Azam TV
Kocha Yanga hajaridhika na ushindi wa 4-0 dhidi ya JKT Tanzania (neno la makocha baada ya mechi)
- Title
- Kocha Yanga hajaridhika na ushindi wa 4-0 dhidi ya JKT Tanzania (neno la makocha baada ya mechi)
- Runtime
- 4:31
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- #NBCPL Kocha wa Yanga Manqoba Mngqithi ameeleza kutoridhishwa na ushindi wa 4-0 alioupata leo dhidi JKT Tanzania, akisema walistahili kupata mabao mengi zaidi.
Kocha Manqoba amesema bado wana kazi ya kufanya na kwamba anashukuru kuona kikosi chake kinaimarika siku hadi siku...
Kwa upande wake Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally anaeleza kilichomfelisha kwenye mchezo wa leo, kubwa ikiwa ni wachezaji wake kupoteza umakini…
Kocha Ahmad pia anaeleza jinsi atakavyoirekebisha timu yake kiufundi, akisema “bado tuna kazi ya kufanya”.
- Title
- Yanga SC 4-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 24/08/2026
- Runtime
- 12:42
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Yanga SC imeishusia kichapo kizito JKT Tanzania cha mabao 4-0 katika muendelezo wa ligi kuu ya NBC, mechi ikipigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Waliotikisa nyavu ni Albert Kangwanda, Ibrahim Bacca, Chadrack Boka na Peter Shalulile.
- Title
- Magoli yote | Yanga SC 4-0 JKT Tanzania | NBC Premier League 24/08/2026
- Runtime
- 6:23
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Yanga SC imeishusia kichapo kizito JKT Tanzania cha mabao 4-0 katika muendelezo wa ligi kuu ya NBC, mechi ikipigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Waliotikisa nyavu ni Albert Kangwanda, Ibrahim Bacca, Chadrack Boka na Peter Shalulile.
- Title
- PRESS SIMBA | Simba SC yathibitisha mechi za nyumbani kuhamia Meja Jenerali Isamuhyo.
- Runtime
- 37:34
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally akizungumza na waandishi wa habari.
Amesema kuanzia sasa mechi zao za nyumbani za Ligi Kuu ya NBC, zitachezwa katika dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na mchezo wa kwanza utakuwa dhidi ya wapinzani wao Coastal Union utakaopigwa Agosti 27, 2026.
Aidha, Ahmed amesema kikosi cha Simba SC, kitaondoka nchini Septemba 4, 2026 kuelekea Malawi ili kuwakabili wapinzani wao ambapo mchezo wao dhidi ya Might Wonderers utakuwa ni Septemba 5, 2026.
Azam TV
- Title
- VIWANJANI: Ushindi mwingine kwa Mnyama ugenini! wachambuzi watia neno baada ya matukio ya uwanjani.
- Runtime
- 20:06
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Wachambuzi wa soka Ramadhani Mbwaduke, Michael Hyera na Khalid Chukuchuku wameeleza kwa undani matukio mawili yaliyoibua mjadala katika mchezo wa NBC Premier League kati ya Singida BS dhidi ya Simba SC.
Tukio la penati na kadi nyekundu aliyooneshwa mchezaji wa Simba SC, Antony Mligo.
Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | JKT Tanzania yajibu mapigo kwa kocha wa Yanga
- Runtime
- 18:54
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: JKT Tanzania wajibu mapigo kwa kocha wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi ambaye jana Agosti 23, 2026 alionesha ufundi wa kutaja majina ya kila mchezaji kwenye kikosi cha wapinzani wake na kuwachambua pia.
Timu hizo zinakutana leo Agosti 24, 2026 katika dimba la KMC Complex, saa 12:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
Ni #Zilizobamba mitandaoni kupitia kipindi cha viwanjani.
#Viwanjani #Zilizobamba
- Title
- Alama tatu Chamazi! Wachambuzi watoa tathmini za kiufundi ushindi wa Azam FC dhidi ya Pamba Jiji.
- Runtime
- 20:24
- Date posted
- 8 days ago
- Description
- Michael Hyera amesema licha ya Pamba Jiji kupoteza mchezo huo, Kocha Francis Baraza alionekana kuridhishwa na kiwango cha kikosi chake, hasa kutokana na namna wachezaji walivyotekeleza majukumu yao uwanjani.
Azam TV
- Title
- Ngao ya jamii Zanzibar ilivyokabidhiwa kwa KVZ FC - 23/08/2026
- Runtime
- 5:04
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NgaoYaJamiiZanzibar Washndi KVZ walivyokabidhiwa medali na ngao yao…
FT: KVZ FC 2-2 KMKM SC (Pen: 8-7).
Mechi ilipigwa kwenye Dimba la Mao Zedong.
- Title
- Azam FC 2-1 Pamba Jiji | Highlights | NBC Premier League 23/08/2026
- Runtime
- 8:42
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Azam FC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi,.
Wafungaji upande wa Azam FC ni Enock Molia na Abdul Suleiman Sopu kwa penati huku la Pamba likifungwa na Nanyem Okorocha.
Tazama highlights...
- Title
- Magoli | Azam FC 2-1 Pamba Jiji FC | NBC Premier League 23/08/2026
- Runtime
- 4:17
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Azam FC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi,.
Wafungaji upande wa Azam FC ni Enock Molia na Abdul Suleiman Sopu kwa penati huku la Pamba likifungwa na Nanyem Okorocha.
Tazama magoli...
- Title
- Magoli na mikwaju ya penati | KVZ FC 2-2 KMKM SC (Pen: 8-7) | Ngao ya Jamii Zanzibar 23/08/2026
- Runtime
- 10:47
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- Timu ya KVZ FC imefanikiwa kutwaa taji la Ngao ya jamii Zanzibar kwa ushindi wa penati 8-7 dhidi ya KMKM SC, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Mao Zedong.
KMKM ndiyo waliotangulia kupata magoli kupitia kwa Mateo Antony na Jasper Babalika, lakini KVZ wakachomoa yote mawili kupitia kwa Mudrick Gonda na Akram Muhina 'Haaland aliyefunga bonge la bao..
Kwa mechi hii sasa ni rasmi pazia la ligi kuu ya Zanzibar limefunguliwa..
- Title
- Mbeya City 2-1 Mashujaa FC | Highlights | NBC Premier League 23/08/2026
- Runtime
- 5:49
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Magoli yote matatu….Mbeya City wakifanya ‘come-back’ ya kibabe baada ya kutanguliwa kwa kombora la Hijja Shamte aliyefanya 'uchokozi'.
Wauaji kutoka Mbeya City ni Adily Buha kwa penati na Oscar Mwajanga.
FT: Mbeya City 2-1 Mashujaa FC
Hii ni Ligi Kuu ya NBC, mchezo ukipigwa Sokoine Stadium, Mbeya.
- Title
- Magoli | Mbeya City 2-1 Mashujaa FC | NBC Premier League 23/08/2026
- Runtime
- 3:12
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Magoli yote matatu….Mbeya City wakifanya ‘come-back’ ya kibabe baada ya kutanguliwa kwa kombora la Hijja Shamte aliyefanya 'uchokozi'.
Wauaji kutoka Mbeya City ni Adily Buha kwa penati na Oscar Mwajanga.
FT: Mbeya City 2-1 Mashujaa FC
Hii ni Ligi Kuu ya NBC, mchezo ukipigwa Sokoine Stadium, Mbeya.
- Title
- Kocha JKT Tanzania akoshwa na ujio wa wachezaji kutoka ligi kubwa Afrika
- Runtime
- 4:23
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- YANGA vs JKT TANZANIA: Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania, anasema ligi ya Tanzania imeongezeka ubora kutokana na ongezeko la wachezaji ambao awali walikuwa wanaonekana kwenye ligi za nchi nyingine.
Kocha huyo amemsifu Kocha wa Yanga, Manqoba Mngqithi akimtaja kuwa ni mtu aliyepita kwenye mikono ya makocha wakubwa akiwemo Pitso Mosimane.
Ni kuelekea mchezo wa NBC Premier League kesho Agosti 24, 2026 katika dimba la KMC Complex.
Nahodha Edward Songo anasema kesho haiwezi kuwa mechi rahisi na mara zote wanapokutana na Yanga, shughuli huwa sio nyepesi.
Mechi ni saa 12:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi
- Title
- Kocha wa Yanga aamua kuwachambua wachezaji wa JKT Tanzania kwa kuwataja majina
- Runtime
- 4:49
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- YANGA vs JKT TANZANIA: Msikie Kocha wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi akimtaja mchezaji mmoja baada ya mwingine wa JKT Tanzania kuelekea mchezo wa NBC Premier League kesho Agosti 24, 2026 katika dimba la KMC Complex.
Kocha huyo ameanza na golikipa Ramadhan Chalamanda na kuchambua uwezo wake kisha kwenda kwa mabeki, viungo na washambualiaji huku akiwataja kwa majina yao.
Kwa upande wake golilikipa Abuutwalib Mshery anasema JKT Tanzania watakuja kwa tahadhari kwasababu wanahitaji kushinda.
Mechi ni saa 12:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi
- Title
- Geita Gold 6-2 Kagera Sugar | Magoli | NBC Premier League - 22/08/2026
- Runtime
- 7:27
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL Magoli yote nane yaliyofungwa katika dimba la Bukombe, Geita. Chuma sita zikitoka kwa wenyeji na magoli mawili ni ya wageni.
Wafungaji upande wa Geita Gold ni Richardson Ng'ondya (11’, 63’), Obrey Chirwa 24’ (p), 70’) na Yussuf Mhilu ( 38’ 46’)
Wafungaji upande wa Kagera Sugar ni Hassan Omary 40’ na Robert Mkandya 90’+1
FT: Geita Gold 6-2 Kagera Sugar
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #GeitaGold #KageraSugar #GeitaKagera
- Title
- Geita Gold 6-2 Kagera Sugar | Uzuri wa dimba la Bukombe Geita linalotumiwa na Geita Gold
- Runtime
- 2:04
- Date posted
- 9 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama namna ulivyo mji wa Ushorombo mkoani Geita pamoja na uzuri wa dimba la Bukombe ambalo jana Agosti 22, 2026 ilipigwa kwa mara ya kwanza mechi ya NBC Premier League kati ya wenyeji Geita Gold dhidi ya Kagera Sugar.
Mwakalobo ndiye msimuliaji wa kila kitu utakachokiona hapa.
FT: Geita Gold 6-2 Kagera Sugar
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #GeitaGold #KageraSugar #GeitaKagera
- Title
- Highlights | Singida BS 1-2 Simba SC | NBC Premier League 22/08/2026
- Runtime
- 11:13
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli na kadi nyekundu | Singida BS 1-2 Simba SC | NBC PL 22/08/2026
- Runtime
- 4:57
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Simba SC imebeba alama tatu kwa kuichapa Singida BS mabao 2-1, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida.
Magoli ya Simba SC yamefungwa na Clatous Chama na Rushine De Reuck huku Singida BS wakipata bao lao kupitia kwa Sheikhan Ibrahim
Katika mchezo huu, Mchezaji wa Simba SC, Anthony Mligo amepewa kadi nyekundu.
- Title
- Vita ya maneno ya mashabiki Simba, Yanga, Azam FC kuhusu mwenendo wa ligi
- Runtime
- 9:53
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Mashabiki wa Simba na Yanga watunishiana misuli kuhusu ubora wa timu zao.
Shabiki wa Azam FC alalamikia timu yake kutopewa nafasi kwenye vyombo vya habari.
- Title
- MSHIKEMSHIKE | 21/08/2026.
- Runtime
- 44:11
- Date posted
- 10 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- SIMBA TV: Maandalizi ya NBCPL, Matukio mechi ya Kagera Sugar na timu ya Wanawake Kuelekea CECAFA.
- Runtime
- 25:34
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Okello awaaga rasmi Yanga, Ahmed Ally, Kamwe wafunguka
- Runtime
- 19:34
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Mchezaji wa zamani wa Yanga SC, Allan Okello ameaga rasmi mitaa ya Jangwani akiwashukuru kwa upendo wao na kuita Yanga ni nyumbani.
Ally Kamwe, Ahmed Ally na Massanza wafunguka kuhusu mechi za NBC Premier League.
- Title
- VIWANJANI: Azam FC wapewe muda, George Job atoa sababu.
- Runtime
- 38:22
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka George Job anasema watu wasijisahaulishe kwamba Azam FC ina wachezaji wengi wapya ambao wanahitaji muda kiasi kujijenga.
Job anasema ilikuwa muhimu kwa Azam FC kupata alama tatu jana Agosti 20, 2026, dhidi ya TRA United kwasababu kama isingefanya hivyo basi leo ingekuwa gumzo kuhusu kiwango chao.
Mchezo huo wa NBC Premier League ulimalizika kwa Azam FC kushinda magoli 2-1.
Azam TV
- Title
- VIWANJANI | “Yanga wameua mende kwa nyundo!” Wachambuzi watia neno kipigo cha Coastal Union.
- Runtime
- 46:23
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka Abissay Stephen akitathmini ushindi wa Yanga SC wa mabao 4-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa NBC Premier League uliochezwa jana Agosti 20, 2026.
Abissay anaeleza kuwa tofauti ya ubora kati ya timu hizo ilikuwa kubwa, huku Yanga wakitawala mchezo na kuonesha ubora wao mbele ya mpinzani wake.
Kwa upande wake George Job amesema Coastal Union wana changamoto katika eneo la usajili.
Azam TV
- Title
- VIWANJANI | Wachambuzi Abissay, George Job wabishana kadi nyekundu ya Manyasi dhidi ya Yanga
- Runtime
- 5:35
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- VIWANJANI: “Kwangu sio kadi nyekundu”
‘Vitaa ikaanza kati ya wachambuzi @abissay_stephen na @georgejob_gj na mtangazaji @ibrakasuga kuhusu tukio la kadi nyekundu la Geofrey Manyasi wa Coastal Union kwenye mchezo wa jana Agosti 20, 2026 dhidi ya Yanga SC.
Job anasema kosa la Manyasi ni kwamba alisimama juu ya mguu wa Duke Abuya, lakini Abissay anasema hapana.
#Viwanjani
- Title
- Azam FC 2-1 TRA United | Highlights | NBC Premier League 20/08/2026
- Runtime
- 8:26
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Azam FC imepata ushindi wake wa kwanza kwenye ligi kuu ya NBC msimu huu 2026/27 kwa kuichapa TRA United mabao 2-1, mchezo ukipigwa Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam yamefungwa na Idd Seleman 'Nado', na Abdul Suleiman Sopu huku TRA United wakipata bao lao kupitia kwa Ousmane Kamisoko.
Katika mchezo huu, golikipa wa Azam FC, Aishi Manula alipata pigo kwa kulimwa kadi nyekundu dakika ya 76.
- Title
- Magoli na kadi nyekundu | Azam FC 2-1 TRA United | NBC PL 20/08/2026
- Runtime
- 4:45
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Azam FC imepata ushindi wake wa kwanza kwenye ligi kuu ya NBC msimu huu 2026/27 kwa kuichapa TRA United mabao 2-1, mchezo ukipigwa Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam yamefungwa na Idd Seleman 'Nado', na Abdul Suleiman Sopu huku TRA United wakipata bao lao kupitia kwa Ousmane Kamisoko.
Katika mchezo huu, golikipa wa Azam FC, Aishi Manula alipata pigo kwa kulimwa kadi nyekundu dakika ya 76.
- Title
- Yanga SC 4-1 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 20/08/2026
- Runtime
- 12:46
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Mabingwa watetezi, Yanga SC wamewachapa Coastal Union mabao 4-1 kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yametoka kwa Albert Kangwanda, Maxi Nzengeli, Mudathir Yahya na Mohamed Hussein Zimbwe Jr.
Goli pekee la Wagosi wa Kaya limefungwa na Gradi Kiala Lassa.
Tazama Highlights
- Title
- Magoli na kadi nyekundu | Yanga SC 4-1 Coastal Union | NBC PL 20/08/2026
- Runtime
- 7:13
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Mabingwa watetezi, Yanga SC wamewachapa Coastal Union mabao 4-1 kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yametoka kwa Albert Kangwanda, Maxi Nzengeli, Mudathir Yahya na Mohamed Hussein Zimbwe Jr.
Goli pekee la Wagosi wa Kaya limefungwa na Gradi Kiala Lassa.
- Title
- Polisi Tanzania 2-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 20/08/2026
- Runtime
- 5:58
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Polisi Tanzania imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Magoli ya Polisi yamefungwa na Kenny Ally na Habibu Kyombo...
Tazama highlights...
- Title
- Magoli | Polisi Tanzania 2-0 JKT Tanzania | NBC Premier League 20/08/2026
- Runtime
- 3:08
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Polisi Tanzania imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Magoli ya Polisi yamefungwa na Kenny Ally na Habibu Kyombo...
Tazama magoli...
- Title
- VIWANJANI : Nondo za wachambuzi mzunguko wa tatu NBC Premier League Agosti 20, 2026.
- Runtime
- 1:00:01
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- MSHIKEMSHIKE |19/08/2026
- Runtime
- 43:51
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Pamba Jiji 1-2 Simba | Highlights | NBC Premier League - 19/08/2026
- Runtime
- 9:04
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC, kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza.
Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama na Anicet Oura huku Pamba wakipata moja la penati kupitia kwa Idriss Diomande.
FT: Pamba Jiji 1-2 Simba SC
Azam TV
- Title
- VIWANJANI | Simba SC baada ya kuibuka na alama tatu, wachambuzi watema nondo kabambe.
- Runtime
- 35:52
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka Godlisten Muro ametoa tathmini yake kuhusu mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Agosti 19, 2026 ambapo Simba SC iliibuka na ushindi wa magoli 2-1.
Muro amesema uwanja wa CCM Kirumba umekuwa sehemu ambayo Simba haijawahi kupata ushindi kwa urahisi, akieleza kuwa michezo kati ya timu hizo huwa na matukio mengi kutokana na presha na tension inayokuwepo kila zinapokutana.
Azam TV
- Title
- Magoli yote matatu | Pamba Jiji FC 1-2 Simba SC | NBC Premier League 19/08/2026
- Runtime
- 3:18
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC, kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza.
Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama na Anicet Oura huku Pamba wakipata moja la penati kupitia kwa Idriss Diomande.
Tazama magoli yote...
Azam TV
- Title
- MSHIKEMSHIKE | 18/08/2026.
- Runtime
- 47:57
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli | Kagera Sugar 1-1 Singida BS | NBC Premier League 19/08/2026
- Runtime
- 2:43
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Ni sare ya bao 1-1, wakitangulia Kagera Sugar kupitia kwa Kassim Feka na kisha Jonathan Sowah akachomoa, likiwa ni goli lake la pili kwenye ligi.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC, mechi ikipigwa Kaitaba Stadium, Bukoba.
- Title
- Mbeya City 2-0 Dodoma Jiji | Highlights | NBC Premier League 19/08/2026
- Runtime
- 5:06
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Magoli mawili kutoka kwa Mwani Thobias na Yahya Mbegu yameipa Mbeya City FC ushindi wa mabao 2-0 dhidu ya Dodoma Jiji FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya.
Tazama machache kati ya mengi yaliyojiri kwenye mchezo huo...
- Title
- Kadi nyekundu kwa Jabaar | Pamba Jiji 1-2 Simba SC | NBC PL 19/08/2026
- Runtime
- 1:42
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC, kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza, huku kiungo wake Ibraheem Jabaar akitolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 43 ya mchezo.
Tazama kadi nyekundu ilivyopatokea...
Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama na Anicet Oura huku Pamba wakipata moja la penati kupitia kwa Idriss Diomande.
- Title
- Magoli | Pamba Jiji FC 1-2 Simba SC | NBC Premier League 19/08/2026
- Runtime
- 4:29
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC, kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza.
Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama na Anicet Oura huku Pamba wakipata moja la penati kupitia kwa Idriss Diomande.
Simba katika mchezo huu wamelazimika kucheza pungufu kwa zaidi ya dakika 50 kufuatia kadi nyekundu aliyopata Ibraheem Jabaar.
Tazama magoli yote...
- Title
- Mbeya City 2-0 Dodoma Jiji FC | Magoli | NBC Premier League 19/08/2026
- Runtime
- 2:44
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote mawili yaliyowapa alama tatu Mbeya City.
FT: Mbeya City 2-0 Dodoma Jiji FC
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #MbeyaCity #DodomaJijiFC
- Title
- Azam FC| Safari ya Mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah kabla na baada ya kurejea katika timu hiyo
- Runtime
- 24:14
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- "Niko hapa kuwapa furaha tena, kuendeleza pale nilipoishia."
Kauli ya Gibril Sillah kwa mashabiki wake baada ya kurejea tena kuichezea klabu ya Azam Fc.
Azam TV
- Title
- VIWANJANI | maoni ya wachambuzi kuelekea mechi ya Pamba Jiji dhidi ya Simba SC.
- Runtime
- 13:34
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- “Simba watakwenda kwa tahadhari zaidi'',
Mchambuzi wa soka Khalid Chukuchuku akieleza namna ambavyo Simba wanapaswa kuingia leo kwenye mchezo wao dhidi ya Pamba Jiji FC.
Azam TV
- Title
- Manqoba Mngqithi aweka wazi mpango wa Yanga dhidi ya Coastal Union.
- Runtime
- 2:26
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kocha wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi akielezea maandalizi ya kikosi chake kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union
Manqoba amesema wanatambua ubora wa coastal Union kwa kuwa na wachezaji wazuri wenye ufundi wa kutumia miguu ya kushoto akimtolea mfano mchezaji Shiza Kichuya.
Azam TV
- Title
- VIWANJANI | Nondo za wachambuzi baada ya Mashujaa FC kupoteza alama tatu ugenini
- Runtime
- 16:06
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Kocha wa Coastal Union, Elias Fikiri, Aahidi Mchezo mkali dhidi ya Yanga SC.
- Runtime
- 2:04
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kocha wa Coastal Union, Fikiri Elias akizungumzia maandalizi ya kikosi chake kulekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Yanga SC.
Fikiri amesema kesho watacheza mchezo mzuri kwaajili ya mashabiki wa timu hiyo.
Azam TV
- Title
- NBCPL: Walichokisema Makocha baada ya Namungo kubeba alama zote tatu mbele ya Geita Gold
- Runtime
- 4:08
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCPL: ''huu ni mchezo na unachezwa na binadamu'', Kocha Mkuu wa Geita, Zuberi Katwila akitoa tathmini ya wachezaji wake na namna ambavyo walishindwa kutumia nafasi zaidi na kumshinda mpinzani wao.
Kwa upande wake Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Namungo FC anasema licha ya ushindi lakini bado kuna mapungufu ndani ya kikosi chake jambo ambalo atahakikisha wanafanyia kazi kuelekea mchezo unaofuata.
FT: Namungo FC 1-0 Geita Gold
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
Mhariri | @rajjmsangi
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #NamungoFC #GeitaGold
- Title
- NBCPL: Alichokisema Kocha wa Mashujaa FC, Amani Josiah baada ya kupoteza alama tatu.
- Runtime
- 3:08
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCPL: ''hatukuwa vizuri'', sehemu ya meneno ya Kocha Mkuu wa Mashujaa, Amani Josiah akieleza kiwango cha wachezajiw ake akieleza kuwa hakikuwa vizuri kwenye mchezo uliomalizika wakiwa wamepoteza alama zote tatu.
Kwa upande wake Kocha Mkuu wa Fountain Gate, Fred Felix (Minziro) amesema leo waliingia uwanjani kuzitafuta alama tatu.
FT: F/Gate FC 1-0 Mashujaa FC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
Mhariri | @rajjmsangi
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #FountainGate #MashujaaFC

