KBC Channel 1
Walemavu wataka kujumuishwa katika sekta ya utalii
- Title
- Walemavu wataka kujumuishwa katika sekta ya utalii
- Runtime
- 1:43
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Watu walio na ulemavu wametoa wito wa kujumuishwa vilivyo katika sekta ya utaliii,wakisema wamekuwa wamtengwa katika masuala yanayohusu sekta hiyo licha ya kubuniwa kwa sheria ya utalii ya mwaka 2025.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Maafisa utumishi wa umma wahimizwa kuzingatia maadili
- Runtime
- 1:40
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Taasisi ya mafunzo ya uongozi inasema kuwa utumishi wa umma humu nchini lazima ukumbatie uwajibikaji, utoe matokeo yanayopimika, na ujitanzue kutoka kwa utamaduni wa utendakazi duni ili kurejesha imani ya umma.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Vijana Kilifi waihimiza serikali kutenga fedha kugharamia afya ya akili kwa wanaume
- Runtime
- 1:42
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Visa vya kujitoa uhai miongoni mwa wanaume vyaongezeka
- Runtime
- 1:50
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Wakazi wa kijiji cha Rwamburi huko Ndeiya wametoa wito kwa juhudi za haraka kufanywa kukabili visa vinavyokithiri vya watu kujitoa uhai.Hayo yanajiri kufuatia ripoti kwamba wanaume watatu wamejitoa uhai kwenye kijiji hicho katika muda wa mwezi mmoja uliopita.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Kenya yaimarisha juhudi za kukabiliana na uchafuzi wa mazingira
- Runtime
- 2:36
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Kenya inaimarisha juhudi za kukabiliana na uchafuzi wa mazingira unaotokana na taka za plastiki pamoja na kuimarisha usimamizi wa taka. Mpango huo unatekelezwa kupitia mradi wa uchumi wa mzunguko unaoongozwa na watumiaji ili kubadilisha jinsi familia , watengenezaji bidhaa na wakusanyaji taka wanavyosimamia taka baada ya matumizi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Wadau wahimiza serikali kuzingatia teknolojia ya akili unde
- Runtime
- 1:42
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Teknolojia ya akili unde inabadilisha kwa kasi mfumo wa elimu ulimwenguni, huku wadau wakihimiza serikali kukumbatia kikamilifu teknolojia hiyo kama kichocheo cha uvumbuzi na uimarishaji wa ujuzi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Viongozi wa Mau Narok waitaka serikali kuwianisha miradi ya maendeleo
- Runtime
- 1:35
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Viongozi katika eneo la Mau Narok, Kaunti ya Nakuru, wameitaka serikali kuwianisha miradi ya maendeleo na mahitaji ya jamii za wenyeji, wakisema upanuzi wa madarasa unastahili kupewa kipau mbele badala ya kusambaza mabasi ya shule.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Vijana wahimizwa kujiepusha na uhuni
- Runtime
- 3:18
- Date posted
- 1 day ago
- Description
- Vijana wamehimizwa kujiepusha na visa vya uhuni kwa vile wao ndio tegemeo la familia zao katika siku zijazo. Akiongea huko Kitale wakati wa ufunguzi wa hafla ya uashauri wa umma ya siku mbili,kamishna wa tume ya uchaguzi Alutalala Mukhwana alitahadharisha kuwa uchaguzi mkuu huenda ukaathirika pakubwa endapo ghasia za kisiasa zitaendelea kushuhudiwa nchini.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- 57-year-old Edwin Indimuli wins 50 million Betika jackpot
- Runtime
- 1:24
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- As sports betting continues to gain momentum in the country, 57-year-old Edwin Indimuli has now acquired millionaire status, following his lucky draw in the 50 million Kenya shilling, Must Be Won Betika jackpot.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Learning institutions benefit from water tank donations
- Runtime
- 1:46
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Learning institutions in various counties have benefited from water tank donations under a partnership between a group dubbed Alpha Queens and World Civility. Nyamokenye and Nyansakia Comprehensive Schools in Bobasi Constituency were among the beneficiaries.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Government injects Ksh.4.5 billion to improve maternal health
- Runtime
- 2:11
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- The government has reaffirmed its commitment to improving newborn survival through a 4.5 billion Shillings investment in neonatal incubators and specialised newborn care equipment across the country.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Stakeholders urge the government to embrace AI in education
- Runtime
- 1:26
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Artificial intelligence is rapidly reshaping the global education landscape, with stakeholders urging the government to fully embrace the technology as a driver of innovation and skills development.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Matungulu residents benefit from free medical services
- Runtime
- 2:48
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Residents of Matungulu East ward have benefited from free medical services courtesy of a Nairobi-based hospital and the local youth leadership. The residents who have been walking for a long distance to seek medical services lauded the initiative, which was facilitated by an aspiring member of the county assembly, Jonathan Mutinda.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- UDA Gen Z women in Kakamega Launch voter registration drive
- Runtime
- 1:17
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- A movement of Gen Z women within the ruling UDA party in Kakamega County has officially launched a campaign aimed at encouraging more young women to register as voters ahead of the next General Election. This initiative aims to extend the voter registration campaign to Gen Z residents, ensuring high registration numbers.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Educationists in Trans Nzoia call for identification and nurturing of talent
- Runtime
- 1:29
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Education stakeholders in Trans Nzoia County have called for stronger collaboration between parents and teachers to identify and nurture learners' talents under the Competency-Based Education curriculum.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Kenya intensifies efforts to combat plastic pollution
- Runtime
- 1:55
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kenya is intensifying efforts to combat plastic pollution and improve waste management. The initiative is through a consumer-led circular economy programme to transform how households, manufacturers and waste handlers manage post-consumer waste.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Ndeiya residents call for urgent intervention amid cases of suicide
- Runtime
- 2:42
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Youths in Kilifi County are calling upon the government to set aside a special allocation to manage mental health for men. This follows the launch of the community sensitization program on the importance of men being given a chance to express themselves.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Ziro Ziro residents demand suspension of land allocation in Kwale
- Runtime
- 1:26
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Ziro Ziro residents of Kwale county are now claiming that over 200 families are being excluded from a land allocation scheme intended for local squatters. The residents are demanding the suspension of the land allocation exercise, which is scheduled for next week, until their grievances are addressed.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- PWDs call for equal inclusion in the tourism sector
- Runtime
- 1:33
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- People with disabilities have called for greater inclusion in Kenya's tourism sector, claiming that they have been sidelined in tourism-related matters despite the enactment of the Tourism (Tourism Enterprises) Regulations, 2025.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- KSG Director General urges public service officers to embrace productivity
- Runtime
- 1:35
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kenya School of Government says Kenya's public service must embrace accountability, deliver measurable results and break away from a culture of mediocrity to regain public confidence.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Initiative to celebrate excellence in journalism, digital storytelling launched in Mombasa
- Runtime
- 2:31
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- A new initiative aimed at recognizing excellence in journalism, strategic communication and digital storytelling has been launched in Mombasa, with organizers promising to raise professional standards while promoting ethical and impactful media practice.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Maendeleo ya Wanawake Kisumu delegates convene special meeting
- Runtime
- 1:38
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- The leadership of the Maendeleo ya Wanawake Organisation in Kisumu County is urging members to use existing internal conflict-resolution mechanisms to resolve any differences that may arise, rather than pursuing their grievances in public
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Government assures Kenyans of El Nino preparedness
- Runtime
- 2:50
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- The government has assured Kenyans that comprehensive measures are being put in place to prepare the country for the anticipated El Niño rains later this year. Deputy President Kithure Kindiki says a multi-agency approach has already been activated to minimize the impact of floods, landslides and other disasters associated with the expected heavy rains.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- KNPSWU wants KShs 30,000 minimum wage enforced
- Runtime
- 1:58
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Private Security Wage Protest;
Kenya National Private Security Workers Union (KNPSWU) wants KShs 30,000 minimum wage enforced
Union threatens action against non-compliant firms
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Kenya identified as a strategic gateway for advancing women's leadership
- Runtime
- 1:50
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- LIVE: Darubini Naye Ahmed Juma Bhalo II 2nd July 2026 || www.kbc.co.ke
- Runtime
- 53:13
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- LIVE: National Assembly Proceedings II 2nd July 2026 || www.kbc.co.ke
- Runtime
- 3:04:44
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- LIVE: Lunchtime News with Ben Troy Njue II 2nd July 2026 || www.kbc.co.ke
- Runtime
- 51:46
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Nyandarua Prison Expands Potato Seed Production, Equips Inmates with Farming Skills
- Runtime
- 2:33
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Nyandarua Prison has expanded its certified potato seed production programme in a bid to enhance food security, support farmers, and equip inmates with modern agricultural skills
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
- Title
- KEMRI: Increased Hospital Deliveries Drive Sharp Decline in Maternal Deaths in West Pokot
- Runtime
- 2:27
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- West Pokot County is emerging as one of the success stories of devolution in the health sector. A new study by the Kenya Medical Research Institute (KEMRI) shows that increased hospital deliveries contributed to a reduction in maternal deaths.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
- Title
- LIVE: Good Morning Kenya II 2nd July 2026
- Runtime
- 39:33
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Serikali yajitahidi kuwarejesha Wakenya waliokwama Afrika Kusini
- Runtime
- 2:22
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- MZOZO AFRIKA KUSINI
Serikali yajitahidi kuwarejesha nyumbani wakenya waliokwama Afrika kusini
Wakenya 240 wanaohitaji usaidizi wamejisajili katika ubalozi wa Kenya jijini Pretoria
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Wabunge wataka wizara zitumie fedha za wafadhili kikamilifu
- Runtime
- 2:17
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- FEDHA ZA WAFADHILI
Wabunge wataka wizara zitumie fedha za wafadhili
Wabunge wasema idara hazitumii fedha za wafadhili kikamilifu
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Magatuzini I Afisa mkuu wa kituo cha polisi Kabarnet Shamza Abedi atambuliwa na IPOA
- Runtime
- 2:43
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Afisa mkuu anayesimamia kituo cha polisi cha Kabarnet Shamza Abedi, ametambuliwa na halmashauri huru ya kutathmini utendakazi wa polisi kwa jitihada zake za kukabiliana na pombe haramu na kuimarisha usalama mjini Kabarnet , kaunti ya Baringo. Kwa haya na mengine, ni kwenye mkusanyiko wa habari kutoka kaunti.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Juhudi za kuhakikisha vijana wanashiriki katika utawala zapigwa jeki
- Runtime
- 1:48
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Juhudi za kuhakikisha vijana nchini wanashiriki katika maswala ya utawala,zimepigwa jeki kufuatia kuzinduliwa rasmi kwa vugu vugu la kuwahusisha na kuhamasisha vijana katika maswala ya utawala.Hayo yanajiri baada ya mashirika husika kutia saini makubaliano ya maelewano ,hatua inayotoa fursa ya kuwashirikisha vijana katika maswala ya uongozi,demokrasia na mchakato wa uchaguzi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Jamii za Garre na Degodia zakumbatia amani
- Runtime
- 2:15
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Furaha imerejea katika eneo la Gofa na vijiji jirani katika maeneo ya Mandera Kaskazini na Mandera Kusini, kaunti ya Mandera. Matumaini mapya ya kurejesha amani na maisha ya kawaida yanaendelea kuchipuka huku juhudi za maridhiano kati ya jamii za Garre na Degodia zikiendelea kuzaa matunda baada ya migogoro iliyodumu kwa miaka mingi iliyowafanya watu kupoteza makazi yao.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Zaidi ya vipengele 600 vya mashindano vyawasilishwa kwenye tamasha ya muziki nchini
- Runtime
- 2:28
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Tamasha ya muziki ya humu nchini katika eneo la Nairobi imeingia katika siku yake ya pili katika shule ya upili ya wasichana ya Buruburu. Zaidi ya vipengele 600 vya mashindano vimewasilishwa na washiriki kutoka shule mbalimbali. Toleo la 95 la tamasha hylo linalenga kuandaa mustakabali wa kiuchumi wa vijana wa humu nchini.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Chaguzi Ndogo ya Ol Kalou I Vyama vya kisiasa vyashtumiwa kwa kukiuka kanuni za IEBC
- Runtime
- 2:08
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- CHAGUZI NDOGO OL KALOU
Kamati ya usalama ya kaunti ya Nyandarua imedai kwamba vyama vya kisiasa vinavyowania uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Ol Kalou, vinakiuka kanuni za Tume Huru ya Uchaguzi na Uratibu wa Mipaka (IEBC) kuhusu saa za kampeni. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Abdirisack Jaldesa, ambaye pia ni Kamishna wa Kaunti ya Nyandarua, aliwahimiza wagombea kuhakikisha wafuasi wao wanahitimisha mikutano yao kabla ya usiku kuwadia ili kudumisha usalama na utulivu wa umma. Akizungumza afisini mwake, Jaldesa alielezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko la visa vya vurugu na uharibifu wa vifaa vya kampeni. Pia aliwashauri wagombea wote kuwajulisha polisi mapema kuhusu shughuli zao za kampeni ili kuweka mipango kabambe ya usalama.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kb...
- Title
- Kenya na Italia zatia saini mikataba ya makubaliano inayolenga kuimarisha ushirikiano
- Runtime
- 3:57
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kenya na Italia zimeimarisha uhusiano wao baada ya kutia saini mikataba ya makubaliano inayolenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya usalama na kubuni njia halali za uhamiaji wa wafanyakazi. Makubaliano hayo yanatarajiwa kuimarisha mapambano dhidi ya uhalifu wa kimataifa na wakati huo huo kupanua fursa za ajira kwa Wakenya nchini Italia.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Familia ya Abdiaziz Duba aliyetoweka Juja yataka polisi waagizwe kumfikisha mahakamani jamaa wao
- Runtime
- 4:05
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Familia ya Adiaziz Duba, ambaye alitoweka katika eneo la Juja, kaunti ya Kiambu, tarehe 23 mwezi Juni mwaka huu, imewasilisha ombi la kutaka jamaa yao afikishwe mahakamani. Kupitia mawakili wao, familia hiyo ilimuelezea Jaji Alexander Muteti kuwa inataka mahakama iaagize maafisa wa upelelezi wamfikishe jamaa yao mahakamani au wathibitishe aliko, kwa kuwa familia hiyo iko katika hali ya wasiwasi kutokana na kutoweka kwake.Taarifa kamili ni kwenye mizani ya haki.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Naibu rais Kindiki ongoza mkutano wa pamoja wa kamati ya baraza la mawaziri
- Runtime
- 0:37
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Naibu raisProf. Kithure Kindiki ameongoza mkutano wa pamoja wa kamati ya baraza la mawaziri ili kutathmini hali ya nchi hii kujiandaa kutumia na kujinufaisha kutokana na teknolojia ya akili-unde. Mkutano huo pia ulijadilimbinu za kulainisha sera ilikuiwezesha nchi hii kunufaika sasa na katika siku za baadaye katika sekta za kilimo, hali ya anga, kawi, usalama, ajira na sekta nyingine muhimu za uchumi wa nchi hii.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Maafisa wa polisi waanza kuchunguza kifo cha Cecil Ouma
- Runtime
- 1:42
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Katibu wa maswala ya vijana Fikirini Jacobs, ameandikisha taarifa katika makao makuu ya kitengo cha DCI hapa Nairobi, kufuatia kupigwa risasi na kuuawa kwa kijana mmoja.Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na mauaji ya kijana huyo Cecil Ouma siku ya jumanne katika mazingira ya kutatanisha.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Kabarnet OCS Shamza Abedi recognized by IPOA
- Runtime
- 1:52
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Kabarnet Police Station OCS Shamza Abedi has been recognized by the Independent Policing Oversight Authority (IPOA) for her outstanding efforts in combating alcoholism.
#KBCniYetu
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
- Title
- Local News Roundup: Businesses in Malindi set to reap big during Summer Tides Festival
- Runtime
- 2:54
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Migori County investigating operations at a juggery processing plant
- Runtime
- 1:30
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- ODPP urges Kenyans to cooperate with investigators to uphold a transparent justice system
- Runtime
- 1:23
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Inaugural board of Mombasa County Revolving Fund sworn in
- Runtime
- 1:53
- Date posted
- 2 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Local manufacturers challenged to tap into the menstrual economy's potential
- Runtime
- 2:15
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- Women urged to take advantage of education opportunities offered by government
- Runtime
- 1:20
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
- Title
- BCRUP seeks to mobilize climate financing
- Runtime
- 1:48
- Date posted
- 3 days ago
- Description
- Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive

