Azam TV
Jamus SC 1-2 Al Hilal SC | Magoli | CECAFA Kagame Cup 2026 - 07/08/2026
- Title
- Jamus SC 1-2 Al Hilal SC | Magoli | CECAFA Kagame Cup 2026 - 07/08/2026
- Runtime
- 3:41
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Simba SC Agosti 8, Yanga SC Agosti 9 | Uchambuzi wa vikosi, wachezaji na msimu mpya.
- Runtime
- 1:28:43
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- "Ni sikukuu kwa Simba na wadau wa mpira wa miguu," amesema mchambuzi wa soka @ramadhani_mbwaduke akizungumzia Simba Day ya 17 ya Klabu ya Simba SC inayotarajiwa kufanyika kesho Agosti 8, 2026.
Mbwaduke amesema kesho ndiyo siku ambayo wanachama, wapenzi na mashabiki wa Simba SC wataona rasmi timu yao ikiwa katika kikosi kamili kitakachoitumikia klabu hiyo kwa msimu wa 2026/2027.
Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Simba ,Yanga na Azam zatamba na uzi mpya.
- Runtime
- 12:59
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- SIMBA PRESS: “Biashara kamili itaanza wiki ijayo” | kauli ya Steve Barker kuelekea ya Simba Day.
- Runtime
- 16:32
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya Polisi FC ya Kenya utakaochezwa kwenye Simba Day.
Barker amesema Simba Day ni fursa ya timu kujumuika na mashabiki wake kabla ya kuanza rasmi kwa msimu mpya huku akisisitiza kuwa ushindani wa kweli utaanza wiki ijayo.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo, David Kameta (Duchu) amesema wachezaji wamepata muda mzuri katika maandalizi ya msimu mpya; na kuwa kesho wataonesha burudani kutokana na kile walichokipata katika kipindi hicho cha maandalizi.
#SimbaDay #SimbaSC #KenyaPolisiFC
- Title
- Simba SC TV | Wiki hii imeangazia matukio katika siku ya uzinduzi wa wiki ya Simba Day na jezi mpya.
- Runtime
- 24:07
- Date posted
- 25 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Ahmed Ally atangaza namna atakavyoingia Simba Day, Yanga yazindua jezi
- Runtime
- 24:28
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- UCHAMBUZI: Kwa nini Djigui Diarra ndiye golikipa bora wa Ligi Kuu Tanzania.
- Runtime
- 1:44:15
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka, Godlisten Muro akizungumzia umuhimu wa nafasi ya golikipa katika mafanikio ya klabu, amesema kuwa uti wa mgongo wa timu huanzia kwenye safu ya ulinzi ambayo msingi wake mkuu ni golikipa akishirikiana kwa karibu na mabeki.
Muro ameeleza kuwa uimara wa golikipa wa Yanga SC, Djigui Diarra amefanikiwa kuipa timu hiyo utulivu wa kujenga matokeo mazuri ambayo yameongeza nafasi ya klabu hiyo kutwaa mataji mara tano mfululizo.
Kwa upande wake mchambuzi wa soka Deotraphe Kiungai anaamini kuwa wachezaji wanapaswa kuhukumiwa kulingana na majukumu yao uwanjani.
Deo amesema wachezaji wakitimiza majukumu yao ipasavyo uwanjani, timu inapata uwiano mzuri wa utendaji uwanjani ambao huipa nafasi kubwa klabu ya kushindania na hatimaye kutwaa ubingwa.
Azam TV
- Title
- AZAM FC TV: Mahojiano maalum na kinda Amir Ally, Kambi ya Kigali yaendelea kupamba moto.
- Runtime
- 24:34
- Date posted
- 26 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Alex Ngai wa Yanga asema hana tatizo na Hersi
- Runtime
- 15:36
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Yanga SC, Alex Ngai amesema hana tatizo na Rais wa klabu hiyo Hersi Said.
- Title
- Azam FC yazindua mtoko wa mwaka wa mbele
- Runtime
- 2:27
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- MTOKO WA MWAKA WA MBELE: “Mashabiki wa Azam FC wanakuwa wa kwanza kuvaa jezi hizi”
Meneja Masoko na Mauzo wa Azam FC, Ayoub Shelukindo amewapongeza mashabiki wa timu hiyo ambao leo Agosti 5, 2026, wamejitokeza kwa wingi katika mgodi wa #AzamTV Kariakoo, kununua ‘uzi’ mpya baada ya kuzinduliwa.
Shelukindo ameuita uzi huo kuwa ni mtoko w mwaka wa mbele na mashabiki waliopo ndani nan je ya Tanzania, watapa jezi hizo kwa urahisi.
Kwa upande wake Katibu wa Mashabiki wa Azam FC Taifa, Ahmed Jobenyo amesema mashabiki wenye kadi wamejionea faida leo.
Azam FC leo imezindua jezi itakayotumika katika mechi za nyumbani kwenye msimu wa 2026/27.
#AzamFC #JeziAzamFC
- Title
- Maandalizi ya msimu mpya 2026/2027 yashika kasi | Uchambuzi Simba na Yanga.
- Runtime
- 45:35
- Date posted
- 27 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka, Andrew Kingamkono ameeleza kuwa kiungowa Simba SC, Neo Maema bado ana mchango wa kutoa ndani ya kikosi hicho kutokana na uzoefu, ubora na uwezo wake wa kuamua matukio uwanjani.
Kingamkono amesema ujio wa Farouk Komara unaipa Yanga SC chaguo jingine imara katika safu ya ulinzi, huku akiamini kuwa unaweza kutengeneza ushirikiano mpya utakaoongeza ushindani na uimara wa kikosi.
- Title
- Jamus SC 1-3 Rayon Sports FC | Highlights | CECAFA Kagame Cup 2026 - 04/08/2026
- Runtime
- 12:53
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #KagameCup2026: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa nusu fainali ya CECAFA Kagame Cup 2026 kati ya Jamus dhidi ya Rayon Sports.
FT: Jamus 1-3 Rayon Sports (Diallo 69'/ Muderi 16', Mansoor 56', Ngongo 86’)
#CECAFAKagameCup #CECAFAKagameCup2026 #KombeLakagame #Jamus #RayonSports
- Title
- Jamus SC 1-3 Rayon Sports | Magoli | CECAFA Kagame Cup 2026 - 04/08/2026
- Runtime
- 3:55
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #KagameCup2026: Chuma zote nne zilizofungwa kwenye mchezo wa nusu fainali kati ya Jamus dhidi ya Rayon Sports.
FT: Jamus 1-3 Rayon Sports (Diallo 69'/ Muderi 16', Mansoor 56', Ngongo 86’)
#CECAFAKagameCup #CECAFAKagameCup2026 #KombeLakagame #Jamus #RayonSports
- Title
- Gor Mahia 1-1 Al Hilal | Penati | CECAFA Kagame Cup 2026 - 04/08/2026
- Runtime
- 10:08
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #KagameCup2026: Tazama mikwaju yote ya penati iliyoitupa nje Al Hilal na Gor Mahia ikitinga fainali.
AET: Gor Mahia 1-1 Al Hilal (Penati: 8-7)
#CECAFAKagameCup #CECAFAKagameCup2026 #KombeLakagame #GorMahia #AlHilal
- Title
- Gor Mahia 1-1 Al Hilal |Highlights | CECAFA Kagame Cup 2026 - 04/08/2026
- Runtime
- 12:30
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #KagameCup2026: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa nusu fainali kati ya Gor Mahia dhidi ya Al Hilal.
Magoli yote yamefungwa na wachezaji wa Al Hilal ambapo Steven Ebuela amejifunga na Ansumana Samura akasawazisha.
AET: Gor Mahia 1-1 Al Hilal (Penati: 8-7)
#CECAFAKagameCup #CECAFAKagameCup2026 #KombeLakagame GorMahia #AlHilal
- Title
- Gor Mahia 1-1 Al Hilal |Magoli | CECAFA Kagame Cup 2026 - 04/08/2026
- Runtime
- 3:49
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- #KagameCup2026: Tazama magoli yote mawili yaliyofungwa kwenye mchezo wa nusu fainali kati ya Gor Mahia dhidi ya Al Hilal.
Magoli yote yamefungwa na wachezaji wa Al Hilal ambapo Steven Ebuela amejifunga na Ansumana Samura akasawazisha.
AET: Gor Mahia 1-1 Al Hilal (Penati: 8-7)
#CECAFAKagameCup #CECAFAKagameCup2026 #KombeLakagame GorMahia #AlHilal
- Title
- Chama atangaza kustaafu kuitumikia Timu ya Taifa ya Zambia
- Runtime
- 1:28
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- KUTOKA RWANDA: “Sasahivi nimestaafu”
Nyota wa Kimataifa wa Zambia, anayeitumikia Simba SC, Clatous Chota Chama ametangaza kusstaafu kuitumikia Timu ya Taifa lake japo amebainisha kuwa yupo tayari kuendelea kuiunga mkono.
Chama yupo pamoja na kikosi cha Simba ambacho kipo Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.
#SimbaSC
- Title
- UZINDUZI WA YANGA DAY 2026 | BUKOMBE, GEITA | AZAMTV
- Runtime
- 2:39:52
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Fuatilia uchambuzi na mengi yaliyojiri dimbani baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Simba vs Yanga uliopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam na kumalizika kwa sare ya mabao 2-2.
Ndani ya studio Patrick Nyembera akiwa na wachambuzi Abissay Stephen na Godlisten Maro.
Matangazo yako LIVE #AzamSports1HD lakini unaweza pia kuitazama kupitia katika #AzamTVMaxApp
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Yanga yatua Kahama, Simba mwendo mduno
- Runtime
- 14:26
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- Ni Zilizobamba mitandaoni ikigusa Simba, Yanga, KMC na hekaheka za matamasha
- Title
- MPIRA WA WAVU | Mwembeyanga kunoga zaidi kwa michezo ya Volleyball
- Runtime
- 8:21
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- TVNL 2026: “Inakwenda kuwa volleyball arena kubwa sana Tanzania”
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania, Mhandisi Magoti Mtani anasema mipango yao ni kuboresha zaidi viwanja vya Mwembeyanga ili kuwa sehemu ya kipekee kwa mchezo wa volleyball.
Mtani anasema wanajifunza kutoka kwa watu wa mpira wa miguu n ahata ngumi namna wanafanya mambo yao.
Rais huyo wa shirikisho ameishukuru #AzamTV kwa ushirikiano wake.
Ni kutokea viwanja vya Mwembeyanga, Temeke Dar es Salaam ambako jana Agosti 3, 2026, imefanyika uzinduzi wa Mashindano ya Mpira wa Wavu Tanzania (TVNL2026).
Jumla ya timu ni 24, ambapo wanaume ni timu 14 na wanawake ni timu 10.
#TVNL2026
- Title
- Libasse Gueye amkosha Gharib Mzinga wa Azam TV
- Runtime
- 11:02
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- VIWANJANI: “Simba wana timu”
Mtangazaji @gharib_mzinga23 ambaye kwa sasa yupo Rwanga kwenye michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026, anasema miongoni mwa wachezaji wa Simba ambao wamewaka sana, ni Libasse Gueye na huenda ukawa ni msimu wake bora huu unaokuja.
Mzinga anasema alizungumza na kocha msaidizi wa Simba, Seleman Matola ambaye amewataja Ibrahim Jabar na Yusuph Kagoma kuwa ni viungo ambao huenda wakawa na msimu bora.
#Viwanjani
- Title
- UZINDUZI WA WIKI YA MWANANCHI | Uzuri wa Dimba la Bukombe ambako Yanga itafanya mazoezi
- Runtime
- 9:43
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- UZINDUZI WA WIKI YA MWANANCHI | Tazama mwonekano wa ndani wa vyumba vinavyopatikana katika Dimba la Bukombe, lililopo katika mji wa Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita.
Mwandishi wetu @hassanahmedy_ anakupitisha kuangalia mazingira ya ndani ya uwanja huo.
Usisahau, kilele cha uzinduzi kitaambatana na mchezo wa kirafiki kati ya Geita Gold FC na Pamba Jiji utakaopigwa saa 1:00 usiku.
#AzamSports #BukombeStadium #geita
- Title
- UTAMBULISHO WA SHALULILE | Shalulile asema haikuwa rahisi kutua Yanga
- Runtime
- 3:42
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- : “Tunatakiwa kuwa pamoja ili kushinda mataji”
Myota mpya wa Yanga SC, Peter Shalulile anasema ili kupata mafanikio, inapaswa kushikamana pamoja sio tu kwa wachezaji, bali hata mashabiki.
Nyota huyo anasema haikuwa rahisi kutua Yanga wakati kulikuwa na klabu nyingi Afrika ambazo zilimhitaji lakini yeye aliamua kuichagua klabu kubwa ambayo ni vijana hao wa Jangwani.
Ni kutokea Makao Makuu ya Yanga yaliopo makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani Kariakoo.
(Imeandikwa na @allymufti_tz)
#YangaSC #Shalulile
- Title
- UTAMBULISHO WA SHALULILE | Hersi asema Shalulile ameheshimisha ligi ya Tanzania
- Runtime
- 5:00
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- UTAMBULISHO WA SHALULILE: “Heshima kwa mpira wa Tanzania”
Rais wa Yanga SC, Hersi Said anasema ujio wa mchezaji Peter Shalulile kwenye ligi ya Tanzania, ni heshima kwa taifa.
Ni kutokea Makao Makuu ya Yanga yaliopo makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani Kariakoo.
#YangaSC #Shalulile
- Title
- Shalulile alivyowasili Makao Makuu ya Yanga
- Runtime
- 2:40
- Date posted
- 28 days ago
- Description
- UTAMBULISHO WA SHALULILE: Tazama nyota mpya wa Yanga SC, Peter Shalulile alivyowasili ukumbini kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa habari pamoja na mashabiki wa timu hiyo.
Ni kutokea Makao Makuu ya Yanga yaliopo makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani Kariakoo.
#YangaSC #Shalulile
- Title
- DAR BOXING DERBY | Edgar Lawrent alivyomchapa kwa pointi Hamad Mkude - 24/07/2026
- Runtime
- 25:47
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- DAR BOXING DERBY: Ulingo ulifunguliwa na Edgar Lawrente dhidi ya Hamad Mkude kwenye pambano la kwanza.
Pambano kuu ni Juma Choki dhidi ya Tony Rashid wakiipambania #CrownMtoaRoho
Uhondo wote unatokea hapa East Africa Commercial & Logistics Center, Ubungo Dar es Salaam na tuko LIVE #AzamSports3HD.
#DarBoxingDerby #VitasaNight #Vitasa UsikuWaVitasa CrownMtoaRoho SitakiLawama
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Ahmed Ally awataka Simba waelekeze akili zao Simba Day
- Runtime
- 16:56
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Ahmed Ally awaambia mashabiki wa Simba ya kwamba jambo la kuzingatia kwa sasa ni kununua tiketi kwa ajili ya SimbaDay.
Ni #Zilizobamba mitandaoni kupitia kipindi cha Viwanjani
- Title
- PRESS YANGA | Ally Kamwe aanika ratiba ujio wa Shalulile
- Runtime
- 24:01
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- PRESS YANGA: Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe anasema Alhamisi ya Agosti 6, 2026 ni siku ya kitaifa kwa mashabiki wa klabu hiyo kuchangia damu.
Kamwe anasema kwa Dar es Salaam, zoezi hilo litafanyika Makao Makuu ya Yanga pamoja na hospitali zote za Aga Khan.
Meneja Habari huyo anasema kuchangia damu ni ibada na uhitaji wa damu hospitalini ni mkubwa.
Kilele cha #WikiYaMwananchi ni Agosti 9, 2026, pale dimba la Uhuru.
#YangaSC
- Title
- PRESS YANGA | Kamwe asema tiketi za Yanga Day zinakimbia kama upepo
- Runtime
- 3:27
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- PRESS YANGA: “Wanayanga wamehamasika”
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe anasema mwenendo wa manunuzi ya tiketi za kilele cha #WikiYaMwananchi yanakwenda vizuri kiasi ambacho wamelazimika kuongeza eneo la royal kwasababu mwamko umekuwa mkubwa.
Kilele cha #WikiYaMwananchi ni Agosti 9, 2026, pale dimba la Uhuru.
#YangaSC
- Title
- VITA YA MAFUNDI | Nginjanginja za Yohana Mchanja, John Lauriaga - 31/07/2026
- Runtime
- 41:07
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- VITA YA MAFUNDI: Hatimae bondia Yahana Mchana ameshinda Mkanda wa Kimataifa wa WBC silva (uzito wa unyoya)
John Lauriaga kutoka Philippines amepigwa kwa pointi.
Ni kutokea hapa viunga vya The Super Dome, Masaki Dar Dar es Salaam.
#VitasaNight #Vitasa #HaijawahiKutokea #VitaYaMafundi #KnockoutYamama #SeasonIX
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Hotuba ya Hersi Said baada ya uchaguzi wa Yanga
- Runtime
- 5:54
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: “Tuendelee kuwa wanachama waaminifu”
Rais wa Yanga SC, Hersi Said ambaye leo amepewa ridhaa ya kuiongoza tena klabu hiyo kwa kipindi cha miaka minne, amesema ni wakati sasa wa kurudi kwenye umoja wao na kuua makundi yote ya nyakati za kampeni ili kuijenga timu yao.
Hersi amesema kazi ya kutafuta mataji ya klabu hiyo inaanza rasmi usiku wa leo Jumapili ya Agosti 2, 2026.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako umefanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Haya hapa majina ya wajumbe wapya Kamati ya Utendaji Yanga
- Runtime
- 2:16
- Date posted
- 29 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Haya hapa matokeo ya kura za ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga SC kama yanavyotangazwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Malangwe Mchungahela,
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako umefanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
Tulikuwa LIVE #AzamSports1HD.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Yanga yamchagua Arafat Haji kuwa Makamu wa Rais kwa miaka minne
- Runtime
- 2:08
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Yanga SC, kwa pamoja wamempitisha Arafat Haji, kuwa Makamu wa Rais wa klabu hiyo kwa miaka minne mingine.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
Tuko LIVE #AzamSports1HD.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA SC | Hersi Said apewa miaka minne mingine kuingoza Yanga
- Runtime
- 3:00
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Yanga SC, kwa pamoja wamempitisha Hersi Said, kuwa Rais wa klabu hiyo kwa miaka minne mingine.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
Tuko LIVE #AzamSports1HD.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Taji la Ngao ya Jamii la Yanga 2025, laibiwa
- Runtime
- 1:07
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Rais wa Yanga SC, Hersi Said amesema wakati wakifurahia ubingwa wa NBC Premier League, msimu uliomalizika hivi karibuni, kuna mtu alitumia fursa hiyo kuiba taji la Ngao ya Jamii mwaka 2025.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
Tuko LIVE #AzamSports1HD.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Yanga yapata hati ya maeneo yake yote matatu
- Runtime
- 3:18
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Rais wa Yanga SC, Hersi Said amesema kwa sasa klabu hiyo ina hati ya maeneo yote matatu inayomiliki ikiwemo Jangwani na eneo la jengo lililopo mtaa wa Mafia Kariakoo, Dar es Salaam.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
Tuko LIVE #AzamSports1HD.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Dkt. Mwigulu Nchemba aomba kuondolewa ujumbe Baraza la Wadhamini Yanga
- Runtime
- 2:26
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Rais wa Yanga SC, Hersi Said amesema kwamba Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameomba kuondolewa kwenye nafasi ya ujumbe wa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo na nafasi yake kuzibwa na Ridhiwan Kikwete, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
Tuko LIVE #AzamSports1HD.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU WA YANGA | Bajeti ya Yanga msimu wa 2026/27 ni zaidi ya bilioni 36
- Runtime
- 4:36
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Yanga SC, kupitia Mkurugenzi wake wa Fedha, Justina Ernest imetangaza makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2026/27 ambapo wamepanga kutumia zaidi ya shilingi bilioni 36.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Chalamila akubali jina la Shalulile
- Runtime
- 2:32
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: “Kwakweli nalipokea”
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amebatizwa jina la Shalulile na yeye mwenyewea amelikubali jina hilo na anasema kuanzia leo amejiunga rasmi kuwa mwanachama wa Yanga.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
Tuko LIVE #AzamSports1HD.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Chalamila asema Yanga ikishinda hufurahi
- Runtime
- 0:45
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: “Young Africans ikishinda napata furaha zaidi”
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, anasema klabu za Dar es Salaam, zikishinda huwa anafurahi, lakini Yanga ikishinda hufurahi zaidi.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
#AGM #YangaSC
- Title
- MKUTANO MKUU YANGA | Jimmy Mafufu atema cheche kuhusu uchaguzi Yanga
- Runtime
- 1:39
- Date posted
- 30 days ago
- Description
- MKUTANO MKUU YANGA: Kutoka baraza la wazee la Yanga, wapo wawakilishi wao hapa ukumbini.
Ni kutokea katika viunga vya ukumbi wa The Super Dome, Masaki Dar es Salaam, ambako unafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wananchi.
#AGM #YangaSC
- Title
- Asante kwa kuitazama TAIFA CUP 2026 | AzamTV
- Runtime
- 1:29
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Dodoma, mabingwa TAIFA CUP 2026 - Wanawake | AzamTV
- Runtime
- 6:55
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Songwe, mabigwa wapya TAIFA CUP 2026 - Wanaume | AzamTV
- Runtime
- 3:54
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Fred Ngoma Wat a Pleyaa alivyosaini Yanga SC | AzamTV
- Runtime
- 1:40
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Fred Ngoma ndio Wat a Pleyaa | Atavaa jezi namba 6 Yanga | AzamTV
- Runtime
- 4:14
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TV
- Title
- VITASA | Hamadi Furahisha vs John Patrick | Dar Boxing Derby 24/07/2026
- Runtime
- 33:15
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Raundi nane za kuchakazana Hamadi Furahisha akimpiga John Patrick kwa pointi...
Ilikuwa ni Dar Boxing Derby uhondo wote ukitokea East Africa Commercial & Logistics Center, Ubungo Dar es Salaam.
#DarBoxingDerby #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaVitasa #CrownMtoaRoho #SitakiLawama @semunyu_peaktimemedia #AzamTV
- Title
- VITASA | Oscar Duge vs Haidary Mchanjo | Dar Boxing Derby 24/07/2026
- Runtime
- 40:40
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Tazama raundi zote kumi, Oscar Duge akimchapa ndondi Haidary Mchanjo kwa pointi.
Hii ni Dar Boxing Derby iliyofanyika East Africa Commercial & Logistics Center, Ubungo Dar es Salaam .
#DarBoxingDerby #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaVitasa #CrownMtoaRoho #SitakiLawama @semunyu_peaktimemedia
- Title
- Baada ya Burkina Faso, Shime aweka wazi mikakati ya kuwakabili Ivory Coast.
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars, Bakari Shime amesema kujiamini kupita kiasi kwa wachezaji, kadi nyekundu pamoja na mbinu za wapinzani ni miongoni mwa sababu zilizosababisha kikosi chake kupoteza mbale ya Burkina Faso.
Shime amesema kuelekea mechi ya mwisho ya hatua ya makundi dhidi ya Ivory Coast, benchi la ufundi litajikita kuboresha eneo la ushambuliaji ili kuongeza makali ya timu mbele ya lango.
Azam TV
- Title
- #WIKIYASIMBADAY: Msafara wa Simba umefika katika Hifadhi ya Ngorongoro, jezi mpya kuzinduliwa rasmi.
- Runtime
- 2:20
- Date posted
- 1 month ago
- Description
- Azam TV

