Azam TV
TUZO ZA BMT 2025 | Hotuba kamili ya Waziri Paul Makonda
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Hotuba kamili ya Waziri Paul Makonda
- Runtime
- 14:06
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Sikiliza mwanzo mwisho alichozungumza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na mIchezo, paul Makonda katika usiku wa tuzo za wanamichezo (Tuzo za BMT), uliofanyika The Super Dome Masaki, usiku wa Mei 09, 2026.
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Tido Mhando alamba tuzo, afichua jina lake halisi
- Runtime
- 2:49
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | Tuzo ya kwanza kabisa ni kipengele kipya kabisa kwa mwaka huu… Ni tuzo ya mwanahabari nguli na inakwenda kwa Tido Mhando.
Baada ya kupokea tuzo yake, Tido anafichua kitu kuhusu jina lake.. kumbe hilo (Tido) siyo jina lake halisi, Je, unajua jina lake ni nani?
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
#BMTAwards2025 #BMTAwards #TuzoZaBMT #NSCA2025
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Fahamu vigezo vinavyotumika kupata washindi
- Runtime
- 5:32
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | “…vigezo kimojawapo ni lazima awe raia wa Tanzania”
Neno kutoka kwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo (BMT), Neema Msitha akieleza malengo ya tuzo, mchakato wa kupata washindi, vigezo vinavyotumika kupata washindi, na sababu ya kuwepo kwa tuzo hizo.
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
#BMTAwards2025 #BMTAwards #TuzoZaBMT
- Title
- Yanga SC 3-0 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 09/05/2026
- Runtime
- 8:40
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Allan Okello amepiga chuma mbili, Yanga ikishinda 3-0 dhidi ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union.
Huu ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la KMC Complex, ambapo goli la tatu limefungwa na Maxi Nzengeli.
- Title
- Magoli makali | Yanga SC 3-0 Coastal Union | NBC Premier League 09/05/2026
- Runtime
- 3:05
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Allan Okello amepiga chuma mbili, Yanga ikishinda 3-0 dhidi ya Wagosi wa Kaya, Coastal UNion.
Huu ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la KMC Complex, ambapo goli la tatu limefungwa na Maxi Nzengeli.
Tazama magoli yote...
- Title
- Singida BS 4-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League - 09/05/2026
- Runtime
- 8:33
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya Singida BS dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa NBC Premier League.
Magoli mawili yamefungwa na Mossi Ndumumwe, goli la tatu limefungwa na Lamine Jarjou na goli la nne limewekwa kambani na Emmanuel Keyeke.
FT: Singida BS 4-0 Mtibwa Sugar
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #FountainGate #KMCFC #FountainGateKMCFC #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #SingidaBSVsMtibwaSugar #SingidaBS #MtibwaSugar
- Title
- Singida BS 4-0 Mtibwa Sugar | Magoli | NBC Premier League - 09/05/2026
- Runtime
- 4:03
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama ‘chuma’ zote nne za Singida BS ikiichapa Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa NBC Premier League.
Magoli mawili yamefungwa na Mossi Ndumumwe, goli la tatu limefungwa na Lamine Jarjou na goli la nne limewekwa kambani na Emmanuel Keyeke.
FT: Singida BS 4-0 Mtibwa Sugar
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #FountainGate #KMCFC #FountainGateKMCFC #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #SingidaBSVsMtibwaSugar #SingidaBS #MtibwaSugar
- Title
- WEDNESDAY NIGHT 29/04/2026 | Madini ya mchezo wa Taekwondo kutoka kwa raisi wa mchezo huo Tanzania.
- Runtime
- 51:37
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Raisi wa mchezo wa Taekwondo Tanzania John Massawe akielezea safari nzima ya mchezo huo, changamoto na malengo ya mchezo huu ambao asili yake ni Korea Kusini na Korea Kazikazini.
Patrick Nyembera kwenye Wednesday Night Live ambayo hukujia kila Jumatano saa 1:30 usiku #AzamSports3HD
- Title
- Ibenge atoa neno baada ya kufungwa na TRA United
- Runtime
- 1:03
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- TRA UNITED vs AZAM FC: “Hongera kwa TRA”
Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema walianza mechi vizuri japo baadae wakasahau kucheza mpira na kuwaacha TRA United wakienda kushambulia.
Ibenge anasema TRA United walifanikiwa zaidi kwenye mipira ya juu.
Azam FC imepoteza kwa jumla ya magoli 4-1 dhidi ya wenyeji wao TRA United.
Kocha wa TRA United, Etienne Ndayiragije, ametoa neno baada ya ushindi
#TRAUnited #AzamFC
- Title
- Coastal Union wanazitaka alama tatu kutoka kwa Yanga SC, NBC Premier League
- Runtime
- 0:59
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- YANGA vs COASTAL UNION: “Inawezekana kupata matokeo”
Afisa Habari wa Coastal Union, Hussein Mchomvu anasema mchezo wao wa kesho Mei 09, 2026, dhidi ya Yanga SC, sio mwepesi japo kwa namna walivyojiandaa, wanaweza kupata matokeo.
Mechi hiyo itapigwa saa 12:30 jioni na itakuwa LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #Yanga #CoastalUnion
- Title
- Namungo FC 0-0 Mashujaa FC | Highlights | NBC Premier League - 08/05/2026
- Runtime
- 5:59
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi kati ya Namungo dhidi ya Mashujaa FC.
Mechi imemalizika kwa suluhu.
- Title
- TRA United 4-1 Azam FC | Highlights | NBC Premier League - 08/05/2026
- Runtime
- 13:35
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya TRA United dhidi ya Azam FC
FT: TRA United 4-1 Azam FC
Magoli ya TRA United yamefungwa na Ally Ng'azi, Ammy Mapaka na Ramadhan Salum 'Chobwedo'
Goli la Azam FC limefungwa na Jephte Kitambala Bola.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TRAUnitedvsAzamFC #TRAUnited #AzamFC #TRAUnitedAzamFC
- Title
- TRA United 4-1 Azam FC | 'Tuvituvitu' vya Chobwedo mbele ya Azam FC
- Runtime
- 2:19
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama ‘vionjo’ vya Ramadhan Salum ‘Chobwedo’ alivyovifanya kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya TRA United dhidi ya Azam FC.
FT: TRA United 4-1 Azam FC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TRAUnitedvsAzamFC #TRAUnited #AzamFC #TRAUnitedAzamFC
- Title
- TRA United 4-1 Azam FC | Magoli | NBC Premier League - 08/05/2026
- Runtime
- 6:49
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote matano yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati TRA United dhidi ya Azam FC.
FT: TRA United 4-1 Azam FC
Magoli ya TRA United yamefungwa na Ally Ng'azi, Ammy Mapaka na Ramadhan Salum 'Chobwedo'
Goli la Azam FC limefungwa na Jephte Kitambala Bola.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TRAUnitedvsAzamFC #TRAUnited #AzamFC #TRAUnitedAzamFC
- Title
- NYAVUNI 07/05/2026 | Magoli 10 bora na save kali Ligi Kuu ya NBC Mei, 2026.
- Runtime
- 13:52
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Tazama magoli kumi bora na save kali kwenye mechi za Ligi Kuu ya NBC zilizopigwa Mei, 2026.
Clatous Chama, Ismail Mgunda na Joseph Akandwanaho ndiyo yamechukua nafasi tatu za juu.
Mkali wetu wa wiki ni Clatous Chama wa Simba SC.
Kipindi hiki huruka kila Alhamis #AzamSports1HD
Usikose #Nyavuni kila Alhamisi saa 4:00 usiku
- Title
- JKT TANZANIA vs MBEYA CITY | Je alama tatu zitasalia Isamuhyo au zinaenda Mbeya?
- Runtime
- 1:04
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Kocha wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema timu hiyo imejiendaa kurudi Mbeya na ushindi.
Kocha Mayanga ameeleza kuwa timu hiyo imemuacha mchezaji mmoja pekee anayekabiliwa na majerahaa.
Mchezaji wa timu hiyo, Sudi Dondora amesema wamekuja kupambana kujinasua katika nafasi waliyopo, hivyo watacheza kwa tahadhari kwa kuheshimu ubora wa mpinzani wao.
Mchezo huu utaruka mubashara saa 2:30 usiku kupitia #AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.
- Title
- JKT TANZANIA vs MBEYA CITY | NBC Premier League.
- Runtime
- 0:50
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Kocha msaidizi wa JKT Tanzania, Raymond Dotto amesema kikosi cha timu hiyo kimejiandaa vema kukabiliana na Mbeya City wakiheshimu ubora wao katika nyakati zote watakazokuwa uwanjani.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo, Ally Msengi amesema wamerekebisha makosa yaliyofanywa kwenye mchezo uliopita na kuboresha yale mazuri waliyoonesha.
Mchezo huu utaruka mubashara saa 2:30 usiku kupitia #AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu
- Title
- YANGA SC vs COASTAL UNION: “Yanga wakiuliza maswali Coastal watayajibu”.
- Runtime
- 1:30
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Kocha wa Coastal Union, Fikiri Elias amesema mchezo wa kesho utakuwa mgumu kutokana na uimara wa vikosi vyote viwili.
Kocha huyo amesema kikosi chake hakitaundea mchezo huo kinyonge hivyo wapinzani wake wajiandae kuulizwa maswali ambayo watapaswa kujibu.
Naye Mchezaji wa timu hiyo, Jofrey Manyasi amesema timu yao inahitaji alama tatu muhimu hivyo wachezaji wapo katika morali kuhakikisha wanapata ushindi.
Mchezo huu utaruka mubashara saa12:15 jioni kupitia #AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.
- Title
- YANGA SC vs COASTAL UNION: “Tunaenda kutoa kila tulichonacho…”-Kocha wa Yanga SC.
- Runtime
- 1:23
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Abdihamid Moalin akielezea namna ambavyo kikosi chake kimejiandaa kuwakabili Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa kesho Mei 9,2026.
Kocha huyo amesema kikosi cha timu hiyo kimejiandaa kupambana kumiliki kwa dakika zote tisini za mchezo.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo, Abutwalib Mshery amesema mwalimu Moalin anawafahamu vema, hivyo kesho watatekeleza kile alichowapa kwenye uwanja wa mazoezi ili kupata ushindi katika mchezo huo.
Mchezo huu utaruka mubashara saa12:15 jioni kupitia #AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.
- Title
- VIWANJANI | Uchambuzi wa goli la Pacome Zouzoua 'Yanga SC vs Mbeya City'
- Runtime
- 4:33
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- VIWANJANI: Goli lililofungwa na Pacome Zouzoua, miongoni mwa goli bora katika Ligi Kuu ya NBC....!
''...transition ya Pacome kuanzia mwanzo hadi kufika lango la mpinzani linafanya kuwa goli bora'', Mchambuzi wa soka, @michaelhyera_ akieleza sababu za ubora wa goli hilo.
Hii ilikuwa Yanga SC vs Mbeya City
Imeandaliwa na Katherini Shirima
Mhariri | @rajjmsangi
#Viwanjani #YangaSC
- Title
- VIWANJANI | Uchambuzi wa goli bora la Clatous Chama ' Dabi ya Kariakoo'
- Runtime
- 3:30
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- VIWANJANI: Miongoni mwa mabao bora ya Ligi Kuu ya NBC ni hili hapa la Simba SC kutoka kwake Clatous Chama....
Mchambuzi wa soka, @akingamkono_ anasema hili ni miongoni mwa goli bora, kutokana pia na kuendelea kuzungumza maeneo mengi ndani na nje ya nchi.
Hii ilikuwa derby ya Kariakoo Simba SC vs Yanga SC
Imeandaliwa na Katherini Shirima
Mhariri | @rajjmsangi
#Viwanjani #SimbaSC
- Title
- MSHIKEMSHIKE | 07/05/2026
- Runtime
- 50:53
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Kakamega Homeboyz 0-1 Gor Mahia | Highlights | SportPesa League Kenya 03/05/2026
- Runtime
- 6:50
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Goli la kujifunga kupitia kwa Peter Thiongo dakika za jioooooooooni ndilo ushindi kwa Gor Mahia FC dhidi ya Kakamega Homeboyz.
Ni mechi ya Ligi Kuu ya Kenya #SportPesaLeague iliyopigwa kwenye Dimba la Mumias Sports Complex, Kakamega.
- Title
- Mtibwa Sugar 1-0 Dodoma Jiji | Highlights | NBC Premier League 06/08/2026
- Runtime
- 6:42
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Goli pekee kutoka kwa William Edgar limeipa pointi tatu muhimu ugenini Dodoma Jiji dhidi ya Mtibwa Sugar, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- SIMBA SC TV | 6/5/2026 | Simba SC wiki hii imeangazia mchezo wa NBC PL wa dabi ya Kariakoo .
- Runtime
- 24:36
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Kwenye Simba SC TV kubwa lililoangaziwa ni goli la mchezaji wa timu hiyo Clatous Chama alilofunga dhidi ya Yanga SC kwenye mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Mei 3,2026 na timu hizo kutoka na sare ya 2-2.
- Title
- VIWANJANI | Dodoma Jiji na alama zote tatu mbele ya mtibwa Sugar, tambo za mashabiki wa Singida BS
- Runtime
- 55:09
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Godlisten Muro na Michael hyera wanatoa mitazamo yao kuhusu klabu ya Mtibwa Sugar.
Mchambuzi wa soka @godlisten_Muro7 anasema anaamini kuimarishwa kisaikolojia wachezaji wa timu ya Mtibwa Sugar kutasababisha timu hiyo irudi katika ubora ambao ilianza nao mwanzoni mwa msimu, na kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC.
Timu hiyo ilipoteza mchezo wa Jana Mei 6,2026 mbele ya Dodoma Jiji.
Kwa upande mwingine mashabiki wa timu ya Singida BS wamesema timu yao imerejea katika nafasi ya malengo yao hivyo watasalia katika nafasi hiyo mpaka mwisho wa msimu.
- Title
- VIWANJANI | Mashabiki wa Singida BS watamba kusalia nafasi ya nne mpaka mwisho wa msimu.
- Runtime
- 2:15
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Tambo za mashabiki wa klabu ya Singida BS baada ya timu hiyo kusogea nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC.
Mashabiki hao wamesema timu yao imerejea katika nafasi ya malengo yao hivyo watasalia katika nafasi hiyo mpaka mwisho wa msimu.
- Title
- Goli la Edgar | Mtibwa Sugar 0-1 Dodoma Jiji | NBC Premier League 06/05/2026
- Runtime
- 1:21
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Goli pekee kutoka kwa William Edgar limeipa pointi tatu muhimu ugenini Dodoma Jiji dhidi ya Mtibwa Sugar, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- KMC FC 0-1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 06/05/2026
- Runtime
- 12:29
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Allan Okello amefunga goli pekee la ushindi kwa Yanga SC na kuipa ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la KMC Complex.
- Title
- Simba SC 1-0 JKT TZ | Makocha wafunguka kilichowapa ugumu, Chama azungumzia goli dhidi ya Yanga
- Runtime
- 5:22
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #NBCPL Kocha wa Simba Steve Barker anaeleza kilichosababisha mchezo huu uwe mgumu kwao licha ya ushindi, akitaja sababu mbili ambazo ni ‘Kariakoo Derby mbili back to back’ na ‘pitch’ ya Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo.
Kwa upande wake Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amechambua kilichowaponza, akitaja umakini na ubora wa wachezaji wa Simba.
Naye nyota wa mchezo, Clatous Chama ametoa neno akisema “…uwanja hauko vizuri, hatujacheza kama tulivyotarajia kucheza”.
Chama pia amezungumzia goli alilofunga katika mchezo uliopita dhidi ya Yanga akisema ni goli ambalo hakutarajia kama lingetokea, na kwamba “..kazi yangu ni kuwafurahisha mashabiki”
FT: Simba 1-0 JKT Tanzania
Inafuata Mtibwa Sugar vs Dodoma Jiji saa 2:30 usiku LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #SimbaSC #JKTTanzania #SimbaJKT
- Title
- Kauli ya mwisho ya kocha Pedro Gocalves kabla ya kutimuliwa Yanga | KMC FC 0-1 Yanga SC | 06/05/2026
- Runtime
- 2:51
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #NBCPL “Malengo yetu KMC ni lazima tusalie ligi kuu”.
Neno kutoka kwa Kocha wa KMC FC, Imani Mwalupetelo akieleza matumaini yake ya kujinasua na janga la kushuka daraja, azungumzia nafasi walizopata, awapongeza wacheza wake kutoruhusu magoli ya mapema.
Naye Kocha wa Yanga SC, Pedro Goncalves (dakika chache kabla ya kutimuliwa), amezungumzia kilichowapa ugumu, alia na umakini wa kumalizia nafasi “nyingi” walizotengeneza, asema anakwenda kulifanyia kazi tatizo hilo la umaliziaji kuelekea mchezo wao ujao.
Dakika chache baada ya mahojiano haya (baada ya mechi), ikatoka taarifa ya kocha huyu kutimuliwa Jangwani.
Nyota wa mchezo ni kiungo wa Yanga, Allan Okello ambaye anachukua tuzo yake kutoka Benki ya NBC.
FT: KMC FC 0-1 Yanga SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #KMCFC #YangaSC #KMCYanga
Edited · 7m
- Title
- Simba SC 1-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 06/05/2026
- Runtime
- 7:41
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Clatous Chota Chama akitumia vema assist kutoka kwa Elie Mpanzu amepiga goli pekee na kuipa ushindi wa bao 1-0 Simba dhidi ya JKT Tanzania.
Ni mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kukufikia mbashara kupitia Azam Sports 1 HD.
- Title
- Goli la Chama | Simba SC 1-0 JKT Tanzania | NBC Premier League 06/05/2026
- Runtime
- 1:15
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Clatous Chota Chama akitumia vema assist kutoka kwa Elie Mpanzu amepiga goli pekee na kuipa ushindi wa bao 1-0 Simba dhidi ya JKT Tanzania.
Ni mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kukufikia mbashara kupitia Azam Sports 1 HD.
- Title
- Goli la Okello | KMC FC 0-1 Yanga SC | NBC Premier League 06/05/2026
- Runtime
- 1:23
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Allan Okello amefunga goli pekee la ushindi kwa Yanga SC na kuipa ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la KMC Complex.
Tazama goli lenyewe likipatikana dakika ya 65
- Title
- Fountain Gate 3-2 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 05/05/2026
- Runtime
- 6:53
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #NBCPL Magoli yote matano, Coastal Union wakipokea kichapo baada ya kuchokoza nyuki dakika ya 2 kupitia kwa Shiza Kichuya.
Magoli ya Fountain Gate yamefungwa na Chukwunonye MacDonald, Henry David na Ismail Kader, wakati Meshack Mwamita akifunga la pili kwa Coastal Union dakika za nyongeza.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC.
FT: Fountain Gate FC 3-2 Coastal Union FC
- Title
- AZAM FC TV | 05/05/2026 | Matukio muhimu baada ya kuchukua alama tatu mbele ya Mtibwa Sugar.
- Runtime
- 26:12
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Azam FC TV wiki hii imeangazia ubora wa kocha wa timu hiyo, Florent Ibenge na namna alivyoelekeza ushindi wao dhidi ya Mtibwa Sugar kwa mashabiki wa timu hiyo ambao wapo Tanzania na wale waliopo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Kubwa lingine wiki hii ni shabiki kindakindaki wa timu hiyo, Rajen Ndoshi kutoa zawadi ya pesa kwa wachezaji baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi dhidi ya Mtibwa Sugar.
- Title
- UCHAMBUZI KUHUSU MASHUJAA KUIBUKA NA USHINDI MWEMBAMBA WA GOLI 1 NA ALAMA ZOTE TATU.
- Runtime
- 14:09
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Mchambuzi wa Soka Andrew Kingamkono akieleza namna ambavyo Mashujaa FC imebakiza alama zote tatu nyumbani.
Amesema kupitia ushindi huo umewasogeza pazuri zaidi katika msimamo wa Ligi Kuu ya NBC na kuondoka kwenye hatari ya kushuka daraja.
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 05/05/2026
- Runtime
- 54:09
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Azam FC 1-0 Namungo FC | Highlights | NBC Premier League 05/05/2026
- Runtime
- 8:38
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Azam FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Goli pekee la mchezo limefungwa na kiungo Feisal Salum dakika ya 42 kwa penati huku Namungo nao wakipoteza mkwaju wa penati iliyopigwa na Fabrice Ngoy na kudakwa na golikipa Zuberi Foba.
- Title
- Penati mbili, goli moja | Azam FC 1-0 Namungo FC | NBC Premier League 05/05/2026
- Runtime
- 3:17
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Azam FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Goli pekee la mchezo limefungwa na kiungo Feisal Salum dakika ya 42 kwa penati huku Namungo nao wakipoteza mkwaju wa penati iliyopigwa na Fabrice Ngoy na kudakwa na golikipa Zuberi Foba.
- Title
- Singida BS 3-1 Pamba Jiji | Highlights | NBC Premier League 05/05/2026
- Runtime
- 9:20
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Mossi Ndumumwe amepiga mawili na kutengeza moja, Horso Muaku amepiga moja na Henry Lutonja amefuta sifuri na kuwapa Pamba la kufutia machozi, akipiga bonge la bao.
Mwisho wa game, Singida wanaibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Pamba Jiji FFC kwenye Dimba la Airtel, Singida.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
- Title
- Ligi ya Wilaya ya Mkinga yaanza kutimua vumbi; Mbunge aja na mikakati kuhusu waamuzi
- Runtime
- 2:20
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- MWAKIOJA: “Tunawekeza pia kwenye mafunzo ya marefarii”.
Ligi ya soka ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imezinduliwa rasmi ikitarajia kushirikisha jumla ya timu 48 kutoka tarafa za Mkinga na Maramba.
Malengo makuu ya ligi hiyo iliyodhaminiwa na Mbunge wa Mkinga, Twaha Mwakioja, ni kusaka na kuinua vipaji vya vijana ili wpate fursa ya kuendelezwa.
Mashindano hayo yatachezwa kwenye viwanja vinane vilivyopo kwenye kata mbalimbali zilizopo wilayani humo.
Akizungumza katika uzinduzi rasmi wa ligi hiyo, Mwakioja ameweka bayana mikakati yake ya kukuza vipaji na kupata waamuzi pamoja na makocha wenye viwango ndani ya wilaya hiyo.
Hii hapa taarifa kamili…
- Title
- Magoli | Fountain Gate FC 3-2 Coastal Union | NBC Premier League 05/05/2026
- Runtime
- 4:59
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- #NBCPL Magoli yote matano, Coastal Union wakipokea kichapo baada ya kuchokoza nyuki dakika ya 2 kupitia kwa Shiza Kichuya.
Magoli ya Fountain Gate yamefungwa na Chukwunonye MacDonald, Henry David na Ismail Kader, wakati Meshack Mwamita akifunga la pili kwa Coastal Union dakika za nyongeza.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC.
FT: Fountain Gate FC 3-2 Coastal Union FC
- Title
- Magoli yote | Singida BS 3-1 Pamba Jiji | NBC Premier League 05/05/2026
- Runtime
- 4:15
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Mossi Ndumumwe amepiga mawili na kutengeza moja, Horso Muaku amepiga moja na Henry Lutonja amefuta sifuri na kuwapa Pamba la kufutia machozi, akipiga bonge la bao.
Mwisho wa game, Singida wanaibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Pamba Jiji FFC kwenye Dimba la Airtel, Singida.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
- Title
- VIWANJANI: Uchambuzi baada ya Dabi ya Mbeya kumalizika, ushindi kwa Mbeya City
- Runtime
- 18:08
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- VIWANJANI: Ni Singida BS au Pamba Jiji kubeba alama tatu leo?
- Runtime
- 10:22
- Date posted
- 20 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 04/05/2026
- Runtime
- 47:00
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Tanzania Prisons 1-2 Mbeya City | Highlights | Mbeya Derby | NBC PL 04/05/2026
- Runtime
- 7:53
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- MBEYA DERBY: Marco Mhilu amejifunga goli dakika ya 57 na kuwa goli la ushindi kwa Mbeya City ambao wameichapa Tanzania Prisons mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliochezwa Sokoine Stadium, Mbeya.
Waliotangulia kupata bao walikuwa ni Mbeya City kupitia kwa Eliud Ambokile, kabla ya Emmanuel Martin kuichomolea Prisons dakika ya 33.
- Title
- Mashujaa FC 1-0 TRA United | Highlights | NBC Premier League 04/05/2026
- Runtime
- 5:52
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- TRA United imekula mweleka kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, kwa kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao, Mashujaa FC.
Goli pekee la ushindi limewekwa nyavuni na straika Ismail Mgunda dakika ya 37.
Tazama highlights..
- Title
- Magoli | Tanzania Prisons 1-2 Mbeya City | NBC Premier League 04/05/2026
- Runtime
- 2:52
- Date posted
- 21 days ago
- Description
- MBEYA DERBY: Marco Mhilu amejifunga goli dakika ya 57 na kuwa goli la ushindi kwa Mbeya City ambao wameichapa Tanzania Prisons mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliochezwa Sokoine Stadium, Mbeya.
Waliotangulia kupata bao walikuwa ni Mbeya City kupitia kwa Eliud Ambokile, kabla ya Emmanuel Martin kuichomolea Prisons dakika ya 33.
Haya hapa magoli yote...

