Azam TV
DAR DERBY | Magoli yote matano ni vichwa tu | Azam 3-2 Azam | CRDB Bank Federation Cup
- Title
- DAR DERBY | Magoli yote matano ni vichwa tu | Azam 3-2 Azam | CRDB Bank Federation Cup
- Runtime
- 0:56
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- FT: Azam FC 3-2 Yanga SC.
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#CRDBFederationCup #DarDerby #AzamYanga
- Title
- Uchambuzi | Uruguay ametoa sare na Cape Verde, nani kukutana na kibonde?
- Runtime
- 4:29
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Wachambuzi, Ramadhan Mbwaduke na George Job walivyoeleza takwimu za dakika 90 kwenye mchezo kati ya Uruguay vs Cape Verde.
FT: Uruguay 2-2 Cape Verde
Inafuata New Zealand vs Misri LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UruguayCapeVerde
- Title
- Azam FC 3-2 Yanga SC | Highlights - CRDB Bank Federation Cup | Nusu Fainali 21/06/2026
- Runtime
- 14:34
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #CRDBFederationCup #DarDerby #DarEsSalaamDerby
- Title
- DAR DERBY | Mwamnyeto, Himid Mao wafunguka baada ya matokeo (Azam 3-2 Yanga)
- Runtime
- 3:37
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Baada ya mchezo wa nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup ikiwakutanisha wana #DarEsSalaamDerby, nyota wa timu hizo Himid Mao (Mchezaji bora wa mechi) pamoja na nahodha wa Yanga, Bakar Mwamnyeto wamefunguka...
FT: Azam FC 3-2 Yanga SC.
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#CRDBFederationCup #DarDerby #AzamYanga
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Kutoka Marekani Shaffih Dauda ana kwa na Nadir Haroub 'Canavaro'
- Runtime
- 6:06
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Kutoka Houston Marekani, @shaffihdauda_tz anazungumza beki mstaafu wa Taifa Stars, Nadir Haroub Upapa ‘Canavaro’, ambaye kwanza anaeleza hisia zake baada ya kumuona Canavaro wa ukweli…..
Nadir ambaye kwa sasa makazi yake ni Marekani, anatoa mtazamo wake kuhusu mwenendo wa fainali hizi, akiipa nafasi Morocco kufanya vizuri zaidi katika mataifa ya Afrika…
....si Morocco pekee, Canavaro anazitaja pia Congo DR, Senegal, na Ivory Coast, akisema awamu hii “…Afrika imekuja kupambana kwelikweli”, huku akinukuu kauli ya Mourinho kwamba “…ipo siku Afrika itabeba Kombe la Dunia”.
Katika hatua nyingine, Canavaro amezungumza na vijana wa Tanzania (wachezaji wajao wa Tanzania) kuhusu ndoto za kufuzu Kombe la Dunia.
Mwisho, Canavaro ametoa utabiri wake akizipa nafasi ya ubingwa Ufaransa na Argentina kutwaa ubingwa wa mwaka huu.
- Title
- Magoli | Azam 3-2 Yanga | Nusu Fainali CRDB Bank Federation Cup
- Runtime
- 6:03
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #CRDBBankFederationCup #DarDerby #DarEsSalaamDerby
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Mbinu za 'kivita' zitumiwazo na Japan kwenye soka
- Runtime
- 2:30
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Mchambuzi wa soka @georgejob_gj amefichua siri ya Kocha Hajime Moriyasu wa Japan kuhusu vibao wanavyovitumia kufikisha ujumbe kwa wachezaji wakati mechi inaendelea.
Mbinu hii ije na Bongo…..????
15’: Tunisia 0-1 Japan
Uhondo upo LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #TunisiaJapan
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | TP Mazembe, Simba SC, zapongezwa ndani ya studio za AzamTV
- Runtime
- 1:39
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Pongezi kwa Simba SC, kwa kutinga fainali ya CRDB Bank Federation Cup, lakini pia pongezi kwa TP Mazembe kwa kuwa mabingwa wa ligi ya DR Congo msimu huu.
FT: Ujerumani 2-1 Ivory Coast
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #GermanyIvoryCoast
- Title
- RC Mtanda atoa neno kuelekea Azam FC vs Yanga SC, Nusu Fainali CRDB Bank Fed. Cup
- Runtime
- 4:33
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- AZAM FC vs YANGA : "Mwanza tuko tayari, kiusalama tumejipanga vizuri”.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema maandalizi yote kuelekea mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank yamekamilika.
Mchezo huo unaowakutanisha Azam FC vs Yanga SC utapigwa kesho Juni 21 kwenye Dimba la CCM Kirumba.
Mtanda amesema uwanja uko katika hali nzuri, hoteli kwa ajili ya wageni ziko vizuri, na mkoa umejipanga vizuri kupokea wageni wa kila aina.
RC Mtanda pia amegusia suala la usalama akisema timu zote mbili zitarajie usalama wa kutosha, uhakika ukitoka kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza.
Mechi inapigwa saa 9:30 alasiri LIVE #azamSports1HD
#CRDBBankFederationCup #AzamFC #YangaSC #AzamYanga #SaidMtanda
- Title
- Makocha kutoka Celta Vigo ya Hispania watua Tanzania
- Runtime
- 2:18
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Kituo cha kukuza vipaji vya soka cha Magnet Youth Sports Academy (kituo cha Kunduchi/HOPAC), kimezindua kliniki maalumu ya mafunzo chini ya makocha wa kimataifa kutoka klabu ya RC Celta Vigo ya Uhispania.
Lengo la kliniki hiyo ni kuongeza ujuzi wa kiufundi kwa makocha wa ndani na wachezaji chipukizi.
Hatua hiyo inalenga kuleta mbinu za kisasa za soka la Ulaya nchini, huku mafunzo hayo yakiratibiwa na kufanyika kuanzia Juni 20 hadi Juni 22, 2026.
Wasikilize hapa... Mkurugenzi wa HOPAC Academy, Heaven Peace, wazazi wenye watoto wao katika kituo hicho, Walter Felix na Nasoro Athuman, lakini pia yupo mwanafunzi wa Magnet Academy, Joshua Michael.
- Title
- Simba SC 4-0 Coastal Union | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Fed, Cup 20/06/2026
- Runtime
- 10:22
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.
- Title
- Magoli | Simba SC 4-0 Coastal Union | Nusu Fainali CRDB Bank Fed. Cup 20/06/2026
- Runtime
- 4:25
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.
Haya hapa magoli yote....
- Title
- Simba SC wapo tayari, tambo za mashabiki kabla ya nusu fainali dhidi ya Coastal Union.
- Runtime
- 3:14
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Tambo za mashabiki wa Simba SC kuelekea mchezo wa nusu fainali ya CRDB Bank Federation Cup kati ya timu yao dhidi ya Coastal Union utakaopigwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
- Title
- Florent Ibenge aweka wazi malengo ya Azam FC kuelekea nusu fainali CRBD Bank Federation Cup.
- Runtime
- 6:47
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- CRDB BANK FEDERATION CUP: “Tunataka kuenda fainali…”
Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa nusu fainali ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Yanga SC, akisisitiza kuwa lengo lao ni kutinga fainali ya mashindano hayo.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo, Himid Mao amesema kikosi chao kipo tayari kwa mchezo huo na anaamini kina uwezo wa kuibuka na ushindi.
- Title
- Yanga wapo tayari kutetea ubingwa wa CRDB Bank Federation Cup.
- Runtime
- 4:29
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Kocha wa Yanga SC, Abdihamid Moalin amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa nusu fainali ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Azam FC, akieleza kuwa lengo lao ni kutwaa tena ubingwa wa mashindano hayo.
Moalin amesema maandalizi yamekamilika na amewaomba mashabiki wa Yanga kujitokeza kwa wingi uwanjani kuisapoti timu yao.
Kwa upande wake golikipa wa timu hiyo, Abutwalib Mshery amesema kikosi chao kipo tayari kwa mchezo na kinaingia uwanjani kwa kujiamini kama mabingwa watetezi wa michuano hiyo.
Mechi ni Juni 21, 2026 Saa 9:30 Alasiri na itakuwa LIVE #AzamSports1HD
- Title
- Mtangazaji Chiko Lawi aamua 'kum-google' mchambuzi wake
- Runtime
- 3:44
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Maisha yanakwenda kasi sana…leo mtangazaji Chiko Lawi ameamua kuingia google kuhakiki kama mchambuzi wake alishawahi kucheza soka.
Hewani muda huu ni Brazil dhidi ya Haiti
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #ScotlandMorocco
- Title
- Mtangazaji Kenedy Moses ataja jina lake la tatu na kuzua gumzo studioni
- Runtime
- 2:04
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Amebanaaaa….leo bila kushurutishwa, Kenedy Moses amelitaja jina lake la tatu na kuzua gumzo studioni.
FT: Marekani 2-0 Australia.
Saa 7:00 usiku ni Scotland dhidi ya Morocco.
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #USAAustralia
- Title
- Simba SC 1-2 JKT Tanzania | Highlights | NBC U20 PL | 19/06/2026
- Runtime
- 8:06
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Timu ya vijana ya Simba U20 imeanza vibaya fainali za ligi ya vijana (nane bora) kwa kupokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa vijana wa JKT Tanzania.
Simba wametangulia kwa goli la Athuman Idd, lakini JKT wakafanya come - back kwa penati mbili zote zikifungwa na Said Hassan Nkondo.
Mechi zinapigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Azam FC 2-2 Dodoma Jiji | Highlights | NBC U20 Premier League 19/06/2026
- Runtime
- 7:52
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Azam U20 na Dodoma Jiji U20 wametoshana nguvu kwa sare ya 2-2 katika mchezo wa Ligi ya Vijana U20 hatua ya nane bora inayopigwa Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam yamefungwa na Ismail Issa 10' na Festo Matonya 48' aliyejifunga huku Geofyey Gaspar 21' na Patrick John 68' wakifunga magoli ya Dodoma Jiji.
- Title
- Magoli | Azam FC 2-2 Dodoma Jiji | NBC U20 PL (Top 8) | 19/06/2026
- Runtime
- 4:14
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Azam U20 na Dodoma Jiji U20 wametoshana nguvu kwa sare ya 2-2 katika mchezo wa Ligi ya Vijana U20 hatua ya nane bora inayopigwa Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam yamefungwa na Ismail Issa 10' na Festo Matonya 48' aliyejifunga huku Geofyey Gaspar 21' na Patrick John 68' wakifunga magoli ya Dodoma Jiji.
- Title
- MZUKA WA KOMBE LA DUNIA | Meena Ally afungua show na 'barua ya wazi kwa Baba'
- Runtime
- 2:15
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | “Barua ya wazi kuja kwako Baba”.
Kwa furaha hizi tunazopata kwenye Kombe la Dunia mwaka huu kupitia Azam TV, Je, sisi ni nani hata tusikushukuru???
#MeenaAlly anatuwakilisha hapa akiifungua Mzuka wa Kombe la Dunia, kuelekea mechi za leo…
Ni #Mzuka wa #KombeLaDunia ambao upo kwa hewa muda huu kupitia #AzamSports2HD
- Title
- Mabingwa wa Zanzibar, KVZ FC walivyokabidhiwa kombe lao - PBZ Premier League 19/06/2026
- Runtime
- 2:33
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- #PBZPL Mabingwa wa ligi kuu ya Zanzibar #PBZPremierLeague , timu ya KVZ FC leo wamekabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu 2025/26
Sherehe za kukabidhi ubingwa huo zimefanyika mara baada ya mchezo maalum uliopigwa kwenye Dimba la Mao, ambapo KVZ wamepata ushindi wa mabao 2-0.
Hii ni mara ya kwanza kwa KVZ kutwaa ubingwa huo, wakimaliza msimu na alama 67 kileleni, juu ya JKU waliomaliza wakiwa na alama 64, wakifuatiwa na Zimamoto alama 53, na Mlandege wameishia nafasi ya nne wakiwa na alama 52.
Hawa hapa mabingwa wakinyanyua makwapa…
- Title
- Black Sailors 0-2 KVZ FC | Highlights | Mechi maalum ya kukabidhi kombe 19/06/2026
- Runtime
- 4:36
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Mabingwa wa Zanzibar, KVZ FC wamepata ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo maalum wa kusindikiza sherehe za kukabidhi ubingwa wa ligi hiyo msimu wa 2025/26.
Mechi hii imepigwa Uwanja wa Mao, na baada ya mchezo huu, KVZ wakakabidhiwa Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Zanzibar #PBZPremierLeague 2025/26
Hii ni mara ya kwanza kwa KVZ kutwaa ubingwa huo, wakimaliza msimu na alama 67 kileleni, juu ya JKU waliomaliza wakiwa na alama 64, wakifuatiwa na Zimamoto alama 53, na Mlandege wameishia nafasi ya nne wakiwa na alama 52.
- Title
- Magoli | Simba SC 1-2 JKT Tanzania | NBC U20 PL (Top 8 Finals) - 19/06/2026
- Runtime
- 3:46
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Timu ya vijana ya Simba U20 imeanza vibaya fainali za ligi ya vijana (nane bora) kwa kupokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa vijana wa JKT Tanzania.
Simba wametangulia kwa goli la Athuman Idd, lakini JKT wakafanya come - back kwa penati mbili zote zikifungwa na Said Hassan Nkondo.
Mechi zinapigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Yanga SC yarejea kileleni mwa msimamo, Pamba Jiji ikitikisa kwa ushindi wa 4-0.
- Runtime
- 59:26
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- VIWANJANI: Wachambuzi Iddy Nonga na Deotraphe Kiungai wanatoa maoni yao kuhusu mechi za NBC Premier League zilizopigwa Juni 18, 2026.
wameeleza kuvutiwa na kiwango cha mshambuliaji wa Pamba Jiji, Methew Momanyi baada ya kufunga hat-trick katika mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Mtibwa Sugar uliopigwa Juni 18, 2026 wakisema ameonesha kile ambacho washambuliaji wengi wa kati wamekuwa wakikikosa msimu huu.
- Title
- Kila kitu kipo tayari kwa nusu fainali za CRDB Federation Cup.
- Runtime
- 11:20
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- CRDB BANK FEDERATION CUP: Mtaalam Mkuu wa Masoko ya Maudhui wa CRDB Bank, Salim Mohammed, ameeleza namna maandalizi ya mechi za nusu fainali za mashindano hayo yalivyokamilika kwa mafanikio huku akibainisha kuwa fursa kwa jamii ndio mpango wa CRDB Bank Federation Cup.
Salim amesema CRDB Bank imejipanga kuhakikisha wapenda soka watapata burudani ya kipekee, huku ikiandaa surprise maalum baada ya mechi za nusu fainali.
Aidha, amebainisha kuwa kutakuwa na zawadi ya Shilingi Milioni moja kwa wachezaji watakaotwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi katika kila mchezo wa hatua ya nusu fainali.
#CRDBBankFederationCup #NusuFainali #CRDBBank
- Title
- Ahmed Ally afunguka maandalizi ya kuwakabili Coastal Union nusu fainali ya CRDB Bank Federation Cup.
- Runtime
- 23:33
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Simba SC TV wiki hii imeangazia maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup dhidi ya Coastal Union.
Afisa Habari wa timu hiyo, Ahmed Ally amesisitiza kuwa kombe hilo ni miongoni mwa malengo ya msimu huu kwa timu, hivyo wachezaji na benchi la ufundi wako tayari kupambana kuhakikisha wanapata ushindi na kutinga hatua inayofuata.
Simba SC imeingia hatua hii baada ya kuiondoa TRA United kwa ushindi wa mabao 4-0 katika mchezo wa robo fainali, huku Coastal Union nao wakifuzu baada ya kuiondoa Singida BS kwa mikwaju ya penalti.
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Kocha Denis Kitambi afadhaishwa na uchezaji wa Mexico
- Runtime
- 2:20
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 | Kocha Denis Kitambi anasema kama angekuwa anaiongoza Mexico, angefaidhaishwa na namna walivyowaruhusu Korea Kusini kuumiliki mpira.
46’: Mexico 0-0 Korea Kusini.
Mzigo uko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza.
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #MexicoVsKoreaKusini #MexicoKoreaKusini
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Mwamba Chiko Lawi awatambulisha wachambuzi wake kwa namna ya pekee
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 | Chiko Lawi anakwambia kwenye fainali za Kombe la Dunia, maajabu hutokea na hapo anaitaja Afrika Kusini ambayo sasa ina alama moja.
Sasa angalia Lawi anavyowatambulisha wachambuzi wake.
Tunaiendea mechi ya Canada dhidi ya Qatar, saa 7:00 usku
Mzigo uko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza.
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UswiziVsBosnia #SwitzerlandBosnia
- Title
- Mtibwa 2-1 Yanga | NBC Youth League U20 (Top 8) | Highlights 18/06/2026
- Runtime
- 6:42
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCYouthLeagueU20 #NBCYouthLeague #NBCYLU20Top8
- Title
- Magoli | Mtibwa 2-1 Yanga | NBC Youth League U20 (Top 8) | 18/06/2026
- Runtime
- 2:07
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCYouthLeague #NBCYouthLeagueU20 #TFFU20Top8League
- Title
- Pamba Jiji 4-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 18/06/2026
- Runtime
- 9:20
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- Magoli | Pamba Jiji 4-0 Mtibwa Sugar
- Runtime
- 4:09
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- JKT Tanzania 0-1 Tanzania Prisons | Highlights | NBC Premier League 18/06/2026
- Runtime
- 8:14
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- Makocha wa JKT, Prisons wafunguka baada ya matokeo (0-1) | NBC Premier League 18/06/2026
- Runtime
- 4:21
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- Goli pekee la Tanzania Prisons dhidi ya JKT Tanzania | NBC Premier League
- Runtime
- 1:51
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- Fountain Gate 0-2 Yanga SC | NBCPL Highlights | 18/06/2026
- Runtime
- 10:34
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- Tazama kosa kosa Yanga Princess V Ceasiaa | TWPL
- Runtime
- 3:58
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #LigiKuuYaWanaweka #TWPLeague
- Title
- Tazama goli la ajabu la Paul Peter wa JKT Tanzania | NBCPL
- Runtime
- 1:12
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- Magoli | Kakamega vs AFC Leopard | SPL
- Runtime
- 4:29
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #SportpesaLeague #SPLUpdates
- Title
- NBCPL | Kosa kosa Yanga wakilisaka lango la Fountain Gate | 18/06/2026
- Runtime
- 1:29
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- MAGOLI | Fountain Gate 0-2 Yanga SC | NBC Premier League
- Runtime
- 2:23
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- #NBCPL #NBCPremierLeague
- Title
- Simba SC yaendeleza mbio za kuwania ubingwa NBC PL, Singida BS ikiendelea kujikita nafasi nne za juu
- Runtime
- 57:55
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- VIWANJANI | Wachambuzi Micheal Hyera na Deotraphe Kiungai wakitoa uchambuzi wa kina kuhusu namna msimamo wa Ligi unavyoendelea katika kipindi hiki cha mechi za mwisho
Michael Hyera amesema ushindi wa Singida Black Stars umeifanya timu hiyo kuendelea kujikita katika nafasi nne za juu za msimamo wa Ligi Kuu ya NBC , huku ikiongeza matumaini ya kumaliza msimu katika nafasi nne za juu katika msimamo na kufuzu mashindano ya kimataifa.
Kwa upande wa Simba SC, alama tatu walizozipata zimeendelea kuiweka timu hiyo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa NBC PL, ikipata nguvu ya kuendelea kutoa presha kwa timu kinara katika hatua hizi za mwisho wa msimu.
Matokeo hayo yanaonyesha ushindani mkubwa unaoendelea katika NBC Premier League, ambapo kila pointi imekuwa muhimu kwa timu zinazowania ubingwa na zile zinazopigania kumaliza ndani ya nafasi nne za juu.
- Title
- AZAM FC TV | Matukio muhimu, maandalizi mpaka ushindi wa magoli 2 dhidi ya Fountain Gate
- Runtime
- 23:20
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Uzbekistan 1-3 Colombia | UUchambuzi baada ya mechi (English) - Kombe la Dunia 18/06/2026
- Runtime
- 7:01
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- "Bad news is that, you missed one heck of a game".
Kutoka kwenye dawati la Kiingereza chini ya Chiko Lawi, huu hapa uchambuzi baada ya game. Je, nini kimewaponza Uzbekistan?
Kula madini hapa kwa kimombo. …
FT: Uzbekistan 1-3 Colombia.
Saa 1:00 usiku ni Czechia vs South Africa LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #UzbekistanColombia
- Title
- Uzbekistan vs Colombia | Half-Time Analysis | FIFA World Cup 18/06/2026
- Runtime
- 5:21
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 “…That pass from Luis Diaz is exactly 192 milioni pounds”.
Ndivyo analianzisha Chiko Lawi dawati ya uchambuzi wa dakika 45 za kipindi cha kwanza…
Story kubwa hapa ni goli la Munoz na assist kutoka kwa Luis Diaz.
Je, wewe umeona nini? Pata vitu hapa huku ukiendelea ku-enjoy boli.
55’: Uzbekistan 0-1 Colombia.
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
- Title
- Ghana 1-0 Panama | Wachambuzi waitilia shaka Ghana | Kombe la Dunia 2026
- Runtime
- 5:58
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- “…ni kama wamempora ushindi Panama”
George Job na Abissay Stephen wameungana kuikandia Ghana licha ya ushindi wa leo, wanaeleza kutoridhishwa na kiwango chake, wanasema haitafika popote na huenda ikapata kichapo kizito kutoka kwa England.
Ramadhan Mbwaduke ana jicho tofauti akiwasifia Ghana kwa kazi ya maana waliyoifanya leo, huku akishusha takwimu….
Je, wewe unasemaje kuhusu Ghana hii???
FT: Ghana 1-0 Panama
Hewani muda huu ni Uzbekistan vs Colombia saa 11:00 alfajiri LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
- Title
- Ghana vs Panama | Half-Time Analysis | FIFA World Cup 2026
- Runtime
- 6:43
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Rhino Rangers 2-2 Bandari FC (Pen: 4-2) | Fainali First League 17/06/2026
- Runtime
- 13:04
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Rhino Rangers kutoka Tabora ndiyo mabingwa wa First League (zamani Ligi Daraja la Pili), baada ya ushindi wa penati 4-2 kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Bandari FC, ya Mtwara.
Fainali imepigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Mabingwa wa First League 2025/26, Rhino Rangers wakikabidhiwa kombe lao
- Runtime
- 2:58
- Date posted
- 22 days ago
- Description
- Rhino Rangers kutoka Tabora ndiyo mabingwa wa First League (zamani Ligi Daraja la Pili), baada ya ushindi wa penati 4-2 kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Bandari FC, ya Mtwara.
Fainali imepigwa Azam Complex, Chamazi.

