Azam TV
Fountain Gate 1-0 Mashujaa FC | Highlights | NBC Premier League 18/08/2026
- Title
- Fountain Gate 1-0 Mashujaa FC | Highlights | NBC Premier League 18/08/2026
- Runtime
- 5:42
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCPL: Imekwisha, wenyeji wamebaki na alama zao mfukoni.
FT: F/Gate FC 1-0 Mashujaa FC
Inafuata Namungo FC vs Geita Gold saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #FountainGate #MashujaaFC
- Title
- Namungo FC 1-0 Geita Gold | Goli | NBC Premier League 18/08/2026
- Runtime
- 1:47
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCPL: Goli lililowapa alama tatu Namungo hili hapa..!
FT: Namungo FC 1-0 Geita Gold
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #NamungoFC #GeitaGold
- Title
- Fountain Gate 1-0 Mashujaa FC | Goli | NBC Premier League 18/08/2026
- Runtime
- 1:04
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCPL: Imekwisha, wenyeji wamebaki na alama zao mfukoni.
FT: F/Gate FC 1-0 Mashujaa FC
Inafuata Namungo FC vs Geita Gold saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #FountainGate #MashujaaFC
- Title
- VITASA | Mabondia Ibrahim Mafia, Yohana Mchanja wafunguka kuhusu mapambano ya Julai 31
- Runtime
- 1:25:35
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- VITASA: “Alituvunjia heshima”
Bondia Mtanzania, Yohana Mchanja anasema yupo tayari kuzichapa na yule mwamba kutoka Philippines, Alvin Camique ambaye ameshapigana na mara mbili na bondia Ibrahim Mafia.
#Vitasa
- Title
- VIWANJANI: Mjadala mzunguko wa pili wa NBC Premier League, Nani Atadondosha Alama Tatu?
- Runtime
- 1:18:24
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka Godlisten Muro akitoa tathmini ya mchezo wa Fountain Gate dhidi ya Mashujaa amesema Fountain Gate wana kibarua kizito leo kwa kuwa wanakutana na Mashujaa ambayo imebadilika kimtindo chini ya kocha wao Amani Josiah.
Muro anaamini mabadiliko hayo yanaifanya Mashujaa kuwa timu tofauti na ambayo Fountain Gate wanaweza wasipate chochote kama hawatabadilika.
Azam TV
- Title
- MSHIKEMSHIKE 17/08/2026 - AZAM TV
- Runtime
- 46:22
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Picha ya Shalulile, Aziz Ki yatajwa kuwa inatisha
- Runtime
- 15:43
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Ni kweli picha ya pamoja ya Stephane Aziz Ki na Peter Shalulile inatisha kwenye soka la ‘Bongo’….??
Mchambuzi @godlisten_muro7 anasema kwa muktadha wa takwimu zao, inatisha kwasababu Peter Shalulile ndiye Mfunga Bora wa muda wote kule Afrika Kusini akiwa na magoli 129, huku Aziz Ki aliwahi kuwa Mfungaji Bora NBC Premier League msimu wa 2023/24 ambapo alifunga magoli 21.
Ni #Zilizobamba mitandaoni kupitia kipindi cha #Viwanjani.
#Viwanjani
- Title
- KIPYENGA CHA MWISHO 13/08/2026 - Yamechambuliwa matukio yote kwenye Kariakoo Derby ya Ngao ya Jamii
- Runtime
- 49:23
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Kwenye Kipyenga cha Mwisho, wataalamu wa sheria za soka wamegusa matukio yote yenye ukakasi yaliyojiri kwenye Dabi ya Kariakoo iliyopigwa katika Dimba la Amaan Zanzibar Agosti 12, 2026.
- Title
- VIWANJANI : Uchambuzi Yanga SC ikichomoza na Ushindi mechi ya kwanza huku Azam FC ikibanwa mbavu.
- Runtime
- 50:47
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Hersi Said ammwagia sifa Kamwe, Ahmed amtaja X-faxtor
- Runtime
- 15:48
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Rais wa Yanga SC, Hersi Said ammiminia sifa Meneja Habari na Mawasiliano wa timu hiyo Ally Kamwe akimwita Afisa Habari mwenye ubongo.
Ni #Zilizobamba mitandaoni ya #Viwanjani.
#Viwanjani
- Title
- VIWANJANI | Mjadala Aziz Ki awa X-Factor wa Yanga SC!, Simba SC yafunga dirisha na Ismail Mgunda.
- Runtime
- 48:23
- Date posted
- 15 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka Andrew Kingamkono anasema nyota mpya wa Yanga, Stephane Aziz Ki anakwenda kuanza palepale alipoishia huku Allan Okello alishaanza kuteka nyoyo za mashabiki wa timu hiyo.
Kwa upande wake mchambuzi Michael Hyera anasema Okello alionesha kitu kikubwa nchini ndani ya muda mfupi.
Azam TV
- Title
- JKT Tanzania 1-1 TRA United | Highlights | NBC Premier League - 16/08/2026
- Runtime
- 5:52
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya JKT Tanzania dhidi ya TRA United.
Mechi imepigwa katika Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni Dar es Salaam.
Goli la JKT Tanzania limefungwa na Geofrey Luzendaze na goli la TRA United limefungwa na Thobias Omondi.
FT: JKT Tanzania 1-1 TRA United
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #JKTTanzania #TRAUnited
- Title
- JKT Tanzania 1-1 TRA United | Magoli | NBC Premier League - 16/08/2026
- Runtime
- 2:01
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote mawili yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya JKT Tanzania dhidi ya TRA United.
Mechi imepigwa katika Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni Dar es Salaam.
Goli la JKT Tanzania limefungwa na Geofrey Luzendaze na goli la TRA United limefungwa na Thobias Omondi.
FT: JKT Tanzania 1-1 TRA United
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #JKTTanzania #TRAUnited
- Title
- Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 16/08/2026
- Runtime
- 5:05
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Kagera Sugar dhidi ya Simba SC, mchezo uliopigwa katika Dimba la Kaitaba mkoani Kagera.
Magoli ya Simba yamefungwa na Ismail Toure na Elie Mpanzu.
FT: Kagera Sugar 0-2 Simba SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #KageraSugar #SimbaSC #KageraSugarSimba
- Title
- Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Neno la makocha baada ya mechi - 16/08/2026
- Runtime
- 4:25
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: “Bado hatupo kwenye ubora wetu”
Kocha wa Simba SC, Steve Barker ameonesha kufurahishwa na matokeo ya ushindi dhidi ya Kagera Sugar japo anakiri kadi nyekundu ya David Kameta, kiasi iliwarudisha nyuma.
Kwa upande wake Kocha Juma Kaseja anasema wamecheza na timu yenye wachezaji wenye ubora ambao ni rahisi kukuadhibu.
FT: Kagera Sugar 0-2 Simba SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #KageraSugar #SimbaSC #KageraSugarSimba
- Title
- Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Magoli | NBC Premier League - 16/08/2026
- Runtime
- 2:29
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote mawili ya Simba SC dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa NBC Premier League uliopigwa katika Dimba la Kaitaba mkoani Kagera.
Magoli ya Simba yamefungwa na Ismail Toure na Elie Mpanzu.
FT: Kagera Sugar 0-2 Simba SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #KageraSugar #SimbaSC #KageraSugarSimba
- Title
- KAGERA SUGAR vs SIMBA | Ilibaki kidogo Doumbia awafunge Kagera Sugar - 16/08/2026
- Runtime
- 2:18
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Karibu kwenye ‘show’ za NBC Premier League huku mwenyeji wako akiwa ni mtangazaji @gharib_mzinga23
Katika dakika ya nne ya mchezo striker Ibrahim Doumbia ilibaki ‘kiduchu’ tu auweke nyavuni mpira.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #KageraSugar #SimbaSC #KageraSugarSimba
- Title
- Namungo 1-3 Yanga SC | Kocha Yanga asema mabeki wanamugopa Shalulile
- Runtime
- 3:26
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Kocha wa Namungo FC, Juma Mgunda anasema itabidi akazungumze na golikipa wake pamoja na kocha wa magolikipa kutoka na makossa yaliyosababisha kufungwa leo na Yanga SC.
Kwa upande wake Kocha Manqoba Mngqithi wa Yanga SC anasema hana shaka na mshambuliaji wake Peter Shalulile kwasababu atakwenda kusababusha shida kwa mabeki na ndio maana kuna wakati wanamzawadia magoli kwa hofu.
FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #NamungoVsYanga #NamungoYanga
- Title
- Namungo 1-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League - 15/08/2026
- Runtime
- 10:23
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Namungo FC dhidi ya Yanga SC.
Mechi imechezwa katika dimba la Majaliwa Ruangwa Lindi.
Chadrack Boka, Maxi Nzengeli na Peter Shalulile ndio wafungaji kwa Yanga.
Herbert Lukindo ndiye aliyeifungia Namungo.
FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #NamungoVsYanga #NamungoYanga
- Title
- Namungo 1-3 Yanga SC | Magoli | NBC Premier League - 15/08/2026
- Runtime
- 4:40
- Date posted
- 16 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote manne yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati Namungo FC dhidi ya Yanga SC.
Mechi imechezwa katika dimba la Majaliwa Ruangwa Lindi.
Chadrack Boka, Maxi Nzengeli na Peter Shalulile ndio wafungaji kwa Yanga.
Herbert Lukindo ndiye aliyeifungia Namungo.
FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #NamungoVsYanga #NamungoYanga
- Title
- Police Tanzania 1-1 Azam FC | Highlights | NBC Premier League - 15/08/2026
- Runtime
- 8:18
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Tanzania Polisi na Azam FC.
Mechi imepigwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Wafungaji ni Abdul Sopu wa Azam FC na Anuary Jabir wa Polisi Tanzani.
FT: Polisi Tanzania 1-1 Azam FC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #PolisiTZ #AzamFC #PolisiTZAzamFC
- Title
- Coastal Union 0-1 Mashujaa FC | NBC Premier League - 15/08/2026
- Runtime
- 1:08
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #NBCPL: Hili hapa goli la Crispin Ngushi akiipatia alama tatu Mashujaa FC.
FT: Coastal Union 0-1 Mashujaa FC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #CoastalUnionVsMashujaaFC #CoastalUnion #MashujaaFC
- Title
- X-Factor ya Yanga Aziz Ki akabidhiwa jezi namba 10, mwenyewe asema Yanga bingwa
- Runtime
- 3:37
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- KUTOKA KMC COMPLEX: “Yanga bingwa”
Ni moja ya maneno yaliyosemwa na X-Factor wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki aliyetambulishwa leo Agosti 15, 2026.
Mchezaji huyo akabidhiwa jezi namba 10.
#YangaSC #Xfactor
- Title
- Utambulisho wa X-Factor | Hersi akimbia kama Shalulile
- Runtime
- 1:30
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- KUTOKA KMC COMPLEX: Rais wa Yanga SC, Hersi Said apiga ile style ya ushangiliaji wa Shalulile.
Stephane Aziz Ki ndiye X-Factor ambaye ametambulishwa na Yanga usiku huu wa Agosti 15, 2026.
#YangaSC #Xfactor
- Title
- Aziz Ki ndiye X- Factor iliyotambulishwa na Yanga
- Runtime
- 3:54
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- KUTOKA KMC COMPLEX: Stephane Aziz Ki ndiye X-Factor ambaye ametambulishwa na Yanga usiku huu wa Agosti 15, 2026.
Tuko LIVE #ZBC2 na #AzamSports1HD
#YangaSC #Xfactor
- Title
- Police Tanzania 1-1 Azam FC | Magoli | NBC Premier League - 15/08/2026
- Runtime
- 3:41
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote mawili yaliyofungwa kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Tanzania Polisi na Azam FC.
Mechi imepigwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Wafungaji ni Abdul Sopu wa Azam FC na Anuary Jabir wa Polisi Tanzani.
FT: Polisi Tanzania 1-1 Azam FC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #PolisiTZ #AzamFC #PolisiTZAzamFC
- Title
- JKT TANZANIA vs TRA UNITED | NDAYIRAGIJE “Tuko tayari kupambana na JKT Tanzania lengo ni alama tatu”
- Runtime
- 2:23
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Kocha wa TRA United, Etienne Ndayiragije anaamini kikosi chake kiko tayari kupambana na kupata alama tatu muhimu dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa NBC Premier League.
Ndayiragije amesema licha ya kutambua ubora na ushindani wa JKT Tanzania, anaamini maandalizi waliyofanya yamewajengea kujiamini na kuwapa uwezo wa kupambana kwa dakika zote.
Azam TV
- Title
- KURASA ZA MWISHO | Habari kubwa ni Ligi Kuu ya NBC kuanza rasmi, matumizi ya VS na usajili
- Runtime
- 58:03
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Wachambuzi Charles Abel, Khatimu Naheka, Jabir Juma na Philipo Cyprian wakizungumzia namna msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC unavyoanza kwa kasi, matumizi ya Football Video Support (FVS) yatakavyonufaisha timu.
Azam TV
- Title
- JKT TANZANIA vs TRA UNITED: “Haiwezi kuwa rahisi, ni mechi ngumu”
- Runtime
- 2:59
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema mchezo wao dhidi ya TRA United wa NBC Premier League hautakuwa rahisi akieleza kuwa wanatarajia kukutana na upinzani mkubwa.
Ahmad amesema anafurahia kukutana tena na kocha Etienne Ndayiragije ambaye wana historia ya kufanya kazi pamoja akiamini ameendelea kujifunza na kuongeza kitu katika safari yake ya ukocha.
- Title
- Singida BS 3-0 Fountain Gate | Highlights | NBC Premier League - 14/08/2026
- Runtime
- 7:53
- Date posted
- 17 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Singida BS ikiifunga Fountain Gate FC.
Mechi imepigwa katika dimba la Airtel Mtipa Singida.
Wafungaji ni Jonathan Sowah, Yusuph Khamis na Methew Tegis
FT: Singida BS 3-0 Fountain Gate FC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SingidaBSVsFountainGate #SingidaBS #FountainGate
- Title
- Singida BS 3-0 Fountain Gate | Kocha Minziro alia na usajili
- Runtime
- 3:42
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #NBCPL: Neno kutoka kwa makocha wa timu zote mbili wakizungumza baada ya dakika 90.
Ni Kocha Papy Kimoto wa Singida BS na Fred Felix ‘Minziro’ wa Fountain Gate.
FT: Singida BS 3-0 Fountain Gate FC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SingidaBSVsFountainGate #SingidaBS #FountainGate
- Title
- Singida BS 3-0 Fountain Gate | Magoli | NBC Premier League - 14/08/2026
- Runtime
- 1:24
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote matatu ya Singida BS ikiifunga Fountain Gate FC.
Mechi imepigwa katika dimba la Airtel Mtipa Singida.
Wafungaji ni Jonathan Sowah, Yusuph Khamis na Methew Tegis
FT: Singida BS 3-0 Fountain Gate FC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SingidaBSVsFountainGate #SingidaBS #FountainGate
- Title
- Mbeya City 0-1 Geita Gold | Highlights | NBC Premier League - 14/08/2026
- Runtime
- 4:27
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Mbeya City dhidi ya Geita Gold.
Mechi imepigwa katika dimba la Sokoine jijini Mbeya.
FT: Mbeya City 0-1 Geita Gold
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #MbeyaCityVsGeitaGold #MbeyaCity #GeitaGold
- Title
- VIWANJANI | Mjadala Ligi Kuu ya NBC kuanza kutimua vumbi leo katika viwanja vitatu.
- Runtime
- 1:32:24
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Mbeya City 0-1 Geita Gold | Goli | NBC Premier League - 14/08/2026
- Runtime
- 1:55
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama goli la Obrey Chirwa akiipatia alama tatu Geita Gold.
FT: Mbeya City 0-1 Geita Gold
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #MbeyaCityVsGeitaGold #MbeyaCity #GeitaGold
- Title
- MAHOJIANO MAALUM: Sababu ya kufungiwa Uwanja wa Manungu msimu wa 1998/1999 imefichuliwa.
- Runtime
- 22:19
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Mchezaji wa zamani wa Mtibwa Sugar, Abubakar Mkangwa amesema Uwanja wa Manungu uliwahi kufungiwa kutokana na vurugu zilizotokea uwanjani wakati wa mchezo wao dhidi ya Simba SC.
Mkangwa anaeleza kuwa vurugu hizo zilitokea baada ya Mtibwa Sugar kupata penalti, uamuzi ambao wachezaji na benchi la Simba SC hawakuridhishwa nao.
Aidha, Mkangwa amesema moja ya mambo ambayo hataweza kuyasahau ni mafanikio ya Mtibwa Sugar kutwaa ubingwa mbele ya Yanga SC, akieleza kuwa mafanikio hayo yalitokana na ubora, umoja na uwezo wa kikosi chao wakati huo.
Azam TV
- Title
- Pamba Jiji 1-1 Dodoma Jiji | Highlights | NBC Premier League - 14/08/2026
- Runtime
- 9:19
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Pamba Jiji dhidi ya Dodoma Jiji.
Mchezo umepigwa katika dimba la CCM Kirumba Mwanza na ndio mchezo wa kwanza kwenye NBC Premier League msimu wa 2026/27.
Goli la Pamba Jiji limefungwa na Deogratius Mafie na goli la Dodoma Jiji limefungwa na Beno Ngassa.
FT: Pamba Jiji 1-1 Dodoma Jiji
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #PambaJiji #DodomaJiji #PambaJijiVsDodomaJiji
- Title
- Pamba Jiji 1-1 Dodoma Jiji | Magoli | NBC Premier League - 14/08/2026
- Runtime
- 3:19
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- #NBCPL: Tazama magoli yote mawili yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Pamba Jiji dhidi ya Dodoma Jiji.
Goli la Pamba Jiji limefungwa na Deogratius Mafie na goli la Dodoma Jiji limefungwa na Beno Ngassa.
FT: Pamba Jiji 1-1 Dodoma Jiji
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #PambaJiji #DodomaJiji #PambaJijiVsDodomaJiji
- Title
- ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Sele Gomezi atamba na Taji la Ngao ya Jamii! Ahmed Ally awatuliza Wanasimba.
- Runtime
- 18:16
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- NBC PL | Dimba la CCM Kirumba lipo tayari kwa msimu mpya wa 2026/27
- Runtime
- 5:31
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- MSIMU MPYA NBCPL: Dimba la CCM Kirumba ni miongoni mwa viwanja vikubwa Tanzania, ukiwa na uwezo wa kuchukua mashabiki zaidi ya elfu thelathini.
Huu ndio uwanja wa nyumbani wa Pamba Jiji kama inavyoelezwa na Innocent Aloyce.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates
- Title
- NBC PL | Dimba la Sheikh Amri Abeid lipo tayari kwa msimu mpya wa 2026/27
- Runtime
- 6:52
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- MSIMU MPYA NBCPL: Meneja wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Emmanuel Loy anaelezea sifa za dimba hilo na hali yake kuelekea msimu mpya wa NBC Premier League msimu mpya wa 2026/27.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates
- Title
- NBC PL MSIMU WA 2026/27 | Dimba la Airtel lipo tayari kwa msimu mpya wa Ligi Kuu
- Runtime
- 3:33
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- MSIMU MPYA NBCPL: Dimba la Airtel lipo tayari kwa msimu mpya wa NBC Premier League 2026/27.
Hili ndio dimba la nyumbani la Singida BS kama inavyoelezwa zaidi na mwandishi wetu Deus Liganga kutoka Singida.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates
- Title
- NBCPL MSIMU WA 2026/27 | Dimba la Mkwakwani lipo tayari kwa msimu mpya
- Runtime
- 2:55
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- MSIMU MPYA NBCPL: Dimba la Mkwakwani, lipo tayari kwa ajili ya kuzikaribisha mechi za NBC Premier League msimu wa 2026/27.
Tazama ripoti hii ya Mariam Shedafa akikuonesha kila kitu ndani ya dimba hilo lililopo Tanga.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates
- Title
- NBC PREMIER LEAGUE 2026/27 | Dimba la Jamhuri Dodoma lipo tayari kwa msimu mpya
- Runtime
- 3:09
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- MSIMU MPYA NBCPL: Dimba la Jamhuri Dodoma, lipo tayari kwa ajili ya ukaguzi na kuzikaribisha mechi za NBC Premier League msimu wa 2026/27.
Tazama ripoti hii ya Ahmad Ally kutoka jijini Dodoma.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates
- Title
- MSIMU MPYA 2026/27 | Sai Msumi anakukaribisha kuianza safari ya msimu mpya wa 2026/27
- Runtime
- 3:38
- Date posted
- 18 days ago
- Description
- PAMBA JIJI vs DODOMA JIJI: Ni msimu mpya na muonekano mpya kabisa. Ni muonekano wenye hadhi ya kimataifa ndani ya studio za #AzamTV.
Mtangazaji @van_msumi anakukaribisha kwenye uchambuzi wa mechi tatu za leo na yupo na wachambuzi @abissay_stephen na Amri Kiemba.
Mchezo mchezo wa kwanza ni Pamba Jiji dhidi ya Dodoma Jiji ambao utapigwa saa 8:00 mchana LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates
- Title
- VIWANJANI | Dabi ya Ngao ya Jamii, Mjadala wa viwango vya wachezaji wa vikosi vyote viwili
- Runtime
- 55:22
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- Mchambuzi wa soka George Job amesema mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC haukuonesha kiwango kilichotarajiwa, akieleza kuwa safu za ushambuliaji za timu zote mbili zilishindwa kuleta makali na ubora uliotarajiwa.
Azam TV
- Title
- PINPOINT | Musikula agusa makosa ya Simba yaliyoinufaisha Yanga kufunga goli
- Runtime
- 1:50
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- PINPOINT: Mwamba wa Juu @leomusikula_tz leo ameamua kulichambua goli la Albert Kangwanda wa Yanga SC, akiifunga Simba SC, kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.
Musikula ameangazia makosa ya walinzi wa Simba SC, kumwachia uhuru Kangwanda akiwa kwenye eneo la 18 na hatimae kufunga goli lililoipa ushindi Yanga.
#PinPoint #NgaoYaJamii
- Title
- NGAO YA JAMII 2026 | Ni yanga wanaochukua taji la Ngao 2026
- Runtime
- 4:57
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #NgaoYaJamii2026 Washindi wenyewe sasa hao hapo....!wametokea mitaa ya Jangwani.
FT: Yanga SC 1-0 Simba SC
WAFCON inandelea LIVE #AzamSports2HD
#NgaoYaJamii2026 #KariakooDerby #YangaSimba WataniWaJadi YangaSC SimbaSC
- Title
- NGAO YA JAMII 2026 | Selemani Mwalimu ndiye aliyenyanyua ngao...!
- Runtime
- 0:34
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #NgaoYaJamii2026 Ni Sele aliyenyanyua ngao buana..!
FT: Yanga SC 1-0 Simba SC
WAFCON inandelea LIVE #AzamSports2HD
#NgaoYaJamii2026 #KariakooDerby #YangaSimba #YangaSCSimbaSC
- Title
- NGAO YA JAMII 2026 | Simba SC wakiveshwa medali
- Runtime
- 1:54
- Date posted
- 19 days ago
- Description
- #NgaoYaJamii2026 | Hivi ndivyo Wachezaji wa Simba SC na benchi la ufundi walivyoveshwa medali wakiwa wameambatana na seti ya waamuzi iliyoongozwa na Mwamuzi wa mchezo, Ahmed Arajiga.
FT: Yanga SC 1-0 Simba SC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#NgaoYaJamii2026 #KariakooDerby #YangaSimba #WataniWaJadi #YangaSC #SimbaSC

