Azam TV
Kombe la Dunia 2026 | James Samwel, Abissay Stephen waichambua Canada Vs Afrika Kusini
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | James Samwel, Abissay Stephen waichambua Canada Vs Afrika Kusini
- Runtime
- 3:23
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Uchambuzi wa @abissay_stephen na @ja,es_samwel31 baada ya Afrika Kusini kutupwa nje dhidi ya Canada.
FT: Afrika Kusini 0-1 Canada
LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, #AzamSports4HD kwa Kiingereza
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #AfrikaKusiniVsCanada #AfrikaKusiniCanada
- Title
- Nafasi za 'Fei Toto' , Coastal Union vs Azam FC | NBC Premier League | 27/06/2026
- Runtime
- 1:30
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- NBCPL | 'kinara wa mabao' Feisal Salum na nafasi alizokuwa akizipata kwenye matanange wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union.
Mechi ilimalizika kwa Matajiri wa Jiji, Azam FC kuondoka na alama tatu kwa ushindi wa mabao 2-0
Mechi ilikuwa LIVE kupitia #AzamSports3HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #CoastalUnion #AzamFC
- Title
- Mashambulizi ya Simba SC vs Singida BS | NBC Premier League | 27/06/2026
- Runtime
- 2:43
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- NBCPL | Mashambulizi ya Simba kwenye mchezo wao dhidi ya Singida BS, mechi iliyomalizika kwa mabao 2-0.
Mechi ilikuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #SimbaSC #SingidaBS
- Title
- Mashambulizi ya Yanga SC vs TRA United | NBC Premier League | 27/06/2026
- Runtime
- 2:04
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- NBCPL | Miongoni mwa mashambulizi ya 'wananchi', Yanga SC kwenye mchezo wao dhidi ya TRA United, mechi iliyomalizika kwa mabao 3-0.
Mechi ilikuwa LIVE kupitia #AzamSports2HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #YangaSC #TRAUnited
- Title
- Dodoma Jiji 1-1 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 5:33
- Date posted
- 11 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Kenedy Moses, Lilian Mukulu watetema kama Meyele
- Runtime
- 1:57
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: @kenedymosestz na @lilianmukulu_ watetema kama Mayele ambaye ametetema katika ardhi ya Trump kule Marekani.
FT: Colombia 0-0 Ureno.
Ilikuwa LIVE #AzamSports4HD
FT: Congo DR 3-1 Uzbekistan (Wissa 68’P, 90+1’, Mayele 78’/ Shomurodov 10’)
Ilikuwa LIVE #AzamSports2HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ColombiaVsUreno #CongoDRVsUzbekistan
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Peter Otai, Chiko Lawi wacheza mpira studioni
- Runtime
- 2:05
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Tazama watangazaji Peter Otai na Chiko Lawi walivyokabidhiana majukumu kwa namna ya pekee.
Congo DR dhidi ya Uzbekistan.
Colombia dhidi ya Ureno.
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Marekani mvua inarindima
- Runtime
- 6:58
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Clive Kyazze akiwa ndani ya Philadelphia nchini Marekani, anatupa hali ilivyo kuelekea mechi kati ya Croatia dhidi ya Ghana.
Clive anasema mvua nayo inarindima.
Uhondo upo LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Mashabiki wafunguka baada ya Ufaransa kushusha kichapo kwa Norway
- Runtime
- 2:06
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Kutoka Marekani, Shaffih Dauda anazungumza na mashabiki wa soka waliopo dimbani wakati Ufaransa wakitoa kichapo kwa Norway…
Mashabiki hawa wanachokisema ni kwamba, wanaiona Ufaransa ikilibeba kombe mwaka huu…
Je, unaona hivyo....
Uhondo upo LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Kombe la Dunia 2026 | Fatma Chikawe ana swali kwa waliobeza Kombe la Dunia
- Runtime
- 2:16
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Fatma Chikawe anataka kumjua aliyedai kwamba fainali za Kombe la Dunia mwaka huu hazina msisimko.
Uhondo upo LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Mashabiki wa England wataja wachezaji wanaowakosha
- Runtime
- 3:49
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Kutoka Nairobi Kenya, swali linasema:- Je, ni timu ngapi hadi sasa zimefuzu hatua ya 32 bora?
Sikia majibu kutoka kwa wakazi wa Nairobi waliokutana na Zein Mohamed.
Uhondo upo LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Mashujaa FC 2-0 KMC FC | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 5:41
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #NBCPL Lake Tanganyika Stadium, Kigoma, KMC FC kapigwa mbili za chapchap ndani ya dakika 4: Wauaji ni Mapinduzi Balama na Ismail Mgunda kwa penati.
Tazama magoli….
FT: Mashujaa FC 2-0 KMC FC.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC
- Title
- Pamba Jiji FC 1-2 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 8:23
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #NBCPL Pamba Jiji FC wamepoteza mchezo wa pili mfululizo wakiwa nyumba, leo wakifanyiwa ‘come-back’ na maafande wa JKT Tanzania.
Tazama magoli yote, wakitangulia Pamba Jiji kupitia kwa Henry Lutonja, kabla ya Karim Mfaume na Paul Peter kupiga mawili.
FT: Pamba Jiji 1-2 JKT Tanzania (Lutonji 10’, Mfaume 14’, Paul Peter)
Mechi hii ilikuwa LIVE #AzamTWO
- Title
- Tanzania Prisons 2-1 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 9:27
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #NBCPL Maafande wa Magereza ‘wamemuua’ kikatili mkulima wa miwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya.
Goli la dakika za jioooooni kutoka kwa Kelvin Sengati ndilo lililomzika mkulima.
Wa kwanza kufunga alikuwa ni Seleman Omar, kabla ya Mtibwa kuchomoa kupitia kwa mkongwe Juma Luizio.
Hivi ndivyo ilivyokuwa..
Je, huyo ball boy aliyekwenda kushangilia kuku kishingo, umemuona?
FT: TZ Prisons 2-1 Mtibwa Sugar.
Mechi hii ilikuwa LIVE #AzamSports4HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #PambaJijiFC #JKTTanzania #PambaJijiJKTTanzania
- Title
- Namungo FC 0-0 Fountain Gate FC | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 4:41
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Namungo FC wamebanwa mbavu na kulazimishwa suluhu na Founta Gate FC kwenye Dimba la Majaliwa, Lindi.
Hii ni Ligi Kuuya NBC, Tanzania Bara.
- Title
- Simba SC 2-0 Singida BS | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 10:00
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Oura ametoa assit kwa Mpanzu, na Mpanzu ametoa assist kwa Oura, Mnyama Simba SC akashinda mabao 2-0 dhidi ya Singida BS, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo.
Magoli ya Simba yamefungwa na Elie Mpanzu na Anicet Oura,
- Title
- Coastal Union 0-2 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 6:42
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Feisal Salum 'Feitoto' amepiga goli lake la 15 kwenye ligi msimu huu, Azam FC ikishinda 2-0 ugenini kwenye Dimba la Mkwakwani, Tanga....
Aliyetangulia kufunga alikuwa ni Landry Zouzou kwa header kabl aya Feisal kufunga la pili dakika ya 32.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC,
- Title
- Yanga SC 3-0 TRA United | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 8:51
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Allan Okello 'Star Boy', amepiga magoli yote matatu #Hattrick , Yanga ikishinda 3-0 dhidi ya TRA United, mchezo wa raundi ya 29, Ligi Kuu ya NBC, uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Haya hapa magoli yote.
- Title
- Magoli | Tanzania Prisons 2-1 Mtibwa Sugar | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 4:48
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #NBCPL Maafande wa Magereza ‘wamemuua’ kikatili mkulima wa miwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya.
Goli la dakika za jioooooni kutoka kwa Kelvin Sengati ndilo lililomzika mkulima.
Wa kwanza kufunga alikuwa ni Seleman Omar, kabla ya Mtibwa kuchomoa kupitia kwa mkongwe Juma Luizio.
Hivi ndivyo ilivyokuwa..
Je, huyo ball boy aliyekwenda kushangilia kuku kishingo, umemuona?
FT: TZ Prisons 2-1 Mtibwa Sugar.
Mechi hii ilikuwa LIVE #AzamSports4HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #PambaJijiFC #JKTTanzania #PambaJijiJKTTanzania
- Title
- Magoli | Pamba Jiji 1-2 JKT Tanzania | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 2:49
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #NBCPL Pamba Jiji FC wamepoteza mchezo wa pili mfululizo wakiwa nyumba, leo wakifanyiwa ‘come-back’ na maafande wa JKT Tanzania.
Tazama magoli yote, wakitangulia Pamba Jiji kupitia kwa Henry Lutonja, kabla ya Karim Mfaume na Paul Peter kupiga mawili.
FT: Pamba Jiji 1-2 JKT Tanzania (Lutonji 10’, Mfaume 14’, Paul Peter)
Mechi hii ilikuwa LIVE #AzamTWO
- Title
- Magoli | Mashujaa FC 2-0 KMC FC | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 2:02
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- #NBCPL Lake Tanganyika Stadium, Kigoma, KMC FC kapigwa mbili za chapchap ndani ya dakika 4: Wauaji ni Mapinduzi Balama na Ismail Mgunda kwa penati.
Tazama magoli….
FT: Mashujaa FC 2-0 KMC FC.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC
- Title
- Magoli | Dodoma Jiji 1-1 Mbeya City | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 1:52
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Kwenye Dimba la Jamhuri Dodoma yamefungwa magoli mawili, akitangulia Adili Buha kwa penati, lakini Idd Kipagwile ‘Mtoto Idd’ akachomoa.
FT: Dodoma Jiji 1-1 Mbeya City .
Hii ni Ligi Kuu ya NBC.
- Title
- Magoli | Coastal Union 0-2 Azam FC | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 1:37
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Feisal Salum 'Feitoto' amepiga goli lake la 15 kwenye ligi msimu huu, Azam FC ikishinda 2-0 ugenini kwenye Dimba la Mkwakwani, Tanga....
Aliyetangulia kufunga alikuwa ni Landry Zouzou kwa header kabl aya Feisal kufunga la pili dakika ya 32.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC,
- Title
- Magoli | Simba SC 2-0 Singida BS | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 2:47
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Oura ametoa assit kwa Mpanzu, na Mpanzu ametoa assist kwa Oura, Mnyama Simba SC akashinda mabao 2-0 dhidi ya Singida BS, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo.
Magoli ya Simba yamefungwa na Elie Mpanzu na Anicet Oura,
- Title
- Hat-trick ya Okello | Yanga SC 3-0 TRA United | NBC Premier League 27/06/2026
- Runtime
- 4:14
- Date posted
- 12 days ago
- Description
- Allan Okello 'Star Boy', amepiga magoli yote matatu #Hattrick , Yanga ikishinda 3-0 dhidi ya TRA United, mchezo wa raundi ya 29, Ligi Kuu ya NBC, uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam.
Haya hapa magoli yote.
- Title
- Dodoma Jiji U20 3-3 JKT Tanzania U20 | Highlights | NBC Youth League - 26/06/2026
- Runtime
- 10:54
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- #NBCU20PL Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Dodoma Jiji U20 dhidi ya JKT Tanzania U20
FT: Dodoma Jiji 3-3 JKT Tanzania
#LigiKuuVijanaU20 #NBCYouthLeague #NBCU20PLTop8 #DodomaJiji #JKTTanzania
- Title
- Azam FC U20 2-1 Simba SC U20 | Highlights | TFF U20 26/06/2026
- Runtime
- 8:37
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- KMC FC 2-3 Namungo FC | Highlights | NBC Premier League - 24/06/2026
- Runtime
- 9:55
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- Azam TV
- Title
- Dodoma Jiji U20 3-3 JKT Tanzania U20 | Magoli | TFF U20- 26/06/2026
- Runtime
- 6:43
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- #NBCU20PL Chuma sita hizi hapa, mechi iliyomalizika kwa sare ya magoli 3-3.
Wafungaji wa magoli kwa Dodoma Jiji FC ni Poldrick Jackson na Festo Steven huku magalo upande wa JKT Tanzania wakiwa ni Abel Josiah, Majid Amri na Said Hassan.
FT: Dodoma Jiji 3-3 JKT Tanzania
#LigiKuuVijanaU20 #NBCYouthLeague #NBCU20PLTop8 #DodomaJiji #JKTTanzania
- Title
- Azam FC U20 2-1 Simba SC U20 | Magoli | TFF U20 26/06/2026
- Runtime
- 3:15
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- #NBCU20PL Magoli yote haya hapa, chuma mbili zikiwapeleka Azam FC hatua ya nusu fainali..
FT: Azam FC 2-1 Simba SC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#LigiKuuVijanaU20 #NBCYouthLeague #NBCU20PLTop8 #AzamFCU20 #SimbaSCU20
- Title
- PRESS : Kocha Moalin aeleza namna watakavyopambana na TRA United
- Runtime
- 3:50
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- YANGA SC vs TRA UNITED : Kocha wa Yanga SC, Abdihamid Moalin amesema kikosi chake kimejipanga kushinda mchezo wa kesho dhidi ya TRA United ingawa wanawaheshimu wapinzani wao.
Kwa upande wake mchezaji wa Yanga SC, Abuutwalib Msheri amesema mechi hiyo kwao ni muhimu zaidi katika kuhakikisha wanatetea ubingwa wao huku akiwahamasisha mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani.
Mechi ni kesho Juni 27, 2026, saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports2HD
✍ Yustina Kibutwa
Mhariri @rajjmsangi
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- PRESS: TRA United ilivyojipanga kuwakabili Yanga SC, Kocha Ndayiragije aeleza
- Runtime
- 3:16
- Date posted
- 13 days ago
- Description
- YANGA SC vs TRA UNITED : ''hatukuwa na malengo ya Kimataifa'', Kocha wa TRA United, Etienne Ndayiragije, akieleza maandalizi yake kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Yanga SC.
Amesema kwenye malengo yao hayakuwa Kimataifa bali ni kuitambulisha timu hiyo kwenye Ligi Kuu na mwendelezo wao mzuri.
Kwa upande wake Mchezaji wa TRA United, Shaaban Idd Chilunda amesema wanavyokuwa wanacheza na timu kubwa huwa ni mechi ya ushindani, na hivyo wamejiandaa kuhakikisha kupata ushindi.
Mechi ni kesho Juni 27, 2026, saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports2HD
✍ Yustina Kibutwa
Mhariri @rajjmsangi
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- Uchambuzi | Mzunguko wa 29 mechi nane za NBC Premier League kutimua vumbi Juni 27, 2026.
- Runtime
- 1:15:19
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- Uchambuzi wa kina kutoka kwa wachambuzi Michael Hyera na Iddy Nonga kuhusu mechi 8 za NBC PL zitakazopigwa Juni 27, 2026.
- Title
- PRESS: Kocha wa Singida BS, Muhibu aweka mikakati kuwakabili Simba SC kesho
- Runtime
- 3:20
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- SIMBA SC vs SINGIDA BS : Kocha Mkuu wa Singida BS Muhibu Kanu amesema watakuwa na mchezo mzuri dhidi ya wapinzani wao Simba SC.
Amesema wachezaji wako imara na morali kuhakikisha mechi inakuwa yenye ushindani na matokeo mazuri kwa upande wao.
Kwa upande wake mchezaji wa timu hiyo, Abdallah Kheri 'Sebo' amesema kutakuwa na mchezo mzuri kutokana na kuwa na safu nzuri ya ushambuliaji.
✍ Yustina Kibutwa
Mhariri @rajjmsangi
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- PRESS: Kocha Steve Backer aeleza watakavyowakabili Singida BS
- Runtime
- 4:36
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- SIMBA SC vs SINGIDA BS : '' itakuwa mechi ya ushindani'', maneno ya Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Backer akizungumzia maandalizi ya kikosi chake kueleeka mchezo wao dhidi ya Singida BS.
Amesema wanachokitaka ni kuhakikisha wanatumia nafasi vizuri na kuondoka na ushindi kwenye mchezo wa kesho.
Kwa upande wa Mchezaji wa timu hiyo, Anthony Mligo amesema zinapokutana timu hizi mbili haiwezi kuwa mechi nyepesi, lakini wamejiandaa kuwakabili kuondoka na alama tatu.
Mechi ni kesho Juni 27, 2026, saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
✍ Yustina Kibutwa
Mhariri @rajjmsangi
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Hesabu za 'best loser' baada ya Paraguay vs Australia (0-0)
- Runtime
- 13:13
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Hesabu kuhusu kinyang’anyiro cha kufuzu hatua ya 32 bora kupitia nafasi ya ‘best loser’, zinachakatwa hapa baada ya mchezo kati ya Paraguay vs Australia.
Wachambuzi wako ni Lilian na Athuman Bemelengo.
FT: Paraguay 0-0 Australia.
FT: Uturuki 3-2 Marekani.
Saa 4:00 usiku Senegal vs Iraq na Norway vs Ufaransa LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ParaguayAustralia #TurkeyUSA
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Kilichowapata Marekani dhidi ya Uturuki | Uchambuzi (English)
- Runtime
- 6:11
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Katika uchambuzi wa dakika 90, Peter Otai anaanza kwa ushahidi akionesha jinsi Marekani walivyopigwa bao la tatu kupitia mpira wa ile kitu mnaita ‘tobo’.
FT: Paraguay 0-0 Australia.
FT: Uturuki 3-2 Marekani.
Saa 4:00 usiku Senegal vs Iraq na Norway vs Ufaransa LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #ParaguayAustralia #TurkeyUSA
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi kuelekea mechi ya Paraguay vs USA (English) - 26/06/2026
- Runtime
- 5:49
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Kuelekea mchezo wa Uturuki dhidi ya Marekani, hoja inayotawala dawati la uchambuzi hapa ni Je, Marekani wanaweza kuondoka na alama tisa???
Ni @peterotaiofficial akiwa na Bernanard Otieno pamoja na Felix Sapao.
Enjoy…
Paraguay vs Australia.
Uturuki vs Marekani.
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Gumzo kuhusu kiwango cha Justin Kluivert, Tunisia vs Netherlands
- Runtime
- 4:24
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Maliza ubishi kuhusu kiwango cha Justin Kluivert.
Je, unaiona nafasi ya Justin Kluivert kwenye kikosi cha kwanza cha Uholanzi katika mchezo wa hatua ya mtoano (32 bora)?
Hebu saidia kumaliza ubishi huu kati ya @patrick_nyembera na @bemelengo_jr kwa kuweka maoni yako hapa…
FT: Tunisia 1-3 Uholanzi
- Title
- FIFA WORLD CUP 2026 | Japan 1-1 Sweden | Post Match Analysis (English)
- Runtime
- 5:19
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Peter Otai anahitimisha Kundi F kwa kudadavua maajabu ya Sweden kufuzu hatua ya 32 bora kupitia dirisha la best loser, akitumia neno ‘double dutch’… huku akilizwa na Tunisia.
Pia huu ni wakati wa kutambulisha wachambuzi wa ngwe ya mwisho kwa leo, Benard Otieno na Felix Sapao, ambao wanaanza kwa kuichambua mechi ya Japan vs Sweden iliyomalizika kwa sare.
Kama kawaida, lugha ya Chichewe, inazungumzwa wakati Felix Sapao akitambulishwa..
FT: Tunisia 1-3 Uholanzi
FT: Japan 1-1 Sweden
Zinafuata Uturuki vs Marekani na Paraguay vs Australia saa 11:00 alfajiri LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #TunisiaNetherlands #JapanSweden
- Title
- Tunisia vs Uholanzi | Patoo aingia na 'vibe' la Scotland | Vikosi vyachambuliwa | Kombe La Dunia
- Runtime
- 6:37
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 “No Scotland, No Party”.
Ndivyo Patrick Nyembera alivyoingia katika awamu hii ya uchambuzi akiwa na ‘vibe’ la ‘ki-Scotish’…
Je, ni kweli kwenye michuano hii bila Scotland hakuna party?
Kwa upande mwingine wachambuzi wake Lilian Mukulu na Athuman Bemelengo nao wanakuchambulia mifumo na vikosi vya timu zote mbili, Tunisia na Uholanzi.
15’: Tunisia 0-2 Uholanzi
15’: Japan 0-0 Sweden
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #TunisiaNetherlands #JapanSweden
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Curacao 0-2 Ivory Coast | Maoni ya wachambuzi baada ya mechi
- Runtime
- 4:12
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Matokeo ya Ujerumani na Ecuador yawavuruga Dkt. Leakey na Edo Kumwembe….Sikia walichokisema baada ya mechi.
FT: Curacao 0-2 Ivory Coast
FT: Ecuador 2-1 Ujerumani
Zinafuata Tunisia vs Uholanzi na Japan vs Sweden saa 8:00 usiku LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV #CuracaoIvoryCoast #EcuadorGermany
- Title
- FIFA WORLD CUP 2026 | Ecuador vs Germany | Half-Time Analysis 25/06/2026
- Runtime
- 5:18
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Uchambuzi wa kipindi cha kwanza kutoka kwa Anthony Kimani na Brian Tuka. Lakini kwanza Chiko Lawi ananza kwa kuomba radhi kwa mashabiki wa Ujerumani; Je, unajua amewakosea nini?
Msikilize?
50’: Curacao 0-1 Ivory Coast
50’: Ecuador 1-1 Ujerumani
Zote LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Jinsi unavyoweza kupata zawadi 104 kutoka Azam TV
- Runtime
- 1:07
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Tuna zawadi 104 kwa ajili yako; Je, ufanyeje ili uzipate? Sikiliza maelekezo hapa…
44’: Curacao 0-1 Ivory Coast
44’: Ecuador 1-1 Ujerumani
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Dawati la uchambuzi kuelekea mechi za mwisho za Kundi E
- Runtime
- 8:01
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026 Jopo la wachambuzi kuelekea mechi za Kundi E, ni hili hapa kama linavyotambulishwa na Fatma Chikawe.
Yupo Dkt. Leaky aambaye ambaye anaanza kwa kuwazungumza ‘wasiojulikana’, Curacao…
….Yupo Edo Kumwembe ambaye anaanza kwa kuisema jeuri ya Ujerumani, na pia yupo Ramadhan Mbwaduke ambaye anaanza na hesabu za Ivory Coast kufuzu hatua ya 32 bora.
Ni Curacao vs Ivory Coast, na Ecuador vs Ujerumani.
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- KOMBE LA DUNIA | Joto la Kombe la Dunia lipo juu Marekani
- Runtime
- 4:13
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: “Homa ya Kombe la Dunia ipo juu hapa Marekani”
Mchambuzi wa soka wa #AzamTV Clive Kyazze, anashusha taarifa moja kwa moja kutoka Massachussetts nchini Marekani ambako ametua leo kwa ajili ya fainali za #KombeLaDunia.
Hapa anazungumza moja kwa moja na Chiko Lawi pamoja na wachambuzi wake waliopo studio Dar es Salaam.
Uhondo upo LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili na #AzamSports4HD kwa Kiingereza.
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Mtibwa Sugar U20 1-2 Mashujaa FC U20 | Highlights | U20 NBC Premier League - 25/06/2026
- Runtime
- 10:42
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCU20PL Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Mtibwa Sugar U20 dhidi ya Mashujaa FC U20.
Magoli ya Mashujaa yamefungwa na Nassor Iddy pamoja na Abdulrazaq Mbwana. Goli la Mtibwa Sugar limefungwa na Ramadhan Issa.
FT: Mtibwa Sugar U20 1-2 Mashujaa U20
#LigiKuuVijanaU20 #NBCYouthLeague #NBCU20PLTop8 #YangaU20VsMbeyaCityU20 #MtibwaSugarU20VsMashujaaU20
- Title
- KOMBE LA DUNIA 2026 | Chiko Lawi anasema Afrika Kusini wamejibeba wenyewe mashindanoni
- Runtime
- 1:55
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #KombeLaDunia2026: Chiko Lawi anasema Afrika Kusini wamejiondoa wenyewe kutoka Kusini mwa msimamo na kujiweka upande wa Kaskazini mwa msimamo kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.
Ni baada ya kuichapa Korea Kusini na kutinga hatua ya mtoano.
LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD
#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV
- Title
- Yanga u20 2-0 Mbeya City U20 | Highlights | NBC Youth League - 25/06/2026
- Runtime
- 4:17
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCU20PL Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Yanga U20 ikiichapa Mbeya City U20, kwenye mtanange uliopigwa katika dimba la KMC Mwenge, Dar es Salaam.
Wafungaji ni Ally Saleh na Ibrahim Kazimoto.
FT: Yanga U20 2- Mbeya City U20
#LigiKuuVijanaU20 #NBCYouthLeague #NBCU20PLTop8 #YangaU20VsMbeyaCityU20 #MtibwaSugarU20VsMashujaaU20
- Title
- Mtibwa Sugar U20 1-2 Mashujaa FC U20 | Magoli | U20 NBC Premier League - 25/06/2026
- Runtime
- 2:57
- Date posted
- 14 days ago
- Description
- #NBCU20PL Magoli yote matatu kwenye mchezi kati ya Mtibwa Sugar U20 dhidi ya Mashujaa FC U20.
Magoli ya Mashujaa yamefungwa na Nassor Iddy pamoja na Abdulrazaq Mbwana. Goli la Mtibwa Sugar limefungwa na Ramadhan Issa.
FT: Mtibwa Sugar U20 1-2 Mashujaa U20
#LigiKuuVijanaU20 #NBCYouthLeague #NBCU20PLTop8 #YangaU20VsMbeyaCityU20 #MtibwaSugarU20VsMashujaaU20

