Azam TV
Yanga u20 2-0 Mbeya City U20 | Magoli | NBC Youth League - 25/06/2026
- Title
- Yanga u20 2-0 Mbeya City U20 | Magoli | NBC Youth League - 25/06/2026
- Runtime
- 2:02
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCU20PL Tazama chuma zote mbili za Yanga U20 ikiichapa Mbeya City U20, kwenye mchezo uliopigwa katika dimba la KMC Mwenge, Dar es Salaam.
Wafungaji ni Ally Saleh na Ibrahim Kazimoto.
FT: Yanga U20 2- Mbeya City U20
#LigiKuuVijanaU20 #NBCYouthLeague #NBCU20PLTop8 #YangaU20VsMbeyaCityU20 #MtibwaSugarU20VsMashujaaU20
- Title
- TRA United 1-1 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League - 24/06/2026
- Runtime
- 7:07
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCPL Penati mbili; Magoli mawili; Sare kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Wafungaji ni Nasry Kombo na Maabad Maulid Maabad.
FT: TRA United 1-1 Coastal Union (Kombo 54’p / Maabad 68’p)
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #TRAUnited #CoastalUnion #TRAUnitedCoastalUnion
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Kamwe adai watakwenda Pemba fainali CRDB Bank Federation Cup
- Runtime
- 17:18
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Tazama yale ambayo yametikisa mitandao ya kijamii ikiwemo Kamwe kutangaza kwenda Pemba kwenye mchezo wa fainali ya CRDB Bank Federation Cup kati ya Simba Vs Azam FC
- Title
- Azam FC TV | Azam FC iliyvotakata mbele ya Yanga SC, Himid aongeza Kandarasi kusalia Azam FC.
- Runtime
- 25:58
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Azam FC TV wiki hii imeangazia mambo matatu makuu,ikiwa ni pamoja na mchezaji wa kikosi hicho Himid Mao alivyoongeza kandarasi ya kusalia kwenye timu hiyo, ushindi dhidi ya Mashujaa na hatua ya ushindi dhidi ya Yanga SC kwenye mchezo wa CRDB Bank Federation Cup.
- Title
- Simba SC na Yanga SC ushindi wa mabao 3 kila mmoja, mbio za ubingwa zaendelea kupamba moto .
- Runtime
- 53:29
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Uchambuzi wa kina kutoka kwa wachambuzi Deotraphe Kiungai na Iddy Nonga kuhusu mechi za NBC PL zilizopigwa Juni 24, 2026.
Deotraphe akizungumzia mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Mtibwa Sugar, amesema Simba imeonesha mabadiliko ya kiuchezaji, ikiwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za mabao na kufunga tofauti na mechi za mzunguko wa kwanza wa msimu.
Amesma kuwa Yanga SC hawakubahatisha magoli yao bali ni matokeo ya maandalizi na mazoezi ya mipira ya kutenga waliyoyafanya kwenye uwanja wa mazoezi.
- Title
- SIMBA SC TV | Ushindi dhidi ya Coastal Union CRDB Bank Federation Cup ulivyoipeleka Simba SC fainal.
- Runtime
- 25:23
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Simba SC TV wiki hii inaangazaia mchezo wa CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Coastal Union ambapo utashuhudia matukio ya mchezo wa CRDB Bank Federation Cup kati ya Simba SC dhidi Coastal Union.
utashuhudia namna Wekundu wa Msimbazi walivyopambana kusaka tiketi ya kuelekea fainali katika mchezo huo uliokuwa na presha na ushindani
Simba iliibuka na ushindi wa 4-0 dhidi ya Coastal Union na kutinga fainali ya mashindano hayo.
- Title
- Afrika Kusini wametoboa hatua ya 32 bora, Sikiliza nondo za uchambuzi hizi hapa
- Runtime
- 1:49
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Nondo za @james_samwel31 baada ya Afrika Kusini kutinga hatua ya 32 bora kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.
FT: Afrika Kusini 1-0 Korea Kusini
FT: Czechia 0-3 Mexico
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #AfrikaKusiniKoreaKusini #CzechiaMexico
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Morocco yaitandika Haiti mabao 4-2, Sikiliza uchambuzi huu hapa
- Runtime
- 6:43
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Tathmini ya Dkt. Leaky baada ya Uswisi na Canada kusonga mbele
- Runtime
- 4:07
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Tathimini ya Dkt. Leaky Abdallah na Godilisten Muro kwenye dakika 90 za michezo miwili kwenye kondi B iliyomalizika kwa Canada na Uswisi kwenda hatua ya 32 bora.
Dkt. Leaky anasema hata kushindwa kwa timu zingine kumeongeza uzoefu ya michuano hiyo.
FT: Uswisi 2-1 Canada
FT: Bosnia 3-1 Qatar
Inafuata Morocco vs Haiti, Scotland vs Brazil LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #SwitzerlandCanada #BosniaQatar
- Title
- TFF & KTO zashirikiana 'kuwapika' watakaoibua vipaji vya soka
- Runtime
- 3:00
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na Taasisi Karibu Tanzania (KTO) zimehitimisha mafunzo ya siku tano ya ukufunzi wa mpira wa miguu ngazi ya awali (Grassroot) yaliyofanyika katika chuo cha maendeleo ya wananchi, Geza Kigamboni Dar es Salaam
Jumla ya washiriki 15 wamehitimu mafunzo hayo yaliyolenga kuwajengea uwezo wa kusimamia na kuendeleza soka la watoto kwa viwango vya msingi.
Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya TFF, Baraka kizuguto amewataka wahitimu kutumia maarifa na ujuzi walioupata kuibua vipaji, kuendeleza michezo na kuwajenga watoto wa kike na wa kiume ili waweze kufikia ndoto zao kupitia soka.
Kwa upande wake, Mkurugenzi KTO, Maggid Mjengwa, amesema mafunzo hayo ni sehemu ya utekelezaji wa programu ya ‘Mpira Fursa’ inayolenga kupanua fursa za maendeleo kupitia michezo, kuimarisha malezi ya vipaji na kuchochea maendeleo ya sekta ya michezo nchini.
Baadhi ya wahitimu wa ma...
- Title
- Fountain Gate 0-1 Mashujaa FC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 7:41
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Hussein Mihambo ameifungia Madhujaa FC goli pekee na ushindi katika mchezo wa raundi ay 28, Ligi Kuuya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Black Rhino, Karatu, Arusha.
Tazama Highlights
- Title
- Dodoma Jiji 0-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 24//06/2026
- Runtime
- 6:33
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Dodoma Jiji FC wamebanwa mbavu na JKT Tanzania kwenye dimba la Jamhuri Dodoma, mechi ikimalizika bila goli....
Hii ni Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28.
Tazama highlights..
- Title
- Singida BS 3-1 Tanzania Prisons | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 6:32
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- #NBCPL Mossi Nduwumwe amepiga mawili na hivyo kufikisha mabao 14 kwenye ligi msimu huu….
Goli la lingine limetoka kwa Kennedy Juma, huku la kufutia machozi likifungwa na Sengati.
FT: Singida BS 3-1 TZ Prisons.
- Title
- Pamba Jiji 0-2 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 7:26
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Eliud Ambokile amepiga magoli mawili, Mbeya City ikishinda 2-0 ugenini kwenye Dimba la CCM Kirumba, dhidi ya Pamba Jiji FC.
Hii ni mechi ya raundi ya 28, Ligi Kuu ya NBC ...
- Title
- Yanga 3-0 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 10:53
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28 (bado mbili tu)
Tazama highlights
- Title
- Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 10:27
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 ugenini kwenye Dimba la Jamhuri Morogoro dhidi ya Mtibwa Sugar...
Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Rushine de Reuck kwa penati, Selemani Mwalimu na Anicet Oura...
Hii ni Ligi Kuuya NBC #NBCPremierLeague
- Title
- Magoli | TRA United 1-1 Coastal Union | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 3:00
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- #NBCPL Penati mbili; Magoli mawili; Sare kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Wafungaji ni Nasry Kombo na Maabad Maulid Maabad.
FT: TRA United 1-1 Coastal Union (Kombo 54’p / Maabad 68’p)
- Title
- Magoli | Singida BS 3-1 Tanzania Prisons | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 3:23
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- #NBCPL Mossi Nduwumwe amepiga mawili na hivyo kufikisha mabao 14 kwenye ligi msimu huu….
Goli la lingine limetoka kwa Kennedy Juma, huku la kufutia machozi likifungwa na Sengati.
Tazama magoli yote manne…
FT: Singida BS 3-1 TZ Prisons.
- Title
- Magoli ya Ambokile | Pamba Jiji 0-2 Mbeya City | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 1:38
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Eliud Ambokile amepiga magoli mawili, Mbeya City ikishinda 2-0 ugenini kwenye Dimba la CCM Kirumba, dhidi ya Pamba Jiji FC.
Hii ni mechi ya raundi ya 28, Ligi Kuu ya NBC ...
- Title
- Magoli | KMC FC 2-3 Namungo FC | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 4:48
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- HATTRICK | Fabrice Ngoy amepiga hattrick dhidi, Namungo FC ikishinda 3-2 dhidi ya KMC kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam.
Ngoy amepiga magoli yake matatu dakika ya 18’, 24’ na 52’ huku KMC FC wakipata mabao yao kupitia kwa Erick Mwijage na Mohamed
Tazama magoli yote...
- Title
- Goli pekee la Mashujaa dhidi ya Fountain Gate (0-1) | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 1:01
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Hussein Mihambo ameifungia Madhujaa FC goli pekee na ushindi katika mchezo wa raundi ay 28, Ligi Kuuya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Black Rhino, Karatu, Arusha.
Hili hapa goli.....
- Title
- Magoli | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 3:59
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 ugenini kwenye Dimba la Jamhuri Morogoro dhidi ya Mtibwa Sugar...
Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Rushine de Reuck kwa penati, Selemani Mwalimu na Anicet Oura...
Hii ni Ligi Kuuya NBC #NBCPremierLeague
- Title
- Magoli | Yanga SC 3-0 Azam FC | NBC Premier League 24/06/2026
- Runtime
- 4:37
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua.
Haya hapa magoli yote...
- Title
- Uchambuzi | Mechi nane za NBC Premier League kutimua vumbi leo katika viwanja tofauti.
- Runtime
- 32:59
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Wachambuzi Iddy Nonga na Andrew Kingamkono wameleza kuwa mechi zilizobaki za NBC Premier League zina ushindani kwa sababu zinaathiri moja kwa moja mbio za ubingwa na vita ya kumaliza katika nafasi nne za juu.
Nonga amesisitiza umuhimu wa maandalizi ya kisaikolojia na presha ya matokeo katika hatua za mwisho za msimu, akieleza kwamba timu zinazocheza mechi za maamuzi zinahitaji umakini ili kufikia malengo yao.
- Title
- DR Congo yapoteza mbele ya Colombia, sikiliza uchambuzi wa James Samwel
- Runtime
- 2:17
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 ''njia ya Colombia ilikuwa inaonekana toka mwanzo'', Mchambuzi wa soka, @james_samwel31 akitoa tathmini yake ya dakika 90 kwenye mchezo kati ya Colombia vs DR Congo.
FT: Colombia 1-0 DR Congo
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ColombiaDRCongo
- Title
- Uchambuzi wa Mbwaduke baada ya Panama kupoteza mbele ya Croatia
- Runtime
- 1:10
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 ''Panama walistahili wangekuwa wanaongoza'', Mchambuzi wa Soka, Ramadhan Mbwaduke akieleza tathmini ya kipindi cha kwanza ambapo anasema kasi ya ushambuliaji ya Panama walistahili kuwa mbele ya wapinzani wao.
Panama 0-0 Croatia
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #PanamaCroatia
- Title
- Dodoma Jiji 1-2 Simba SC | Highlights | NBC U20 Premier League 23/06/2026
- Runtime
- 6:56
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20: Timu ya vijana ya Simba U20 imepata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya vijana wa Dodoma Jiji, katika muendelezo wa nane bora ligi ya vijana U20 inayorindima Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Simba yammefungwa na Adolf Hamis, Chrispin Posta, huku Dodoma wakipata goli lao kupitia kwa Kibwana Kondo .
- Title
- Azam FC 2-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC U20 Premier League 23/06/2026
- Runtime
- 6:31
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20 | Azam FC U20 imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ay JKT Tanzania katika muendelezo wa fainali za ligi ya vijana Nane Bora, inayorindika Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam yamefungwa na Athuman Shilla 30' na Abdallah Mkude 88'
- Title
- Ronaldo aweka rekodi ya ajabu Kombe la Dunia | Portugal vs Uzbekistan | Half-Time Analysis (English)
- Runtime
- 3:56
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 “Six is the perfect number for Cristiano Ronaldo”
Chiko anauanza uchambuzi wa kipindi cha kwanza kwa kukupa rekodi ya kutisha kuhusu Cristiano Ronaldo, baada ya kutikisa nyavu kwenye mechi hii…
Huyu ndiye binadamu pekee kufunga goli kwenye fainali sita za Kombe la Dunia…..
Je, nani kama Ronaldo???
55’: Ureno 3-0 Uzbekistan
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Dawati la uchambuzi kuelekea mechi ya Portugal vs Uzbekistan (English)
- Runtime
- 4:58
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Kuelekea mechi za leo, hivi ndivyo tunavyolifungua dawati la uchambuzi kwa lugha ya Kiingereza… Chiko Lawi akiwa na jopo lake la uchambuzi wanakualika.
Ya kwanza leo ni Ureno vs Uzbekistan, saa 2:00 usiku
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
- Title
- Can you be Messi? - Meena Ally ataja vigezo kama ukitaka kuwa Lionel Messi | (MZUKA - 23/06/2026)
- Runtime
- 2:10
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | Can you be Messi….!!!????
Meena Ally anaanza kwa kutaja vigezo ambavyo vinaweza kukufanya uwe Lionel Messi. Hebu visikilize kwa makini, halafu sema ni kipi unakiweza?
Hii ni #MzukaWaKombeLaDunia kuelekea mechi za leo…., ndani ya studio ni @justinekessytz na Dr. Leaky Abdallah.
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26
- Title
- Magoli | Azam FC 2-0 JKT Tanzania | NBC U20 Premier League 23/06/2026
- Runtime
- 2:29
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20 | Azam FC U20 imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ay JKT Tanzania katika muendelezo wa fainali za ligi ya vijana Nane Bora, inayorindika Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Azam yamefungwa na Athuman Shilla 30' na Abdallah Mkude 88'
- Title
- Magoli | Dodoma Jiji 1-2 Simba SC | NBC U20 Premier League 23/06/2026
- Runtime
- 3:16
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20: Timu ya vijana ya Simba U20 imepata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya vijana wa Dodoma Jiji, katika muendelezo wa nane bora ligi ya vijana U20 inayorindima Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Simba yammefungwa na Adolf Hamis, Chrispin Posta, huku Dodoma wakipata goli lao kupitia kwa Kibwana Kondo .
Tazama magoli...
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Norway wamnasa mtangazaji Peter Otai
- Runtime
- 0:41
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Erling Haaland na wenzake wa Norway wanatuharibia vijana wetu huku mtaani…tazama anachokifanya Mzee wa Byutybyuty @peterotaiofficial
FT: Norway 3-2 Senegal
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #NorwaySenegal
- Title
- Simba 4-0 Coastal Union | All Goals | English Commentary | CRDB Bank Fed. Cup 20/06/2026
- Runtime
- 4:28
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Magoli yote manne kama yalivyotangazwa na Bernard Otieno kwa lugha ya Kiingereza.
Ilikuwa ni nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank, iliyopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha...
- Title
- Meena Ally aifungua 'Mzuka' kwa mzuka wa methali na semi za Kiswahili 22/06/2026
- Runtime
- 1:57
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- MZUKA WC2026 | “Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na……”
Ndivyo anavyotufungulia show @meena_ally , akija na methali kadhaa za Kiswahili akisema eti ‘uchungu wa mwana aujuaye Doku’….
Meena anaana kwa kutuonesha kile walichokifanya mashabiki wa Saudi Arabia baada ya kula kichapo kutoka kwa Hispania.
Ni madini ya #MzukaWaKombeLaDunia kuelekea mechi za leo…., ndani ya studio ni @justinekessytz na @zuberi_mkalaboko
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTVAzam TV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Gamondi azichambua dakika 45 za kwanza, Argentina vs Austria
- Runtime
- 4:18
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Baada ya kupiga goli lake la 17, hakuna habari nyingine zaidi ya Lionel Messi…
Hiyo ndiyo habari anayoichambua Kocha wa Taifa Stars, Angel Miguel Gamondi ambaye ni raia wa Argentina…
…na hiyo ndiyo habari aliyonayo @chikolawi kwa Anthony Kimani ambaye anazidadavua takwimu za kipindi cha kwa…
50’: Argentina 1-0 Austria
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ArgentinaAustria
- Title
- ''Wachezaji siyo roboti'' - Kocha Gamondi azungumzia mbio za ubingwa wa NBC PL
- Runtime
- 2:00
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- GAMONDI: "..Wachezaji siyo roboti"
Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi anaweka mtazamo wake kuhusu mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga, Simba, na Azam FC.
Katika maoni yake, Gamondi anaguswa na ufinyu wa muda kati ya mechi na mechi, akieleza jinsi unavyoweza kuathiri malengo ya timu.
FT: Argentina 2-0 Austria
Inafuata Ufaransa vs Iraq saa 6:00 usiku LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ArgentinaAustria
- Title
- KOMBE LA DUNIA 20226 | Messi avunja rekodi yake Kombe la Dunia? Msikilize Chikawe
- Runtime
- 1:51
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026: Kocha Gamondi alivyokichambua kikosi cha Argentina
- Runtime
- 9:48
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Surprise………!!!!!
Leo kwenye dawati la Kiingereza, yupo Angel Miguel Gamondi, kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars.
Hii ni sehemu tu ya uchambuzi wake upande wa mbinu za kiufundi kwa timu zote mbili.. (tactical analysis).
Chiko anaanza kwa kutaja wasifu wa kocha huyu raia wa Argentina ambaye amewahi pia kuinoa Yanga..
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ArgentinaAustria
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Hivi ndivyo jopo lilivyofunguliwa na Fatma Chikawe
- Runtime
- 3:30
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Fatma Chikawe anakujuza usilolijua kuhusu rekodi iliyowekwa na Lionel Messi kwenye kipindi cha kwanza cha mchezo huu…..
46’: Argentina 1-0 Austria
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ArgentinaAustria
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Namna Chiko Lawi alivyofungua mtanange wa uchambuzi
- Runtime
- 4:40
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: “What a day for Afrika…..”;
Sikiliza Chiko Lawi anavyolianzisha dawati la uchambuzi kwa lugha ya Kiingereza kupitia Azam Sports 4 HD kuelekea mechi za leo, tukianza na mechi inayomuhusu Lionel Messi.
Dawatini leo sura mpya ni nyota wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya, Anthony Kimani….
Hili hapa…
Tuko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ArgentinaAustria
- Title
- MIZUKA YA MZUKA | Mjadala wa Messi wa kufunga mchezo wa leo
- Runtime
- 1:55
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- MIZUKA YA MZUKA | “..kwani haiwezekani Messi kutokufunga?”
Ni sehemu ya ubishi wa Justine Kessy kuhusu Lionel Messi kabla ya mchezo dhidi ya Austria.. ..
Mwisho wa yote, kila mtu kachagua timu yake katika mechi nne zijazo, na show ikamalizika kwa darasa la ku-dansi, mwalimu akiwa ni Zuberi Mkalaboko.
Ni madini ya #MzukaWaKombeLaDunia kuelekea mechi za leo…., ndani ya studio ni @justinekessytz na @zuberi_mkalaboko
#MzukaWC2026 #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Mtibwa Sugar 0-1 Mbeya City | Highlights | U20 Premier League 22/06/2026
- Runtime
- 5:41
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Musa Said ndiye aliyepeleka msiba Mtibwa Sugar, akiifungia Mbeya City goli pekee la ushindi katika mchezo wa ligi ya vijana U20, hatua ya nane bora inayoendelea Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Yanga SC 1-0 Mashujaa FC | NBC U20 Premier League 22/06/2026
- Runtime
- 5:20
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20 | Goli pekee la Ibrahim Kazimoto, ndiyo ushindi wa 1-0 Yanga U20 dhidi ya Mashujaa U20, katika fainali za nane bora Ligi ya vijana inayopigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Goli | Mtibwa Sugar 0-1 Mbeya City | NBC U20 Ppremier League 22/06/2026
- Runtime
- 1:15
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Musa Said ndiye aliyepeleka msiba Mtibwa Sugar, akiifungia Mbeya City goli pekee la ushindi katika mchezo wa ligi ya vijana U20, hatua ya nane bora inayoendelea Azam Complex, Chamazi.
- Title
- Goli | Yanga SC 1-0 Mashujaa FC | NBC U20 Premier League 22/06/2026
- Runtime
- 1:08
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- LIGI YA VIJANA U20 | Goli pekee la Ibrahim Kazimoto, ndiyo ushindi wa 1-0 Yanga U20 dhid ya Mamshujaa U20, katika fainali za nane bora Ligi ya vijana inayopigwa Azam Complex, Chamazi.
- Title
- CRDB Bank Federation Cup | Sauti ya Mpenja yaunguruma katika jiji la miamba
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #DarDerby: Msikie Mwamba wa Umalila @baraka_mpenja alivyoifungua mechi ya nusu fainali kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC iliyopigwa katika jiji la miamba Mwanza.
Ni mtanange wa #CRDBBankFederationCup uliopigwa jana Juni 21, 2026 katika dimba la CCM Kirumba.
FT: Azam FC 3-2 Yanga SC.
#CRDBFederationCup #AzamYanga #DarEsSalaamDerby
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Zakazakazi amuweka kikaangoni Ally Kamwe
- Runtime
- 16:38
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli ya Kiingereza | Azam 3-2 Yanga | Nusu Fainali CRDB Bank Federation Cup.
- Runtime
- 6:02
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #CRDBBankFederationCup #DarDerby #DarEsSalaamDerby

