Azam TV
Tanzania Prison 1-0 Fountain Gate | Highlights | NBC Premier League 14/05/2026
- Title
- Tanzania Prison 1-0 Fountain Gate | Highlights | NBC Premier League 14/05/2026
- Runtime
- 6:43
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Tanzania Prisons imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya.
Goli pekee la maamuzi limetoka kwa George Mpole dakika ya 25.
- Title
- Goli la George Mpole | Tanzania Priosons 1-0 Fountain Gate | NBC PL 14/05/2026
- Runtime
- 0:52
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Tanzania Prisons imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya.
Goli pekee la maamuzi limetoka kwa George Mpole dakika ya 25.
- Title
- Magoli yote saba | Mtibwa Sugar 4-3 KMC FC | NBC Premier League 14/05/2026
- Runtime
- 7:55
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- KMC FC imekula kichapo cha mabao 4-3 kutoka kwa Mtibwa Sugar kwenye Dimba la Jamhuri Morogoro ambalo leo limetumika kwa mara ya kwanza msimu huu...
Magoli ya Mtibwa yamefungwa na Fredrick Magata, Oscar Masai, Said Mkopi na Kassim Shaibu wakati KMC wakipata magoli yao kutoka kwa Daruesh Saliboko, Rashid Chambo, na Adam Uledi.
Tazama ..
- Title
- SIMBA TV | 13/05/2026 Simba SC yatwaa tuzo ya klabu kabu bora kwa mwaka 2025.
- Runtime
- 23:54
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Simba TV wiki hii imeangazia matukio muhimu ikiwa ni pamoja na klabu hiyo kutwaa tuzo ya klabu bora, mchezo wa dabi ya wanawake utakaopigwa Mei 15, 2026.
- Title
- VIWANJANI | Uchambuzi mchezo wa jana Mei 13, 2026 Dodoma Jiji akiibuka na ushindi dhidi ya Yanga SC
- Runtime
- 36:17
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- VIWANJANI: ''mechi zote zilizopita hazina uhusiano na mchezo wa leo'',
- Runtime
- 3:04
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Msemaji wa Pamba Jiji FC, Moses William akielezea takwimu za michezo iliyopita kwenye klabu hiyo huku akiweka wazi kuwa wamejiandaa vizuri kuwakabili Azam FC.
Amefafanua kuwa Kocha anayekinoa kikosi hicho yupo imara kwa kuwaandaa vyema wachezaji wake katika kuhakikisha hawapotezi alama tatu ugenini.
Mechi ni saa 12:30 jioni na itakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD
#Viwanjani
- Title
- SIMBA SC vs TRA United: ‘‘..hii mechi tunaihitaji sana’’.
- Runtime
- 2:05
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Afisa Habari wa TRA United, Christina Mwagala akizungumzia maandalizi yao kuelekea mchezo dhidi ya Simba SC wa Kombe la CRDBBank.
Mwagala amesema lengo kubwa la TRA United ni kupata ushindi katika mchezo huo utakaochezwa Jumapili, Mei 17, 2026, ili kutinga hatua ya fainali na kuwania ubingwa wa mashindano hayo.
Aidha, ameweka wazi kuwa kikosi hicho kinaendelea na maandalizi makubwa kuelekea mchezo huo muhimu wakiamini wana uwezo wa kuiondoa Simba SC na kusonga mbele kwenye michuano hiyo.
#CRDBBankFederationCup #SimbaSC #TRAUnited
- Title
- SIMBA QUEENS vs YANGA PRINCESS: Yanga Princess tayari kuwakabili Simba Queens
- Runtime
- 3:36
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- SIMBA QUEENS vs YANGA PRINCESS: Kocha Msaidizi wa Yanga Princess, Said Maulid amesema maandalizi yao yamekamilika kuelekea mchezo wao dhidi ya Simba Queens utakaopigwa katika dimba la Azam Complex.
Amesema mchezo wao huenda ukawa mgumu kutokana na ukubwa wake na kila timu inahitaji kuonesha ubabe kwa mpinzani wake.
Kwa upande wa Mchezaji wa timu hiyo, Maimuna Hamis amesema wachezaji wote wako imara na mchezo huo ni muhimu sana kwa kutoa mwanga wa mbio za ubingwa wa msimu huu.
Mechi ni kesho Mei 15, 2026 kuanzia saa 11:00 jioni na itakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD
#LigiKuuYaWanawake #KariakooDerby #SimbaQueens #YangaPrincess
- Title
- PRESS: Simba Queens wafunguka maandalizi yao kuwakabili Yanga Princess
- Runtime
- 1:32
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- SIMBA QUEENS vs YANGA PRINCESS: Kocha wa Simba Queens, Mussa Mgosi amesema mchezo wao dhidi ya Yanga Princess kesho Mei 15, 2026 ni taswira ya mchezo wa wanawake kwenye soka la Tanzania.
Mgosi amesema kikosi cha timu hiyo kimefanya maandalizi wakitambua ugumu na umuhimu wa mchezo huo kuelekea mbio za ubingwa msimu huu.
Kwa upande wa mchezaji Aisha Mnunka, amesema kiufundi walimu wamemaliza kila kitu, kilichobaki ni wachezaji kutekeleza uwanjani na kuzipigania alama tatu.
Mechi ni kesho Mei 15, 2026 kuanzia saa 11:00 jioni na itakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD
Imeandaliwa na Katherini Shirima
Mhariri | @rajjmsangi
#LigiKuuYaWanawake #KariakooDerby #SimbaQueens #YangaPrincess
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 13/05/2026
- Runtime
- 51:38
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli | Ulinzi Stars 0-2 AFC Leopards | SportPesa League Kenya 13/05/2026
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #SportPesaLeague AFC Leopards ikiwa ugenini imepata ushindi wa mabao 2-0 ugenini, dhidi ay Ulinzi Stars, mchezo ukipigwa Nyayo Stadium, Nairobi.
Magoli yametoka kwa Kelly Madada na Emmanuel Lwangu.
FT: Ulinzi Stars 0-2 AFC Leopards.
- Title
- Dodoma Jiji FC 3-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 13/05/2026
- Runtime
- 14:23
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza.
- Title
- Magoli | Dodoma Jiji 3-2 Yanga SC | NBC Premier League 13/05/2026
- Runtime
- 5:28
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza.
Haya hapa magoli yote..
- Title
- Mbeya City 0-2 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 13/05/2026
- Runtime
- 8:55
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Coastal Union imepata ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Mbeya City FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Goli la kwanza ni mkwaju wa penati kupitia kwa Maabad Maulid Maabad, na goli la pili ni la maajabu kutoka kwa Saad Mwanza.
- Title
- Magoli | Mbeya City 0-2 Coastal Union | NBC Premier League 13/05/2026
- Runtime
- 2:25
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Coastal Union imepata ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Mbeya City FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Goli la kwanza ni mkwaju wa penati kupitia kwa Maabad Maulid Maabad, na goli la pili ni la maajabu kutoka kwa Saad Mwanza.
Haya hapa..
- Title
- AZAM FC vs PAMBA JIJI: “Haijawahi kuwa rahisi Pamba na Azam iwe nyumbani au ugenini”
- Runtime
- 5:00
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Kocha wa Pamba Jiji Francis Baraza akizungumzia maandalizi yao kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Azam FC.
Amesema mchezo huo utakuwa mgumu kutokana na kiwango cha Azam licha ya kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya TRA United.
Kwa upande wake Mchezaji wa timu hiyo, Paul Kasindiamesema wamejiandaa kuhakikisha wanatumia uwezo mkubwa wa kukabiliana na mpinzani wao.
- Title
- AZAM FC vs PAMBA JIJI | Niwapongeze TRA United kwa mchezo mzuri uliopita.
- Runtime
- 6:20
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge amesema timu hiyo imejiandaa kufanya vema katika mchezo wa kesho Mei 14,2026 dhidi Pamba Jiji utakaopigwa katika dimba la Azam Complex.
Ibenge amesema anaamini kila mmoja kwenye kundi lake hivyo kila mtu atapata nafasi ya kucheza, matokeo dhidi ya TRA United ni makosa ya kimchezo hayahusiani na mabadiliko ya wachezaji katika kikosi hicho.
Kwa upande wa mchezaji wa timu hiyo, Lusajo Mwaikenda anasema mchezo utakuwa mgumu na wa ushindani kutokana na ubora wa Pamba Jiji lakini watajilinda dhidi ya makosa yaliyotokea kwenye mchezo uliopita kuhakikisha wanapata ushindi.
- Title
- Azam FC TV | 12/05/2026 Ijue historia ya Kocha Msaidizi wa Azam FC, Kassim Liogope.
- Runtime
- 22:36
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Azam FC TV wiki hii inaangazia mwanzo wa kazi za ukocha mpaka kuwa Kocha Msaidizi wa Azam FC, Kassimu Liogope.
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 12/05/2026
- Runtime
- 53:23
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- TRA United 1-1 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 12/05/2026
- Runtime
- 7:49
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- TRA United wamelazimishwa sare ya bao 1-1 na JKT Tanzania kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Aliyetangulia ni Joseph Akandwanaho, na kisha Salum Khamis akachomoa kwa header ya moto..!!
FT: TRA United 1-1 JKT Tanzania
- Title
- Magoli | TRA United 1-1 JKT Tanzania | NBC Premier League 12/05/2026
- Runtime
- 1:54
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- TRA United wamelazimishwa sare ya bao 1-1 na JKT Tanzania kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Aliyetangulia ni Joseph Akandwanaho, na kisha Salum Khamis akachomoa kwa header ya moto..!!
FT: TRA United 1-1 JKT Tanzania
- Title
- Singida BS 1-0 Namungo FC | Highlights | NBC Premier League - 12/05/2026
- Runtime
- 7:06
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Singida BS dhidi ya Namungo FC.
Goli ni moja tu na mfungaji ni Mossi Ndumumwe wa Singida BS.
Mechi imepigwa katika dimba la Airtel mkoani Singida.
FT: Singida BS 1-0 Namungo FC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #SingidaBS #NamungoFC #SingidaBSNamungo
- Title
- VIWANJANI | 12/05/2026
- Runtime
- 59:40
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Singida BS 1-0 Namungo FC | Goli | NBC Premier League - 12/05/2026
- Runtime
- 1:09
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama goli la Singida BS likiwekwa nyavuni na Mossi Ndumumwe.
Mechi imepigwa katika dimba la Airtel mkoani Singida.
FT: Singida BS 1-0 Namungo FC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #SingidaBS #NamungoFC #SingidaBSNamungo
- Title
- VIWANJANI | 12/05/2026 | Wananchi kutafuta ushindi kwa Dodoma Jiji, huku Mnyama ikimfuata Mashujaa.
- Runtime
- 55:44
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Ahmed Ally 'atunga' swali la mtihani kupitia Clatous Chama
- Runtime
- 17:15
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- MBEYA CITY vs COASTAL UNION: Kocha Fikiri anaamini nafasi waliopo kwenye simamo mchezo utakuwa mgumu
- Runtime
- 2:22
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Kocha wa Coastal Union, Fikiri Elias amekiri mchezo wa kesho Mei 13, 2026 wa NBC Premier League dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu kutokana na nafasi za timu hizo katika msimamo wa Ligi Kuu.
Kocha Fikiri amesema kutokana na nafasi waliopo kwenye simamo wanajua mchezo utakuwa mgumu , na hawawezi kuwa na hofu kwakuwa watatumia falsafa zao ili kufanya mchezo uwe upande wao.
Kwa upande wa mchezaji, Selemani Saleh akizungumza kwa niaba ya wachezaji amesema wachezaji wana morali ya kutosha ukizingatia walipoteza alama tatu katika mchezo uliopita, hivyo makosa waliyofanya hayatajirudia mbele ya Mbeya City.
- Title
- MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 11/05/2026
- Runtime
- 48:43
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- JKT Tanzania 1-0 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League 09/05/2026
- Runtime
- 9:05
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Goli pekee kutoka kwa Richard Manyama limeipa JKT Tanzania pointi tatu kwa ushindi ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya City FC.
Katika mchezo huu, Mbeya City pia walipata pigo kwa goli kipa wake Hasheem Yahya kutolewa nje kwa kadi nyekundu, red card.
- Title
- Gor Mahia 1-1 Kenya Police | Highlights | SportPesa League 10/05/2026
- Runtime
- 9:36
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Tazama patashika nguo kuchanika nguo kuchanika kwenye ligi kuu ya Kenya, Gor Mahia wakilazimishwa sare ya bao 1-1 na mabingwa watetezi, Kenya Police.
Aliyetangulia kupachika bao alikuwa ni Kenya Police kupitia kwa Brian Otieno , lakini Assifuah Ebenezer akachomoa dakika za jioni.
Tazama highlights...
- Title
- Pamba Jiji 0-0 Dodoma Jiji | Highlights | NBC premier League 10/05/2026
- Runtime
- 5:42
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Ilikuwa ni mechi dume iliyojaa kila aina ya burudani, ikamalizika kwa suluhu kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC, Pamba Jiji FC dhidi ya Dodoma Jiji FC.
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Simba yazidi kutamba na magoli ya Chama, Kamwe awagusa Real Madrid
- Runtime
- 12:31
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Mashabiki Yanga ‘wamuokotesha’ Yao Kouassi, Kamwe awachokoza mashabiki wa Real Madrid, akikumbushia sare ya #KariakooDerby.
Ni #Zilizobamba mitandaoni ya #Viwanjani
#Viwanjani
- Title
- MAHOJIANO MAALUMU | Amina Bilal anasimulia sfari yake kwenye soka la wanawake mpaka alipofika sasa.
- Runtime
- 23:02
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Mchezaji i wa Simba queens na timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania 'Twiga Stars', Amina Bilal anaelezea safari yake ya soka, changamoto na mazuri aliyopitia mpaka kufikia malengo ya kuwa miongoni mwa wachezaji wa kiwango bora katika soka la wanawake Tanzania.
Amina anasema moja ya changamoto kubwa wachezaji wa kike wamekumbana nayo kipindi cha nyuma ni wazazi na jamii kutochukulia mpira kama kitu chenye manufaa.
Mahojiano ya nyota wa michezo mbalimbali huruka kila Ijumaa katika kipindi cha Viwanjani na kuletwa kwako na Timzo Kalugira.
#VIWANJANI ni kila Jumatatu - Ijumaa saa 9:00 Asubuhi - 12:00 Mchana LIVE #AzamSports1HD
- Title
- Simba SC 4-0 Tanzania Prisons | Highlights | NBC Premier League 10/05/2026
- Runtime
- 10:02
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Simba imeipasua Tanzania Prisons magoli 4-0 kwenye Dimba la KMC Complex, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuuya NBC 2025/26.
Aliyetangulia kuandika bao alikuwa ni Morice Abraham, akifuatiwa na Clatous Chama, na kisha Selemani Mwalimu, kabla ya Ismael Toure kufunga hesabu dakika ya 62.
- Title
- Magoli yote | Simba SC 4-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League 10/05/2026
- Runtime
- 4:16
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Simba imeipasua Tanzania Prisons magoli 4-0 kwenye Dimba la KMC Complex, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuuya NBC 2025/26.
Aliyetangulia kuandika bao alikuwa ni Morice Abraham, akifuatiwa na Clatous Chama, na kisha Selemani Mwalimu, kabla ya Ismael Toure kufunga hesabu dakika ya 62.
Magoli yote haya hapa...
- Title
- KMC FC 2-3 Fountain Gate FC | Highlights | NBC Premier League 10/05/2026
- Runtime
- 10:21
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Yamefungwa magoli matano, KMC FC wakichezea kichapo cha mabao 3-2 wakiwa nyumbani kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam.
Magoli mawili ya KMC yamefungwa na Erick Mwijage na Rashid Chambo, wakati magoli ya Fountain Gate yakitoka kwa Sadick Said, Macdonald Obasi na Henry David.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara..
- Title
- Penati aliyokosa Selemani Mwalimu | Simba vs Tanzania Prisons | NBC PL 10/05/2026
- Runtime
- 1:11
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Magoli yote | KMC FC 2-3 Fountain Gate | NBC Premier League 10/05/2026
- Runtime
- 4:17
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Yamefungwa magoli matano, KMC FC wakichezea kichapo cha mabao 3-2 wakiwa nyumbani kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam.
Magoli mawili ya KMC yamefungwa na Erick Mwijage na Rashid Chambo, wakati magoli ya Fountain Gate yakitoka kwa Sadick Said, Macdonald Obasi na Henry David.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara..
- Title
- Nairobi United 1-0 Tusker | Highlights | SportPesa League Kenya 06/05/2025
- Runtime
- 8:04
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- SPORTS AM: Uchambuzi Ubora wa Ligi Kuu ya NBC, Simba kuvaana na Tanzania Prisons leo
- Runtime
- 26:15
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Ni jopo la wachambuzi wakiongozwa na Mtangazaji Kinara Hassan Ahmed akiwa na Rashid Kejo, Nasongelya Kilyinga na Evance Malya.
Kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC, Simba SC wakiwakaribisha Tanzania Prisons katika dimba la KMC Complex, Dar es Salaam.
Mechi itakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD kuanzia saa 1:00 usiku.
- Title
- SPORTS AM: Mratibu wa Simba Queens afunguka kuelekea Dabi ya watani wao Yanga Princess
- Runtime
- 36:57
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- SPORTS AM | ''...ushindani umeongezeka kwa sasa kwenye Ligi...'', Mratibu wa Simba Queens, Selemani Makanya akizungumzia mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake unaowakutanisha Simba Queens vs Yanga Princess utakaopigwa Mei 15, 2026.
Amesema ushindani umekuwa ukiongezeka kutokana na mwenendo wa Ligi na namna ambavyo wachezaji kila mmoja ana ari ya kuhakikisha timu yake inahitaji ushindi.
Mchezo huo utakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD Mei 15, 2026
Imeandaliwa na @rajjmsangi
#SportsAm #SimbaQueens #YangaPrincess
- Title
- Goli la Manyama | JKT Tanzania 1-0 Mbeya City ! NBC Premier League 09/05/2026
- Runtime
- 1:35
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Stumai Abdallah na Alphonce Simbu, wanamichezo bora wa mwaka
- Runtime
- 4:39
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | Mwanariadha Alphonce Felix Simbu na mwanandinga wa JKT Queens, Stumai Abdallah ndiyo wanamichezo bora wa Tanzania kwa mwaka 2025.
Tazama ‘mtoko’ wa Stumai, linganisha na Stumai yuleee ‘unayemuonaga’ dimbani, halafu sema neno.
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
Tukio lilikuwa LIVE #ZBC2
#BMTAwards2025 #BMTAwards #NSCA2025 #TuzoZaBMT
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Simba SC klabu bora ya mwaka
- Runtime
- 2:44
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | Klabu bora ya mwaka (wanawake) ni JKT Queens…… Je, klabu bora yam waka (wanaume) ni ipi???
Tazama mapokeo ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ya timu hiyo kutajwa…
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
Tukio lilikuwa LIVE #ZBC2
#BMTAwards2025 #BMTAwards #NSCA2025 #TuzoZaBMT
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Waamuzi wa kikapu ndiyo waamuzi bora wa mwaka
- Runtime
- 3:28
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | Hawa ndiyo waamuzi bora kwa mwaka 2025. Wote wametoka kwenye mpira wa kikapu (basketball), wakiwapiga kikumbo waamuzi wa soka Tatu Malogo na Ahmed Arajiga.
Ni Doris Mwidadi na Shaaban Mahoboja.
Hawa hapa wakichukua tuzo zao..
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
Tukio lilikuwa LIVE #ZBC2
#BMTAwards2025 #BMTAwards #NSCA2025 #TuzoZaBMT
- Title
- TUZO ZA BMT 2925 | Waliong'ara kwa wenye ulemavu
- Runtime
- 4:03
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | Waliong’ara kwa wenye ulemavu ni Rehema Suleiman Said (wheel chair tenis) na Shedrack Hebron Sembele ambaye anasakata kabumbu la wenye ulemavu (Amputee Football) nchini Uturuki.
Je, unajua wamefanya makubwa gani kwa mwaka 2025?
Sikiliza hii…
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
Tukio lilikuwa LIVE #ZBC2
#BMTAwards2025 #BMTAwards #NSCA2025 #TuzoZaBMT
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Chaburuma, Mwingereza makocha bora wa mwaka
- Runtime
- 3:33
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | Kocha bora wa kike ni Ester Chaburuma wa JKT Queens, na kocha bora wa kiume ni Anthony Mwingereza ambaye ndiye kocha wa wanariadha Alphonce Felix Simbu na Magdalena Shauri.
Hawa hapa wakipokea tuzo zao…
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
Tukio lilikuwa LIVE #ZBC2
#BMTAwards2025 #BMTAwards #NSCA2025 #TuzoZaBMT
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Waziri Mkuu alimwagia sifa goli la Chama dhidi ya Yanga, aipongeza Azam Media
- Runtime
- 4:52
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2925 | “…kama siyo Azam TV, lile goli tungelionaje”.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amwaga sifa kuhusu goli la Clatous Chama kwenye Kariakoo Derby, lakini atupa dongo akisema “…ile furaha ilikuwa ni kama picha ya view once”.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameanza kwa pongezi kwenda kwa taasisi zilizofanya uwekezaji kwenye michezo, ikiwemo Azam Media, GSM na Mo Dewji.
“Uwekezaji uliofanywa na Azam Media kwenye michezo, unatosha kuipa kampuni hii, hadhi ya kampuni za kiserikali”.
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
Tuko LIVE #ZBC2
#BMTAwards2025 #BMTAwards #TuzoZaBMT
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
Tuko LIVE #ZBC2
#BMTAwards2025 #BMTAwards #TuzoZaBMT
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Kuhusu Chama kupewa uraia; Waziri Paul Makonda amesema hivi:-
- Runtime
- 1:11
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- NSCA 2025 | “…wizara imeanza mchakato wa kuanza kuona taratibu za kumpatia uraia Clatous Chama kuwa mchezaji atakayeweza kuongeza tija kwenye upande wa timu yetu ya taifa”.
Neno kutoka kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda kuhusu kiungo wa Simba, Clatous Chama.
Hapo vipi??
Ni hapa katika ukumbi wa ‘The Super Dome’ Masaki jijini Dar es Salaam.
#BMTAwards2025 #BMTAwards #NSCA2025 #TuzoZaBMT
- Title
- TUZO ZA BMT 2025 | Hotuba kamili ya Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba
- Runtime
- 23:48
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- Sikiliza mwanzo mwisho alichozungumza Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba katika usiku wa tuzo za wanamichezo (Tuzo za BMT), uliofanyika The Super Dome Masaki, usiku wa Mei 09, 2026.

