofanyika leo makao makuu wa CRDB Bank, Dar es Salaam
- Title
- Simba SC vs TRA United | Makocha waeleza walivyojiandaa kuelekea robo fainali CRDB Bank Fed Cup
- Runtime
- 14:02
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- PRESS: Kocha wa Simba, Steve Barker na kocha msaidizi wa TRA United, Kassim Otieno wameeleza kiufundi jinsi watakavyoingia kwenye mchezo wao wa Mei 17, 2026, robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank.
Ni katika mkutano na wanahabari uliohudhuriwa pia na wachezaji Semfuko Daud wa Simba, ukiongozwa na Clifford Ndimbo wa TFF, na kufanyika makao makuu wa CRDB Bank, Dar es Salaam.
- Title
- Mechi zote 104 za Kombe la Dunia ndani ya AzamTV: COO Azam Media Limited, Yahya Mohamed
- Runtime
- 4:07
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Afisa Uendeshaji Mkuu wa Azam Media Limited Divisheni ya Maudhui na Utangazaji, Yahya Mohamed Kimaro, ametangaza rasmi mechi zote 104 za Kombe la Dunia zitaruka mubashara kupitia Azam TV.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa taarifa hiyo, Yahya amesema Azam Media imejipanga kuhakikisha mashabiki wa soka nchini wanapata burudani kamili kupitia matangazo yenye muonekano wa viwango vya juu (HD) na kwa gharama ile ile ya shilingi 28,000.
''Burudani hii itakuwa kwa wote na tukumbuke tu mechi hizi kwa Watanzania zitatangazwa kwa lugha sanifu ya Kiswahili'', Amefafanua.
#FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV
#MechiZote104LiveAzamTV
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 15/05/2026
- Runtime
- 51:17
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Simba Queens 2-1 Yanga Princess | Highlights | Tanzania Women Premier League 15/05/2026
- Runtime
- 10:53
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Simba Queens imeendeleza ubabe dhidi ya Yanga Princess, kwa kuichapa magoli 2-1, katika mchezo wa mzunguko wa pili, wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara.
Jentrix Shikangwa ndiye mfungaji wa mabao yote mawili ya Simba, huku Yanga Princess wakifunga goli lao kupitia kwa Ritticia Nabbosa.
Ni Dabi ya kariakoo kwa Wanawake...
- Title
- Kutoka 'off-side' hadi kuwa goli halali bila VAR | Mtibwa Sugar 4-3 KMC FC | NBC PL 14/05/2026
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- #NBCPL Hivi ndivyo goli la tatu la KMC lilivyoamuliwa baada ya majadiliano mafupi, yaliyobadili uamuzi wa mwamuzi Tatu Malogo (usininukuu vibaya, sijasema VAR).
Mechi ilipigwa jana Mei 14, 2026 kwenye Dimba la Jamhuri Morogoro, na kumalizika kwa KMC kupigwa 4-3 na Mtibwa Sugar.
Je, hii inakukumbusha nini? .
#NBCPremierLeague #MtibwaSugar #KMCFC #MtibwaKMC
- Title
- Magoli | KMKM SC 0-2 Zimamoto FC | PBZ Premier League Zanzibar 15/05/2026
- Runtime
- 1:37
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- KMKM SC imebutuliwa magoli 2-0 na Zimamoto katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar #PBZPremierLeague
Vyuma vimetiwa kambani na Saad Mgeni Rajabu kwa penati pamoja na Hussein Maulid ‘Di Maria’.
- Title
- Magoli | Simba Queens 2-1 Yanga Princess | Tanzania Women Premier League 15/05/2026
- Runtime
- 4:03
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Simba Queens imeendeleza ubabe dhidi ya Yanga Princess, kwa kuichapa magoli 2-1, katika mchezo wa mzunguko wa pili, wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara.
Jentrix Shikangwa ndiye mfungaji wa mabao yote mawili ya Simba, huku Yanga Princess wakifunga goli lao kupitia kwa Ritticia Nabbosa.
Ni Dabi ya kariakoo kwa Wanawake...
- Title
- YANGA SC : Si jambo kubwa kwa Tanzania pekee bali ni Afrika kwa ujumla
- Runtime
- 3:21
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- YANGA SC : Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Athuman Nyamlani amesema shirikisho hilo litaendelea kushirikiana na Yanga SC katika kuhakikisha changamoto mbalimbali zinazoweza kujitokeza wakati wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa uwanja zinapatiwa ufumbuzi kwa wakati.
Nyamlani amesema hayo wakati wa hafla ya utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Yanga SC, akieleza kuwa mradi huo ni hatua kubwa si tu kwa Tanzania bali pia kwa bara la Afrika kutokana na ukubwa na hadhi yake.
“Si jambo kubwa kwa Tanzania pekee bali ni Afrika kwa ujumla. Wenye kumbukumbu wanajua si klabu nyingi barani zina uwezo wa kujenga uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000,” Nyamlani.
Aidha, amesema hatua ya Yanga kuanza rasmi ujenzi wa uwanja huo inaonyesha ukuaji wa soka la vilabu nchini pamoja na dhamira ya kuwekeza katika miundombinu ya kisasa ya michezo itakayosaidia maendeleo ya mchezo huo kwa vizazi vijavyo.
- Title
- YANGA SC: ''Yanga Bingwa'', maneno ya Mdhamini na Mfadhili wa Yanga SC, Ghalib Said Mohamed (GSM).
- Runtime
- 0:21
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Ni katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa @yangasc
#YangaSC #Azamtvsports
- Title
- YANGA SC: Alichokisema Chalamila kwenye uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa Yanga
- Runtime
- 2:56
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Yanga SC.
Ameongeza kuwa ushindani unaoonekana hivi sasa katika soka la Tanzania unaashiria ukuaji wa sekta ya michezo na uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa na vilabu mbalimbali nchini.
Aidha, amesema mradi wa ujenzi wa uwanja wa Yanga wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000 ni hatua kubwa kwa Tanzania na ni sehemu ya historia mpya kwa klabu hiyo katika maendeleo ya miundombinu ya michezo.
Imeandaliwa na Katherini Shirima
Mhariri | @rajjmsangi
#YangaSC #Azamtvsports
- Title
- VIWANJANI | Uchambuzi, Azam FC ikiondoka na alama tatu dakika za jioni mbele ya Pamba Jiji.
- Runtime
- 14:08
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- YANGA SC | Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said, akielezea kuhusu mradi wa Uwanja wa Yanga
- Runtime
- 13:49
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- ''...mradi wetu utamilikiwa kwa 50% na Yanga na 50% na GSM...'', Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said, akielezea umiliki wa mradi wa Uwanja wa klabu hiyo.
Amesema hayo katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa @yangasc ambapo ameeleza kuwa mradi huo unatarajiwa kuchukua muda wa miezi 18 hadi 24 hadi kukamilika kwake.
- Title
- NYAVUNI | 15/05/2026 | Magoli 10 bora na 'saves' kali Ligi Kuu ya NBC 2026.
- Runtime
- 13:24
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Tazama magoli kumi bora na 'saves' kali kwenye mechi za Ligi Kuu ya NBC May 2026.
Magoli ya Hendry David, Clatous Chama na Allan Okelo ndiyo yamechukua nafasi tatu za juu. Mkali wetu wa wiki ni Allan Okelo wa Yanga SC.
Kipindi hiki huruka kila Alhamis #AzamSports1HD
Usikose #Nyavuni kila Alhamisi saa 4:00 usiku
- Title
- VIWANJANI: Uchambuzi, Simba SC ilivyonyakua alama tatu kwa Mashujaa FC
- Runtime
- 32:44
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Ramadhan Mbwaduke na Andrew Kingamkono wakieleza maoni yao kuhusu matukio ya mchezo wa jana Mei 14, 2026.
- Title
- Goli la maajabu kutoka kwa Saada Mwanza | Mbeya City vs Coastal Union | NBC PL 13/05/2026
- Runtime
- 1:04
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- NBC PL | Mechi ilimalizika kwa Coastal Union kushinda 2-0 dhidi ya Mbeya City kwenye Dimba la Sokoine Mbeya.
Moja kati ya magoli yaliyofungwa ni hili hapa, kutoka kwa Saada Mwanza.
Hebu sema mwenyewe...
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 14/05/2026
- Runtime
- 48:43
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Mashujaa FC 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 14/05/2026
- Runtime
- 10:13
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Clatous Chama amefunga magoli mawili, Simba ikiidunga Mashujaa FC 3-0 kwenye Dimba la Lake Tanganyika, Kigoma.
Chama amefunga la kona ya moja kwa moja dakika ya 6, kisha akaongeza lingine kali dakika ya 70, kabla ya Selemani Mwalimu kukamilisha hesabu dakika ya 90.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC
- Title
- "Sijafiwa" - Sikia alichokisema Kocha 'Julio' wa Mashujaa baada ya kufungwa 3-0 na Simba
- Runtime
- 5:00
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- #NBCPL “…ni makosa ya kipuuzi ya wachezaji wangu”
Kocha wa Mashujaa FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ anakubali matokeo akieleza kilichowagharimu kwamba, “…ni makosa ya mabeki”
Julio pia amekataa kupewa pole akisema “..sijafiwa, nimefungwa mpira, ni kitu cha kawaida”.
Naye Kocha wa Simba, Steve Barker ameeleza ugumu alioupata kwenye mchezo huu, akipongeza wachezaji wake kwa kutimiza malengo ya ushindi, azungumzia mchezo ujao wa ugenini dhidi ya Coastal Union.
Kwa upande wake nyota wa mchezo huu, Clatous Chama anasema “…mara nyingi nikija Kigoma sijawahi kupoteza mechi”
FT: Mashujaa FC 0-3 Simba SC
- Title
- Azam FC 2-0 Pamba Jiji FC | Highlights | NBC Premier League 14/05/2026
- Runtime
- 10:35
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Magoli mawili ya dakika za jioooooni kutoka kwa Feisal Salum na Jephte Kitambala yameipa Azam FC ushindi wa 2-0 dhidi ya Pamba Jiji FC kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Huu ni mchezo wa Ligi Kuuya NBC.
- Title
- Magoli | Azam FC 2-0 Pamba Jiji FC | NBC Premier League 14/05/2026
- Runtime
- 2:44
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Magoli mawili ya dakika za jioooooni kutoka kwa Feisal Salum na Jephte Kitambala yameipa Azam FC ushindi wa 2-0 dhidi ya Pamba Jiji FC kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Huu ni mchezo wa Ligi Kuuya NBC.
- Title
- Magoli | Mashujaa FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League 14/05/2026
- Runtime
- 3:04
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Clatous Chama amefunga magoli mawili, Simba ikiidunga Mashujaa FC 3-0 kwenye Dimba la Lake Tanganyika, Kigoma.
Chama amefunga la kona ya moja kwa moja dakika ya 6, kisha akaongeza lingine kali dakika ya 70, kabla ya Selemani Mwalimu kukamilisha hesabu dakika ya 90.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC

